Angalia zile inchi zenye watu wanatembea uchi ziko na Amani na hawapigani SAA yote ati wanaitetea dini ya mwenyezi Mungu wao wanaishi kwa Upendo maana MUNGU wao ndiye anaye watetea bila kupigana pigana. Halafu nyinyi munakimbilia huko kwa hizo inchi za watu wanatembea uchi sasa Hiyo ni akili gani? Amani ni kwa YESU pekee kuliko dini,dini hutenganisha haileti Upendo kwa watu Bali husababisha Chuki zaidi.
@@annkuya1446 alafu angalia zile nchi zinazo ongoza na ubakaji duniani ,uzinifu,ukwimwi ,ushoga,na robery kuuwana ni nchi za kislam ama nihizo za kutembewa uchi
@StraightPathDawah nashauri video kama izi wanawake waliokuwa uchi mtie ukungu baadhi yasehemu ili miili yao isionekane mana wapo uchi sana alafu video zinakaa maisha marefu tunakusudia heri ila tutahadhari Baarakallahu fiykum
Jesus loves us all no matter our religion backgrounds. Jesus is the way to the light without Jesus we are nothing. Nawapenda wote na upendo wa Jesus christ
MashaAllah sheikh Ramadan umefanya jambo la maana kuendeleza daawa msa maana masheikh wa msa ni maulidi na siasa ndio wameeka mbele.hii kazi ya mitume wameitupa
SIO MASHEKHE ILA NI MASHEHENA!!!!! Mambo ya kuangaziwa ya Tele, waislamu wateseka hadi kufikia kuingia katika mambo yanayo wapoteza na kuwavuwa uislam, hukmu za Allah hazifanyiwi kazi, na kadhalika. Ila Hawa Wanafiki Wanaojitia Uislam Poa wamebaki na maulidi tu wala hawaoni aibu.
Kusilimu ni kuamini moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba Mwenyezi Mungu pekee ndiye Mola wa Ulimwengu. Haya ni maneno ambayo yanapatika katika Biblia. Haya maneno yana njia kadha za kuyatamka. Kwa mfano, Kusema Mungu ni mmoja. Hakuna Mungu mwengine ila Allah. Mungu ni mmoja hana mshirika... Kuwa Muislamu ni lazima pia kuamini kwa moyo na kutamka kwa ulimi kwamba, Hakika MUHAMMAD ni Mtume wa Allah.
Christians fast and PRAY to be closer to God and build good relationship with God and muslims fast to feel the hunger like poor people that's the difference between those two fasting... GOD is love
@@StraightPathDawah Am not misleading neither decieving ,I typed what I was once told by a Muslim brother.... Sorry if you felt offended. May the peace of our Lord savior Jesus Christ be with you🙏🏽
A,alaykum.... Uyo dada anamin MUNGU mmoja ni sawa lakin pia atambue kwamba MUNGU baad ya kuwaumba watu aliwaekea sheria na mipaka ya kuish ktk hi dunia, ili tusishi vile tunavyopenda sis bali tuishi kwa kufata sheria za MUNGU na sivyenginevyo itakuw ni hasara kubwa badae
Mnapenda kubadili maneno ya Biblia ili yawe uongo. Neno lipo wazi lakini mnalazimisha kusali kuwe kufunga. Mnachekesha kweli waislamu. Kristo ndiye njia,kweli na uzima. Wewe dada unayesoma Biblia,naomba unitumie namba yako nimefurahishwa na uelewa wako. Nipo Tanzania
Kusali n kufunga Pako pamoja kwani waislam hufunga n kusali n kuomba msamaha n kushukuru Mungu nyie wakirsto someni maandiko muelewe Ibada y saum inashikanishw n swala ndo unaona mama haezi kufunga Wala kusali
Sheikh Ramadhani Kuria unahekima Sana Sana huna majigambo wala matusi.Umepungukiwa na jambo moja tu na ni kumwamini KRISTO kuwa mwokozi.BWANA akuangazie nuru yake.
Muokozi ni mungu sio kristo. Kwaiyo hajapungukiwa na kitu ila wewe ndo umepungukiwa. Badala ya kuamini mungu ndio muokozi wewe unaamini yesu ndo muokozi.
