MAMA MCHUNGAJI AWEKA WAZI UCHAWI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Please SUBSCRIBE to Robert Tv Tanzania official RUclips channel, Anointed Man Of God Pastor Robert Raphael:
    / @roberttvtanzania
    #RobertTv #RobertRaphael #PastorRobertRaphael

Комментарии • 108

  • @JuniorEmmanuel-y7i
    @JuniorEmmanuel-y7i 8 дней назад

    Aminaaa sana

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Год назад +4

    Kumbe Kusimama madhabauni na kuimbisha mapambio sikitu kwa malikia wakuzimu yuko kazini akijidai wa Mungu kumbe yukazini kufanya kazi ya ufalime wakimalikia wa kuzimu duhuu asante Yesu nimetambua adui anavyo fanya kazi

    • @euphrasiantawatawa1510
      @euphrasiantawatawa1510 Год назад +3

      Yes,kuokoka ni jambo lingine na kuishi kwenye wokovu ni jambo lingine

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 Год назад

      @@euphrasiantawatawa1510 𝚔𝚊𝚋𝚒𝚜𝚊𝚊

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад

      Si Kitu hata Mbele za Mungu si Kitu kabisaa Ni Mpaka uwe na Roho Mtakatifu na Awe yu hai Ndani yako vilivyo

    • @kenonpeter3692
      @kenonpeter3692 Год назад +1

      @@trophywilson7211 NIkweli ndugu kumbe shetani aweza kuhigiza malaika wakusifu lakini ndani ajenti

  • @JuniorEmmanuel-y7i
    @JuniorEmmanuel-y7i 8 дней назад

    Aminaaa

  • @VeryMatonya
    @VeryMatonya 6 месяцев назад

    Mungu atusaidie Dhaka unatoa pale unapo kula chakura cha kiroho Amina

  • @eliaikangui6543
    @eliaikangui6543 Год назад +2

    BWANA YESU NAOMBA UKOMBOZI NA WANANGU AMEN

  • @neemasullemani8715
    @neemasullemani8715 Год назад

    Pole Sana mamangu kwa magumu na mungu akutangulie amina

  • @atulebelebiita3804
    @atulebelebiita3804 Год назад +1

    Jamani kwani mafuta yanashida gani, chochea kalama yako acha kutazama kibanzi Cha mwenzio, yesu atakuja kupepeta ngano

  • @joycemaritim7370
    @joycemaritim7370 Год назад +2

    Amen

  • @ashanestor6304
    @ashanestor6304 Год назад

    Mungu akutagulie Mama mangumu ulio yapitia

  • @sharnamoreen8195
    @sharnamoreen8195 Год назад +2

    Umesema kweli, sio kila sehemu unatoa fungu la kumi, kutoka kenya tunafutilia.

  • @neemasullemani8715
    @neemasullemani8715 Год назад

    Bwana mungu naomba anirehemu nami nipate mtoto Nina miaka 27 kwenye ndoa sijapata mtoto mungu nisaidie naomba msaada wa maombi

    • @murishisadock8042
      @murishisadock8042 Год назад

      Us Kate tamaa Mungu anakuja amuchekeshe Sema amen kwa imani

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 Год назад

    Amen and Amen,Jina la YESU Christo lipewe sifa, samahani mm nadhani fungo la kumi na zaka ni tafauti.

    • @wannaproducts
      @wannaproducts Год назад +1

      Sio tofauti ni kitu kimoja

    • @hopeayoub181
      @hopeayoub181 Год назад +1

      Hakuna tofauti ni lugha tu, zaka ndio fungu la kumi

  • @christinakilindila3924
    @christinakilindila3924 Год назад

    Mungu atusaidie

  • @joycerehema9258
    @joycerehema9258 Год назад

    Kusema kweli, Mungu anaki hidhirisha ki kweli!!
    Hakuna kutafuta mambo mengine!!

  • @rosemichael5268
    @rosemichael5268 8 месяцев назад

    Pole mama jamani

  • @user-ds1km9wh2n
    @user-ds1km9wh2n 8 месяцев назад

    Dqh mungu qtusqidie

  • @jackbruno2470
    @jackbruno2470 Год назад

    Poreni mama MCHUNGAJI ugitoka hapo usimame vizuri namungu funga omba maombi yanguvu asubuhi atahamisha atamirima mukiristo mda wote anakua tayari nagupambana na ichochote kinayoweza kugutokeya kanisa yoyo inafa gutokana unavyomutafuta mungu unavyo ombea uwe nahimani nagutafuta munga kwabidii

  • @bitihaywajean3563
    @bitihaywajean3563 Год назад

    Barikiwe Sana Babaa kwa Kazi hio ulio wezeshwa na Mungu ku fungua Nafsi za walio mateka wa kuzimu.

