Single mother ukiwa na Pesa maisha ni nyweeeeee.unaingia Kwa nyumba na watoto wako mnafunga mlango mnacheka,ma jokes halafu unalala bila kuambiwa geuka.maisha tamu haki ya single mother
Best moderator& story teller with tricky tricky jokes while heading to the point of your work.nimependa jinsi unavyointeract na watu kabisa friendly way mtu hawezi jua unasanitize😂🙏
Huyu kama sio bangi, hiyo ugonjya imefanya huyu jamaa amechizi...amechanganyikiwa anaongea mingi aki.... na niulize kwani mtu akiwa na ugonjwa anakubaliwa kuenda outside country job.. ama huyu alikuwa nyeri akasema ni majuu
Wakikuyu siku hizi ni wazungu,jo lakini hii ni mbaya kwa huyu jamaa kumfanyia mwenzake hivi,pia madem mjichunge,handsomeness and money puts many in danger, 'remember all that glitters is not gold 'guys.
Mkikuyu wa hapa kamangoo😂😂😂😂 atii mlamii....😂😂😂 Ukifikiria atii umemshikisha handy ya kumpa ugonjwa unapata ako negative... Mungu halali "kayole" .... Praying for huyo mdem asikuwe msick....
Upuuzi yenye iko Kenya ni mingi sana, mimi natoka Tanzania niko kenya,walai juu ya hizi vituko kenya siami,walai iko na dramatic people,mungu ibariki kenya mungu ibariki African.
I was looking for this comment. At one point guy says he came back one week ago and towards the end script failed to live as per billing when he says he returned 3 months ago
Hapana....kuwa single ni ngumu juu mtu anaweza kuwa addicted to masturbation So ni vizuri kutumia protection everytime Alafu ukiwa na mtu long distance relationship na ame Rudi ..the first thing do a HIV test
Watch part 2...ruclips.net/video/ewqyoAN0Z5Q/видео.htmlsi=ug-27xH3o7WFocq5
Ata mm nashangaa😂😂
Bro hiii ni moto hebu njo kwangu
Single mother ukiwa na Pesa maisha ni nyweeeeee.unaingia Kwa nyumba na watoto wako mnafunga mlango mnacheka,ma jokes halafu unalala bila kuambiwa geuka.maisha tamu haki ya single mother
I agree with you hapo pa single mother😊
Walai love my babies ❤
Very right ✅️ 😅
Hapo nayoniukweli kapisa
Single mother eeeeeeeeeeeees single mother aaaaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mm maguys handsome wanakuwanga turnoff kwangu,kama hii comment imependesa wewe piga like tukisonga.
Hahaha sisi ndio tuko 😅
Hapo kwa shertani ya mguu moja 😂
Sema maguys handsome hawakutakangi ww thwanga
U also look stupid
Wote cio same😂😂
Kwani haujui tofauti ya mzungu na mwafrica ama albino
Hajui juu ni mweupe 🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Nashang'a hata kweni hajui tofauti ya watu wa 254 na mzungu😅
Nashanga mzungu mugani huyu sema time Dave hutumbemba Wana walai😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂aky
Huyu jamaa anapaswa kushikwa kabla ambukize wengine mjinga sana
Wasichana wengi hawapendi kupimwa Wanaangalia Pesa na maisha ya juu wanasahau ukimwi ilo6
Imagine wanapima na macho
Nakwabia ule ukimwi uko Kenya ii,ata acha tu
Uyu ni kiherehere sana
The girl should go for check up and move on with her life
👀🇺🇬
Best moderator& story teller with tricky tricky jokes while heading to the point of your work.nimependa jinsi unavyointeract na watu kabisa friendly way mtu hawezi jua unasanitize😂🙏
The guy has no shame, remorse or sorry for what he has done. It's very sad.