@@kenyan9739 ukiacha ujinga utaelewa lakini uwapo umelera ushabiki utajichetua hapo mpaka basi, nimesema hivi,kwenye uislam hata mkiishi miaka 10,000 na mkazaa watoto 300 bila ya ndoa hiyo ni zinaa na kila mnapofanya tendo la ndoa hapo mnaandikiwa dhambi, 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄, umekurupuka bi kizee!!
@@kenyan9739 sasa umetokea wapi wewe nawe!!hapo kwa comments zangu umeona kuna huo ushubwada ulioandika? Hau nifedhea zimekushika!!iila nimekujibu japo mada hiyo haipo apo
@@kenyan9739 alafu umekuja kivyengine unadhani siku fahamu!!! 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂, kuna UISLAM, kuna WAISLAM, unatakiwa kujua, lakini kwenu hata came we stay msha jihalalishia, ukiona muislam anafanya tendo la ndoa bila ndoa thambi yake yeye na MUNGU wake, muislam akienda kwa waganga ni yeye na MUNGU wake, akilewa ni yeye na MUNGU wake, akiiba, ni yeye na MUNGU wake, akisengenya, ni yeye na MUNGU wake, akinyanganya, ni yeye na MUNGU, akicheza kamari,ni yeye na MUNGU wake, hayo yapo wazi na hukmu zake ziko wazi, najua umeamia huku lakini chakukusaidia tu, acha kucheza na watoto wa kike iwapo unafanya kwa maksudi alafu ujifaharishe maana wewe ndiwe utakua shetani uliemdanganya na moto unakusubiri, angalia uislam unasema nini usiangalie muislam anafanya nini, tunapngelea uislam hatuongelei waislam, alafu unaona ufahari kuchezea watoto wa kike!!jitu zima hovyooo!! UISLAM UKO PAFECT ,ikiwa unachezea watoto wa kike wakiislam ili utembee ukijigamba basi kati ya wale sheitwani miongoni mwa binadamu wewe umo ndani
Yani wewe, si uite mjadala ? Unaendea watu wenye hawana elimu alafu unatangaza wamesilimu. Tangaza majini walisilimu. Si Yesu muisilamu. Kuna penye Yesu alisilimu??? Tangaza dini kwa haki. Acha kufuata pesa
Huyu shehe,ni kama analazimisha watu wawe waislamu. Halafu anajihisi kuwa dini yao ndiyo sahihi,usihukumu. Wewe nawe umeukuta huo uislamu,huujui uislamu shehe,ni jambo ulilolikuta hujui undani wake.
Kwanini Muhammed alitengeneza dini ingine na anaamini bibilia?na kwanini wanasomanga Quran badala ya bibilia?na kwanini hawa waisilamu wana taka watu wawe waisilamu ili hali wanajua vizuri bibilia ni ya ukweli?
Wabishi wakiristo Sana wao wankazana mungu hangalii mavazi angalia roho mukae uchi kisha mujiuze kisha mungu angalia roho
Angalia zile inchi zenye watu wanatembea uchi ziko na Amani na hawapigani SAA yote ati wanaitetea dini ya mwenyezi Mungu wao wanaishi kwa Upendo maana MUNGU wao ndiye anaye watetea bila kupigana pigana. Halafu nyinyi munakimbilia huko kwa hizo inchi za watu wanatembea uchi sasa Hiyo ni akili gani? Amani ni kwa YESU pekee kuliko dini,dini hutenganisha haileti Upendo kwa watu Bali husababisha Chuki zaidi.
@@annkuya1446 alafu angalia zile nchi zinazo ongoza na ubakaji duniani ,uzinifu,ukwimwi ,ushoga,na robery kuuwana ni nchi za kislam ama nihizo za kutembewa uchi
Masha Allah mungu mkubwa 😭 masikini anasema alikua anatamani awe anaswali mungu amuongoze
Aamiin
Amiin
Huyu msichana nimekupenda sana ulivyojibu hayo maswali 🤲🤲Yesu ni Bwana 🙏🙌🙌🙌
Wakristo tunaongozwa na Mungu
Mungu.yupi.
