"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- "RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
Rais Dkt John Magufuli, leo Oktoba 08, amewasili wilayani Nkasi mkoani Rukwa, akiendelea na ziara yake nchini ya kukagua na kuzindua miradi mbalimbali...
Katika ziara yake ambayo ilianzia mkoani Songwe, Rais Magufuli, ameongozana na mawaziri mbalimbali akiwemo Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, Waziri wa mambo ya nje, Profesa Kabudi pamoja na naibu waziri wa michezo, Juliana Shonza..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
---------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: www.youtube.co....
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
www.youtube.co....
GLOBAL RADIO TV:
www.youtube.co....
EXCLUSIVE INTERVIEWS:
www.youtube.co....
Kama na wewe bado unafatilia hizi video za hayati raisi wetu gonga like hapa 😥😪😥😪 hakika tutakukumbuka sana jemedari wetu dah😭😭 safiri salama baba sisi tupo njiani pia.
Mimi hapa sichoki kuzitizama
Naicheki apa saiv daa
P0leni mumepoteza chujaa masikini
❣️
😭😭😭😭😭 m nalia sana tena sana 😭😭😭😭😭
Nalia machozi sana nikiwa hapa Nairobi, Kenya 🇰🇪. RIP bingwa....🙏
Daaa tuna mkubuka Sana Baba etu
Napitia izi video naskia kulia ,tutakumiss Sana hapa Kenya tulikupenda🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
ssaaana
Hakika😭😭😭😭
Kumbe sipo peke yangu
Sanaaaa nilitamani aje atukomboe sisi pia coz hatuna viongozi hapa kwetu Wanao weza fanya haya
U
Piga like hapa ya rais dkt magufuli twende sawa
Hatutafanya uchaguzi kwa nafasi ya Rais huyu tuliye nae anatosha,kama akili yako inafanana na mimi LIKE
Ibrahim Mhesi yani hiyo hela ya uchaguzi wangetumia kujengea double roads chalinze mpaka tanga
Tatizo katiba ibra... 👍👍👍
Ally,mbona Rwanda waliweza.Katiba ni makubaliano tu
@@ibrahimmhesi949 . yaa. Inawezekana ila ni process kidogo.
Hata Mimi haina haja ya kuchagua rais huyu anatosha kabisa
Tumemupoteza mtu muhimu saaana Tanzania,mukombozi wawanyoge,baba wa Africa nzima,tunalia saaana😭😭😭😭😭😭 R.I.P
2
Mmpo vp
umekosea sana kusema tumempoteza mtu muhimu saaana. tumepoteza kiongoza muhimu muhimu saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana tena saannnnnnnnnnnnnna kweli saaaaaaanah.
HI
Sana😭😭😭😭😭😭
Safi sana Rais wetu kwa kuzidi kutenda haki, mwenyezi mungu azidi kukujalia afya njema.
Amina
Amina@malungu kushaha.
Uyu ndio MTU wa haki naukweli
rais wangu hongera san a
Rais wa wanyonge
Ninayofuraha sana ya kuja kumpa kura JPM, 2020 I'm in the way ! From Qatar!💪💪💪
Mungu akuifaz raisiwetu
huyu mama ana bahati,asingepata haki yake mpaka afe ,,wanalindana,zimewatokea puani,big up Preez...alowaona wote wangefukuzwa..
Duh
Yaaaap
ahsante Shemeji mulemule mifugo usumbufu ukiibiwa mifugo wanalindana unaambiwa utoe pesa huku umeibiwa yaani ni sheeda
Mugufuli uishi milele
Hakuna raisi kama magufuli hapa Tanzania. Anae amini hili agonge like hapa
Ha
Abdulihafidh Ali yeah
Abdulihafidh Ali .pamoja rais wetu
Pow
yuko vzr ssna
Natamani ningekuwa ni mtanzania nikapata Rais mwenye imani kama magufuli
We ni kutoka wapi
Magufuli ufke katka wilaya zingine hasa monduli na kata zake tuna kero nyingi
am watching from nairobi kenya,,rais magufuli is the best i can assure you ,,,anafahamu haki za wananchi wenzake
Hatari sana Rais Magufuli hakika wewe ndiye Rais Bora
Mungu akupe wingi wa sku baba magu
Kwakweli kunna wengi wanaonewa Sauti zao hazickiki
nickson mgale ..kwel kbs
Tena saana, mie nina wivu kumpata rais kama uyo
Mungu amlinde Rais wetu
This man was the real deal ,a true blessing to the people of Tanzania.a rare jem .