Wanaume wacutie bure kabisa 🥺 heri mtu personally
Kila mtu na urembo wake
Kabisaa
😢😢😢 sina nyota na hao watu ukipata n shida
Jesus loves you madam neda upime may be auna HIV
True hapa umesema kweli
True may God protect her it do happen na mungu anakulinda bcx hakukuwa anajua 😢may God her
Hata huyu jamaa hakua USA mtu alilukua US atleast anatumia english words huyo ni kiswahili kikuyu alikua amejificha hapa kenya
Alikua machaqatar...machakos qatar
Huyu sio mzungu hiyo si ni kiswahili ya Kikuyu!! Lol 🤣🤣🤣 kinuthia pretending to be a mzungu 😅😅😅
Hii Ni Kikuyu💯🤣🤸
😂😂😂😂😂😂 At ukweri narara 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwanaume ako na kiherehere sana
Agreed
Mzungu mwitu , kwani habongi kilami, hadi kiswahili balaa ni ya ocha kabisa , Dave utatuonyesha maneno , nkt
Surely I know this guy his name is kimani
😂😂
😂😂😂 tanimaliza mimi
😂😂😂😂😂
Huyu jamaa anavuta bhagi
Hayuko sawa wallai
Mzungu wa wapi Dave anaongea fluent swahili, Tena hio sura na nywele hazikai mzungu.Nawasiwasi kwa wingi
Huyo ni tanzanian ama mkikuyu 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 ujinga adi ana shirab😅😅
@@annahkariba-ux2hh Kenya ni raha
@@Emmah-u8w kuna possibility
Huyu ni msapere😂
😢😢 ooh God have mercy upon innocent pipo
Ladies fears pregnant than ukimwi
Ukweli kabisaa 🤣🤣🤣
Soko ya mapenzi imekuwa shavu sana this days, single dio free and happy live
Huyu kama sio bangi, hiyo ugonjya imefanya huyu jamaa amechizi...amechanganyikiwa anaongea mingi aki.... na niulize kwani mtu akiwa na ugonjwa anakubaliwa kuenda outside country job.. ama huyu alikuwa nyeri akasema ni majuu
Wewe hujui Nyeri iko Somalia
You can go 🚶♂️ TB to dio itikiwi Europe country's or 🇺🇸 🌎
Alienda akiwa sawa akaiokota hio majuu
Alitoa mayulu majuuu ukimwi n 💪
USA haina hiyo restriction ya hiv, ukiwa na TB huwezi ingia USA..
Hata ukienda medical IOM unaambiwa tu ukweli 😢😢 ..🇺🇸 🌎
Wakikuyu siku hizi ni wazungu,jo lakini hii ni mbaya kwa huyu jamaa kumfanyia mwenzake hivi,pia madem mjichunge,handsomeness and money puts many in danger, 'remember all that glitters is not gold 'guys.
Sasa mtu anakuambukiza na kukutusi tena nkt!! mungu tusaidie sasa kuanza huyu alikua anakaa kushtuka shtuka hata before😮😢
Girl back to your LORD GOD for all your heart. Jesus shall heal you
Amen
Senior Dave abia huyo director wako awache kuzoom watu wakisusu
😅😅😅😂😂😂
😅😅Mzungu na anaogea swahili
😂😂😂😂
😂😂😂😂nashangaa ama nimzungu mkikuyu @@Chizipoints254
Dave hii comedy uwa unawalipa Hadi pia mm nakam niactor
Aki Dave kimasai imenibamba😂😂😂😂 am a Masai keep up good work senior dave
Rotten Society, I feel bad for the schoolkids who are standing there and watching the World's evil
Dem mkipeda pesa sana malipo uwa tofauti,,tabia za dem wa kenya kupeda pesa kuliko mwili,,kimemramba
Hunyu boy atahajaenda maju,hii ni drummer
Huyu mwanaume ile kiherehere ako nayo,hata lazima ameisambaza sana😢
Should be arrested with immediate effect
Huu ni uongo don't believe😂😂
Mbona Dave hapa haingilii but Kwa studio anajua kuingia katikati YA wanawake??????
