HONGERA SANA NDUGU, UMEPENDEZA SANA NA VAZI LA HESHIMA, ALLAH ATAKUHIFADHI ZAIDI INSHA ALLAH, KAMA UMESHAOLEWA ALLAH AMFANYE MEMEWAKO AWE MUME MWEMA, NA KAMA BADO ALLAH AKUJAALIE MUME MWEMA.
Hongera sana Tunu endelea kuji heshimu na kazi yako, hakuna mipaka kwenye kazi au fani, michezo ni fani nzuri na pana sana umejikubalisha na imekujubali dear.
Unaona waislamu wanao jitambua limonga jastini limonga mungu amrahamu amlaze mahala panapo sitahili yaani alipojiandalia niependa hii Dada uko powa sana
Mdada mwenye heshima sana Japo mm Mkristo napenda unavyovaa.. Nina hakika ni wewe nilikupa lift siku moja kwenye Rav4 yangu ya zamani rangi blue kipindi tunafanya kazi jengo moja pale Tanga Fresh. Ulikuwa ndio umeanza kutangaza redio ya pale. Mm nilikuwa kampuni ya Solar. Sura naikumbuka sana. Binti mwenye heshima zake.
@@khadijahali4837 wengine wana makalio tu wamepigwa pasi.ndiyo maana nimeuliza ana tako ili nijue kuna wale ukimuona lazima ugeuke njiani watu huwa wanakosea mpaka njia 😄😄😄.
HONGERA SANA NDUGU, UMEPENDEZA SANA NA VAZI LA HESHIMA, ALLAH ATAKUHIFADHI ZAIDI INSHA ALLAH, KAMA UMESHAOLEWA ALLAH AMFANYE MEMEWAKO AWE MUME MWEMA, NA KAMA BADO ALLAH AKUJAALIE MUME MWEMA.
Hongera "Tunu Hassan " kwa kujisitiri ,Hakika unaonyesha kweli mtoto wa kiislamu na umepita Madrasa aka chuo.
Dah mashaallah.... ALLAH akujaalie istiqama Dada angu..... Ni Mara chache kuwapata watu wenye heshima na kujistiri km tu u Hassan
Hongera sana Tunu endelea kuji heshimu na kazi yako, hakuna mipaka kwenye kazi au fani, michezo ni fani nzuri na pana sana umejikubalisha na imekujubali dear.
*Napenda nampenda nampenda sanaaa dada yangu Allah akubarik daima napenda jimsi unavojitunza kimavazi naamini hata heshma yke anailinda vyema*
Hongera sana kwa vazi zuri mashallah umependeza
Bigup uko vizuri kila idara
nampenda Sana huyu mdada Iko vzr anajitambua
Unaona waislamu wanao jitambua limonga jastini limonga mungu amrahamu amlaze mahala panapo sitahili yaani alipojiandalia niependa hii Dada uko powa sana
Tunu wewe ni Mtanga mwenzangu na Muislam mwenzangu. Na ni ndugu yangu.
Allah akustiri. A'miin.
Bundala you're a great guy
Mimi binafsi namkubali sana tunu hassan kwangu mimi huyu ni mtangazaji bora wa kike kwa watangazaji wa michezo
Mashaallah tabarakaallah mngu akuzidishie kipaji.
Huyu mdada binti Shemkome namkubali sana. Mungu azidi kumpa kila fanaka
Tunu sijawahi kukukataa uko sawa Tunu
Rabàna tàkabal ďua amin
Datunu Mambo♥️
Nimefurahi kukuona dada tunu,, 💯💯💯❤️❤️❤️
MashaAllah, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi binti,Ila muulizaji wa maswali mmmmmh,sikumuelewa
Hey ty hum
Mji
Tunu hongera sana kwa kujitambua
nacheza sana mzecho atasikumoja sijapata
Hongereni Jamani ,Usaili mzuri.
Mdada mwenye heshima sana
Japo mm Mkristo napenda unavyovaa..