Masha Allah MwenyeziMungu azid kuwajaalia Masheikh We2 kaz nzur ya MwenyeziMungu
Masha Allah mashekh wetu Allah awape afya njema pamoja na umri mrefu
Ameen
@StraightPathDawah nashauri video kama izi wanawake waliokuwa uchi mtie ukungu baadhi yasehemu ili miili yao isionekane mana wapo uchi sana alafu video zinakaa maisha marefu tunakusudia heri ila tutahadhari Baarakallahu fiykum
Allah akuongoze sheikh wetu Ramadhani nafurahia sana hivi vipindi vya dawah
Shukran jazeelan, ameen
Ustadhi ramadhan mnakazi nzito sana Allah wape nguvu na Imani🇹🇿🤲
Masha Allah sheikh Ramadan mungu akulinde na mabaya
Mashaa Allah Allah akulipe kwa daawah unayoyafnya
Mashaallah sheikh wetu allah akujaalie kila lenye kher na ww
Hakika nakupenda Ramadhan Allah ukuzidishie kila la kheir
Shukrani Allah hamuogoze na dini ya haki
Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam
Masha Allah tabarak Allah sheikh Allah azidi kutunyoosha njia iliyo nyooka aamin ninafuraha kuona kaka yangu akiingia katika dini ya haki.
Masha Allah...mwenyezi Mungu akuajalie afya njema ili uzidi kulingania dini ya Allah
Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na baraka uzidi kuifanya kazi hii njema. Jazak'Allah kheir.
nimependa sana kuwasikiliza hawa wadada wameongea
vizuri na muuliza maswali yuko vizuri sana
Asalamu aleykum sheikh, MANSHALLAH ALLAH akujalie afya njema na yenye mafanikio makubwa katika maisha yako na akupe hekima ,Amin ya ALLAH
Allahuma ameen
Ameen. Ila sista samahani rekebisha hio MashaAllah sio ManshaAllah
@@StraightPathDawah sheikh Ramadhan assalaam alaikum, naomba unisaidie andiko linalotaja skukuu ya Iddi,, verse zake
Kazi nzuri Mash'allah
Mashallah
Dada uko vizuri kabisa hongera,
MashaAllah sheikh mungu akupe umri mrefu na afya njema uzidi kufanya kazi yako njema
Ameen
Kazi nzuri sheikh wetu, mwenyezi mungu akujaalie mema humu duniani na akhera pia
Sheikh mdahalo ulikuwa vizuri in shaa Allah
I love the wisdom of this girl do not judge I love that🤣
Yes she has really WISDOM she can't be deceived easily
mashaallah kazi nzuri sheikh mungu awape nguvu na afya
Kufunga n kusali pamoja katika mwezi wa Ramadhan uwe karibu n Mungu muumba mlenzi ila wengi hawajui na kuomba msamaha n kushkr neema za Mungu
Waalakum salaam warahmatullah wabarakatuh
Mansha Allah Sheekh May Allah bless you Amiin
Samahani rekebisha MashaAllah sio Man
Allahuma ameen
Huyo mwana dada amemweza sheikh
Masha Allah
Subhanallah
Allahu akbar mashaallah Allah akupe mwisho mwema karibu katika dini ya haki
Masha Allah Mungu akujalie Sheikh
Masha Allah
Mashaa Allah sheikh Ramadhan tulikumiss sana
Masha Allah. Nimewapenda hao nduguzetu ktk damu wanajitambua. allah awaongoze waione haki.
Yesu alikuwa akifundisha Injili! aliyoileta.
Wala sio biblia?
Nani alisema akifundisha Qur'an
@@maherzain615 Injili ni biblia agano jipya.
@@andallaathman3856 Hamna aliyesema alifundisha Quran. Uislamu haukuwepo wakati wa Yesu mpaka miaka 600 baada ya Kristo.
@@alicemangat3165 sasa umejibu hapo kma Kwa amesema akifundisha Qur'an yesu Sisi tunajua coz Kwa Qur'an injil
Maashaallah
Jesus loves us all no matter our religion backgrounds.
