"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • "RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
    Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 08, amewasili wilayani Nkasi mkoani Rukwa, akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
    Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
    YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
    ---------------------------------------------------------------------------------------
    HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    www.youtube.co....
    GLOBAL RADIO TV:
    www.youtube.co....
    EXCLUSIVE INTERVIEWS:
    www.youtube.co....

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @szyjr3148
    @szyjr3148 3 года назад +556

    Kama na wewe bado unafatilia hizi video za hayati raisi wetu gonga like hapa 😥😪😥😪 hakika tutakukumbuka sana jemedari wetu dah😭😭 safiri salama baba sisi tupo njiani pia.

  • @peoplepeople416
    @peoplepeople416 3 года назад +118

    Nalia machozi sana nikiwa hapa Nairobi, Kenya 🇰🇪. RIP bingwa....🙏

  • @jacoblusana1082
    @jacoblusana1082 3 года назад +128

    Napitia izi video naskia kulia ,tutakumiss Sana hapa Kenya tulikupenda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @سهيلالزهراني-ض5ي
    @سهيلالزهراني-ض5ي 4 года назад +48

    Piga like hapa ya rais dkt magufuli twende sawa

  • @ibrahimmhesi949
    @ibrahimmhesi949 5 лет назад +417

    Hatutafanya uchaguzi kwa nafasi ya Rais huyu tuliye nae anatosha,kama akili yako inafanana na mimi LIKE

    • @josephsoka1565
      @josephsoka1565 5 лет назад +6

      Ibrahim Mhesi yani hiyo hela ya uchaguzi wangetumia kujengea double roads chalinze mpaka tanga

    • @allykassim9826
      @allykassim9826 5 лет назад +2

      Tatizo katiba ibra... 👍👍👍

    • @ibrahimmhesi949
      @ibrahimmhesi949 5 лет назад +8

      Ally,mbona Rwanda waliweza.Katiba ni makubaliano tu

    • @allykassim9826
      @allykassim9826 5 лет назад +2

      @@ibrahimmhesi949 . yaa. Inawezekana ila ni process kidogo.

    • @odirajerad2808
      @odirajerad2808 5 лет назад +12

      Hata Mimi haina haja ya kuchagua rais huyu anatosha kabisa

  • @nahiyahamdan5281
    @nahiyahamdan5281 3 года назад +53

    Tumemupoteza mtu muhimu saaana Tanzania,mukombozi wawanyoge,baba wa Africa nzima,tunalia saaana😭😭😭😭😭😭 R.I.P

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 5 лет назад +114

    Safi sana Rais wetu kwa kuzidi kutenda haki, mwenyezi mungu azidi kukujalia afya njema.

  • @elizampeter5958
    @elizampeter5958 5 лет назад +23

    Ninayofuraha sana ya kuja kumpa kura JPM, 2020 I'm in the way ! From Qatar!💪💪💪

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 5 лет назад +112

    huyu mama ana bahati,asingepata haki yake mpaka afe ,,wanalindana,zimewatokea puani,big up Preez...alowaona wote wangefukuzwa..

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 5 лет назад +458

    Hakuna raisi kama magufuli hapa Tanzania. Anae amini hili agonge like hapa

  • @tumtumkhan3115
    @tumtumkhan3115 5 лет назад +40

    Natamani ningekuwa ni mtanzania nikapata Rais mwenye imani kama magufuli

    • @sideboy1299
      @sideboy1299 5 лет назад +1

      We ni kutoka wapi

    • @olelendoya3952
      @olelendoya3952 4 года назад +1

      Magufuli ufke katka wilaya zingine hasa monduli na kata zake tuna kero nyingi

  • @justinegichana6693
    @justinegichana6693 4 года назад +27

    am watching from nairobi kenya,,rais magufuli is the best i can assure you ,,,anafahamu haki za wananchi wenzake

  • @nicksonmgale4699
    @nicksonmgale4699 5 лет назад +244

    Hatari sana Rais Magufuli hakika wewe ndiye Rais Bora

  • @eliasgachuna8431
    @eliasgachuna8431 3 года назад +39

    This man was the real deal ,a true blessing to the people of Tanzania.a rare jem .

  • @saudmohammed3390
    @saudmohammed3390 5 лет назад +95

    Magufuli nakuvulia kofia you're the Best

  • @mullamtupa9116
    @mullamtupa9116 5 лет назад +255

    Kama umeskia mama mwenyewe mzuri mzuri naomba like zangu apo

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 5 лет назад +175

    Kura yangu haikupotea ilienda sehem sahihi Mungu akubarki sana Rais wangu 😂😂ukila unaliwa

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 5 лет назад +170

    gonga like hapa kama unamuelewa mheshimwa wetu@jpm ,,, tujuane kabisaaaaa

  • @thulanicele7843
    @thulanicele7843 5 лет назад +101

    U love u mr president.
    Let him lead for the next 30 years. Tanzania oyeeeess.hit like if y love the Tanzanian president and his leadership philosophy.

    • @taniahsasha7826
      @taniahsasha7826 5 лет назад +4

      kenya tutahamia tz

    • @cassiusniyimpagaritse5347
      @cassiusniyimpagaritse5347 5 лет назад +5

      Me i from Burundi namupenda sana magufuri best président of african

    • @marymabubakary1561
      @marymabubakary1561 4 года назад

      kura ya ndio kwa magufuli Mzee wa papo kwa papo nga! kwa nga! muheshimiwa rais police mifugo kuna shida

    • @mansurahmed2176
      @mansurahmed2176 4 года назад +2

      He deserves presidential till his last breath

  • @saumusaliimu3086
    @saumusaliimu3086 3 года назад +28

    Mtetezi wetu atatokea tena kama ww kweli wakuangalia haki za wanyonge😭😭😭😭😭😭

  • @obedikyajimba1057
    @obedikyajimba1057 3 года назад +26

    Nikisoma comment za nyuma moyo waniuma adi machoz yanilengalenga. Nilikupenda,,, Nakupenda na Nitazidi kukuenz.
    RIP MFALME WA AFRICA.

  • @pascalpembamoto8611
    @pascalpembamoto8611 3 года назад +41

    NEVER HAPPEN AGAIN, WE HAVE LOST A MAN, GOD BLESS JPM.

  • @ibrahim1939
    @ibrahim1939 5 лет назад +61

    This is very impressive. Our type of govt. Simple effective.

    • @joearm5551
      @joearm5551 4 года назад +1

      Yes Tanzania are very lucky

  • @lusianasanga3010
    @lusianasanga3010 3 года назад +30

    tutakukumbuka sana wewe nimteule wa mungu😭❤

  • @nadiahussein5892
    @nadiahussein5892 5 лет назад +33

    Allah akulinde anko magu kweli wewe ni mtetezi Wa wanyonge

  • @josephkoskei465
    @josephkoskei465 4 года назад +14

    From Rwanda u guys u really have a good gorvement keep up

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 5 лет назад +127

    Eee mungu sina cha kukulipa kwaajili ya magufuli naomba tu umpe ulinzi wa juu ya mbingu na chini ya ardhi

  • @chatoonline9352
    @chatoonline9352 5 лет назад +15

    Kama unampenda raisi wetu gonga hapa

  • @evelynemachange5305
    @evelynemachange5305 5 лет назад +123

    Hakika hii ni kwa viwango vingine tumepata Rais jamani CCM HOYEE🙏🙏🙏🙏

    • @mariamustapha1677
      @mariamustapha1677 5 лет назад +2

      Oyeeeeee

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 5 лет назад +4

      Magufuli oyeeeee! Haya mambo chama fulani oyee haya mi siyaelewagi vizuri hasa wakati kama huu wa kuhudumia na kuleta maendeleo ya wananchi na nchi kwa ujumla. Huyu raisi ni wa wote, hapa kazi tu hakuna cha nini wala nini.Magufuli oyeeeeeeeeee! Tanzania oyeeeeeeeeeeee!

