Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28
Preach ni Kuhubiri na siyo kuhutubu. Speak ni kuongea wazi. Mfano: Speaker wa bunge anaitwa hivyo kutokana kwamba ndiye mhutubiaji. Kuhubiri ni kitu tofauti na speech
Hivi RC ikitokea ukanena kwa Lugha haufukuzwi wala kutengwa? Maana CHANGAMOTO tulizokutana nazo tukiwa Karismatik, ilikuwa kutengwa tu, ukijifanya kufundisha Bibilia, nakupongeza sana kwa kuthubutu:
Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen
Asante sana na ubarikiwe pia
Hueleweki
Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu.
1Wakorintho 14:27-28
Mtumishi kuspeak in tongues sio kuhutubu. Ninavyojua kuhutubu ni kupreach in tongues.
Preach ni Kuhubiri na siyo kuhutubu. Speak ni kuongea wazi. Mfano:
Speaker wa bunge anaitwa hivyo kutokana kwamba ndiye mhutubiaji. Kuhubiri ni kitu tofauti na speech
Hivi RC ikitokea ukanena kwa Lugha haufukuzwi wala kutengwa? Maana CHANGAMOTO tulizokutana nazo tukiwa Karismatik, ilikuwa kutengwa tu, ukijifanya kufundisha Bibilia, nakupongeza sana kwa kuthubutu: