Huyu ndiye Tunu Hassan, Mtangazaji wa Michezo wa EFM kipenzi cha wengi - Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Mfahamu kwa uzuri Tunu Hassan, mtangazaji wa vipindi vya michezo wa EFM mwenye mashabiki wengi

Комментарии • 103

  • @alisaleh2507
    @alisaleh2507 3 года назад +4

    HONGERA SANA NDUGU, UMEPENDEZA SANA NA VAZI LA HESHIMA, ALLAH ATAKUHIFADHI ZAIDI INSHA ALLAH, KAMA UMESHAOLEWA ALLAH AMFANYE MEMEWAKO AWE MUME MWEMA, NA KAMA BADO ALLAH AKUJAALIE MUME MWEMA.

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 3 года назад +4

    Hongera "Tunu Hassan " kwa kujisitiri ,Hakika unaonyesha kweli mtoto wa kiislamu na umepita Madrasa aka chuo.

  • @abdullatifhassan9399
    @abdullatifhassan9399 3 года назад +6

    Dah mashaallah.... ALLAH akujaalie istiqama Dada angu..... Ni Mara chache kuwapata watu wenye heshima na kujistiri km tu u Hassan

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 3 года назад +2

    Hongera sana Tunu endelea kuji heshimu na kazi yako, hakuna mipaka kwenye kazi au fani, michezo ni fani nzuri na pana sana umejikubalisha na imekujubali dear.

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 3 года назад +1

    *Napenda nampenda nampenda sanaaa dada yangu Allah akubarik daima napenda jimsi unavojitunza kimavazi naamini hata heshma yke anailinda vyema*

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 года назад +5

    Hongera sana kwa vazi zuri mashallah umependeza

  • @kassammsangi5529
    @kassammsangi5529 Год назад

    Bigup uko vizuri kila idara

  • @nginayalazaro3661
    @nginayalazaro3661 Год назад

    nampenda Sana huyu mdada Iko vzr anajitambua

  • @allymbaruku6930
    @allymbaruku6930 3 года назад +1

    Unaona waislamu wanao jitambua limonga jastini limonga mungu amrahamu amlaze mahala panapo sitahili yaani alipojiandalia niependa hii Dada uko powa sana

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 3 года назад

    Tunu wewe ni Mtanga mwenzangu na Muislam mwenzangu. Na ni ndugu yangu.
    Allah akustiri. A'miin.

  • @jessehuho3301
    @jessehuho3301 2 года назад

    Bundala you're a great guy

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 Год назад

    Mimi binafsi namkubali sana tunu hassan kwangu mimi huyu ni mtangazaji bora wa kike kwa watangazaji wa michezo

  • @asmaafamau9293
    @asmaafamau9293 3 года назад

    Mashaallah tabarakaallah mngu akuzidishie kipaji.

  • @saulbichwa4782
    @saulbichwa4782 3 года назад

    Huyu mdada binti Shemkome namkubali sana. Mungu azidi kumpa kila fanaka

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 года назад

    Tunu sijawahi kukukataa uko sawa Tunu

  • @AnuariSatari
    @AnuariSatari 6 месяцев назад

    Rabàna tàkabal ďua amin

  • @Stevenmgonja
    @Stevenmgonja 28 дней назад

    Datunu Mambo♥️

  • @fredymaswimwita3091
    @fredymaswimwita3091 3 года назад

    Nimefurahi kukuona dada tunu,, 💯💯💯❤️❤️❤️

  • @kenneth.m.siwale9699
    @kenneth.m.siwale9699 3 года назад

    MashaAllah, Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi binti,Ila muulizaji wa maswali mmmmmh,sikumuelewa

  • @uwimanajeniffer6889
    @uwimanajeniffer6889 3 года назад

    Hey ty hum
    Mji

  • @iddyjumanne2624
    @iddyjumanne2624 3 года назад +1

    Tunu hongera sana kwa kujitambua

  • @emanuelmrope6391
    @emanuelmrope6391 2 года назад

    nacheza sana mzecho atasikumoja sijapata

  • @folonatuszongo475
    @folonatuszongo475 3 года назад

    Hongereni Jamani ,Usaili mzuri.

  • @planethakunamatata5254
    @planethakunamatata5254 3 года назад +6

    Mdada mwenye heshima sana
    Japo mm Mkristo napenda unavyovaa..
    Nina hakika ni wewe nilikupa lift siku moja kwenye Rav4 yangu ya zamani rangi blue kipindi tunafanya kazi jengo moja pale Tanga Fresh. Ulikuwa ndio umeanza kutangaza redio ya pale. Mm nilikuwa kampuni ya Solar. Sura naikumbuka sana. Binti mwenye heshima zake.

  • @erickmecky5038
    @erickmecky5038 Год назад

    Wakuoa huyu🥰🥰🥰

  • @jesmirmohamed3467
    @jesmirmohamed3467 3 года назад

    l am from kenya mashaallah dadangu msimamo huohuo

  • @husseinramadhan7482
    @husseinramadhan7482 2 года назад

    Ilove you my sister

  • @AnuariSatari
    @AnuariSatari 6 месяцев назад

    Ŕabana dua amin mambo rabana takbal Nikka duua

  • @hashimumussa7440
    @hashimumussa7440 3 года назад

    Mshallah Kumbe. Home kabisa bumbuli

  • @Hasaniyusufu3689
    @Hasaniyusufu3689 3 года назад

    Mashaallaah jamn ume olewa ww jamn

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 3 года назад

    Namsubiri Prisca Kishamba

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад +1

    Mashallah mwanamke stara 💕💕💕

  • @hamismkude553
    @hamismkude553 3 года назад

    Dimpoz tu mm hoi jaman Tunu Hassan 💋💋💋

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 3 года назад +6

    Mtoto wa kiislamu mwenye maadili yake yaliyokamilika

  • @SuperWababa
    @SuperWababa 3 года назад +1

    Jamii kubwa ya wakazi wa Nakuru ni Wakikuyu na Wakalenjin. Ingawa kwa sasa kuna makabila mchanganyiko yanaishi huko.