Jesus is the way to the light without Jesus we are nothing.
Nawapenda wote na upendo wa Jesus christ
What about god?
Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar. Jazaka'llah kher Sheikh: Ramadhan.
Ameen
Masha Allah❤️
mashallah
The braided girl is super...Ustadh una interpret Bible vibayaaa
Wachaneni na Wakristuu
Kabisa dada
MashaAllah shelkh Allah hakulinde kwa kila jambo kazi nzuri sana
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother
Allah akbar
MaashaAllah brother ramadhan kaguo
MashaAllah Sheikhe wetu Allah akubariki kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
Huyo diana ni clever sana
MashaAllah sheikh Ramadan umefanya jambo la maana kuendeleza daawa msa maana masheikh wa msa ni maulidi na siasa ndio wameeka mbele.hii kazi ya mitume wameitupa
SIO MASHEKHE ILA NI MASHEHENA!!!!! Mambo ya kuangaziwa ya Tele, waislamu wateseka hadi kufikia kuingia katika mambo yanayo wapoteza na kuwavuwa uislam, hukmu za Allah hazifanyiwi kazi, na kadhalika. Ila Hawa Wanafiki Wanaojitia Uislam Poa wamebaki na maulidi tu wala hawaoni aibu.
Kusilimu ni kuamini moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba Mwenyezi Mungu pekee ndiye Mola wa Ulimwengu. Haya ni maneno ambayo yanapatika katika Biblia. Haya maneno yana njia kadha za kuyatamka. Kwa mfano, Kusema Mungu ni mmoja. Hakuna Mungu mwengine ila Allah. Mungu ni mmoja hana mshirika...
Kuwa Muislamu ni lazima pia kuamini kwa moyo na kutamka kwa ulimi kwamba, Hakika MUHAMMAD ni Mtume wa Allah.
Mashallah jazakallah kheir
Maashallah!
Mashaallah mashaallah tabaraka Allah
Masha Allah, Allah akulipe mema zaid sheikh wangu
Christians fast and PRAY to be closer to God and build good relationship with God and muslims fast to feel the hunger like poor people that's the difference between those two fasting...
GOD is love
Read Quran 2:183 and stop misleading people with your false information
@@StraightPathDawah Am not misleading neither decieving ,I typed what I was once told by a Muslim brother....
Sorry if you felt offended.
May the peace of our Lord savior Jesus Christ be with you🙏🏽
Muslim's first of all to obey the command of Allah s.w.t since fasting us a pillar of Islam.
Read the Qur'an chapter 2:183 and you will know the Reason
Tafadhali kaka usilazimishe.
Silazima kusilimu nilazima kufikisha ujumbe atakae afuate akatae muachilie ndo maana Kuna moto n pepo
Taqbir Allhahu akbar
Mashallah sheikh jazaakul kheir.
Girl more love,u very sharp big up
She is using her brains
mashaAllah
hyu dada ni argumentator
A,alaykum....
Uyo dada anamin MUNGU mmoja ni sawa lakin pia atambue kwamba MUNGU baad ya kuwaumba watu aliwaekea sheria na mipaka ya kuish ktk hi dunia, ili tusishi vile tunavyopenda sis bali tuishi kwa kufata sheria za MUNGU na sivyenginevyo itakuw ni hasara kubwa badae
Waleikum salam warahmathullahi wabarakatuh
This lady desave wisdom
Jazakumu Llaahu khairan
MashaAllah TabaraqaAllah
Unataka kuhonga huyo Msichana lakini amekuonea far
😂😂😍😍😍😍true the girl has descernment spirit
Kuhoga aje msidhani wakati hamna ushahidi
MASHAA ALLAH
Allah amuongoze ndugu yetu katika dini ya haki uisilamu
mie nadhani ungempa hata mfano wa mama mary (mariam) mama yake yesu mbona alijitanda na kuhifadhi mwili wake yeye mavazi hayo amepata wapi
MASHALLAH
M.a
Mnapenda kubadili maneno ya Biblia ili yawe uongo. Neno lipo wazi lakini mnalazimisha kusali kuwe kufunga. Mnachekesha kweli waislamu. Kristo ndiye njia,kweli na uzima. Wewe dada unayesoma Biblia,naomba unitumie namba yako nimefurahishwa na uelewa wako. Nipo Tanzania
Mr. Joseph itabidi mimi nawe tunganganie huyo mwanadada, manake,,daa, mrembo na haja pungukiwa na maarifa
Kusali n kufunga Pako pamoja kwani waislam hufunga n kusali n kuomba msamaha n kushukuru Mungu nyie wakirsto someni maandiko muelewe Ibada y saum inashikanishw n swala ndo unaona mama haezi kufunga Wala kusali
Na wewe toa mafundisho
Sheikh Ramadhani Kuria unahekima Sana Sana huna majigambo wala matusi.Umepungukiwa na jambo moja tu na ni kumwamini KRISTO kuwa mwokozi.BWANA akuangazie nuru yake.
