Unaweza kushare na kwa wengine waweze kupata suluhisho hili kwani hii Ni njia pekee ya kuwasiliana Kati ya Mimi na wewe na baadae na yule. Ambaye hajaona video hii asante
Asante Sana kwa kutambua mchango wetu. Unaweza kushiriki video hii kwa watu wengine ili nak waweze kusaidiwa kupitia video hii #from the @author fn: joakimwork productionservices
upo vizur sana kaka nimesevu simu yangu kupitia maelezo yako upo vizur sana boss
Asante sana
Asante 🙏🙏 sana ndugu nimefanikiwa kutatua tatizo langu kupitia mafunzo Yako barikiwa sana
Unaweza kushare na kwa wengine waweze kupata suluhisho hili kwani hii Ni njia pekee ya kuwasiliana Kati ya Mimi na wewe na baadae na yule. Ambaye hajaona video hii asante
Tatizo unaongea sana mapicha picha mengiii
Una maanisha nn kaka
Simu Yang ni kubwa inagomaa kutuma message
Asante sana natumaini utakuwa umeelewa namna ya kutatua tatizo Hilo kwa msaada zaidi piga simu namba- 0754465961
Thank you subscribe in my channel
Mm ninasm kubwa ila nikituma inanambia trable sending. check option
Nitafute kwenye namba 0785060926
Hii kitu imenisaidia leo hii. Shukran
Asante Sana kwa kutambua mchango wetu. Unaweza kushiriki video hii kwa watu wengine ili nak waweze kusaidiwa kupitia video hii
#from the @author fn: joakimwork productionservices
Jmn samahan me tatizo langu nikitumiwa sms hazifiki kwa mda au hazifiki kabisa, naomba nisaidie please nifanyeje
Samahani unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba: 0754465961/0785060926 na zote ni za WhatsApp
Pole Sana kwa tatizo lako
@@Joakimworkproduction sawa sante nitakuchek basi
ruclips.net/video/zNIWxJGFep4/видео.html
Cm Yangu Aipokei cm wala masaji
Nitafute kwenye namba: 0785060926
Rudi Tena kwenye channel yetu Kuna video nyingine tumeipost leo