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @khatrarage4445
    @khatrarage4445 3 года назад +1

    Manshallah

  • @preciouspeace7686
    @preciouspeace7686 3 года назад

    Wajinaaa 💝❣️💝💝

  • @mussaidrissa8645
    @mussaidrissa8645 3 года назад

    Nyie huyu dada nampenda Sana wallah angejua wallah angenitafuta jmni,😭😭😭

    • @oyay2821
      @oyay2821 2 года назад

      Mtafute wewe

  • @petroprenge8716
    @petroprenge8716 3 года назад

    Brother Sky, unaowahoji wajitahidi kutaja na miaka ya wanavyovisimulia mfano masomo n.k!

  • @dinobakari9953
    @dinobakari9953 3 года назад

    Namkubali Sana bi dada huyu

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 года назад

    Mtangazaji anajua aisee

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 года назад +2

    MashaAllah

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 3 года назад +1

    Tunu Hassan shenkome penda sana huyu dada ningekuwa na pesa naamini ningekuowa

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 3 года назад

    Fredrik Bundala wa RFA Enzi zilee

  • @iddirajabu965
    @iddirajabu965 3 года назад +2

    Tanga raha

  • @MaulidRajabu-bl8wd
    @MaulidRajabu-bl8wd Год назад

    Alma 4

  • @kadriaomar3050
    @kadriaomar3050 3 года назад

    Jitahidi hivyohivyo umependeza sana

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada 3 года назад

    Kumbe msambaa mwenzangu bhana akienda kwao lazima apitie SONI na bus zakwenda huko zinazotoka dar ni MLOLA EXPRES

  • @akramsamil9238
    @akramsamil9238 3 года назад

    samahani rama hassani she mkome unaeje

  • @ankogeorge8972
    @ankogeorge8972 3 года назад

    Haka kadada tunaomba namba yake plz tuvunje benk

  • @ramadhanfara2302
    @ramadhanfara2302 3 года назад

    Nakuru sio kwa wajaluo Bali ni kwa wa masai kiasilia ila kwa sasa nimchanganyiko wa makabila

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 3 года назад +2

    Maswali gaani? Hayo ya mwanzo ,huu ni muislam.

    • @danneismail5442
      @danneismail5442 3 года назад +2

      Si vibaya maanake ni funzo pia kwa islamu wengine wa kike

  • @ahmadbadawi9664
    @ahmadbadawi9664 3 года назад

    Dada tunu

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 3 года назад

    dimpoz kwa poz

  • @latiffahbahati1732
    @latiffahbahati1732 3 года назад +1

    Mlete na Ananias Edgar

  • @hamadfaki2503
    @hamadfaki2503 3 года назад

    Tunu Kama hauna mume naomba nikuowe

  • @mateustomefobrafobra2315
    @mateustomefobrafobra2315 3 года назад

    Unajiongepea hapo hakuna stara yoyote

  • @emmyjosia4488
    @emmyjosia4488 3 года назад

    TUNU DIMPOZ

  • @neemahassan4872
    @neemahassan4872 3 года назад

    Nasikia kiswahili chako daa

  • @waleedalrashdi6416
    @waleedalrashdi6416 3 года назад +2

    Dada agu kabisa

  • @ivonnecseroney5233
    @ivonnecseroney5233 3 года назад +1

    Hongera sana Tunuruclips.net/video/LK2eBa7eNJA/видео.html

  • @chainbre275
    @chainbre275 3 года назад

    Sky eti kilemba ni hijab jamni hahaha

  • @bahatihthoya8028
    @bahatihthoya8028 3 года назад

    Tunataka tukupate BBC swahili wewe

  • @rodgersmasahi9618
    @rodgersmasahi9618 3 года назад +1

    HUWA NAMPENDAA KIMAPENZI HUYU TUNU😥😥😥😋😋😋

    • @shau78
      @shau78 3 года назад

      pole

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 3 года назад +1

      😭🙆‍♀️

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 года назад

      Hahahahaha hii kali

    • @rodgersmasahi9618
      @rodgersmasahi9618 3 года назад

      @@khdigahk4246 😣😣😣😣NAMPENDAA BALAAAAAAAAAAA

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 3 года назад

      Fafanua maana ya neno HUWA lina maanisha huwaga unamtumia si ndiyo au kiswahili kumkichwa

  • @ramatandula7734
    @ramatandula7734 3 года назад

    naomba nikaoe kama hakajaolewa wazee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 3 года назад

    TUNU umeolewa?

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 года назад

      Kaolewa

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      @@khadijahali4837 ana tako?

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Год назад +1

      @@Pedeshee01 kuna kiumbe kilichokosa tako labda samaki na nyoka 😁🤣

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      @@khadijahali4837 wengine wana makalio tu wamepigwa pasi.ndiyo maana nimeuliza ana tako ili nijue kuna wale ukimuona lazima ugeuke njiani watu huwa wanakosea mpaka njia 😄😄😄.

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 Год назад +1

      @@Pedeshee01 mfuate nyumbn kwk, sasa tako ww la nn😟😟

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 3 года назад

    Natafuta mume tuje