Mhhh ww kufa tu
Muokozi ni mungu sio kristo. Kwaiyo hajapungukiwa na kitu ila wewe ndo umepungukiwa. Badala ya kuamini mungu ndio muokozi wewe unaamini yesu ndo muokozi.
Hawa wanaojiita wakiristo sijui wanakataa nini na wanakubali nini!!kila andiko lazima watie viraka na wanasema wanaamini bibilia zao
Sasa wewe biblia inakuhusu Nini Kama huamini
Yes tunaamini our bible and we use spritual gifts revelation descernment ,ati waislamu hawakulani hadi muone😂😂😂wapi
@@kenyan9739 ukiacha ujinga utaelewa lakini uwapo umelera ushabiki utajichetua hapo mpaka basi, nimesema hivi,kwenye uislam hata mkiishi miaka 10,000 na mkazaa watoto 300 bila ya ndoa hiyo ni zinaa na kila mnapofanya tendo la ndoa hapo mnaandikiwa dhambi, 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄, umekurupuka bi kizee!!
@@kenyan9739 sasa umetokea wapi wewe nawe!!hapo kwa comments zangu umeona kuna huo ushubwada ulioandika? Hau nifedhea zimekushika!!iila nimekujibu japo mada hiyo haipo apo
@@kenyan9739 alafu umekuja kivyengine unadhani siku fahamu!!! 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂, kuna UISLAM, kuna WAISLAM, unatakiwa kujua, lakini kwenu hata came we stay msha jihalalishia, ukiona muislam anafanya tendo la ndoa bila ndoa thambi yake yeye na MUNGU wake, muislam akienda kwa waganga ni yeye na MUNGU wake, akilewa ni yeye na MUNGU wake, akiiba, ni yeye na MUNGU wake, akisengenya, ni yeye na MUNGU wake, akinyanganya, ni yeye na MUNGU, akicheza kamari,ni yeye na MUNGU wake, hayo yapo wazi na hukmu zake ziko wazi, najua umeamia huku lakini chakukusaidia tu, acha kucheza na watoto wa kike iwapo unafanya kwa maksudi alafu ujifaharishe maana wewe ndiwe utakua shetani uliemdanganya na moto unakusubiri, angalia uislam unasema nini usiangalie muislam anafanya nini, tunapngelea uislam hatuongelei waislam, alafu unaona ufahari kuchezea watoto wa kike!!jitu zima hovyooo!! UISLAM UKO PAFECT ,ikiwa unachezea watoto wa kike wakiislam ili utembee ukijigamba basi kati ya wale sheitwani miongoni mwa binadamu wewe umo ndani
Mtu anasilimu kabla hata hajaambiwa uislamu ni nini? Hao ni kupotea
Ataujua akiwa muislamu
Alikua atamani kuswali lkn hajui aanzie wapi lkn mngu amemplekea shkh kumsilimisha,huyu alikua ashapata imani
Mungu ndio kamuongoza huyo coz ana muongoza anae mtaka so ni mungu
Kaboom
Strange
MashaAllah
Hawa wasichana, wanalenga waziwazi
Fungueni akili yesu ni mu islaam
Takbiiirrrrrtr
Allahu Akbar
Am happy for what hao madada wanasema. Niulizie why I don't join Islam online bro juu najua uliniahidi .