Nina hakika ni wewe nilikupa lift siku moja kwenye Rav4 yangu ya zamani rangi blue kipindi tunafanya kazi jengo moja pale Tanga Fresh. Ulikuwa ndio umeanza kutangaza redio ya pale. Mm nilikuwa kampuni ya Solar. Sura naikumbuka sana. Binti mwenye heshima zake.
mmmh
Itakuwa ndiye 😊
Wakuoa huyu🥰🥰🥰
l am from kenya mashaallah dadangu msimamo huohuo
Ilove you my sister
Ŕabana dua amin mambo rabana takbal Nikka duua
Mshallah Kumbe. Home kabisa bumbuli
Mashaallaah jamn ume olewa ww jamn
Namsubiri Prisca Kishamba
Mashallah mwanamke stara 💕💕💕
Dimpoz tu mm hoi jaman Tunu Hassan 💋💋💋
Mtoto wa kiislamu mwenye maadili yake yaliyokamilika
Apige hijab kamili
Nakubaali
@@hajjiomary2383
Kasome dini ujue stara ya mwanamke ikoje
Jamii kubwa ya wakazi wa Nakuru ni Wakikuyu na Wakalenjin. Ingawa kwa sasa kuna makabila mchanganyiko yanaishi huko.
Maa shaa Allah
Manshallah
Wajinaaa 💝❣️💝💝
Nyie huyu dada nampenda Sana wallah angejua wallah angenitafuta jmni,😭😭😭
Mtafute wewe
Brother Sky, unaowahoji wajitahidi kutaja na miaka ya wanavyovisimulia mfano masomo n.k!
Namkubali Sana bi dada huyu
Mtangazaji anajua aisee
MashaAllah
Mashallah
@@osamaalharthy4150 sahihi dad yng
Tunu Hassan shenkome penda sana huyu dada ningekuwa na pesa naamini ningekuowa
😂foce kibunda 💵mkuu kwa kua umelitambuwa ilo
Fredrik Bundala wa RFA Enzi zilee
Tanga raha
Alma 4
Jitahidi hivyohivyo umependeza sana
Kumbe msambaa mwenzangu bhana akienda kwao lazima apitie SONI na bus zakwenda huko zinazotoka dar ni MLOLA EXPRES
Wasambaa wapo vizuri
samahani rama hassani she mkome unaeje
Haka kadada tunaomba namba yake plz tuvunje benk
Nakuru sio kwa wajaluo Bali ni kwa wa masai kiasilia ila kwa sasa nimchanganyiko wa makabila
Maswali gaani? Hayo ya mwanzo ,huu ni muislam.
Si vibaya maanake ni funzo pia kwa islamu wengine wa kike
Dada tunu
dimpoz kwa poz
Mlete na Ananias Edgar
Kile kichwa kingine ndug yangu,🤔
Tunu Kama hauna mume naomba nikuowe
Unajiongepea hapo hakuna stara yoyote
TUNU DIMPOZ
Nasikia kiswahili chako daa
Hongera sn
Dada agu kabisa
Binti wa kitanga ma shaallh
Hongera sana Tunuruclips.net/video/LK2eBa7eNJA/видео.html
Sky eti kilemba ni hijab jamni hahaha
Tunataka tukupate BBC swahili wewe
HUWA NAMPENDAA KIMAPENZI HUYU TUNU😥😥😥😋😋😋
pole
😭🙆♀️
Hahahahaha hii kali
@@khdigahk4246 😣😣😣😣NAMPENDAA BALAAAAAAAAAAA
Fafanua maana ya neno HUWA lina maanisha huwaga unamtumia si ndiyo au kiswahili kumkichwa
naomba nikaoe kama hakajaolewa wazee
Weee! Mke wangu huyi
@@mohamedhaji2200 😂🤣🤣🤣🤣
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
TUNU umeolewa?
Kaolewa
@@khadijahali4837 ana tako?
@@Pedeshee01 kuna kiumbe kilichokosa tako labda samaki na nyoka 😁🤣
@@khadijahali4837 wengine wana makalio tu wamepigwa pasi.ndiyo maana nimeuliza ana tako ili nijue kuna wale ukimuona lazima ugeuke njiani watu huwa wanakosea mpaka njia 😄😄😄.
@@Pedeshee01 mfuate nyumbn kwk, sasa tako ww la nn😟😟
Natafuta mume tuje