    • @ernestlaiza9489
      @ernestlaiza9489 5 лет назад

      @@soloartist_ivanvespalusind1609 ndi me Niko chadema Ila huyu no rais yetu sisi wrote Tanzania hakuna cha ccn wa nani

    • @ernestlaiza9489
      @ernestlaiza9489 5 лет назад

      huyu ni rais yetu yetu sisi wote wala sio wa wana ccm tu Ila me chadema chama changu nakipenda ila magu ni wetu sisi wote

    • @soloartist_ivanvespalusind1609
      @soloartist_ivanvespalusind1609 5 лет назад

      @@ernestlaiza9489 umeona, mi ndo kabisa sina chama ila namshukuru Mungu kwa Magu japo sina ajira lakini utendaji wake unanishangaza,kwanza kabisa maadili na pili kufanya vilivyowashida wengi tatu maendeleo yanayyoonekana na yenye viwango vizuri. naamini kwa utendaji wake nitapata tu fursa hata kwa kuendelea kujiajiri.

  • @hajingangila1558
    @hajingangila1558 3 года назад +6

    Haupo tena Baba yetu mwenye huruma mweke pema peponi Amina 🙏

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад +5

    Mungu akulinde Mh Rais kwa kazi nzuri ya kuwatetea wanyonge .Asante sana kwa kumsaidia huyu mama pasipo wewe haki yake ilikuwa imepotea .

  • @rodgersodhiambo1892
    @rodgersodhiambo1892 3 года назад +41

    Currently addicted to watching Magufuli's clips.
    RIP Magufuli

  • @Bigboy-nx3nc
    @Bigboy-nx3nc 5 лет назад +74

    Only if such kind of leadership existed in Kenya 🇰🇪

    • @mussaamisse7613
      @mussaamisse7613 5 лет назад +1

      True kenyatta is just sited and enjoying

    • @lucasmkui3160
      @lucasmkui3160 5 лет назад

      Mh Raisi uposafi napendekeza uwe Raisi wamaisha, hongerasana tenasana udumu Mh nakufananisha na Yesu, wenimkombozi wawanyonge, fukuzakazi wotewenyematatizo halafu nakuomba Mh uchunguze account zote za askari polisi wapo wengiwanamiliki mamilionimengisana nawamefanya visingizio vyakuanzisha makundiya Security guard. Chunguza Mh hadi Zanzibar maduduyapo .

    • @christophervundeli4946
      @christophervundeli4946 5 лет назад

      @@mussaamisse7613 kamata na viongozi wa sacos ya walim urambo, wameiba mamilion, zaidi ya milion 350, uishi milele rais wetu,HAPA KAZI TU!

    • @bendettakatumbi5252
      @bendettakatumbi5252 4 года назад

      Sisi uongozi wetu ni wa ufisadi paaaaaaa bona wasiangalie mfano wa TZ president

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 4 года назад +1

      Bendetta Katumbi leadership full of corrupt individuals

  • @abubakaromarkhan1398
    @abubakaromarkhan1398 3 года назад +50

    Indeed Tanzanians lost the Big fish RIP kiongozi wa Africa we loved you but God loved you more

  • @Hasha-zt2oy
    @Hasha-zt2oy 5 лет назад +75

    Mungu mueke huyu mtu 🙏🙏

  • @icetruth
    @icetruth 5 лет назад +33

    I love President Magufuli. It is a shame for us Kenyans doing nothing for Kenyans other than corruption and fighting for leadership.

