JUX AONESHA DUKA LAKE JIPYA LA AFRICAN BOY STORE, AFANYA PARTY KULIZINDUA, MASTAA WAHUDHURIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 ноя 2021
  • Mwimbaji Star na mfanya Biashara wa mavazi yenye brand ya African Boy, Juma Jux Leo amezindua African Boy Store, Duka ambalo litakua likiuza bidhaa zenye brand yake tu ambapo katika uzinduzi huo pia Jux ameshare na sisi historia fupi ya lilivyopatikana jina la African Boy na ule Mchoro wa Kwenye logo yake ni nani na Kwanini picha yake…

Комментарии • 135

  • @cleverboy3812
    @cleverboy3812 2 года назад +20

    Umenispire sana jux.. Safi sana.. Kuna vitu vingi sana vya kujifunza ktk safari yako. Kwanza ulijiamini then ukathubutu kufanya.. Pia ulikuwa mvumilivu na ulikuwa na subira ya hali ya juu cz umesema ulianza tokea 2013.. Ulipofikia ni pazuri sana ila bado unasafari ndefu.. Jitaidi upenetrate soko la east africa then africa na dunia.. Endelea kukuza brand yako iwe juu zaidi ufikie na uzipite level za akina Adidas, NIKE, Reebook etc.. Nice work JUX...

  • @mwigaramadhani3687
    @mwigaramadhani3687 2 года назад +24

    Kazi nzuri sana kijana mwenzetu mungu azidi kukujaalia inshallah 👏👏🙏🙏🙏

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 2 года назад +8

    Hongera Sana Jux Mungu Azid Kkubark Na Uzd Kutupa Iman Vijana Wenzako

  • @edgermwaitenda7539
    @edgermwaitenda7539 2 года назад +5

    Nakubali jux more insperied

  • @petermusa4745
    @petermusa4745 2 года назад +5

    Katika maisha usikate tamaa aise hongera kwako jux

  • @munjy11tutorials
    @munjy11tutorials 2 года назад +7

    African Boy unaweza kuiuza dunia nzima maana hata huku ulaya tupo waafrica wengi na jina hilo linabeba bara zima la africa sasa imagine kuna waafrica wangapi na ambao tupo very proud to be africans nikiwa na maana kwamba jina la nguo ukitengeza za market ya Ulaya u will make good money, ninapozungumzia market ya ulaya namaanisha Quality na nguo ambazo ni za season yaani za baridi na summer. Think about it Jux

    • @s.n3733
      @s.n3733 2 года назад

      Na huku japan tunataka hata km fake

  • @favorednasongaofficial5352
    @favorednasongaofficial5352 2 года назад +4

    pongezi kwa hilo hatua kubwa ambalo juma ame piga more love from your fan

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 2 года назад +6

    Dah! Umenifurahisha Sana jux!! 👏🏿👏🏿👏🏿

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 2 года назад +9

    Ok kwa sasa toa na vitu vya kike na kwasababu upo kibiashara viitwe african girl

  • @janaakimu6171
    @janaakimu6171 2 года назад +16

    Just keep it up bro Mishe Mishe until the last breath ❤️

  • @glorysamola1151
    @glorysamola1151 2 года назад +9

    Wa kwanza Leo nipen like zangu

  • @justinkalugusha5731
    @justinkalugusha5731 2 года назад +2

    Félicitations jux moi je suis un congolais

  • @planetteamfashion5167
    @planetteamfashion5167 2 года назад +2

    Uranyemeje baba jux mutu wanana sana juma jux

  • @ibrahimntibonek3216
    @ibrahimntibonek3216 2 года назад +4

    Hongera Sana juma mungu aku bariki

  • @edwinihosea8825
    @edwinihosea8825 2 года назад +1

    Hongera kwa uzinduz wako African boy

  • @abdulazizdaiclassic9752
    @abdulazizdaiclassic9752 2 года назад +1

    Na huku kampala kuna dduka kubwa la african boy sijui la kwake jux

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 года назад +5

    Safi sana haya ndio mambo sasa

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 2 года назад +4

    Hongera Sana Juma

  • @ismailselemaniabedi6658
    @ismailselemaniabedi6658 2 года назад +6

    Sa wa mikoani tukitaka kuagiza half tunamuomba aweke bei wazi mitandaoni kam alivyo vunjabei na david sportwear

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 2 года назад +2

    Hongera sana.

  • @meshackwabomba9839
    @meshackwabomba9839 2 года назад +1

    Your big fan from 254 ,big up in Everything you do bro

  • @michaelaletasmichael7514
    @michaelaletasmichael7514 2 года назад +2

    Nakubali jux

  • @jamilahrashed2642
    @jamilahrashed2642 2 года назад +2

    Hongera sana juma jux

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 года назад +3

    hongera sana jux

  • @joshuamichael7349
    @joshuamichael7349 2 года назад +5

    Next level 🇹🇿🇹🇿

  • @obbydisighiner9651
    @obbydisighiner9651 2 года назад +4

    Hakika mungu abariki kazi yamikonoyako.