Yani alikua mtu wa maskini bro MUNGU AMREHEMU wamefanya kumuondoa huyu jembe
Siwez kwakweli nashindwa machozi yanitoka 😭😭😭
@@aliandrew3537 n8
@@yahayamapuli6394 )
hhhhhhhhh
Magufuli nakuvulia kofia you're the Best
I wish kenya tungekuwa na rais kama maghufuli
Kama umeskia mama mwenyewe mzuri mzuri naomba like zangu apo
Tena kama wa kule Kisa...rawe😱👏
Rahma kweli
Huhuhuhuuuu muache maneno yenu apa mangu anasoma comments
Mambo
@@devidisack3388 poa poa,
Kura yangu haikupotea ilienda sehem sahihi Mungu akubarki sana Rais wangu 😂😂ukila unaliwa
nataka kiruku Pat wan
.Latina yayanga
Hata mimi kwakweli
UKHTY UKHTY akika makufuri niraisiwawan yonge mungu akupe maisha marefu kwakazi unayofany
God bless you President
gonga like hapa kama unamuelewa mheshimwa wetu@jpm ,,, tujuane kabisaaaaa
Mimi nimemuelewa sana naninampogezasana kwamaa muZialiye yachukua piamungu amlinde
Lukemelye Mwenga
Gi
Asante baba
U love u mr president.
Let him lead for the next 30 years. Tanzania oyeeeess.hit like if y love the Tanzanian president and his leadership philosophy.
kenya tutahamia tz
Me i from Burundi namupenda sana magufuri best président of african
kura ya ndio kwa magufuli Mzee wa papo kwa papo nga! kwa nga! muheshimiwa rais police mifugo kuna shida
He deserves presidential till his last breath
Mtetezi wetu atatokea tena kama ww kweli wakuangalia haki za wanyonge😭😭😭😭😭😭
Itachukua muda mno
Nikisoma comment za nyuma moyo waniuma adi machoz yanilengalenga. Nilikupenda,,, Nakupenda na Nitazidi kukuenz.
RIP MFALME WA AFRICA.
NEVER HAPPEN AGAIN, WE HAVE LOST A MAN, GOD BLESS JPM.
This is very impressive. Our type of govt. Simple effective.
Yes Tanzania are very lucky
tutakukumbuka sana wewe nimteule wa mungu😭❤
Allah akulinde anko magu kweli wewe ni mtetezi Wa wanyonge
Hayuko tena
From Rwanda u guys u really have a good gorvement keep up
,❣️
Uliwapa hakiwanyonge baba badoninalia sana mtetezi wetu,munguakutunze hukoulipo
Eee mungu sina cha kukulipa kwaajili ya magufuli naomba tu umpe ulinzi wa juu ya mbingu na chini ya ardhi
Wa TZ mumebaadika kua na president mwenye Ekima
Kama unampenda raisi wetu gonga hapa
Hakika hii ni kwa viwango vingine tumepata Rais jamani CCM HOYEE🙏🙏🙏🙏
Oyeeeeee
Magufuli oyeeeee! Haya mambo chama fulani oyee haya mi siyaelewagi vizuri hasa wakati kama huu wa kuhudumia na kuleta maendeleo ya wananchi na nchi kwa ujumla. Huyu raisi ni wa wote, hapa kazi tu hakuna cha nini wala nini.Magufuli oyeeeeeeeeee! Tanzania oyeeeeeeeeeeee!
@@soloartist_ivanvespalusind1609 ndi me Niko chadema Ila huyu no rais yetu sisi wrote Tanzania hakuna cha ccn wa nani
huyu ni rais yetu yetu sisi wote wala sio wa wana ccm tu Ila me chadema chama changu nakipenda ila magu ni wetu sisi wote
@@ernestlaiza9489 umeona, mi ndo kabisa sina chama ila namshukuru Mungu kwa Magu japo sina ajira lakini utendaji wake unanishangaza,kwanza kabisa maadili na pili kufanya vilivyowashida wengi tatu maendeleo yanayyoonekana na yenye viwango vizuri. naamini kwa utendaji wake nitapata tu fursa hata kwa kuendelea kujiajiri.