  • @rahmaninoh7434
    @rahmaninoh7434 5 лет назад +52

    Miaka 100 madarakan anko magu 💚💛

  • @emmanueldavidy2783
    @emmanueldavidy2783 5 лет назад +6

    Timu magufuri tujuane kabisa hapa💪💪💪

  • @christophercheruiyot5755
    @christophercheruiyot5755 5 лет назад +23

    Thanks mr president for starting with your people 🙏🙏🙏🙏

    • @lucianna4326
      @lucianna4326 3 года назад

      Mungu akulaze Mahal pema

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 Год назад

      Daima tutakukumbuka mtetezi wa wanyonge Mungu akuweke mahali pema peponi Amina

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 5 лет назад +5

    Safiii jpm oyeee!! Mungu baba ndani yako anafanya kazi, tumbua tu wamezidi kutuonea.

  • @abdullahpongwa1537
    @abdullahpongwa1537 5 лет назад +7

    Aisee Mungu akulinde na akusimamie katika uongozi.
    Amiini

  • @kittygirlarmy2651
    @kittygirlarmy2651 3 года назад +29

    Tanzania will never be the same again he was good human being rest in peace

  • @zinaibrahim7004
    @zinaibrahim7004 5 лет назад +44

    hongere sana rais wetu mwenyezi mungu akupe umur marefu inshallah

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 лет назад +33

    Rais unanifuraisha sana yako mukuu wa dunia zima fangilia rais wa nyonge❤

  • @robertsimba5081
    @robertsimba5081 4 года назад +13

    The heart of serving the poor...God bless you

  • @Timoclement
    @Timoclement 3 месяца назад +1

    Kama Bado unamkumbuka shujaa weka like yako

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 5 лет назад +25

    DAH. JPM MUNGU AKULINDE SANA. UNAPIGA KAZI SAA MZEE, KILA MWENYE MACHO KAONA .

  • @aby21111
    @aby21111 4 года назад +8

    The best I've ever seen. I am a tourist who came there twice have something to say.

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 5 лет назад +35

    Nimecheka😂 asante mungu kwa kutenda haki

  • @wycliffeworkdone926
    @wycliffeworkdone926 4 года назад +10

    That's what we call President with authority, big up Mr. President. You are one of a kind.

  • @radhiyaoman2543
    @radhiyaoman2543 5 лет назад +118

    Yaan wamemuachia mwizi na wanalipa deni lake 😁😁😁

  • @jimmyjuliusofficial4420
    @jimmyjuliusofficial4420 5 лет назад +26

    Huyu jamaa ni kiboko...I hope angekuwa Kenya

    • @kulwasalum3597
      @kulwasalum3597 4 года назад

      Katika kundi hilo , wapo kina mama wengine pasi hawakubahatika .....!!!!!0

    • @patrickmbaji2737
      @patrickmbaji2737 3 года назад

      Tungepona bri

  • @stanslausjohn1709
    @stanslausjohn1709 5 лет назад +239

    Huyu jamaa akifa aende mbinguni tu maana anafahamu maana ya haki ni kitu gani

  • @rayzersaid2611
    @rayzersaid2611 5 лет назад +23

    😁😁😃😃Kama umeamini Gaddafi wa Libya kaamia Tz like

  • @chullakoi1508
    @chullakoi1508 5 лет назад +66

    Mama mzuri mzuri tu munamsumbua hapa😂😂😂😂😂😂😂

    • @frolamrema3683
      @frolamrema3683 5 лет назад +1

      Huhuhuuuu

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 5 лет назад +2

      Hahaaaa nafwaaa mh. Harembi unahamisha ugonjwa kutoka Kansa na kuwa ukimwi

    • @eugenyraphael4334
      @eugenyraphael4334 5 лет назад +1

      Andika no ya cm yake

    • @romanambelle6356
      @romanambelle6356 5 лет назад +3

      @@eugenyraphael4334 hahaaaa ss wabongo aliandika namba ili amfuatilie ka amelipwa. Au wewe umeonaje hahaaaa

    • @mnyakitz2007
      @mnyakitz2007 5 лет назад +1

      Na mume wako yupo wapi?
      Polee Sanaa😄😄😄😄😄

  • @tolladams396
    @tolladams396 3 года назад +1

    Tolla dams single kipaji mzaramo siñgo inemile inahega IPO siku you can star

  • @anawa4326
    @anawa4326 5 лет назад +124

    Police 👮‍♂️ walipe ndio watashika adabu na kula Rushwa

    • @chummakame7023
      @chummakame7023 5 лет назад +2

      Na Zanzibar tungepata kiongozi kama huyu tungejenga visiwa vyetu

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 5 лет назад +5

    Lazima tumalizane tu hapa hapa.gongs LIKE kama umemuelewa President.

