Azam TWO - Jinsi Kikwete alivyoutetea uenyekiti wa Magufuli CCM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 25

  • @WaleedWaleed-qe4dl
    @WaleedWaleed-qe4dl 2 года назад

    Kikwti احسن رءيس في أفريقيا كلها

  • @maigegerald3559
    @maigegerald3559 10 дней назад

    Ndio ukweli..Unaowaomba kuwaongoza wakikuamini unapata nguvu

  • @lucasoketch
    @lucasoketch 4 года назад +1

    Kwa maono yake, mwacheni aende akazindue MV Victoria, Huyu ni mzee wa kuenzi.

  • @karakatamuumba4310
    @karakatamuumba4310 2 года назад +5

    Baada ya kumuua Magufuli siku hz wanafuraha kweli..wameanza kunenepa siku hizi..Rais tuliyenae amerudisha majizî..Mungu atatulipia

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Год назад +1

      Acha kugawa Watu , Tanzania ina amani, hivi Kwa Ulinzi alionao Amir Jeshi Mkuu nani anaweza msogelea,acha upotofu tafuta jambo la kuandika ili tuweze Kujenga Nchi pamoja

    • @AbrahamSekuza
      @AbrahamSekuza 6 месяцев назад

      Mtaendelea kuuwa wenzenu mpaka lini?

    • @NyorokaNyenge
      @NyorokaNyenge 2 месяца назад

      Umekosea sana.katubu hiyo dhambi,

  • @mwinyi5270
    @mwinyi5270 6 лет назад +1

    Dah huyu mzee 🙌🏽

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад

    innalilah wainna ilayh-rajuun

  • @nicholausjuliusmassawe6080
    @nicholausjuliusmassawe6080 2 года назад

    Duh mzee bhna

  • @atikombogolo2356
    @atikombogolo2356 6 лет назад +3

    AWE ANA AKILI NZURI KAMA HANA!!!??? Sasa malizia unachotaka sema Mzee wetu J.K

  • @amankayinga3475
    @amankayinga3475 2 года назад +2

    Kikwete hajielewi ila magu alikuwa bora kuliko aliyofanya yanaonekana

    • @hgltv5336
      @hgltv5336 Год назад

      Akili ndogo

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 11 месяцев назад

      Kikwete ni rais pekee aliejenga mtandao mkubwa wa barabara za lami tanzania kilometa 17700 amejenga madaraja makubwa la kigamboni na Malagarasy kigoma na madogo 22 ameleta mwendokasi na umeme vijijini rea amejenga chuo kikuu dodoma amejenga ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa nyerere dsm amejenga hospitali ya mloganzila
      Hata urais wa magufuli ni juhudi za kikwete wanaombeza kikwete na wale wasiofatilia masuala ya kisiasa na kiuchumi na ya taifa

  • @salminmayila4395
    @salminmayila4395 2 года назад

    Nyie ndie wahabifu mnaona alichokifanya sasa mpaka leo watu wanamsema japo marehemu

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    machakochekezuimteteyaa

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 года назад

    Yani kikwete musilimu lakini cha ajabu una kubali shetani akutawale hiv hiv, na kusahau kesho yako kwa muumba wako, na ili hali wajuwa shetani kalaaniwa na mwenyezi mungu ila cha ajabu umemkadhi maisha yako loh, kweli upo usemi usemao kosa mail upate akili,

  • @thelifestyle6077
    @thelifestyle6077 6 лет назад +3

    Tumia app hii ya kumspay mpenzi wako bila yeye kujua ruclips.net/video/kUBJuCessSI/видео.html

  • @aishafadhil4426
    @aishafadhil4426 6 лет назад +1

    Wee kikwete ata kidogo usijaribu kujidai mjanja umekwishiwa baba...Rais magufuli amekamalika tangu zamani kwa tarifa yako.lol

    • @jagnamohamed6298
      @jagnamohamed6298 4 года назад

      we ndo wasema kumbuka kulikua na Lowassa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 года назад +1

      Ingekuwa inawezekana, tungewapambanisha kwenye siasa magufuli akae huku na JK akae kule, wapambane jukwaani kisiasa halafu uone!!!

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 2 года назад

      @@jumakapilima5674 acha dharau, kikwete sio wa mchezo

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee 6 лет назад +1

    Kama kawaida yake kuzuga zuga

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 11 месяцев назад

      Hazugi kwani ni yeye ndie aliempigania mpaka magu akawa rais