  • @luciansanga5195
    @luciansanga5195 Год назад +5

    Mwenyezi MUNGU Hiitaji zaka ili Akubali Yeye Ana hitaji unyenye kevu Mbelezake tu na utii kwake

    • @furahamwatwinza9560
      @furahamwatwinza9560 Год назад

      Ukshatii na kunyenyekea,,wajibu wako kutoa zaka ,,ni lazima malaki 3:10 ,,leteni zaka kamili,,,,,,,,,,,asema Bwana,,,,,,,,,,""""sasa kama Mungu ameagiza,utapingaje?

  • @rosemarygeofrey7014
    @rosemarygeofrey7014 Год назад +1

    Mama wa watu jamani sio mchawi ,alikuwa anateseka bila yeye kujua ,mmemnukuu vibaya eti mama mchawi sijapenda

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Год назад

      Huyu Mchungaji amemnukuu mama vibaya. Huyu mama hakuwa mchawi kwa kupenda, bali alikuwa anatumikishwa kwenye ndoto unwillingly. Alihitaji deliverance. Asante Rosemary wewe umeelewa kama nilivyoelewa mimi asante

  • @kamalajoseph7861
    @kamalajoseph7861 Год назад

    See mungu tetea watumishi wako

  • @sonywajustus
    @sonywajustus Год назад +1

    Kwa hiyo sio yesu unataka, uponyaji sio yesu [pata yesu upate vyote

  • @user-ud9jk8bt1z
    @user-ud9jk8bt1z 7 месяцев назад

    Sawa baba waumbuwe kanaan kiboko cha wachawi

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 Год назад

    Wachungaji wana maneno ya kurubuni waumini juu ya zaka. Mungu hana upendeleo. Mungu huwa moyoni mwa mcha wake. Hayo makamisa mengine yana utaratibu mzuri sana wa kutumia zaka. Wapentevoste wanatajirisha mchungaji zaka haitumiku kama Mungu alivyoelekeza. Mungu ndiye anayebariki. Wachungaji wamekuwa feki kabisa

  • @agnesmuhonja7468
    @agnesmuhonja7468 Год назад

    JESUS CHRIST! ! !

  • @sonywajustus
    @sonywajustus Год назад

    Mwokozi ni yesu, sio dini, kanaani ni dini, kanaani sio yesu, mwokozi ni yesu

  • @margaretzacharia5877
    @margaretzacharia5877 Год назад

    K,t,k Nakuru pastor Niko pamoja niombehe Niko mngonchwa kwa tumbo mbaya na fura🙏🙏

    • @rosenyabuti8381
      @rosenyabuti8381 Год назад

      Margaret Zachariah ktk nakuru, pole yesu, akufuneneke na damu yake.

  • @wendomlahagwaolema6063
    @wendomlahagwaolema6063 Год назад +3

    Hapa ninachokiona ni ushindani kati ya makanisa ambao ume overshadow deliverance ya huyu mama. Kichwa cha habari nacho kinapotosha. Kutokana na maelezo ya huyu mama, yeye hakuutafuta uchawi bali alikuwa anachukuliwa kwenye ndoto kwenye ulimwengu wa roho bila yeye kujua. So kwa nini Mchungaji anamhukumu kwamba ni mchawi. What she needed was deliverance na sio kusema yeye ni mchawi. Alitumikishwa bila kujua. Naona hapo Mchungaji ana misquote (kamnukuu vibaya). Vita vya makanisa ndio ninachokiona hapo

    • @silumbuatwambilile2284
      @silumbuatwambilile2284 Год назад

      Ni kweli, hapa kichwa cha habari si sahihi, alisababishiwa si asili yake.Pia ninachokions hapa, kama ni muombaji hii hali inaingiaje? Hapa ipatikane tafsiri sahihi, kwanini mlokole ashindwe na wachawi?

    • @eligiamakota3025
      @eligiamakota3025 Год назад

      Ni kwel huu ni ushindan ambao upo makanisan ad huu wkt bad makanisan yanaushndn mkubwa

    • @joycekileju3263
      @joycekileju3263 Год назад

      Q

    • @lilianmbeyu
      @lilianmbeyu 7 месяцев назад

      awe hakupenda au angependa tayari uchawi alikuwa nao,kikuu mama nimempenda kujikubali kwake Mungu amemuona,isipokuwa kuhama kanisa sio busara

  • @lydiahondieki5323
    @lydiahondieki5323 Год назад

    Pastor naomba maombi kwamama yangu nimgonjwa yeyd kila mala nimgonjwa mwili mzima

