Part1_USHUHUDA WA MICHAEL SAMBO|Jinsi alivyouacha mwili akafa na kwenda kushuhudia mbingu na kuzimu
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Yesu niongezee nguvu na uniongoze nisije nikateleza nikaanguka nguo yangu isije ikachafuka.
Mungu awabariki sanaa kwa kazi njema
Bw jactan unasoma vizuri sana...nikama wewe ndiwe mwenye ushuhuda huo...
Mungu ni Mwema sana na ni Mwaminifu sana. Barikiwa kaka Jacktan.
Amen, asante sana jacktan kwa huu ushuhuda mungu akubariki tunabarikiwa kupitia promover tv.
Am sorry if I heard wrong, it is John 10:30 and not 10:3
I and My Father are one
Amen 🙏
Promover nyie ni watu wa maana sana
Barikiweni sana watumishi wa Mungu promover tv kwa kujitolea kazi ya Bwana kuelewesha wengi
Amen! MUNGU Naomba Mwisho wetu Uwe Mzuri.
Napenda promovasana siezikalala bilakusikiliza ushuuda
Asante sana Brother, Mungu awabariki sana kwa kuhendelea na shuuda za kweli kabisa.
AMINA AMINA ndugu Jacktan, kwa kweli nilikuwa nangoja Sana ushuhuda huu na kwa Hakika Mungu amekuwezesha. Sifa na Utukufu zimuridie Bwana wetu Yesu Kristo Hallelujah AMINA AMINA.
Amen and amen
Amen
Ameeeeeen
HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 🎵🎵🎵🎵🎶🎶🎶🎶🎶📢📢📢📢📢📢📢👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Tunajengwa mno na shuhuda hizi Mtumishi wa Mungu Jacktan.
Tumekuwa na akili ya kupokea ushuhuda na mafunuo Bila kupata ufunuo wa NENO je! Ni nabii gani aliyeonywa na roho kuwa wataenda kuzimu na mbinguni? Yeremia 23:24-29.
Tunajua kutofautisha kati ya shuhuda za uwongo na za ukweli. Huyu hadanganyi.
Amina promover tv Mungu awatunze members of promover tv amen
Asante sana jacktan Kw huu shuhuda kwani za tu fungua sana
Balikiwa Sana kaka tunabalikiwa Sana na shuhuda hizi
Uku nilikuwa nakesha nikingojea huu ushuda
Amina
Amen mtumishi
Nimebarikiwa Sana amen
Barikiwa
Amen Amen, GREAT
Amen
Amen 🙏🙏
Amim
Jaman si kila mtu anaweza kuzipokea shuhuda hizi, ni wale. Waliochaguliwa kwa neema ,Hata Bwana Yesu mwenyeww wengi walimpinga, tena viongoz wa dini ndio waliopanga kumuua ,asante Mungu wa mbinguni kwa shuhusa hizi kwan kama sio maàrifa kuongezeka tungeozwa na mitizamo wa wanadamu, mwishowe wengi tungepiga mbio bure