JUX AONESHA DUKA LAKE JIPYA LA AFRICAN BOY STORE, AFANYA PARTY KULIZINDUA, MASTAA WAHUDHURIA
HTML-код
- Опубликовано: 29 ноя 2021
- Mwimbaji Star na mfanya Biashara wa mavazi yenye brand ya African Boy, Juma Jux Leo amezindua African Boy Store, Duka ambalo litakua likiuza bidhaa zenye brand yake tu ambapo katika uzinduzi huo pia Jux ameshare na sisi historia fupi ya lilivyopatikana jina la African Boy na ule Mchoro wa Kwenye logo yake ni nani na Kwanini picha yake…
Umenispire sana jux.. Safi sana.. Kuna vitu vingi sana vya kujifunza ktk safari yako. Kwanza ulijiamini then ukathubutu kufanya.. Pia ulikuwa mvumilivu na ulikuwa na subira ya hali ya juu cz umesema ulianza tokea 2013.. Ulipofikia ni pazuri sana ila bado unasafari ndefu.. Jitaidi upenetrate soko la east africa then africa na dunia.. Endelea kukuza brand yako iwe juu zaidi ufikie na uzipite level za akina Adidas, NIKE, Reebook etc.. Nice work JUX...
Kazi nzuri sana kijana mwenzetu mungu azidi kukujaalia inshallah 👏👏🙏🙏🙏
Hongera Sana Jux Mungu Azid Kkubark Na Uzd Kutupa Iman Vijana Wenzako
Nakubali jux more insperied
Katika maisha usikate tamaa aise hongera kwako jux
African Boy unaweza kuiuza dunia nzima maana hata huku ulaya tupo waafrica wengi na jina hilo linabeba bara zima la africa sasa imagine kuna waafrica wangapi na ambao tupo very proud to be africans nikiwa na maana kwamba jina la nguo ukitengeza za market ya Ulaya u will make good money, ninapozungumzia market ya ulaya namaanisha Quality na nguo ambazo ni za season yaani za baridi na summer. Think about it Jux
Na huku japan tunataka hata km fake
pongezi kwa hilo hatua kubwa ambalo juma ame piga more love from your fan
Dah! Umenifurahisha Sana jux!! 👏🏿👏🏿👏🏿
Ok kwa sasa toa na vitu vya kike na kwasababu upo kibiashara viitwe african girl
🙏🙏umeleta idea nzuri sana
@@stivejayngoga1403 yaah umeona eeh??😁
Just keep it up bro Mishe Mishe until the last breath ❤️
Lipo wapi
Wa kwanza Leo nipen like zangu
Félicitations jux moi je suis un congolais
Uranyemeje baba jux mutu wanana sana juma jux
Hongera Sana juma mungu aku bariki
Hongera kwa uzinduz wako African boy
Na huku kampala kuna dduka kubwa la african boy sijui la kwake jux
Safi sana haya ndio mambo sasa
Hongera Sana Juma
Sa wa mikoani tukitaka kuagiza half tunamuomba aweke bei wazi mitandaoni kam alivyo vunjabei na david sportwear
Hongera sana.
Your big fan from 254 ,big up in Everything you do bro
Nakubali jux
Hongera sana juma jux
hongera sana jux
Next level 🇹🇿🇹🇿
Hakika mungu abariki kazi yamikonoyako.
👍👍💪💪
Nakukubali sana jux
Safi sana kaka mola azidi kukutangulia
Mgeni mzuri sana huu
Great hustle Jux
Safi safi sanaaaaa
umefanya fresh bro ❤️ ❤️
Hongera sana juma
Mali za arikba
Safi sanaaaaaaaaaaa Mungu akulinde
Mashalah
Waooooo 😋 hongera 😋
Hongera mwaya
Naheleni masikion ulimbuken
Duka lipo Dar Sehemu gani.
Africa sana
Woooooh hongera bro jux 😃😃😃😃😃
Nomaaaa sana
Sehem km hz nd ambapo wcb mnaniangusha. Why hamtokeag kw event z wenzenu km hzi. Mimi n die hard fan w wcb but this thing inankataga sana.
Jamaa anaroho mbay sn anasapot familia yke t y wcb
Wakienda kununua ni support kubwa hata kama hawajatokea kwenye ufunguzi kaka,mond na jux ni washikaji na ana piga pamba za jux, halafu kupunguza attention maana akienda simba itakuwa vurugu hasa waandishi wa habari...
Mze duka lipo dar maeneo gan
#Africanboy1
So cool big up 😎
🔥🔥🔥🔥🔥
Iko poa sanaaaa
Wow story
Congratulation Young Bro
Nakukubali Sana Kaka Mimi Naitwa E music
That is Great, Hongera sana hii inafundisha sana na inatia wivu kimaendeleo
Big up
You speech well my G✊
Is Best
🤣🤣kufunguwa duka sio kazi kazi kubadili izo bizaa kuwa pesa apo ndo mziki but all in all ongera
Kweli maana inatakiwa faida ionekane,lkn kufungua nikazi namaani kuipata pesa kwaajiri yakufungua
💥💥
Lipo sehem gan
Live and make money, dont get broke for no reason
Hongera
Mmmmh that's nice Cong's my brother
Nakuja
salute
🔥🔥
Nakul n kupamban tyu
Vizuri MUNGU AKUBALIKI
So interesting, I will fight like you too brother
Leta mpaka mtwapa Duka ww .wacha Kenya .Kenya cmtwapa sawa
Mung akujalie sana jux uzidi kutusua zaid na zaid
Safi
Congratulation more successful bro
👏👏👏🇺🇸🇺🇸🌎🌍
Tshirts zake ni quality sana
Just keep it up my bro
💣💣💥💥
Jamani hadi rahaaaaaaaaaaaa 😋
Maanshaallah kwakusubutu nakutimiza
Keep it up bro
Never give up broo
God boy
✊🏾🙏🏾
As TVs deles só mostram animais em África, é forma de enganar o povo deles que tudo que África tem é sujo, mas quando os donos estão de férias, passam nas melhores praias quentes q aqui tem, triste realidade.
Turetee na mashati.
Hongera sana very nice story keep it up bro
Congr bro
🤞🤞🤞🤞🤞
Nabar jux
Noma mwajina
Sio lake
Onyesha lako😏😏😏 , halafu hayo aletagi habar za uongo
Ni lako
Lako
Nandy
🔥
Hizi hereni jameni😭
Congrats Bro
Huwaga nafraii San kuona mtuu kafanikiwaa
ulikua usisene siri ya mafananikio yako mbele ya umma shetani ni adui mkubwa
Usiwe na Imani haba
Kweli
Nahitaji hiz nguo
Is à
ruclips.net/video/x7ZOFdpCtEM/видео.html
Sikiliza 👆👆👆 gisi Diamond na Harmonize 👆walivo sifia duka hilo sikiliza 👆👆👆👆
Mwita ghas
Xz
Ivi jux ni mmakonde ??
Yaap jux ni mmakonde
@@juniornamao527 OK nilihisi tyuu
Mama yake
Mpare
@@aminatanzanya7475 ila sura ya kimakonde
ruclips.net/video/MpMTd_Z5mNU/видео.html
Mdada wa kazi kafumaniwa akifanya mapenzi vichakani cha ajabu wakimbia uchi wote polis...
ruclips.net/video/-iHnihcaB2w/видео.html
Utam hatar
😂😂😂Diamond ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee na we u cheke 😂😂😂🎬
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/OHTWe6oh4Qo/видео.html