  • @heromanmwamba5000
    @heromanmwamba5000 2 года назад +1

    👍👍💪💪

  • @keizerkaundila8805
    @keizerkaundila8805 2 года назад +2

    Nakukubali sana jux

  • @neemariwa7732
    @neemariwa7732 2 года назад +1

    Safi sana kaka mola azidi kukutangulia

  • @helpers92
    @helpers92 2 года назад +2

    Mgeni mzuri sana huu

  • @SuperBablii
    @SuperBablii 2 года назад +5

    Great hustle Jux

  • @kelvinikibona742
    @kelvinikibona742 2 года назад +4

    Safi safi sanaaaaa

  • @glodnkondo7776
    @glodnkondo7776 2 года назад +2

    umefanya fresh bro ❤️ ❤️

  • @jamilahrashed2642
    @jamilahrashed2642 2 года назад +2

    Hongera sana juma

  • @tatumussa6813
    @tatumussa6813 2 года назад +1

    Safi sanaaaaaaaaaaa Mungu akulinde

  • @dfinafriga9863
    @dfinafriga9863 2 года назад +2

    Mashalah

  • @tatumussa6813
    @tatumussa6813 2 года назад +1

    Waooooo 😋 hongera 😋

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 2 года назад +2

    Hongera mwaya

  • @joelibethueli5408
    @joelibethueli5408 2 года назад +2

    Naheleni masikion ulimbuken

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 2 года назад +4

    Duka lipo Dar Sehemu gani.

  • @mwaminiramadhan632
    @mwaminiramadhan632 2 года назад

    Woooooh hongera bro jux 😃😃😃😃😃

  • @kapona927
    @kapona927 2 года назад +1

    Nomaaaa sana

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan336 2 года назад +4

    Sehem km hz nd ambapo wcb mnaniangusha. Why hamtokeag kw event z wenzenu km hzi. Mimi n die hard fan w wcb but this thing inankataga sana.

    • @allymackinga1823
      @allymackinga1823 2 года назад

      Jamaa anaroho mbay sn anasapot familia yke t y wcb

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 2 года назад

      Wakienda kununua ni support kubwa hata kama hawajatokea kwenye ufunguzi kaka,mond na jux ni washikaji na ana piga pamba za jux, halafu kupunguza attention maana akienda simba itakuwa vurugu hasa waandishi wa habari...

  • @saidimakubi1727
    @saidimakubi1727 2 года назад +1

    Mze duka lipo dar maeneo gan
    #Africanboy1

  • @frizzy6766
    @frizzy6766 2 года назад +1

    So cool big up 😎

  • @tanzaniakidz4123
    @tanzaniakidz4123 2 года назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 2 года назад +1

    Iko poa sanaaaa

  • @ugisingoma9397
    @ugisingoma9397 2 года назад +3

    Wow story

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 2 года назад +2

    Congratulation Young Bro

  • @shakaboy2622
    @shakaboy2622 2 года назад

    Nakukubali Sana Kaka Mimi Naitwa E music

  • @rewardhaindo8249
    @rewardhaindo8249 2 года назад +1

    That is Great, Hongera sana hii inafundisha sana na inatia wivu kimaendeleo

  • @godfreymsemwa3137
    @godfreymsemwa3137 2 года назад +1

    Big up

  • @rahimnexthustler146
    @rahimnexthustler146 2 года назад

    You speech well my G✊

  • @kenyataschama3171
    @kenyataschama3171 2 года назад

    Is Best

  • @youngbilioners4631
    @youngbilioners4631 2 года назад +5

    🤣🤣kufunguwa duka sio kazi kazi kubadili izo bizaa kuwa pesa apo ndo mziki but all in all ongera

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 года назад +2

      Kweli maana inatakiwa faida ionekane,lkn kufungua nikazi namaani kuipata pesa kwaajiri yakufungua