    • @marymabubakar1646
      @marymabubakar1646 5 лет назад

      Kazi ya police ni kulinda rain na Mali zake viongozi Kazi xote afanye msguguli kura yang Nampa msguguli Amalie aliyoyaanza inshaallah

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 5 лет назад +37

    This why I pray for my President 💪😍

  • @rebekagurthy891
    @rebekagurthy891 5 лет назад +3

    Kuanzia leo nimekubali magufuli ni rais wangu mungu akupe maisha marefu sitaki chama pinzani kuanzia leo

  • @donathaayaga527
    @donathaayaga527 5 лет назад +61

    haya sasa unakuta rushwa ilikuwa laki 5 unakuja kutemeshwa million 15!!!!!

    • @samoramdemu2834
      @samoramdemu2834 5 лет назад +1

      HIYO INAITWA "LOSS OVER PROFIT" RUSHWA LAKI 7 UNALIPA MILIONI 15 SAFI SAANAAAAAAA.

    • @kalistianmasay1420
      @kalistianmasay1420 5 лет назад

      hahahah

    • @lazizerujanabose8802
      @lazizerujanabose8802 5 лет назад

      Donatha Ayaga awo mafisadi hawato subutu tena kula rushwa kwau tawala MH JPM

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 4 года назад +1

    Hongera JPM inahitajika jitihada ya dhati kuwatetea wanyonge!!

  • @aminaamina3035
    @aminaamina3035 5 лет назад +21

    watanzania aki mshkur Mungu sana aliwachagulia kiongoz mzur....MashaAllah

    • @sansiro6174
      @sansiro6174 5 лет назад

      eeh mungu tunakushukuru kwa kutupatia kiumbe huyu huyu ni kiumbe wa ajabu Sana hakika mungu utabaki Kuwa mungu jpm oyeee

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 года назад +22

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!

  • @mozasaid8072
    @mozasaid8072 5 лет назад +13

    😍ilove u my prsdent

  • @edwinotiatomarwa.6361
    @edwinotiatomarwa.6361 4 года назад +2

    I wish tungekuwa na Rais kama Magufuli hapa Kenya.

  • @saidatkhamis4633
    @saidatkhamis4633 5 лет назад +8

    Mtetezi wa wanyonge this is a true leader honourable mr.magufuli may u live longer

  • @nicknakola5024
    @nicknakola5024 4 года назад +5

    Am from Kenya.....I like you magufuli go on to fight corruption

  • @mwaminimashaallahalhabibsh7992
    @mwaminimashaallahalhabibsh7992 5 лет назад +7

    Mungu azid kukulinda Rais wetu

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi 5 лет назад +14

    Rais uyu mtetezi wawanyonge, kipenzi cha watu yeye nimfano Bora anastahili sifa na eshima kabisa.
    Tanzania mmebarikiwa kweli kuliko inchi zote barani Africa.
    Mungu amlinde kwelikweli.

