#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #islaamic #drsulle #tanzania #live

Комментарии • 139

  • @ZuhuraHamisi-v2k
    @ZuhuraHamisi-v2k 4 месяца назад +11

    Munamuhukum Dr sule et kwa sababu ana majini wakati nyienyie kuna yenu amuwezi kuyasema kwa sauti wenyewe mnayajua ,,kila mtu anabeba mzigo wake ww mwenyewe ujui unaenda wap alafu et unasema sure wa motoni kwani we ndo mungu???,,uelewa aupo aisee pambana na nafsi yako acha kusema ya yatu jiulize ww kwanza kabla ujamuhukum mtu🤗🤗

    • @samxx411
      @samxx411 4 месяца назад

      Kwa vile mie ni muislam, nna wasiwasi wewe sijui kama muislam...kwasababu Sule hajahukumiwa, sie waislam tumeitwa umma bora kwasababu tunaamrishana mema na kukatazana mabaya...sule amekosea ndio waislamu lazima atarekebishwa, hapa mimi nampenda sule lkn haimaanishi akikosea asirekebishwe..

    • @nchimbuke7261
      @nchimbuke7261 4 месяца назад

      Sule Alijisema Mwenyewe😂😂😂

    • @ChamberedRecoil
      @ChamberedRecoil 4 месяца назад

      Ati hujui unaenda wapi??? Wewe si muislamu... Soma Quran 19:71-73 waislamu lazima waingie motoni wote hata yule mwupe kama pamba... Mbaka Allah aridhike ndio kisha atawaokoa anaye wapenda na hao ndio wale wachache wengi wa waislamu watabakia mule motoni milele...
      Yesu naya Johanna 3:16-18 amewaakikishia yoyote sio wakristo tu amwaminie ata pata uzima wa milele ... KAMA UJA SOMA UKO PEKEE YAKO

    • @elishamwaifugemwaifuge9720
      @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

      Sijawahi kusikia popote! Kwa mkristo wa kwel yeyote, et anatetea majini, Pepo wachafu. Ninyi si mnajitangaza kuwa Mna majini!

    • @samxx411
      @samxx411 4 месяца назад

      @@elishamwaifugemwaifuge9720 wewe hujui wakristo wanafuga majini, hao mafreemason wanatumia majini, hebu fuatilia mafreemason wengi hasa celebrities wengi ndio hutumia.

  • @HamisiOSIAS
    @HamisiOSIAS 3 месяца назад

    Asanteni sana kwa walim wapande zote mbili.mi nilichofaidi kwenye midahalo hii ni kwamba yesu yu hai na yuko mbinguni ,Muhamadi alikufa yuko kaburini sasa mimi natakiwa kumfwata alie hai ambaye anashuhudiwa na vitabu(coran na biblia)kwamba atarudi naye ni yesu kristo.

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 4 месяца назад +6

    Aiseeh....🙌❤️nakuwa mkristo kuanzia sasa

    • @elishamwaifugemwaifuge9720
      @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

      Karibu sana kwenye Ukristo

    • @ChidyAbdy
      @ChidyAbdy 4 месяца назад

      Dah jiande na majibu ya kumjibu mungu siku ya kiama mana ukiristo ni jina tuh sio dini.

    • @ChidyAbdy
      @ChidyAbdy 4 месяца назад

      Mungu akulinde san tuh.

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 4 месяца назад +1

      Wewe ni nikafiri tu tangu mwanzo nani aweza acha uislam

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 4 месяца назад

      Ukafiri ni kitu mbaya Sana

  • @zachariamichael8871
    @zachariamichael8871 4 месяца назад +5

    WAISLAMU ACHENI UTANI HAKUNA MUISLAMH DUNIANI ANAWEZA KUPINGA KIFO CHA YESU ABADAN TOKENI HUKO KWA MAFUNDISHO YA UONGO

  • @richardreuben3222
    @richardreuben3222 4 месяца назад +2

    Ndacha I salute u brother. Unatisha.