Kijana anatamam kusali wakati hajasilim.Kweli Allah humuogoza amtakae
Wakristo mmejua kuongea maneno mazuri sababu mnajifunza kwenye mitandao ya kiislam zamani hamjui hata ukristo wenu
Aslam alykum warahamatulah wabarakatuh,ustadh unafanya kazi nzuri,naomba msaada wa kuonana na shkh Omar Fatae Niko na tatizo la sukari I need help
Naomba utupigie simu 0777600777
Pole ndugu Allah akupe afya njema
Yani wewe, si uite mjadala ? Unaendea watu wenye hawana elimu alafu unatangaza wamesilimu. Tangaza majini walisilimu. Si Yesu muisilamu. Kuna penye Yesu alisilimu??? Tangaza dini kwa haki. Acha kufuata pesa
Sasa na hawa kina ruto na gachagua wakipishwa safu ya mbele ni haki kweli?
Muslim Wa Kenya wako Sawa Kwa Mungu,,,but Wa Saudi Arabia wanafuck hata Ramadan,,,wakati Wa maombi tuombe tu Kwa Mungu
Umenichekesha haki.....
Hao wadada hawana elim ya maandko lakn wana iq kubwa sana kwann uwalazimishe watu wa convert washasema mungu ni mmoja?
Ndo Kuna mungu wangp watatu au
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu shehe,ni kama analazimisha watu wawe waislamu. Halafu anajihisi kuwa dini yao ndiyo sahihi,usihukumu. Wewe nawe umeukuta huo uislamu,huujui uislamu shehe,ni jambo ulilolikuta hujui undani wake.
Truee us wait for God's Judgement 🙏
Ndio Uislamu ndiyo dini ya haki na kweli. Hakuna nabii hata mmoja aliyeabudu au kufundisha utatu
@@StraightPathDawah Yesu ndiyo Njia,Kweli na Uzima. Hakuna atakayefika mbinguni isipokuwa kwa kupitia kwake. (Hapo vipi?) Kumbuka Yesu siyo Issa.
*True kulazimisha sio kuamini na moyo it has to come from the heart lakini pushing someone and trying to manipulate their understanding*
Yesu si Mungu. Please musome mandiko y yesu nakinywa chake alisema yeye alitumwa n baba yke nae n baba yenu
Kwanini Muhammed alitengeneza dini ingine na anaamini bibilia?na kwanini wanasomanga Quran badala ya bibilia?na kwanini hawa waisilamu wana taka watu wawe waisilamu ili hali wanajua vizuri bibilia ni ya ukweli?
Bibilia nikitabu kilipewa nabii ngani?
N yesu kw mdomo wake alisema ni nani?
N nyie munamuabudu nani?
Hao madada ni kiboko yako
Shenzi sana
Ata muchemshe Koran watu awezi fuata mwarabu
They worship Meccah😬
Utablokiwa ukiendelea na matusi. Watu wanaosilimu ulimwemguni ni maelfu wewe wacha ushamba tembea
@@StraightPathDawah wambie ao waeleweshe makafi walopotea wanoamini mungu watatu
Maskini wa maandiko someni bibilia yenu muielewe
Shahada inataka umkubari Muhammad na allah tuu hatar
Ukristu unatakiwa umkubali Christo na Mwenyezi Mungu.....
N bble inasema muamini Mungu mmja tu wa peke n yesu uliyemtuma.
Ata musilimishe watu iyo nikazi bure
Kwann nikazi bure. Islam means submission to almighty God
Yaani Islam n kutii amri za Mungu
Nina swali kwanini waislam hiuita wakristo makafiri
Meaning ya hilo." Makafiri" ni ?
Sio sisi ni Mwenyezi Mungu amesema. Wenye kuficha au kukataa haki na hata kumshirikisha ALLAH
Kafiri ni kutokubali Mungu wa peke yaani only one creater the almighty God
Na nyie mnasema Mungu Ako kw utatu Mungu baba mwana n roho mtaktifu.
Mashallah