  • @reitusnkondo
    @reitusnkondo Год назад

    Reitus Nkondo Niko mbeya nafuatilia kipindi hiki mpka mwisho

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +2

    Ndiyo maana mume wangu hakupenda nisuke kabisaa

    • @murishisadock8042
      @murishisadock8042 Год назад

      Mke wangu kila aksuka anakuwa na ndoto mbaya Nami nilmkataza

  • @jackbruno2470
    @jackbruno2470 Год назад

    Poreni kwachanga moto urokutanazo rakini pia navyowona shida kama izo zinakurya anza gu funga nagushamburia ndogushinda vita vinavogutokeya na wachungaji wengi hawafunga gi iri makanisa yao abate maono yakujua kama kanisa riko sarama au kunamatokeyo mabadaye sasa kama mama MCHUNGAJI anachezewa nawachawi washirika watabaki? Kanisa risiofunga hariwezi kuwa naroho mtagatifu washirika wanarikimbia kirasiku

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 5 месяцев назад

    Zaka ni sadaka gani mutusaidiye tuelewe

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Na Mimi nitawazuia maana sijaamini kama Kweli Huyo Ni Mtumishi wa Mungu aliye hai,Maana Matukio ni Mengi saana

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Год назад

      Na mimi japo siyajui hayo makanisa mawili lakini kwa kuangalia hii video naona kuna shida mahali. Vita kati ya makanisa hayo mawili. Mungu mwenyewe ndiye atakayewakumu watu wake

  • @afraal2097
    @afraal2097 Год назад +1

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад

    Hili kanisa liko wapi

  • @jelidaandrea2845
    @jelidaandrea2845 Год назад

    Kuna watumishi wengine samejiweka wao ndio Mungu
    Hivi ukitoa zaka mwanye kubariki in Mchungaji? Au ni Mungu?

  • @claudinandonde3835
    @claudinandonde3835 Год назад

    Zaka zinatolewa kwenye kanisa la mahali.

  • @jamilahamis2462
    @jamilahamis2462 Год назад

    Wote makafili niwacjawi miunguwenu masanamu filimasoni lisifa ibilisi nawachungaji wengi wachawi

  • @rosenyabuti8381
    @rosenyabuti8381 Год назад

    WATU WAKOMBOLWEKW kwa Jina YESU

    • @saadyusuph6554
      @saadyusuph6554 Год назад

      Kumbe wanaojiita walokole mbona wote Ni wachawi nashangaa sana

    • @rosenyabuti8381
      @rosenyabuti8381 Год назад

      @@saadyusuph6554 Saad yusuph sikuelewe una Sema nini nielesea walokole

  • @zuhuraladha9805
    @zuhuraladha9805 Год назад

    Duuu mwanga halisi

  • @johnmayunga9557
    @johnmayunga9557 Год назад

    Kwani wapentekosite hawajui wanajua kuwa kusuka nywele na kujipamba kwa mkristo siyo sahihi maana wanasoma biblia ila wametekwa na ibilisi 1petro:3:3--6;1timotheo:2:9 wanaosoma kila siku

    • @stanleyguthia7771
      @stanleyguthia7771 Год назад

      Wanajua kuwa bibilia imekatasa kushuka nywele, ni vile tu wanakataa kutii neno la Mungu juu ya kupenda dunia(1 John 2:15-17)

  • @Patrick-pj5ni
    @Patrick-pj5ni Год назад

    66776 oo min

    • @eligiamakota3025
      @eligiamakota3025 Год назад

      Mungu tu awe mwema weng huiba zaka na atimae hujiinua na madhara yake mungu umwacha mtu huyo tuwe waaminifu kwa mungu kaz Bado ni ngumu Bado tukaze mwendo.joshua kutoka Lindi.

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Год назад +1

    Sasa kucheza cheza huko ndio mko kwenye ibada au mpo kwenye kigodoro na mdundiko? Kazi kweli kweli.

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад

      Abdallah Abdulaziz Ingieni Na Wake Zenu Misikitini, Mswali Nao Pamoja Kisha Msujudu Nao Pamoja Ndiyo Utajua Kucheza cheza Na Kusujudu Bora Nini.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Год назад

      @@yakobomkristo872 nyie NI wa motoni tu hata ukaruka ruka vipi biblia imeshakataza mwanamke kuwa kiongozi au kuzungumza mbele ya wanaume Tena agano lenu la walokole ndio linasema hivyo acha lile la kale lkn Leo walokole Kuna wachungaji wanawake tena wanamiliki Hadi makanisa yao hapo ndipo mtakapojua kuwa nyie NI wa motoni na NI kuni za Moto wa jahannam.

