PATANISHO : HUYU KIJANA NI MWENDAWAZIMU ANANIOMBA MSAMAHA NA MIMI SI MKE WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 70

  • @virginiawangui7372
    @virginiawangui7372 8 месяцев назад +2

    A very wise woman

  • @agnettakimani3673
    @agnettakimani3673 10 месяцев назад +10

    The first one to comment. Please give me some likes

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 10 месяцев назад +5

    😮 the guy is humble and asked humbly. Mbona uyu mama hakuweza kumpa chance juu wako na mtoto wake? Mama mbaya!
    Huyo mama anajua kwenye msichana yuko

    • @missmalaikalee4646
      @missmalaikalee4646 10 месяцев назад +1

      Ati na ni mchungani mwitu😅 lol

    • @virginiawangui7372
      @virginiawangui7372 8 месяцев назад

      A guy who can not even go to your home and pay brideprice is humble 😂😂😂😂wake-up

  • @wanjikueunice8260
    @wanjikueunice8260 10 месяцев назад +1

    Huyu mama is so hard on the guy,the lady is over 18,huyu jamaa is so humble

  • @JoelSirya-th9lt
    @JoelSirya-th9lt 10 месяцев назад +2

    Naomba kupatanishwa na Mkewangu tulieachana miaka mbili SASA.

  • @julietmackenzie7345
    @julietmackenzie7345 10 месяцев назад +3

    Gidi hapendi mchezo kwa wale waume hawajalipa mahari😂😂😂

  • @millaag5182
    @millaag5182 10 месяцев назад +1

    Mama mkwe ni more 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @marthainnocent9603
    @marthainnocent9603 10 месяцев назад +4

    Kumbe mchungaji ana njaa 😀😀 dah!!

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @daisyowiti8733
    @daisyowiti8733 10 месяцев назад +3

    Wajaluo tafadhali, Patanisho ni ya Mashemeji, tokeni hapa prisssss, ukwodo wii jii, jowa! Pthooh

  • @chainbre275
    @chainbre275 10 месяцев назад +3

    Mmm hiyo family iko na maneno huyo kijana ajipange tu

  • @hassanbinadow1190
    @hassanbinadow1190 10 месяцев назад +6

    Gidi nd fupisha stori ni rafiki 😂😂😂😂😂

  • @kamsoo3
    @kamsoo3 6 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂 nmekwama kapo kwa elf moja 😂😂

  • @lynnvion3466
    @lynnvion3466 10 месяцев назад +4

    Ghost unaeza cheka mtu afaint 😂😂😂😂😂😂 mama anaongea vibaya kama mwenye hana mtoto kijana 😢

  • @MainChase
    @MainChase 10 месяцев назад +3

    Halafu Gidi anapenda kugeuzia majamaa kesi sana, anaonea wanaume hadi anaharibu kila kitu. Whiiippss for Gidi 😅

  • @marykafietrasha4532
    @marykafietrasha4532 10 месяцев назад +1

    That guy shouldn't look for that woman,hata mama mkwe amesema hatabui huyo kijana,arafu ako na tamaa ya pesa mjingaaa, May God give that man a wife he deserves him

  • @lynnvion3466
    @lynnvion3466 10 месяцев назад +2

    Huyu kijana n mpole sana

  • @Mukavana138
    @Mukavana138 10 месяцев назад +1

    Eti vile unajua watu wanasikika kwa radio pia wewe unataka kusikika😅😅😅😅huyu mama ni wire 😅😅😅😅

  • @ZaituniMohammed
    @ZaituniMohammed 10 месяцев назад +1

    Huyo mchungaji ndie kichaa

  • @brianrobert84
    @brianrobert84 10 месяцев назад +2

    When posting the videos would you mind edditing out ghost's laughs??

    • @lynmoraah
      @lynmoraah 7 месяцев назад

      I really hate the laughter

  • @mrszogi4475
    @mrszogi4475 10 месяцев назад +1

    Mama mbona sasa unataka 1000 ya mwendawazimu

  • @user-hr5cu5ui2i
    @user-hr5cu5ui2i 10 месяцев назад +3

    Huyu mama waaahh😂😂😂😂

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 10 месяцев назад

      Mama ako right

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee 10 месяцев назад +1

      @@emilysawayi5787 anaita kijana mwendazimu na msichana yake ako na mtoi wake alafu anataka pesa ya mwendazimu aaaaaiiiihhh yawa.

  • @clintonobegi8458
    @clintonobegi8458 9 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ak ghost wew siku moja utafanya nicheke kwa matanga

  • @Debbyobabi
    @Debbyobabi 10 месяцев назад

    Huyo mama naye is a no go zone eti elfu Moja ya nini sasa

  • @belasudi5045
    @belasudi5045 10 месяцев назад +1

    Huyo kijana ameasha moto😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @janettemonari8077
    @janettemonari8077 10 месяцев назад +3

    Huyu mama ni mchungaji wa kanisa gani hiii? Very embarrassing!
    Mchungaji anatusi Mtu hivyo? It’s wrong!

