ULIZA UJIBIWE 03

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 16

  • @FatumaYusuph-rw2lt
    @FatumaYusuph-rw2lt Год назад +2

    Shekh naomba kujua kwa yule anaeumwa hawezi kufunga anafanyaje ili awe sawa na waliofunga

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 года назад

    Jazakallah sheikh

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 2 года назад

    Ustadh,kuna ulazima gani wa kuomba Dua kwa lugha ambayo hatuelewi wasema nini

  • @mataannyare7674
    @mataannyare7674 2 года назад

    Masha allah tabarakallah

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 2 года назад

    Naomba utupe number yako.

  • @bintiali4609
    @bintiali4609 2 года назад

    Mke achika akiwa na mimba

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 2 года назад

    Assalam Alaikum shekh izudin jee mwanamke anaswali taraweh nyumbani na pia idadi ya kuswali jamaa niwatu wa ngapi ?

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  2 года назад

      tarawehe idadi yake ni 20 kwa mwanamume na kwamanamke

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 2 года назад

      @@IzudinAlwyDin shukran shekh ila sikuuliza swali vizuri swali la kwanza mwanamke akiwa nyumbani peke yake ya faa kuswali tarewe

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 2 года назад

      @@IzudinAlwyDin na swali la pili jamaa ina anza kuswaliwa na idadi ya watu wa ngapi

    • @fatmakhanii1676
      @fatmakhanii1676 2 года назад

      Yani hata mimi na mume wangu tu ya faa kuswali jamaa

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  2 года назад

      Ndio yafaa kuswali ww namume wako jamaa naitasihi maana jamaa yaanza na watu wawili

  • @faridadondo2103
    @faridadondo2103 2 года назад

    Asalaam alaykum
    Shekhe naomba kuuliz km mtu kaolew uke wenza lkn mume alipo taka kuoa mke wa pili hakumwambia mke wake baadaye mke wa kwanz akajua baada ya kujua akamdhibit mume asifik kwangu mume ikafikia anakaa hata wiki 2 mpk 3 bila kufik Kwa mke wa pili natoka amuoe huyu mke wa pili akimuomb waende hata akawajue wazaz wa mk wa pili napia huyo mwanaume hatak kwenda kumtambulisha Kwa ndug zake nasasa nimwak nazaid lkn huyu mwanamk wa pili amechok maan hata akipata matatizo huyu mume hata apigiwe msaad wowote Kwa huyu mwanamk anakuw anasaidiw na majiran na ndug zak nahii Hali naakimwambia mwanaume kuhusu kupanga zamu hatak je huyu mwanamk huyu kuomba talak atakuw na makosa?