😂😂😂😂
Ukweli leo ameni boo imagine ana save malaya twins
Eeh dave unaona kwa hakika huyu jamaa diye ako na majosa na huezi safe dame ata na ni clients wajo
Mungu help us, watu ni wabaya
Ak camera man mbinguni hutaona😂😂😂unauliza nini mtoi wa wenyewe akikojoa
Kumbe umeona kaa mimi😂😂😂
Umeona 😅😅😅
Nashang'a mzungu ako wapi hapo
Na hapa ni mzungu msapere 😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, this guy's captions
Senior dave you can not watch them fight all that time😏 kama umesimama
Shida ya wasichana wetu wanapenda pesa sana😢
Kabisa nakuunga 🤝💯
This is a Kenyan based in USA but not an American.
Kuku na ukimwi seriously 😢😢😢aki huyu mwanaume seriously woi ma God tuonekanie
Kwani one year kukaa ngambo kiswahili imekuwa ngumu kuongea awache kujifanya
🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😂 na wenye tumekaa 15 years tutafanya nini
Is that man normal really 😢😢
😂😂😂😂😂😂 upnomal 😂😂😂😂
Am also wondering soo
I cant cope up with the man's pettiness ..mwanaume kiherehere issa nooo
He is not a Mzungu , is laing, he is a kikuyu , Zungus never cheat on & beat their women.😢
Chungen madem. Wanaume huku majuu wanafanya umalaya😢😢
Mtu unadinyana aje na mtu bila kupimwa 🙄🙄🙄
Hata mtu huwaa hajielewi wacha tu
@@KameshStar-v4j mmmh
Na mtu hamjaonana kwa 1year, this is very serious...Test first for your own safety
It do happen na may God do protect his pple
😅😅Hizi majibu huyu mzungu anapeana hata sielewi ako na answer mob
Sare ati muzungu😂😂😂
HE SHOULD BE ARRESTED
Tabia mbaya sana kumpa mtu ugonjwa .
Atumlaumu mtu mmoja,ni pole Sana ,but wote wako na makosa ,juu msichana vyenye walipatana ,alikuwa wakapimwe,so msichana aliona pesa akujali Afya
Na mzungu mwenyewe ako proud 😅😅😅
Aki Dave mzungu ako wapi huyu ni kikuyu 😂😂😂
Mzungu anajua wangwan😅😅😅😅😅 hio imeniangusha
Ni mzungu mghetto@@MonicahWairuri-uq5rd
@@MonicahWairuri-uq5rd 😂😂
😂😂😂😂😂ndo nashangaa sana
Ako hivo uongo tupu
Dave mbona uwa unaangalia watu wakipigana surely what if uyo mwanaume aumize dem surely
Aki Dave uyu camera man wako anazoom bwana ya mtu akisusu 😂😂😂
Wewe unaangalia huko kwa nini😂😂😂
USA MURANGA MY FRIENDS LET ME BE SAUDIA ARABIA KURIKO UKIMWI OOOOOHHH MY GOD PROTECT US FROM BAD PEOPLE
Mkikuyu wa hapa kamangoo😂😂😂😂 atii mlamii....😂😂😂 Ukifikiria atii umemshikisha handy ya kumpa ugonjwa unapata ako negative... Mungu halali "kayole" .... Praying for huyo mdem asikuwe msick....
You recovered your account, so grat
Pesa itamaliza wasichana mtangonjeka
Walai Kenya is finished completely kuna wanaume wakutuoa kweli uko eeehe mwadani...😢
This guy amen jaaz sana,he is a dnt kea
cross border🇹🇿
Even the guy looks wasiwasi kabisaa ayuko comfortable
Wahaaa mi pia nimeona hivyo
Sometimes usitumia uongo, nawadayz uongo imekua namba one huyu mzungu ako wapi ama haijui mzungu na mtu mweupe😢😢
Mzungu wa saa gapi huyu n mwangi.usiki kiswahili yake.