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 9 месяцев назад

      @@abdallahabdulaziz3683 Uelewa Wako Kuhusu Wanawake Ndani Ya Biblia Ni Mdogo, Wanawake Wangekuwa Dhalili Basi Mariam Mama Yake Nabii ISSA Hasingekuwa Na Surat Na Pia Hasingetajwa Mara Nyingi Kuliko Muhammad Ndani Ya Quran. Wanawake Oyeeeeeeeee....Mama Wa Taifa Letu Oyeeeeeee.....

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Yaani hapo sielewi,Ametendaje dhambi??

    • @wendomlahagwaolema6063
      @wendomlahagwaolema6063 Год назад

      Hakuna dhambi aliyotenda hapo.. alihitaji kuombewa na kukombolewa na hayo mateso. Wamemnukuu vibaya, eti mchawi, kwani uchawi aliutafuta? Na alikuwa anatumikishwa kwenye ndoto bila yeye kujua. Sielewi kwa nini anakuwa labeled mchawi hapo

  • @bekantowilolo66
    @bekantowilolo66 Год назад

    Wewe Mzee acha kudanganya watu zaka apeleke wapi wakati ndio Baba ake wa kiroho

  • @komudibwe866
    @komudibwe866 Год назад

    maji na mafuta yanatatizo gani hata unakashifu, soma vizuri biblia,msipotoshe watu, we ndo umepoa, hivi hamfanyi utafiti kujuwa ukweli ? kama yesu alitumia we nani hata uongee hivyo jamani . flabbergasted !

  • @aneesaalwaneesah1150
    @aneesaalwaneesah1150 Год назад

    Mcungaji wewe una chaguwa kongoo wrote ni sw Awe muislamu Awe mkrito msaidie

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Год назад

      Nyie ndio msiojielewa Kama ni muislam Basi tayari umesharitadi na Sasa NI kafiri fi nari jahanam khalidina fihia abadan,na hii inatokana na kutokuijua dini yako Toto unalizaa hulipeleki madrassa hata alif halijui mzazi unategemea nini Sasa zaidi ya mtu Kama wewe kukimbilia mafuta ya upako sababu hujiamini Wala dini yako huijui pimbi wewe.

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Год назад +2

    Hapo ndipo mtakapokubali kwamba ukristo hamna kitu na Imani yenu yote mnajidanganganya NI ujanja ujanja TU wa waganga wachache wanaojiita wachungaji.

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 Год назад +3

      Abdallah Abdulaziz umesahau majini ni ndugu zenu mnasali nao mpaka msikitini.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Год назад

      @@lulanjamd3886 juzi kati kuna binti alipandisha majini,kelele balaa ,cc hatujui namna ya kuwatuliza ,mpaka alipokuja muislam mwenzake akazungumza nayo. Akwauliza mnataka nini? Yakajibu kuwa, huyu binti amekuwa haendi msikitini, na leo ni ijumaa hajaenda ndio maana tuna mwadhibu. Akawaomba pale kuwa atamwambia ajirekebishe ndipo yakamtoka yule binti na kurudi katika hali ya kawaida. Ni kweli wanasali nayo,na ni dhehebu lao. Tukio lilitokea pale mwalimu nyerer college.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Год назад

      @@lulanjamd3886 tunasali nao misikitini kivipi wakati mama huyo kasema yeye NI mama mchungaji anaimba mapambio anaombea lakini bado alikuwa anachukuliwa na wachawi bila ya yeye kujua na alikuwa anaswali kanisani miaka yote na mapepo na majini na mbona hakudhurika mbaka kaamua kuja mwenyewe kwa utashi wake kuielezea Hali take la sivyo asingeweza kujulikana mngesali Naye miaka yote bila kumjua ndio maana nasema ukristo NI dini ya wajanja flani waliojiongeza kwa waganga ili kupiga hela za MANYUMBU wasiojielewa.

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Год назад

      @@lulanjamd3886 UNAKUMBUKA hapo mama huyo kasema alikwenda kwa mchungaji akamtabiria yote akampa na maji aoge na anywe Sasa Yule Kama hakuwa mganga ni Nani Yule Mana anasifa zote za mganga au mchawi nyie mnadanganywa tu angalia mnavyorukaruka kanisani Sasa hiyo ni ibada au kuita mizimu?

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 Год назад

      Ufaham wako mdogo Sana acha makasiriko kwenye dini za watu

  • @JuniorEmmanuel-y7i
    @JuniorEmmanuel-y7i 8 дней назад

    Aminaaa sana

  • @JuniorEmmanuel-y7i
    @JuniorEmmanuel-y7i 8 дней назад

    Aminaaa

  • @iddahpendo
    @iddahpendo Год назад

    Amina

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 5 месяцев назад

    Zaka ni sadaka gani mutusaidiye tuelewe

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Год назад

    Amena