Haupo tena Baba yetu mwenye huruma mweke pema peponi Amina 🙏
Mungu akulinde Mh Rais kwa kazi nzuri ya kuwatetea wanyonge .Asante sana kwa kumsaidia huyu mama pasipo wewe haki yake ilikuwa imepotea .
Currently addicted to watching Magufuli's clips.
RIP Magufuli
RlP magufili tutakukubuka
Me too
Only if such kind of leadership existed in Kenya 🇰🇪
True kenyatta is just sited and enjoying
Mh Raisi uposafi napendekeza uwe Raisi wamaisha, hongerasana tenasana udumu Mh nakufananisha na Yesu, wenimkombozi wawanyonge, fukuzakazi wotewenyematatizo halafu nakuomba Mh uchunguze account zote za askari polisi wapo wengiwanamiliki mamilionimengisana nawamefanya visingizio vyakuanzisha makundiya Security guard. Chunguza Mh hadi Zanzibar maduduyapo .
@@mussaamisse7613 kamata na viongozi wa sacos ya walim urambo, wameiba mamilion, zaidi ya milion 350, uishi milele rais wetu,HAPA KAZI TU!
Sisi uongozi wetu ni wa ufisadi paaaaaaa bona wasiangalie mfano wa TZ president
Bendetta Katumbi leadership full of corrupt individuals
Indeed Tanzanians lost the Big fish RIP kiongozi wa Africa we loved you but God loved you more
Mungu mueke huyu mtu 🙏🙏
Amina
Simba vs alhal
Simba
I love President Magufuli. It is a shame for us Kenyans doing nothing for Kenyans other than corruption and fighting for leadership.
Miaka 100 madarakan anko magu 💚💛
Jaman ramhma umeona eeee
Yeah
@@rahmaninoh7434 nakukubali sana rahma
@@rahmaninoh7434 rahma wawap jaman wee😁😊
@@rahmaninoh7434 jaman ramhma wawap
Timu magufuri tujuane kabisa hapa💪💪💪
Thanks mr president for starting with your people 🙏🙏🙏🙏
Mungu akulaze Mahal pema
Daima tutakukumbuka mtetezi wa wanyonge Mungu akuweke mahali pema peponi Amina
Safiii jpm oyeee!! Mungu baba ndani yako anafanya kazi, tumbua tu wamezidi kutuonea.
Kamiriyoni
Rakidube
Aisee Mungu akulinde na akusimamie katika uongozi.
Amiini
Tanzania will never be the same again he was good human being rest in peace
Exactly
hongere sana rais wetu mwenyezi mungu akupe umur marefu inshallah
..
Huyu ni noma jamani mungu ampe. Maisha marefu jamani
Rais unanifuraisha sana yako mukuu wa dunia zima fangilia rais wa nyonge❤
Nyosha Baba nyosha
The heart of serving the poor...God bless you
mutama magufuri imana ikurinde caneeeeeeee
Kama Bado unamkumbuka shujaa weka like yako
DAH. JPM MUNGU AKULINDE SANA. UNAPIGA KAZI SAA MZEE, KILA MWENYE MACHO KAONA .
Makufuli baba lao
Kabisa Mungu amzidishie miaka
The best I've ever seen. I am a tourist who came there twice have something to say.
Nimecheka😂 asante mungu kwa kutenda haki
That's what we call President with authority, big up Mr. President. You are one of a kind.
Yaan wamemuachia mwizi na wanalipa deni lake 😁😁😁
😂😂😂😂😂😂noma
😂😂😂 adi raha
Ndio wakome kula rushwa maana kuna polisi kweli wenye weledi na wako vizuri na kazi ila kuna wengine pasua kichwa.
Yaani tunapumua sasa kwa kupata raisi anaetusemea ,hongera baba raisi wetu.