  • @bustedislam3578
    @bustedislam3578 4 месяца назад +3

    Waislamu hawana haya yoyote inayosema Yesu hakufa. Wanasema hawakumuuwa. Lakini hayati Nyerere hawakumuuwa, Moi hawakumuuwa, Mobutu hawakumuuwa. Hiyo haimaanishe hawakufa... Mada imewashinda kabisa. Hata majini ya Sule hayamsaidie. Labda angelinyonga hilo pete...

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 4 месяца назад

      Ebrania 5:7 mbali na Quran bibilia yenyewe inakataa

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 4 месяца назад

      @@Zuwenamachela Mt 26:39-46
      Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.
      Sasa, Mungu alisikia maombi ya Yesu? Kikombe alipewa anywe?
      Yn 18:11
      Basi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga alani mwake; je! Kikombe alichonipa Baba, mimi nisikinywee?

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo 4 месяца назад

      Waislamu ndvyo walivyo wakishindwa kwa hoja wanakataa had quran yao.,
      Wamepewa andiko 3:55 Mungu amesema atamuua Yesu .,atamfufua na atamnyanyua kwake lakini bado wanajifanya hawaelewi wanakazania hawakumuua

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 4 месяца назад

      @@StevenPeter-sg7zo Hiyo inaitwa Taquia. Inaruhusiwa kutumia uongo kwa kutetea uislamu. Hiyo ni SUNA

    • @StevenPeter-sg7zo
      @StevenPeter-sg7zo 4 месяца назад

      @@bustedislam3578 Dah hii ni hatari kweli yan wanatumia uongo kuitetea dini alafu wanasema wanafata zile amri kumi za Mungu za agano la kale ikiwa "Usiseme uongo pia ipo.
      Na Yesu anasema ibilisi ndyo baba wa uongo.

  • @dieudonnebigirimana8083
    @dieudonnebigirimana8083 4 месяца назад +4

    Simama imara Sheikh wetu Dr al hadji sulle❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @SaadiaHassanAbdullahi
    @SaadiaHassanAbdullahi 4 месяца назад +3

    sheikh mungu akulindi na mahasad

  • @HAMIS-ci2vt
    @HAMIS-ci2vt 3 месяца назад +1

    kikubwa kuitafuta elimu ya haki maana baada ya umauti kila mtu atafarijika na kuhudhunika mwenyewe ko tujitahid kusikiliza pande zote na kuzijengea fikra za kina kisha tufate utakayo ona sahihi .
    tujitahidi sana ndugu zangu .

  • @ElijaMwasi
    @ElijaMwasi 4 месяца назад +2

    Asaaaawntee saaanaaa sheikh wetu Sule Allah akujaalie yote yalo mema

  • @elishamwaifugemwaifuge9720
    @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

    Wow!! Namshukuru Mungu wa Mbinguni Kwa kuona Waislam wanazidi kumtukuza Yesu kristo. 😊😊

    • @samxx411
      @samxx411 4 месяца назад

      Hahaha wewe kweli huna unachokijuwa, unajifanya unamjuwa yesu kuliko waislam?? Nyie wakristo mnamjuwaje yesu, hebu nitajie jina la mama yake mariam (mary) alomzaa yesu

    • @elishamwaifugemwaifuge9720
      @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

      @@samxx411 Mr.@samxx411. Hiv unajielewa kwel ww? au unadhan sisi waktisto ni watu wa kubishana. No!! Huwez kusema unamjua Yesu ambaye humtumikii, ww unamjua Yesu Kwa kumsoma! Wengine tunamjua Kwa kumsoma, kumtumikia na kumwabudu maana yupo ndan yetu. Huwez kuniuliza bib yake Yesu et ni Nan! Wakat Sina shida na bib ya Yesu. Mim Nina haja na Yesu mwenyewe.

    • @elishamwaifugemwaifuge9720
      @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

      @@samxx411 Kuwa mpole usibwajebabwaje tu, Njoo ubatizwe uwekwe huru, sio kuteseka na tabu za milele.

    • @elishamwaifugemwaifuge9720
      @elishamwaifugemwaifuge9720 4 месяца назад

      @@samxx411 Ukitaka kumjua nitafute nkupe Family tree yote ya Yesu. Usinisumbue tu. Au niseme tu! Alikuwa anaitwa Anna,, sasa usije ukanisumbua Tena kuhusu baba yake, ngoja nikwambia na yeye, alikuwa anaitwa Joakim.