    • @floradori5760
      @floradori5760 4 года назад

      Rais wetu mzuri mnoo ana roho zuri ya kutetea wanyongee

    • @lugongoabdallah288
      @lugongoabdallah288 4 года назад

      MUNGU AJARIEE RAIS WA WANYONGE MUNGU MLINDE ILI ATULINDE SISI WAJA WAKO

  • @maasaimedidingi6488
    @maasaimedidingi6488 5 лет назад +71

    Maguful akae madarakan miak mia

  • @lukemelyemwenga2910
    @lukemelyemwenga2910 5 лет назад +1

    Tunakushukur mh Rais hiyo hak kabisaa ya mama adhulumiwe hiv hiv daaah,, Mungu akubariki mheshimiwa

  • @laitaa8832
    @laitaa8832 5 лет назад +39

    Mueshimiwa Rais wa inchi ya tanzania ombi langu mimi ni kumshirikisha Rais wa inchi yangu Burundi naye awe kama wewe maana wewe ni mfano wakuiga
    Mueshimiwa Rais Mungu akubariki kwa kazi unayo yifanya kwa wanainchi unao waongoza ninamatumainj asili 100% Nao wanakupenda kama unavyo waonesha upendo wa dhati

    • @samoramdemu2834
      @samoramdemu2834 5 лет назад

      RAFIKI YANGU WA BURUNDI ELEWA KUWA WATU WANAFANANA KWA SURA NA UMBO TU LAKINI KWA MATENDO HAWAFANANI!!!!.

    • @brobdidgdihdu4322
      @brobdidgdihdu4322 5 лет назад

      Mwishimiwa rahisi wa tanzania Allah akuzidishiye uwe na umuri murefu kwakweli unaroho ya uruma na unatenda haki

    • @lazizerujanabose8802
      @lazizerujanabose8802 5 лет назад

      Lait Aa 8 sasa Rais wa Burundi akifanya mnasema anaubagizi wa kimakabila sababu kabila ndogo ndio wa dhulumati na wa wuji alafu wakifanyiwa kazi eti ni gonicide ili wasifatiliwi wee haoni ilo kigezo

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 5 лет назад +11

    Mtu akifanya uharibifu mahali na yeye aharibikie hapo hapo,,,,asante sana rais wangu

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 5 лет назад +51

    Natamani tukupe miaka 20 utunyooshee hawa watu wako. Wanatunyanyasa sana watendaji wako. Maneno mengiiii vitendo zero!!! Mungu akulinde mkuu

  • @joyjo2115
    @joyjo2115 3 года назад +5

    Mungu hatutaacha kukulilia,mioyo yetu imeumia Watanzania,Mungu wewe wajua😭😭

  • @willywaire50
    @willywaire50 5 лет назад +23

    Nakupenda mangufuli,kwa moyo wangu wewe ni mtetezi wawanyonge laziwaajibike,natoka kenya..

    • @umawatv6426
      @umawatv6426 5 лет назад

      Jitahidi kumwandika jina lake kwa usahihi na kwa adabu. Hilo ndilo jina gani sasa umemtaja? Be careful

    • @catherinemuhagama7338
      @catherinemuhagama7338 4 года назад

      😄😄ww Jamanii

  • @fortunatajuma5822
    @fortunatajuma5822 5 лет назад +2

    Mungu akulinde Rais wetu.

  • @estheradriel9829
    @estheradriel9829 5 лет назад +72

    Hii number nyingine yani bado tu watu hawaisombi number 😂😂😂nyakati hizi sio za kucheza

  • @issaomari7277
    @issaomari7277 5 лет назад +1

    Muheshimiwa Safi ssna kura yangu iko kwako ila nikuwa naombi garama za bandarini zipungue zitaongeza ajira sana

  • @SaidSaid-cs7mm
    @SaidSaid-cs7mm 5 лет назад +46

    Dili limepigwa Napolis wamehusika lkn ngoma imewaangukia wao😄

  • @janethjacob6676
    @janethjacob6676 3 года назад +1

    Kiukwel nilikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi rais wangu

  • @leshasky8893
    @leshasky8893 3 года назад +4

    Dah this man had authority ....he solved the problems on the sport no divergence ...... R.I.P Magifuli

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 5 лет назад +11

    Huyu ndiye Rais wa anyonge😭😭
    Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania🙏🙏

  • @cecilialekorere9444
    @cecilialekorere9444 4 года назад +5

    I've shed my tears akhi

  • @VincentMule
    @VincentMule 3 года назад +1

    Lala salama magufuli I wish ungekuwa rais wa kenya,.

