Hata nikifunga saumu siwezi kaa bila......Dawah mitaani Mombasa.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Dawah mitaani kwa hisani ya Straight Path Dawah inaendelea katika mji wa Mombasa. Tafafhali subscribe ili tuendelee kufikisha dawah.

Комментарии • 227

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 2 года назад +5

    Wabishi wakiristo Sana wao wankazana mungu hangalii mavazi angalia roho mukae uchi kisha mujiuze kisha mungu angalia roho

    • @annkuya1446
      @annkuya1446 2 года назад

      Angalia zile inchi zenye watu wanatembea uchi ziko na Amani na hawapigani SAA yote ati wanaitetea dini ya mwenyezi Mungu wao wanaishi kwa Upendo maana MUNGU wao ndiye anaye watetea bila kupigana pigana. Halafu nyinyi munakimbilia huko kwa hizo inchi za watu wanatembea uchi sasa Hiyo ni akili gani? Amani ni kwa YESU pekee kuliko dini,dini hutenganisha haileti Upendo kwa watu Bali husababisha Chuki zaidi.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 года назад +1

      @@annkuya1446 alafu angalia zile nchi zinazo ongoza na ubakaji duniani ,uzinifu,ukwimwi ,ushoga,na robery kuuwana ni nchi za kislam ama nihizo za kutembewa uchi

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +10

    Masha Allah mungu mkubwa 😭 masikini anasema alikua anatamani awe anaswali mungu amuongoze

  • @everlyneiminza5722
    @everlyneiminza5722 2 года назад +1

    Huyu msichana nimekupenda sana ulivyojibu hayo maswali 🤲🤲Yesu ni Bwana 🙏🙌🙌🙌

  • @manenoagrey1519
    @manenoagrey1519 2 года назад +2

    Wakristo tunaongozwa na Mungu

  • @hansmswagara2789
    @hansmswagara2789 2 года назад +2

    Masha Allah MwenyeziMungu azid kuwajaalia Masheikh We2 kaz nzur ya MwenyeziMungu

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 2 года назад +11

    Masha Allah mashekh wetu Allah awape afya njema pamoja na umri mrefu

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Ameen

    • @muhammad-o8r9t
      @muhammad-o8r9t 2 месяца назад

      ​@StraightPathDawah nashauri video kama izi wanawake waliokuwa uchi mtie ukungu baadhi yasehemu ili miili yao isionekane mana wapo uchi sana alafu video zinakaa maisha marefu tunakusudia heri ila tutahadhari Baarakallahu fiykum

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 2 года назад +6

    Allah akuongoze sheikh wetu Ramadhani nafurahia sana hivi vipindi vya dawah

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Год назад

    Ustadhi ramadhan mnakazi nzito sana Allah wape nguvu na Imani🇹🇿🤲

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 2 года назад +4

    Masha Allah sheikh Ramadan mungu akulinde na mabaya

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 года назад +1

    Mashaa Allah Allah akulipe kwa daawah unayoyafnya

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +3

    Mashaallah sheikh wetu allah akujaalie kila lenye kher na ww

  • @MarafikiBeachhotel-ou7xj
    @MarafikiBeachhotel-ou7xj Год назад

    Hakika nakupenda Ramadhan Allah ukuzidishie kila la kheir

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +4

    Shukrani Allah hamuogoze na dini ya haki

  • @iddyally7228
    @iddyally7228 2 года назад +4

    Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam

  • @rooseupojuubuanaaarose3011
    @rooseupojuubuanaaarose3011 2 года назад +1

    Masha Allah tabarak Allah sheikh Allah azidi kutunyoosha njia iliyo nyooka aamin ninafuraha kuona kaka yangu akiingia katika dini ya haki.

  • @athmanmohammedngana8977
    @athmanmohammedngana8977 2 года назад +2

    Masha Allah...mwenyezi Mungu akuajalie afya njema ili uzidi kulingania dini ya Allah

  • @mariamfouziawairimu1295
    @mariamfouziawairimu1295 2 года назад +4

    Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema na baraka uzidi kuifanya kazi hii njema. Jazak'Allah kheir.