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 10 месяцев назад

      ndo mana bibilia iliwaita mbwa wachungaji

  • @lilianrough6896
    @lilianrough6896 10 месяцев назад +1

    Huyu mama ni pst? Surely hii dunia hata forgiveness ni pesa?!!! 😮😮😮😮

  • @moreh462
    @moreh462 10 месяцев назад +1

    Mchungaji matako sana

  • @pendezanamamaeuge812
    @pendezanamamaeuge812 10 месяцев назад

    Tuma eflu moja kijana lasivyo utawekwa dani,mama anapenda pesa

  • @mosesongaro1215
    @mosesongaro1215 10 месяцев назад +1

    Ety mchungaji😂😂Wacha nikae kwa nyumba

  • @rachelmuch5788
    @rachelmuch5788 10 месяцев назад

    Vile mimi ni mama huyu mama ameona hyo boy hana pesa ndio maana amejibu hivo olikhumbayo uko kwa mchezo lakini angekua na doo ungekubali, Nkt

  • @annmwariri8119
    @annmwariri8119 10 месяцев назад +4

    Ati pastor 🙄 huyo mama ni mkora tu kama huyo mschana wake 😏😏

  • @RrrrRrrrwrw-wn3jj
    @RrrrRrrrwrw-wn3jj 9 месяцев назад

    Fanya ndoa.leta kitunyumbani ndio useme unataka mtoto.hakuna mtoto wa free

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 10 месяцев назад

    Tuned in 😂😂😂

  • @OgencheObed
    @OgencheObed 2 месяца назад

    Kijana atafute mke, huyo mwingine hata angemuua na suju.

  • @DessyTT
    @DessyTT 10 месяцев назад

    Sasa anaenda kurudisha msichana aje na mama mwenyewe anasema hamtumbui,hawajaooana.Huyo mama ni bure kabisa anataka tu pesa.

  • @pendezanamamaeuge812
    @pendezanamamaeuge812 10 месяцев назад

    Gidi eti huumm 🤣🤣🤣kijana utachukuliwa atuwa

  • @marthainnocent9603
    @marthainnocent9603 10 месяцев назад

    Huyo mama ni mkorofi, sasa ndg Gidi Kwa nini usimtetee?? Hata kama ni mzazi wakikosea nao inabidi tuwaseme pia. Halafu eti ni mchungaji. Sasa kama hawajafunga
    Ndoa anamdai vipi Kwa huyo kijana??

  • @itsjudynjoroge266
    @itsjudynjoroge266 10 месяцев назад

    mama mkwe amekua commercialized.

  • @malsgithua5309
    @malsgithua5309 15 дней назад

    The mum is bitter about her own things, she just said that she had never seen the dude n now she wants to see him bringing back the daughter, and want to sue him n want cash? Materialistic PASTOR lol😂

  • @sharonwangui7786
    @sharonwangui7786 10 месяцев назад

    Nawewe unaweza aje tusi mtu vile amekonda kweda nauko

  • @dicksonkiraithe6369
    @dicksonkiraithe6369 10 месяцев назад +2

    Umweke ndani kwani wewe ni police😂😂😂

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 10 месяцев назад

    First should worry about the relationship and meeting the parents. Respect first, mahari later. Mahari doesn't sustain marriage.

    • @RrrrRrrrwrw-wn3jj
      @RrrrRrrrwrw-wn3jj 9 месяцев назад

      Wacha kijidanganya,it does,hawa watu wote wamekosana uki notice hawajatoa mahari.ndio wanaambiwa hawarambuliki.

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 9 месяцев назад

      @@RrrrRrrrwrw-wn3jj I never said that one shouldn't do it but, that's not the first thing that makes marriage last.

  • @christinemariah9622
    @christinemariah9622 10 месяцев назад +2

    The lady is stupid, katoka KwaZulu Evans kashaenda kwa mwengine pia huko hajachumbiwa ywapigwa atazalia Kenya nzima. Arudi kwa mamake mzazi angojee achukuliwe kihalali

  • @fiddiggokirimi9630
    @fiddiggokirimi9630 10 месяцев назад

    Mchungaji mwitu.

  • @bobogitau5383
    @bobogitau5383 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 10 месяцев назад

    Huyu ni mchungaji?

  • @thogonuii
    @thogonuii 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂

  • @gilbertuwizeyimana6160
    @gilbertuwizeyimana6160 10 месяцев назад

    Nataka kupatanishwa na mama mkwe anaweza kuwa na Miaka 21 kupazia Ako nakazi Tena Ako tayali kuunga familia Sina uwezo wakuwapigia simu lakini anaweza kuandika nambari zake Kwa comment yangu tutazungumza Mimi natoka Rwanda

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 10 месяцев назад

    Mchungaji wa wapi huyu omg...fake pastors ..this not way you talk

  • @Waziri77
    @Waziri77 10 месяцев назад

    sasa huu ni uchungaji gani? matusi tupu, son inlaw unamtusi na wewe ni mluhya?

  • @sabinaamboko6449
    @sabinaamboko6449 10 месяцев назад

    Mchungaji arrogant,mama watch your speech

  • @jackieshamim3162
    @jackieshamim3162 10 месяцев назад +1

    Wewe mama ni mjinga.pepo wewe.msichanako atakuwa single milele na milele.atakuzalia wajukuu kwa hiyo boma yako mpaka utajuta.kijana wachana na hao watu.mtoto atakuwa mkubwa atakuja

    • @rachelmuch5788
      @rachelmuch5788 10 месяцев назад

      Very true mama shetani sana hawa ndio wale wamama wanakulia Watoto kwa wanaume

  • @stephenndiritu1250
    @stephenndiritu1250 10 месяцев назад +2

    Hawa wanawake ni makende sana wako na maringo sana wakwende uko

    • @qharolefrancie587
      @qharolefrancie587 10 месяцев назад +1

      😂😂😂uko na makasiriko

    • @christineamlinger5630
      @christineamlinger5630 10 месяцев назад

      ​@@qharolefrancie587 amewashwa heee😂😂😂😂😂

    • @Purry-ut5di
      @Purry-ut5di 10 месяцев назад +2

      Acha kuichukulia too personal stress itakumaliza😂😂🤣🤣🤣

  • @siwajibufarida7288
    @siwajibufarida7288 10 месяцев назад

    😂😂😂