  • @davidnyambuche352
    @davidnyambuche352 5 лет назад +10

    Wamemuachia mwizi matokeo yake wanamlipia deni

    • @hassanmagogo4295
      @hassanmagogo4295 3 года назад +1

      Unategemea hawa wanaotemeshwa mamilioni wangekuja kumpenda magufuli? Pumzika pema mtani

  • @peterhano8706
    @peterhano8706 5 лет назад +1

    Hongera mtukufu Rais wetu Ubarikiwe kwa kazi yk nzuri

  • @hoawsall4202
    @hoawsall4202 5 лет назад +9

    God bless you Rais wetu miaka mia

  • @johnkatana6638
    @johnkatana6638 5 лет назад +1

    Huyu angekuwa raisi wa Kenya haki ya mungu Kenya umaskini ingekuwa hakuna kabisa

  • @erastodyamaza4257
    @erastodyamaza4257 5 лет назад +56

    Hizo roho unazo zisaidia leo zitakuombea milele, tembea kifua mbele JPM umetumika haswa, hadi sasa hudaiwi kwa Mungu.

  • @mutuakakuli2128
    @mutuakakuli2128 3 года назад +3

    Haki mungu huyo mtu mzuri bona ukamchukua haki twakuomba umsamehee dhambi zake zote .

  • @g-rock1606
    @g-rock1606 5 лет назад +44

    Natamani raisi wetu wa kenya afuate mienendo mama hiyo

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 5 лет назад

      Rais wa kenya ni maembe 2 ni kufuta baki state house ajui la kufanya bure kabisa

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc 5 лет назад

      Rais wa Kenya ako ana pigi deal tu

    • @michaeleustach8742
      @michaeleustach8742 5 лет назад

      😀😀😀😀😀😀😀

    • @dottnatt7110
      @dottnatt7110 5 лет назад +1

      Pole sana ndugu zetu wa Kenya
      Tanzania Mungu ametuletea Rais wa wanyonge.

    • @simonmagaigwa6634
      @simonmagaigwa6634 5 лет назад

      Rais wenu ni mwana demokrasia !!

  • @sylivester2932
    @sylivester2932 Год назад

    Hatotokea. Kama huyu like kama una kubali like

  • @tyeuhsvsy1874
    @tyeuhsvsy1874 5 лет назад +6

    Magufuli unanibamba sana mimi although mm s mtanzania ila nakupenda kwa yale unayoyafanya mungu akuzidishie

    • @brunomwakapango935
      @brunomwakapango935 5 лет назад

      Mungu akulinde Mzee kazi yko tunaiyona kwli kuna watu wanaonewa sn endelea na ziara zko Mzee utagundua mengi sn

    • @vailethboniphace6544
      @vailethboniphace6544 5 лет назад

      Tyeu Hsvsy

  • @joshuamagro6155
    @joshuamagro6155 5 лет назад +2

    wafungwe woteee

    • @joshuamagro6155
      @joshuamagro6155 5 лет назад +1

      jaman maixha ni kutafuta nawala xio kutafutana why wamxumbue mam huyooo

  • @feisal38
    @feisal38 4 года назад +4

    Great leadership congratulation jpm

  • @mugishaabdoulkarim3196
    @mugishaabdoulkarim3196 5 лет назад

    Muheshimiwa raisi Magufuli nakupenda sana MUNGU Akupe mwisho mwema kwa kazi unayoifanya

  • @modekessy1790
    @modekessy1790 5 лет назад +13

    wanaokulaum babamkubwa kuzimu Inawangoja. unatoa haki kwawanyonge mpaka raha. Tunaompenda uncle naomba ulike hapa twende sambamba

  • @saida5091
    @saida5091 4 года назад +1

    Mungu akuongoze na kukusimamia kwenye kazi yako ya wito. Amein.