  • @estherwigfall2558
    @estherwigfall2558 2 года назад

    nimependa sana kuwasikiliza hawa wadada wameongea
    vizuri na muuliza maswali yuko vizuri sana

  • @saidasheikh8215
    @saidasheikh8215 2 года назад +13

    Asalamu aleykum sheikh, MANSHALLAH ALLAH akujalie afya njema na yenye mafanikio makubwa katika maisha yako na akupe hekima ,Amin ya ALLAH

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Allahuma ameen

    • @maherzain615
      @maherzain615 2 года назад

      Ameen. Ila sista samahani rekebisha hio MashaAllah sio ManshaAllah

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 2 года назад

      @@StraightPathDawah sheikh Ramadhan assalaam alaikum, naomba unisaidie andiko linalotaja skukuu ya Iddi,, verse zake

  • @amurisabiti7037
    @amurisabiti7037 2 года назад +1

    Kazi nzuri Mash'allah

  • @bnussrahlimsantah3730
    @bnussrahlimsantah3730 2 года назад +5

    Mashallah

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 2 года назад

    Dada uko vizuri kabisa hongera,

  • @maryamobo9534
    @maryamobo9534 2 года назад +6

    MashaAllah sheikh mungu akupe umri mrefu na afya njema uzidi kufanya kazi yako njema

  • @al_huda_theguidance5034
    @al_huda_theguidance5034 2 года назад +7

    Kazi nzuri sheikh wetu, mwenyezi mungu akujaalie mema humu duniani na akhera pia

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 2 года назад +2

    Sheikh mdahalo ulikuwa vizuri in shaa Allah

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 2 года назад +10

    I love the wisdom of this girl do not judge I love that🤣

  • @fatumjumaa5563
    @fatumjumaa5563 2 года назад +3

    mashaallah kazi nzuri sheikh mungu awape nguvu na afya

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

    Kufunga n kusali pamoja katika mwezi wa Ramadhan uwe karibu n Mungu muumba mlenzi ila wengi hawajui na kuomba msamaha n kushkr neema za Mungu

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 2 года назад

    Waalakum salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @mahdiyusuf3431
    @mahdiyusuf3431 2 года назад +5

    Mansha Allah Sheekh May Allah bless you Amiin

  • @mpendakiswahili3053
    @mpendakiswahili3053 2 года назад

    Huyo mwana dada amemweza sheikh

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 2 года назад +5

    Masha Allah
    Subhanallah

  • @hajeralqaidi2115
    @hajeralqaidi2115 2 года назад

    Allahu akbar mashaallah Allah akupe mwisho mwema karibu katika dini ya haki

  • @abdullahcassiem1208
    @abdullahcassiem1208 2 года назад +1

    Masha Allah Mungu akujalie Sheikh

  • @kuruthumkilongo7902
    @kuruthumkilongo7902 2 года назад

    Masha Allah

  • @khatibuhijja459
    @khatibuhijja459 2 года назад +1

    Mashaa Allah sheikh Ramadhan tulikumiss sana

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa4273 2 года назад +1

    Masha Allah. Nimewapenda hao nduguzetu ktk damu wanajitambua. allah awaongoze waione haki.

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 2 года назад +4

    Yesu alikuwa akifundisha Injili! aliyoileta.

    • @maherzain615
      @maherzain615 2 года назад +1

      Wala sio biblia?

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 года назад +1

      Nani alisema akifundisha Qur'an

    • @alicemangat3165
      @alicemangat3165 2 года назад +1

      @@maherzain615 Injili ni biblia agano jipya.

    • @alicemangat3165
      @alicemangat3165 2 года назад +2

      @@andallaathman3856 Hamna aliyesema alifundisha Quran. Uislamu haukuwepo wakati wa Yesu mpaka miaka 600 baada ya Kristo.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 года назад

      @@alicemangat3165 sasa umejibu hapo kma Kwa amesema akifundisha Qur'an yesu Sisi tunajua coz Kwa Qur'an injil

  • @mwastimsingi9373
    @mwastimsingi9373 2 года назад

    Maashaallah

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад +7

    Jesus loves us all no matter our religion backgrounds.
    Jesus is the way to the light without Jesus we are nothing.
    Nawapenda wote na upendo wa Jesus christ

  • @mufid707
    @mufid707 2 года назад

    Allah'hu Akbar Allah'hu Akbar. Jazaka'llah kher Sheikh: Ramadhan.