    • @samxx411
      @samxx411 4 месяца назад

      @@elishamwaifugemwaifuge9720 huna andika Anna limetoka wapi?? Hamsomi maandiko mnarusha tu maneno kutoka kichwani mweni ikisha mnajifanya mnamjuwa yesu wakati mtihani mdogo umefeli

  • @AshaAshim-gy6jm
    @AshaAshim-gy6jm 4 месяца назад +2

    Mwenyez mung akulinde xhekh wetu, wafundixhe watakuelewa

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Sule kashindwa waziwazi

    • @nomar3708
      @nomar3708 4 месяца назад +1

      Hawa wakristo wa Africa vichwa vigumu hawaelewi. Wenzao wazungu washaacha zamani hiyo dini

  • @Agoodservant
    @Agoodservant 3 месяца назад

    Yesu asifiwe

  • @SamsonHumbe
    @SamsonHumbe 4 месяца назад

    Duuuhh safi sana pst F Ndacha

  • @eliasmajambomwinyihaji1335
    @eliasmajambomwinyihaji1335 4 месяца назад +3

    Kwenye huu mdahalo nataka kuuliza hili swali na majibu yake siyapati ,swali Hilo lipo inje ya mada hii ,kwanini mitume (prophet )wote waliletwa kwa njia ya uarabu ? Ama watu Hawa warabu walikua wanafanya mabaya mengi kukithiri,walikua waovu Sana ?,sielewi kabisa viongozi au mwenye elimu ya juu anijuze kwanini wao na huku Africa Bado.

  • @rahmasuleiman8688
    @rahmasuleiman8688 4 месяца назад +2

    Dr Sule wewe ni shujaa jana umeshinda kwa hoja na leo tunatarajia utashinda kwa hoja inshaallah
    Allah yupo pamoja nawe Allah atakusimamia

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 4 месяца назад

    ALLAH AKBAR hata introduction inayoanza inaeleweka kuwa hali iko wapi hoja nzito kbs ambyo wakristo hawafikii hata kidogo

  • @HONJEB
    @HONJEB 4 месяца назад

    Aisee ndacha ni 🐐 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐on 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @halimazubeir
    @halimazubeir 4 месяца назад

    Takbirrr huyu ndo doctor sule😊Allah akueke miaka mingi

  • @AllyMuawiyahMuawiya
    @AllyMuawiyahMuawiya 3 месяца назад

    CHA AJABU MADA YA JANA WALING'ANG'ANA YESU MUNGU..MADA YA LEO ETI MUNGU HUYO KAFA MSALABANI NI MAAJABU SANA AKILI MUNGU KAWAPA JITAFAKARINI SANA

  • @BarakaZabron-py2fz
    @BarakaZabron-py2fz 4 месяца назад

    Hoja za ndacha siku ya kiyama zitawahukumni.
    Ikiwa Dr anashindwa hoja na standard seven dropper kuna nani sasa wa kuutete uislamu?

  • @SubiraMussa-wy1ul
    @SubiraMussa-wy1ul 4 месяца назад +4

    Acheni sule atangaze dini ya Alla msikejeli ikiwa anajini ikiwamganga yote anajua.mungu na ndio mwenye hukumuzake

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Sule kashindwa waziwazi bila kupapasa

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 4 месяца назад

      We kafiri huna akili yesu hata siku ya hukum haijui atakuwaje hakim 24:36 mathayo

  • @jjtm164
    @jjtm164 4 месяца назад

    Ntakufisha Allah akamwambia

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 4 месяца назад +1

    Ndacha hana uwezo wa kujieleza. Shida tupu. Kubali kusilimu ingia katika dini ya uislaam

    • @HONJEB
      @HONJEB 4 месяца назад

      Kwani we unaushahidi gani kua YESU haakufa

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Sule kashindwa waziwazi yeye mwenyewe kamaliza mada

