Part1_USHUHUDA WA MICHAEL SAMBO|Jinsi alivyouacha mwili akafa na kwenda kushuhudia mbingu na kuzimu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 33

  • @JohnKamau-p1q
    @JohnKamau-p1q 2 месяца назад +2

    Yesu niongezee nguvu na uniongoze nisije nikateleza nikaanguka nguo yangu isije ikachafuka.

  • @SoniaPelvini
    @SoniaPelvini 5 месяцев назад +2

    Mungu awabariki sanaa kwa kazi njema

  • @dantez8775
    @dantez8775 5 месяцев назад +1

    Bw jactan unasoma vizuri sana...nikama wewe ndiwe mwenye ushuhuda huo...

  • @tamarali8325
    @tamarali8325 Год назад +4

    Mungu ni Mwema sana na ni Mwaminifu sana. Barikiwa kaka Jacktan.

  • @asminetaba253
    @asminetaba253 Год назад +3

    Amen, asante sana jacktan kwa huu ushuhuda mungu akubariki tunabarikiwa kupitia promover tv.

  • @maryamnjagila3896
    @maryamnjagila3896 Год назад +1

    Am sorry if I heard wrong, it is John 10:30 and not 10:3
    I and My Father are one

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub 8 месяцев назад +2

    Amen 🙏

  • @LETSGOTOHEAVEN.HeavenHellissor
    @LETSGOTOHEAVEN.HeavenHellissor Год назад +2

    Promover nyie ni watu wa maana sana

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +2

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu promover tv kwa kujitolea kazi ya Bwana kuelewesha wengi

  • @owikesibonike
    @owikesibonike Год назад +2

    Amen! MUNGU Naomba Mwisho wetu Uwe Mzuri.

  • @RamazaniSulemani-x5h
    @RamazaniSulemani-x5h Год назад +2

    Napenda promovasana siezikalala bilakusikiliza ushuuda

  • @dieudonnebana2422
    @dieudonnebana2422 Год назад +2

    Asante sana Brother, Mungu awabariki sana kwa kuhendelea na shuuda za kweli kabisa.

  • @salomekemunto1373
    @salomekemunto1373 Год назад +6

    AMINA AMINA ndugu Jacktan, kwa kweli nilikuwa nangoja Sana ushuhuda huu na kwa Hakika Mungu amekuwezesha. Sifa na Utukufu zimuridie Bwana wetu Yesu Kristo Hallelujah AMINA AMINA.

  • @mawazomarceline899
    @mawazomarceline899 Год назад

    Amen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад +1

    Ameeeeeen

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Год назад

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 🎵🎵🎵🎵🎶🎶🎶🎶🎶📢📢📢📢📢📢📢👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @mtumishiwamungumwl.emmanue6014

    Tunajengwa mno na shuhuda hizi Mtumishi wa Mungu Jacktan.

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Год назад

    Tumekuwa na akili ya kupokea ushuhuda na mafunuo Bila kupata ufunuo wa NENO je! Ni nabii gani aliyeonywa na roho kuwa wataenda kuzimu na mbinguni? Yeremia 23:24-29.

    • @kennethogonda2947
      @kennethogonda2947 11 месяцев назад +2

      Tunajua kutofautisha kati ya shuhuda za uwongo na za ukweli. Huyu hadanganyi.

  • @IsayaNyingi
    @IsayaNyingi Год назад

    Amina promover tv Mungu awatunze members of promover tv amen

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Год назад

    Asante sana jacktan Kw huu shuhuda kwani za tu fungua sana

  • @HappinessElisha-b6x
    @HappinessElisha-b6x Год назад

    Balikiwa Sana kaka tunabalikiwa Sana na shuhuda hizi

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Год назад

    Uku nilikuwa nakesha nikingojea huu ushuda

  • @dadafrida9202
    @dadafrida9202 Год назад

    Amina

  • @Ellyfaragha
    @Ellyfaragha Год назад

    Amen mtumishi

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 Год назад

    Nimebarikiwa Sana amen

  • @fransiccosmas
    @fransiccosmas Год назад

    Barikiwa

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 Год назад

    Amen Amen, GREAT

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 Год назад

    Amen

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 Год назад

    Amen 🙏🙏

  • @RamazaniSulemani-x5h
    @RamazaniSulemani-x5h Год назад

    Amim

    • @esthershirima5309
      @esthershirima5309 Год назад

      Jaman si kila mtu anaweza kuzipokea shuhuda hizi, ni wale. Waliochaguliwa kwa neema ,Hata Bwana Yesu mwenyeww wengi walimpinga, tena viongoz wa dini ndio waliopanga kumuua ,asante Mungu wa mbinguni kwa shuhusa hizi kwan kama sio maàrifa kuongezeka tungeozwa na mitizamo wa wanadamu, mwishowe wengi tungepiga mbio bure