MAMLUKI WA WAGNER GROUP NA MISHE ZAO (Part 1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Pichalinaanza mwezi September 2022 iliposambaa video ya ‘konekshen’ lakini haikuwa konekshen ya staa wa bongofleva,bongomovie au mitandaoni bali ilikuwa konekshen clip ya Jela moja iliyopo Urusi,ikimuonesha mtu aliyetambuliwa na wanaomfahamuni YEVGENY PRIGOZHIN wanaomjua wanamuita PUTIN's CHEF kwa kiswahili MPISHI WA PUTIN...PICHALINAANZA na hii ni part 1 usikos ijayo
    #wagnergroup #PMC #pichalinaanza

Комментарии • 15

  • @anangisyembughi6476
    @anangisyembughi6476 Год назад

    Ondoeni Sheria hiyo kwani Ajira tz haipo,nafasi kama inapatikana ya kujiunga na jeshi ni kujiunga.kutoboa inawezekana sana tuu.

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Год назад +1

    Wekeni contact basi jinsi ya kujiunga mbona wengine udenda unatutoka tushachoka maisha ya tz haya na siasa zao.

  • @youngpaincompany1440
    @youngpaincompany1440 Год назад +2

    Unyama San

  • @youngpaincompany1440
    @youngpaincompany1440 Год назад +1

    Razii yuko wap kka

  • @assateke7199
    @assateke7199 Год назад +1

    Ndi ndi ndi.... Picha Linaanzaaa!

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Год назад

    Nafasi kama hii ya kujiunga na Wagner group huwa kwenye maisha inatokea mara moja tu wekeni contact kama mwamba mwenzetu aliamua ajiunge

  • @donraykiko4243
    @donraykiko4243 Год назад

    Muendelezo uko api. Razzi yuko wapi.

  • @Pedeshee01
    @Pedeshee01 Год назад +2

    Hata mimi nipo tayari kujiunga na Wagner,bora kufia Ucrain kuliko wanasiasa wasiojitambua wa africa kazi kuuza nchi zao na kujinufaisha na familia zao hasa tanzania.Mimi nafuta contact za wagner tu kuliko kufuatilia ccm sijui chadema ujinga mtupu hawana uzalendo wowote.Najua nimefia kazini big up wagner group soon nakuja urusi.Yaani baada ya kuiona taarifa hii mwisho nilijua mtaweka contact zao dahh nimetokea kuvutiwa ghafla na wagner nipo tayari kwenda kinyume na sheria za nchi yangu nijiunge na Wagner group dahh.

  • @hassandaudibalagha4248
    @hassandaudibalagha4248 Год назад

    Nakubali

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 Год назад

    Wanafanya unyama

  • @chundabadsingasinga3130
    @chundabadsingasinga3130 Год назад

    Razi Yupo wapi???

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 Год назад

    KAZI NZURI

  • @harerimanamoses9878
    @harerimanamoses9878 Год назад

    Razzi mmetisha 🔥

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Год назад

    🔥🔥🔥