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 4 месяца назад

      mbona usikubali kumkubali mwana wa mungu uwachana za mashelk waongo

  • @DishaniDisha-zm2gm
    @DishaniDisha-zm2gm 4 месяца назад +2

    Kazinzuri sana

  • @hamadsalum1791
    @hamadsalum1791 4 месяца назад +1

    Ndacha Acha kuichafua Quran kwa makusudi ili kufurahisha watu

  • @IgnacioAndrew-rj8pd
    @IgnacioAndrew-rj8pd 4 месяца назад

    Woooooooooooooote du kazi ipo

  • @jjtm164
    @jjtm164 4 месяца назад +1

    Amekuuliza jibu tuone toa Aya yesu haakufa

  • @claverirambona6068
    @claverirambona6068 4 месяца назад

    Waislam wana shida ghani

  • @OmaryMsuya-km3cj
    @OmaryMsuya-km3cj 4 месяца назад

    Ndacha si alisema jana yesu ndiye huyo mungu Leo vipi anamtenganisha yesu na mungu mala yesu mtoto wa mungu nachanganyikiwa kwakweli

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 4 месяца назад

    Yesu hakufa, wewe unaye se ma alikufa UMELIWA.

  • @Saidfadhil-o3o
    @Saidfadhil-o3o 4 месяца назад

    Mungu anakufa jamani

  • @callennyabonyi5580
    @callennyabonyi5580 4 месяца назад

    Waislamu wana changamoto ya kuelewa

  • @jamesmusonda1914
    @jamesmusonda1914 4 месяца назад +1

    Waislam hawana hoja yotote bali ni ubishi ubushi tu bila majibu

  • @petermatabwa2133
    @petermatabwa2133 4 месяца назад +2

    Kwani ni doctor wa nini?

    • @Kujason12
      @Kujason12 4 месяца назад

      Samia Dr wa nini

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 4 месяца назад

      ​@@Kujason12swali NI Kwa Sule. Huyo Samia kaingiaje ? Hii ndio inaitwa NJE YA JAMBO !!

  • @richardchimba3800
    @richardchimba3800 4 месяца назад +1

    Sule ameshidwa waziwazi

  • @alexandertembea5940
    @alexandertembea5940 4 месяца назад

    Wengi ni weslaam hum. mmejaa kweri. Mbona inajulikana mnajifanya amjui.

  • @Ochiengochieng-qc8dw
    @Ochiengochieng-qc8dw 4 месяца назад

    Kashinda kwa hoja gani?

  • @DININIKRISTO
    @DININIKRISTO 4 месяца назад +1

    ANDIKO YESU HAKUFA LITOKE SIO HAWAKUMUUA WALOKUWA WANADAI KUMUUA HAWAKUMUUA MUNGU NDO KAMUUA

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela 4 месяца назад

    Ndacha acha uongo wa kuunganisha maneno aya ipi et yesu alikufa siku 3

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 4 месяца назад

    Hakika umeutendea haki uislam.Umemchemsha Ndacha vya kutosha.Umeuziba mdomo wake kimyaaa

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      😂Wakati Sule kashindwa waziwazi 😂

    • @aishahazary4097
      @aishahazary4097 4 месяца назад

      @@richardchimba3800 Tuonyeshe aliposhindwa.Sulle anaongea kisomi zaidi.Ndacha mzee wa kutia viraka maandiko

  • @Zuwenamachela
    @Zuwenamachela 4 месяца назад

    Mada imeisha maana wanasema yesu ni mungu kisha huyo huyo yesu kafa msalabani hiv mungu aweza kuwamwanaumNdacha chemsha umechemsha

  • @hamadsalum1791
    @hamadsalum1791 4 месяца назад +1

    Laaana ya taurati ndio ipi

  • @JanethAnton-fx1mk
    @JanethAnton-fx1mk 3 месяца назад

    Waislamu tatizo mnasikiliza kwa kuwa tayali kupinga sio kujifunza kwani maneno hayo si yanasomwa kwa vitabu au anatunga acheni ushabiki bahna fungukeni macho

  • @HONJEB
    @HONJEB 4 месяца назад

    Ndacha anawazweza mashekhe wote

  • @claverirambona6068
    @claverirambona6068 4 месяца назад

    Mimi sija skia yesu hakufa

  • @AdamuMkimbu-x1q
    @AdamuMkimbu-x1q 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 4 месяца назад

    ndacha kachochora sana yaani anawapeleka wenzie mbele anawarudisha nyuma , ngoja apigwe spana asilim huyu

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 4 месяца назад

    Kawaroga Nani waislam 😢

  • @fezabeauty
    @fezabeauty 4 месяца назад

    We slam mnahamini sana kimwili kuliko kiroho jamn😂😂😂😂

  • @clarencepeterbugi2862
    @clarencepeterbugi2862 4 месяца назад

    Mie nnavyowajuwa Waislam huwa makusudi hawataki kuelewa

  • @shukuruiddi82
    @shukuruiddi82 4 месяца назад

    ukijiuliza kwa akili za kawaida tu mungu amekufa wenyewe tulikuwa tunajifanyia dhambi na ibada halafu kesho hizi siku tatu si tutamkatalia mungu kuwa ulikufa halafu unatusingizia hizo kesi na tulivyo wanadam zile siku tatu mungu kakata mbn moton huendi hiyo ligue yake

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 4 месяца назад

    Ndacha bora asilimu ataweza kuwa mzuri maana yeye hodari tatizo kasimamia kuti sio nguzo akikamata nguzo atakuwa na nguzu

  • @jjtm164
    @jjtm164 4 месяца назад

    Huwezi jibu hoja kama nikuubiri uslamu mbona ukamwita ndacha

  • @ShakurAKBAR
    @ShakurAKBAR 4 месяца назад

    Jamani wakristo hawana hata hoja mwanzo ilikuwa yesu kafa akafufuka hapo unawambiya watu kiyama cha mauti sio tena kifo hapo iko je ? ALLAH AKBAR jamani karibuni ktk Uislamu Ni Free hujatoa hatujasikiya and iko kutoka ndani ya Biblia

  • @mohamedcade2421
    @mohamedcade2421 4 месяца назад

    This is just a business.it is 2 persons agreed to do business using RUclips channel.

    • @BarakaZabron-py2fz
      @BarakaZabron-py2fz 4 месяца назад

      After your imam loosing woefully the debate now you are down talking it.
      Shame on you

  • @AssdfAssd-g3y
    @AssdfAssd-g3y 4 месяца назад

    Alafu ndacha huna jipya kabisa yni sikuelewi unachokitetea kitugani hpo soma quran na uache kuipotosha na maandiko ya bibilia bora usilimu uwe ndugu katika iman acha kufundisha watu uongo kila siku

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад +1

      Sule ameshindwa waziwazi bila kupapasa

    • @AssdfAssd-g3y
      @AssdfAssd-g3y 4 месяца назад

      @@richardchimba3800 chenye kimeshindwa Dr sule sija kiona huwezi kuchafua qoran na bibilia hata ww wasubiri kuunga mkono hoja za ndacha yn Kwa kweli shetani anawapamba mpk kuisoma bibilia na kuielewa mnashindwa ndacha ndio awasomee upuzi

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 4 месяца назад +1

    Huyu sure ni mbaya zaidi kuliko kafiri kwasababu kafiri tushamjua hatusumbui ila sure anajifanya anatetea uislamu kisha anawalingania waislamu wamshirikishe Allah, na kuwapandikizia itikadi waislamu waabudu majini nakuamini pete kwamba ndio itatoa baraka enyi waislamu wenzangu jiepusheni na huyu mtu

    • @halimazubeir
      @halimazubeir 4 месяца назад

      Wewe nae unaongea nini hujui ulitendalo sikiliza mada ayo mengine apa sio pahala pake

    • @johnngenga1320
      @johnngenga1320 4 месяца назад

      karibu ukristo

  • @mudrikramadhani32
    @mudrikramadhani32 4 месяца назад

    Dr sule akili kubwa sana

  • @hamadsalum1791
    @hamadsalum1791 4 месяца назад

    Halafu haiingii akilini eti Mungu ambaye ndiye mwenye madaraka ya kila kitu eti amuuwe mwanawe ili awasamehe nyinyi

