#TBC

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Watangazaji wa Kongwe wa Radio Tanganyika Bi Hadija Said na Debora Mwenda wameungana na wazee wengine ambao waliwahi kufanya kazi kama watumishi wa umma kwa nyakati tofauti,wameungana kufanya utalii wa ndani katika hifadhi ya taifa ya Saadan Mkoani Pwani.
    Katika ziara hiyo ya siku tatu watangazaji hao wamepata wasaa wa kufanya utalii wa boti kwa njia ya maji nakujionea vivutio mbalimbali vilivyomo katika hifadhi hiyo.
    Katika ziara hiyo watangazaji hao wakongongwe waliongozana na wazee wengine wameeleza kufurahishwa na namna hifadhi hiyo ambayo imeungana na bahari ilivyobarikiwa kuwa na utajiri mkubwa wa wanyama wa aiana tofauti tofauti wa majini na nchi kavu wakiwemo samaki wa baharini na ndege wa angani.Kwa habari zaidi tazama video hii ujionee kilichojiri katika hifadhi hii ya pekee.
    Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
    Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
    App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
    Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
    Twitter: / tbconlinetz
    Instagram: / tbc_online
    Facebook: / tbconlinetz

Комментарии • 3