Hahahaha
Huyu jamaa ni kiboko...I hope angekuwa Kenya
Katika kundi hilo , wapo kina mama wengine pasi hawakubahatika .....!!!!!0
Tungepona bri
Huyu jamaa akifa aende mbinguni tu maana anafahamu maana ya haki ni kitu gani
Kabisaa
Mungu ampe umli mrefu
Uko sawa kabisa mkuu asimilia mia naungana na wewe
Naisi itapungu lushwa mweshimiwa lais wakome sana
😂😂
😁😁😃😃Kama umeamini Gaddafi wa Libya kaamia Tz like
Rayson Mwakasege hahahahahahhaha
Kwakweri urikuwa mwanaume
🤣🤣🤣🤣
Mama mzuri mzuri tu munamsumbua hapa😂😂😂😂😂😂😂
Huhuhuuuu
Hahaaaa nafwaaa mh. Harembi unahamisha ugonjwa kutoka Kansa na kuwa ukimwi
Andika no ya cm yake
@@eugenyraphael4334 hahaaaa ss wabongo aliandika namba ili amfuatilie ka amelipwa. Au wewe umeonaje hahaaaa
Na mume wako yupo wapi?
Polee Sanaa😄😄😄😄😄
Tolla dams single kipaji mzaramo siñgo inemile inahega IPO siku you can star
Police 👮♂️ walipe ndio watashika adabu na kula Rushwa
Na Zanzibar tungepata kiongozi kama huyu tungejenga visiwa vyetu
Lazima tumalizane tu hapa hapa.gongs LIKE kama umemuelewa President.
Kazi ya police ni kulinda rain na Mali zake viongozi Kazi xote afanye msguguli kura yang Nampa msguguli Amalie aliyoyaanza inshaallah
This why I pray for my President 💪😍
Ok president
Kuanzia leo nimekubali magufuli ni rais wangu mungu akupe maisha marefu sitaki chama pinzani kuanzia leo
😭😭😭
haya sasa unakuta rushwa ilikuwa laki 5 unakuja kutemeshwa million 15!!!!!
HIYO INAITWA "LOSS OVER PROFIT" RUSHWA LAKI 7 UNALIPA MILIONI 15 SAFI SAANAAAAAAA.
hahahah
Donatha Ayaga awo mafisadi hawato subutu tena kula rushwa kwau tawala MH JPM
Hongera JPM inahitajika jitihada ya dhati kuwatetea wanyonge!!
watanzania aki mshkur Mungu sana aliwachagulia kiongoz mzur....MashaAllah
eeh mungu tunakushukuru kwa kutupatia kiumbe huyu huyu ni kiumbe wa ajabu Sana hakika mungu utabaki Kuwa mungu jpm oyeee
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa!
🙏🙏🙏🙏
😍ilove u my prsdent
I wish tungekuwa na Rais kama Magufuli hapa Kenya.
Mtetezi wa wanyonge this is a true leader honourable mr.magufuli may u live longer
Am from Kenya.....I like you magufuli go on to fight corruption
Mungu azid kukulinda Rais wetu
Rais uyu mtetezi wawanyonge, kipenzi cha watu yeye nimfano Bora anastahili sifa na eshima kabisa.
Tanzania mmebarikiwa kweli kuliko inchi zote barani Africa.
Mungu amlinde kwelikweli.
Rais wetu mzuri mnoo ana roho zuri ya kutetea wanyongee
MUNGU AJARIEE RAIS WA WANYONGE MUNGU MLINDE ILI ATULINDE SISI WAJA WAKO
Maguful akae madarakan miak mia
Hyu ndo tulikuwa tunamuhutaji
@@charlesnassary6689 nani Gadaffi
Tunakushukur mh Rais hiyo hak kabisaa ya mama adhulumiwe hiv hiv daaah,, Mungu akubariki mheshimiwa
Mueshimiwa Rais wa inchi ya tanzania ombi langu mimi ni kumshirikisha Rais wa inchi yangu Burundi naye awe kama wewe maana wewe ni mfano wakuiga
Mueshimiwa Rais Mungu akubariki kwa kazi unayo yifanya kwa wanainchi unao waongoza ninamatumainj asili 100% Nao wanakupenda kama unavyo waonesha upendo wa dhati
RAFIKI YANGU WA BURUNDI ELEWA KUWA WATU WANAFANANA KWA SURA NA UMBO TU LAKINI KWA MATENDO HAWAFANANI!!!!.