  • @snyzermontana5192
    @snyzermontana5192 2 года назад +1

    💥💥

  • @hanifaalmasi5194
    @hanifaalmasi5194 2 года назад

    Lipo sehem gan

  • @brandscarlitos7992
    @brandscarlitos7992 2 года назад +1

    Live and make money, dont get broke for no reason

  • @saidmtiro6321
    @saidmtiro6321 2 года назад

    Hongera

  • @kakacharlesofficial1241
    @kakacharlesofficial1241 2 года назад

    Mmmmh that's nice Cong's my brother

  • @geraldmolell982
    @geraldmolell982 2 года назад

    Nakuja

  • @thewoo78tz
    @thewoo78tz Год назад

    salute

  • @hasanimacheda172
    @hasanimacheda172 2 года назад +1

    🔥🔥

  • @kelvinmassue3747
    @kelvinmassue3747 2 года назад +2

    Nakul n kupamban tyu

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 2 года назад +1

    Vizuri MUNGU AKUBALIKI

  • @richmondgang3012
    @richmondgang3012 2 года назад

    So interesting, I will fight like you too brother

  • @mohamedmbarak5677
    @mohamedmbarak5677 9 месяцев назад

    Leta mpaka mtwapa Duka ww .wacha Kenya .Kenya cmtwapa sawa

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 2 года назад

    Mung akujalie sana jux uzidi kutusua zaid na zaid

  • @rockyaminiemp
    @rockyaminiemp 2 года назад

    Safi

  • @gresfrank8618
    @gresfrank8618 2 года назад

    Congratulation more successful bro

  • @husseinkiza4177
    @husseinkiza4177 2 года назад +4

    👏👏👏🇺🇸🇺🇸🌎🌍

  • @geoffreykasanya2030
    @geoffreykasanya2030 2 года назад

    Tshirts zake ni quality sana

  • @christianweteshi8599
    @christianweteshi8599 2 года назад

    Just keep it up my bro

  • @jerrysix3662
    @jerrysix3662 2 года назад +1

    💣💣💥💥

  • @tatumussa6813
    @tatumussa6813 2 года назад +1

    Jamani hadi rahaaaaaaaaaaaa 😋

    • @zulfaissa7814
      @zulfaissa7814 2 года назад

      Maanshaallah kwakusubutu nakutimiza

  • @abdulysalehe2785
    @abdulysalehe2785 2 года назад

    Keep it up bro

  • @mpmsafitz9936
    @mpmsafitz9936 2 года назад

    Never give up broo

  • @judymushi1283
    @judymushi1283 2 года назад

    God boy

  • @allinasser2024
    @allinasser2024 2 года назад

    ✊🏾🙏🏾

  • @assanelourenco3183
    @assanelourenco3183 2 года назад +2

    As TVs deles só mostram animais em África, é forma de enganar o povo deles que tudo que África tem é sujo, mas quando os donos estão de férias, passam nas melhores praias quentes q aqui tem, triste realidade.

  • @dekanyaktown.255
    @dekanyaktown.255 2 года назад +1

    Turetee na mashati.

  • @matukiosafaris6508
    @matukiosafaris6508 2 года назад +3

    Hongera sana very nice story keep it up bro

  • @rahimkomba3149
    @rahimkomba3149 2 года назад +2

    Congr bro

  • @jumamponda9185
    @jumamponda9185 2 года назад +1

    🤞🤞🤞🤞🤞

  • @europeanfootball6623
    @europeanfootball6623 2 года назад +1

    Sio lake

  • @pearsonboniface9515
    @pearsonboniface9515 2 года назад

    Nandy

  • @fadhiliromwald
    @fadhiliromwald 2 года назад +1

    🔥

  • @richardmweri7918
    @richardmweri7918 2 года назад

    Hizi hereni jameni😭

  • @ommy_sborn
    @ommy_sborn 2 года назад +1

    Congrats Bro

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад

    Huwaga nafraii San kuona mtuu kafanikiwaa

  • @borntown6945
    @borntown6945 2 года назад +2

    ulikua usisene siri ya mafananikio yako mbele ya umma shetani ni adui mkubwa

  • @PhilipLusoloja-ss7qc
    @PhilipLusoloja-ss7qc 9 месяцев назад

    Nahitaji hiz nguo

  • @hijaramadhan1608
    @hijaramadhan1608 2 года назад

    Is à

  • @thegoldenpromoter3089
    @thegoldenpromoter3089 2 года назад +1

    ruclips.net/video/x7ZOFdpCtEM/видео.html
    Sikiliza 👆👆👆 gisi Diamond na Harmonize 👆walivo sifia duka hilo sikiliza 👆👆👆👆

  • @mwitaghasu6075
    @mwitaghasu6075 2 года назад

    Mwita ghas

  • @serumichael615
    @serumichael615 2 года назад

    Xz

  • @mayroseclemence99
    @mayroseclemence99 2 года назад +3

    Ivi jux ni mmakonde ??

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz 2 года назад

    ruclips.net/video/MpMTd_Z5mNU/видео.html
    Mdada wa kazi kafumaniwa akifanya mapenzi vichakani cha ajabu wakimbia uchi wote polis...

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv5201 2 года назад

    ruclips.net/video/-iHnihcaB2w/видео.html
    Utam hatar

  • @flavourjellmaxofficiel3822
    @flavourjellmaxofficiel3822 2 года назад +2

    😂😂😂Diamond ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee na we u cheke 😂😂😂🎬
    👇👇👇👇👇👇👇👇👇
    ruclips.net/video/OHTWe6oh4Qo/видео.html