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero6469 4 месяца назад

    Roho mtakatifu anafanya kazi hiyi mithaharo nishaidi Tosha wenye kusikiya watasikia wenye hawapendi kusikiya shauli yawo bira unafiki aushabiki hapa ukweri unapatikana Kati ya sule na ndacha kuna ukweri we kuwa makini 😮😮😮😮

  • @SaadiaHassanAbdullahi
    @SaadiaHassanAbdullahi 4 месяца назад

    sheikh wewe ukona elmu kuliko wengi so endelea kuubiri laaillaha illa Allah

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Wakati shekhe kashindwa bhana hajibu hoja😂

  • @barakaharony4396
    @barakaharony4396 4 месяца назад

    Mhahahhaha waislamu kweli hoja hawana jaman

  • @hamadsalum1791
    @hamadsalum1791 4 месяца назад

    Acha janja zako

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад

    ila ndacha😊

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ 4 месяца назад

    Sasa huu ni mdahalo au ni ushabiki tu

  • @EmmaMtusi
    @EmmaMtusi 4 месяца назад

    Dah ila ndacha ni master

  • @AidanoSilvestreSabiniSabini
    @AidanoSilvestreSabiniSabini 4 месяца назад

    Ndacha, ta falar a verdade que esta escrito na biblia,

  • @kelvinmurithi7255
    @kelvinmurithi7255 4 месяца назад

    Doctor wewe ata utetee uongo mwisho wa siku kitaeleweka

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 4 месяца назад

    Wakristo amkeni jamani. Usife ukiwa kafiri.

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Sule ameshindwa waziwazi na Quran inasema Yesu amekufa

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 4 месяца назад

      mkiwacha kuwa watumwa wa Muhammad Kisa waarabu ntakubaliana nanyi

  • @hamadsalum1791
    @hamadsalum1791 4 месяца назад

    Aya inakusudia vyengine wewe unaipeleka vyengine

  • @jjtm164
    @jjtm164 4 месяца назад

    Sule wewe sio mwalimu huwezi vunja hoja huna, huna🤣🤣🤣🤣 lolote mganga

    • @halimazubeir
      @halimazubeir 4 месяца назад

      Hoja gani tena mnataka atoe nyie mapimbi

    • @richardchimba3800
      @richardchimba3800 4 месяца назад

      Ameshidwa Sule bhana😂😂😂😂

    • @MuhammadMakame-bx4nq
      @MuhammadMakame-bx4nq 4 месяца назад

      Qur an haijasema kuwa hakufa bali ilifafanua madai yao ndio maana ikaanzia walipoishia wao.tuwasikilize hawa walim(ndacha na sule)kisha tutafakar kielimu sio kiushabiki.

    • @jjtm164
      @jjtm164 4 месяца назад

      Hata sule kasema hakuja kujibu hoja Bali kuhubiri uislamu ina maana hawexi na ameshindwa

  • @princematumbo
    @princematumbo 4 месяца назад +1

    Acha upumbavu wewe mjaluo pastor, Musa anatokea wapi, pumbavu umeambiwa Muhammad na Yesu, msenge wewe

    • @JamesMoses-jd1yq
      @JamesMoses-jd1yq 4 месяца назад

      Waislam hipo mtujua kuwa Muhammad was false prophet

    • @HAMIS-ci2vt
      @HAMIS-ci2vt 3 месяца назад

      @@JamesMoses-jd1yqmkiweza kudhibitisha hilo itapendeza sana
      tutaritad kuwa wakristo kwanin tusifate haki ikidhihiri ikiwa kila mtu anahitaj kuwa salama baada ya umauti .

    • @HAMIS-ci2vt
      @HAMIS-ci2vt 3 месяца назад

      kikubwa kuitafuta elimu ya haki maana baada ya umauti kila mtu atafarijika na kuhudhunika mwenyewe ko tujitahid kusikiliza pande zote na kuzijengea fikra za kina kisha tufate utakayo ona sahihi kwa manufaa ya nafsi zetu wenyewe.