Mwishimiwa rahisi wa tanzania Allah akuzidishiye uwe na umuri murefu kwakweli unaroho ya uruma na unatenda haki
Lait Aa 8 sasa Rais wa Burundi akifanya mnasema anaubagizi wa kimakabila sababu kabila ndogo ndio wa dhulumati na wa wuji alafu wakifanyiwa kazi eti ni gonicide ili wasifatiliwi wee haoni ilo kigezo
Mtu akifanya uharibifu mahali na yeye aharibikie hapo hapo,,,,asante sana rais wangu
Natamani tukupe miaka 20 utunyooshee hawa watu wako. Wanatunyanyasa sana watendaji wako. Maneno mengiiii vitendo zero!!! Mungu akulinde mkuu
Ameen
Amen@Beatrice Mapembe.
Haswaaaaa
Maneno ya mkosaji
Mungu hatutaacha kukulilia,mioyo yetu imeumia Watanzania,Mungu wewe wajua😭😭
Nakupenda mangufuli,kwa moyo wangu wewe ni mtetezi wawanyonge laziwaajibike,natoka kenya..
Jitahidi kumwandika jina lake kwa usahihi na kwa adabu. Hilo ndilo jina gani sasa umemtaja? Be careful
😄😄ww Jamanii
Mungu akulinde Rais wetu.
Hii number nyingine yani bado tu watu hawaisombi number 😂😂😂nyakati hizi sio za kucheza
bado hawajaelewa wataisha.
Nyakati za mwisho
Muheshimiwa Safi ssna kura yangu iko kwako ila nikuwa naombi garama za bandarini zipungue zitaongeza ajira sana
Dili limepigwa Napolis wamehusika lkn ngoma imewaangukia wao😄
Said Said 😆😆😆😆😆😆😆😆
Unafaaaa mweshimiwa hasikal nao kwa rushwa wamezidi
😂😂😂😂😂
Kiukwel nilikupenda sana ila Mungu amekupenda zaidi rais wangu
Dah this man had authority ....he solved the problems on the sport no divergence ...... R.I.P Magifuli
Huyu ndiye Rais wa anyonge😭😭
Mungu ibariki Africa Mungu ibariki Tanzania🙏🙏
Mkuu Mungu kakuleta
I've shed my tears akhi
Lala salama magufuli I wish ungekuwa rais wa kenya,.
Wamemuachia mwizi matokeo yake wanamlipia deni
Unategemea hawa wanaotemeshwa mamilioni wangekuja kumpenda magufuli? Pumzika pema mtani
Hongera mtukufu Rais wetu Ubarikiwe kwa kazi yk nzuri
God bless you Rais wetu miaka mia
Huyu angekuwa raisi wa Kenya haki ya mungu Kenya umaskini ingekuwa hakuna kabisa
Hizo roho unazo zisaidia leo zitakuombea milele, tembea kifua mbele JPM umetumika haswa, hadi sasa hudaiwi kwa Mungu.
Amina
Amen
Haki mungu huyo mtu mzuri bona ukamchukua haki twakuomba umsamehee dhambi zake zote .
Natamani raisi wetu wa kenya afuate mienendo mama hiyo
Rais wa kenya ni maembe 2 ni kufuta baki state house ajui la kufanya bure kabisa
Rais wa Kenya ako ana pigi deal tu
😀😀😀😀😀😀😀
Pole sana ndugu zetu wa Kenya
Tanzania Mungu ametuletea Rais wa wanyonge.
Rais wenu ni mwana demokrasia !!
Hatotokea. Kama huyu like kama una kubali like
Magufuli unanibamba sana mimi although mm s mtanzania ila nakupenda kwa yale unayoyafanya mungu akuzidishie
Mungu akulinde Mzee kazi yko tunaiyona kwli kuna watu wanaonewa sn endelea na ziara zko Mzee utagundua mengi sn
Tyeu Hsvsy
wafungwe woteee
jaman maixha ni kutafuta nawala xio kutafutana why wamxumbue mam huyooo
Great leadership congratulation jpm
Muheshimiwa raisi Magufuli nakupenda sana MUNGU Akupe mwisho mwema kwa kazi unayoifanya
wanaokulaum babamkubwa kuzimu Inawangoja. unatoa haki kwawanyonge mpaka raha. Tunaompenda uncle naomba ulike hapa twende sambamba
Mungu akuongoze na kukusimamia kwenye kazi yako ya wito. Amein.