Mzungu ako wapi hapa sijaona mzungu Dave 😅
Huyu mzungu anavibe Sana
😅😅😅😅natafuta mzungu senior Dave mtu ambaye anaongea kizungu mukuti😅😅😅
😂😂😂
Hehehe Mzungu anitwa Joseph Karanja 😂😂😂😂😂😂
Huyu ni mzungu mngani naongea kiswahili ya kikuyu😅😅😅😅😅
😢😢😢 sai ukimwi imekua tu kama oma aki mungu atusaidia tu aki
God protect us
Huyo si mzungu ni Mgikuyu wa nyeri namjua
Mzungu mkikuyu nilimwogeresha weeeh mothongo😂😂😂😂😂
Upuuzi yenye iko Kenya ni mingi sana, mimi natoka Tanzania niko kenya,walai juu ya hizi vituko kenya siami,walai iko na dramatic people,mungu ibariki kenya mungu ibariki African.
Walai mm ata siamini kama naweza date
Leo ndio nimejua kabisa hizi zinakuanga gain content from 2day hakuna hata moja nitakua nikiwatch
I was looking for this comment. At one point guy says he came back one week ago and towards the end script failed to live as per billing when he says he returned 3 months ago
Umejua late aki😂😂
Hakuna mtu anangelea hiyo kihii ime susu hapo 😂😂😂😂😂
Hii haikai real it’s very dramatic 🤣😂😂🤣I was like should i pity her or nicheke vile kijana anamchapa 😂😂😂
This is very painful baby take care
It's true ladies of nowdays avoid pregnancy than hiv😢😢😢😢😢😢
Bro,..punguza spices unaongeza katikati ya mzozano ambao umeanzisha,wanaume tumekuwa kama wamama huku nje!! Surely
Mr story teller
Maybe she is not affected with this deadly disease
its an offence infecting someone knowingly
he should be sued
We heri mtu ukae bila mtu sasa hizi nini dunia hii imeisha😢
Hapana....kuwa single ni ngumu juu mtu anaweza kuwa addicted to masturbation
So ni vizuri kutumia protection everytime
Alafu ukiwa na mtu long distance relationship na ame Rudi ..the first thing do a HIV test
Mzungu mkenya ama
😊😊😊
Daved please why you are watching them this lady needs help bro you have protect the woman
Cameraman unachomea call of nature😅😅😅
😂😂😂😂😂
Mimi sipedi mwanaume kiherehere hivi 😮😮😮😮😮
Senior dave hizo show zako zako sio mature. You should take control
I am 👀 from Uganda K'la, i pick very less Swahil. M7 is a bad man
Please interpretation
Ati ni mhumble na vyeye ako na kiherere ghai ..wacha ni stay single. Majununi
Devi watu kama awo wakipigana kuwa makini wakijichuna kidogotu ikitoka damu utapa mambukizi wacha wapigane kuwa makini sana
Ooh by the way,but unajaribu tu kuwakingga
Bado nangoja kuona mzungu
God help us ladies
Huyu ni thiongo was mitura ATI mzuuu waaaaat
😂😂😂😂😂😂😂 eti mitura
C dave ulikua una shika ule dam Officer na una angalia huyu mbwa aki gonga dam
Napenda vile jamaa anapigana😅😅😅😅😅😅 ati ntakulima na kiatu kiatu enyewe haiguzi mwili heheee
😂😂😂😂😂 n kama drama
Karanja wa US
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Ukimwi iko na ukiangalia pesa na misuli, mdada bila kutumia akili lazima utaibeba.
At Muzungu😅😅😅😅😅😅,joo mombasa tukushow different ya muzungu na kiguyu hfcast....😅😂😂😂😂😂😂
Is this real or they are acting?
Am also asking myself