EASIEST WAY TO FOLD AND COOK CRISPY SAMOSAS (BEEF SAMOSAS).
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- #beefrecipe #beefsamosa #africanfood #pastry
ingredients
1/2kg keema
4 medium onion
1/2 bunch of coriander
chill of your on taste
sambusa pastries
1/2 tsp ground black pepper
1/2 tsp cummin powder
1/2 tsp coriander seed powder
1vegetable cube.
Salt to taste
1 cup rice flour
1/2 cup flour mix with water.
1 litter oil.
Mashallah mashallah yummy
MashaaAllah ukhty Allah akufanyie wepesi kwa kila lililo zito Amiin. Allah aikuze mikono yako kwa kutufundisha mapishi mbali mbali
Amin yarabi kwa sote
Mashallah shukran hbbty 😋
At last mzigo umewasili. Shukran sister Allah akubariki
Allahumma barik lak. Unafahamisha vizuri sana. Shukran sana. Jaxakatulkhery
Thanks for this useful video ♥️
Jazakallah khayran
Jazak allahu kher habibty ❤❤❤❤
Mashallah unga wa mchele umenunuwa au umesaga mchele
Huu nimenunua, ila kama tabu kupata unaweza kusanga mwenyewe na ndio mzuri zaidi
Wallah kwa wapishi wote wa RUclips wewe ndo the best Kwangu mashallah mungu akupe umry mrefu wenye kheri
Allahuma amin kwa sote yarabi
Mwanamke regeza mkono, shukran queenshiba.
😆😆😆😆😆
Masha Allah mungu abariki kazi za mikono yako akujalie afya njema na azidi kukupa pumzi ili uzidi kutuelimisha mana nilikua napika sambusa nzri lkn nilivo angalia hii video yako napika nzri kuliko Masha Allah mungu atakulipa dada angu ❤❤❤🥰
Amin yarabi
Mashaallah tabaraka rahman. Shukran habibty. Mungu akuweke.
Amin
Salaam aleykum warhama tullahi wabarakatu. Mashaallah nimefanya na mie unga km huo nzuri zimekuja sana. Shukran sana habibty ❤❤❤❤
@@amneamne2492 waleikum salam warahmatullah wabarakatu , afwan dear
Ahsante sana nliomba huu upishi
Basi nasubiri mrejesho 😆😆 japo instagram kwa sasa sina.
Wow v well A2Z speaking explained sambosa recipe ending is Supper results, I'm happy n pleased watching ur post from TANGA Tanzania.
Thank you so much 🙂
Mashaallah
Mashaallah Alya.🥰
MashaAllah MashaAllah queen, sambusa zinavutia na zinaonekana hasa tesr ❤
Asante darling sis
MASHAA ALLAH mpenzi Rasmii
Shukran habibty
Sambusa zako zinavutia Masha Allah, Mie naomba utuwekee upishi wa egg chop ya nyamba mbichi ya kusaga, kwasababu mie nikipika sijui huwa nakosea wapi nyama zinafunguka na yai linaonekana, Shukran.
Upishi wa kababu za mayai ndani mbona upo? Angalia kwenye page zangu zilopita, pia nitafanya kababu aina ya pili soon usiache kuangalia utaelewa zaidi tatizo lako in shaa allah
Maa shaa Allah tabarakah Llah 😊 kweli kila siku ubunifu mpya mu gu akuzidishie ujuzi uzidi kutuelimisha my salutes to you dear....
Masha’Allah tabaraq Allah habibty Allah akubarik kwa hili somo
Hizi zina tofauti na kaki zile zilokatwa kabisa za sambusa?au nzuri hizi?
Sambusa pastries zipo za aina nyingi mpenzi so sijui unosema wewe, lakin mie ndio natumka hizo uloona hapo na ni nzuri sana alhamdulilah
Thanks alot