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 2 года назад +4

    Masha Allah❤️

  • @nusurakhamisi1026
    @nusurakhamisi1026 2 года назад

    mashallah

  • @awinojuju8522
    @awinojuju8522 2 года назад +1

    The braided girl is super...Ustadh una interpret Bible vibayaaa
    Wachaneni na Wakristuu

  • @lizaaagich9610
    @lizaaagich9610 2 года назад

    Kabisa dada

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +2

    MashaAllah shelkh Allah hakulinde kwa kila jambo kazi nzuri sana

  • @makenakendi9014
    @makenakendi9014 2 года назад +2

    Mashaallah ALLAH BARIIK always my brother

  • @rasmiamohamed6210
    @rasmiamohamed6210 2 года назад

    Allah akbar

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 2 года назад +1

    MaashaAllah brother ramadhan kaguo

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 2 года назад

    MashaAllah Sheikhe wetu Allah akubariki kila la kheir na baraka afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin

  • @xalimobootan3779
    @xalimobootan3779 2 года назад

    Huyo diana ni clever sana

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 года назад +2

    MashaAllah sheikh Ramadan umefanya jambo la maana kuendeleza daawa msa maana masheikh wa msa ni maulidi na siasa ndio wameeka mbele.hii kazi ya mitume wameitupa

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 2 года назад

      SIO MASHEKHE ILA NI MASHEHENA!!!!! Mambo ya kuangaziwa ya Tele, waislamu wateseka hadi kufikia kuingia katika mambo yanayo wapoteza na kuwavuwa uislam, hukmu za Allah hazifanyiwi kazi, na kadhalika. Ila Hawa Wanafiki Wanaojitia Uislam Poa wamebaki na maulidi tu wala hawaoni aibu.

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад +2

    Kusilimu ni kuamini moyoni na kutamka kwa ulimi kwamba Mwenyezi Mungu pekee ndiye Mola wa Ulimwengu. Haya ni maneno ambayo yanapatika katika Biblia. Haya maneno yana njia kadha za kuyatamka. Kwa mfano, Kusema Mungu ni mmoja. Hakuna Mungu mwengine ila Allah. Mungu ni mmoja hana mshirika...
    Kuwa Muislamu ni lazima pia kuamini kwa moyo na kutamka kwa ulimi kwamba, Hakika MUHAMMAD ni Mtume wa Allah.

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 года назад +1

    Mashallah jazakallah kheir

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 года назад +1

    Maashallah!

  • @mwanapilikaiama4013
    @mwanapilikaiama4013 2 года назад +1

    Mashaallah mashaallah tabaraka Allah

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 2 года назад

    Masha Allah, Allah akulipe mema zaid sheikh wangu

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад +3

    Christians fast and PRAY to be closer to God and build good relationship with God and muslims fast to feel the hunger like poor people that's the difference between those two fasting...
    GOD is love

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад +1

      Read Quran 2:183 and stop misleading people with your false information

    • @JesusChristLovesUs4ever
      @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад +1

      @@StraightPathDawah Am not misleading neither decieving ,I typed what I was once told by a Muslim brother....
      Sorry if you felt offended.
      May the peace of our Lord savior Jesus Christ be with you🙏🏽

    • @AminaCuisine692
      @AminaCuisine692 2 года назад +1

      Muslim's first of all to obey the command of Allah s.w.t since fasting us a pillar of Islam.

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад +1

      Read the Qur'an chapter 2:183 and you will know the Reason

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад

    Tafadhali kaka usilazimishe.

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Silazima kusilimu nilazima kufikisha ujumbe atakae afuate akatae muachilie ndo maana Kuna moto n pepo

  • @habibasalim3092
    @habibasalim3092 2 года назад +1

    Taqbir Allhahu akbar

  • @henriettahildah9688
    @henriettahildah9688 2 года назад

    Mashallah sheikh jazaakul kheir.

  • @judyliz4544
    @judyliz4544 2 года назад

    Girl more love,u very sharp big up

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 2 года назад +2

    mashaAllah

  • @shahabdallah9407
    @shahabdallah9407 7 месяцев назад

    hyu dada ni argumentator

  • @hassangaucho4084
    @hassangaucho4084 2 года назад +3

    A,alaykum....
    Uyo dada anamin MUNGU mmoja ni sawa lakin pia atambue kwamba MUNGU baad ya kuwaumba watu aliwaekea sheria na mipaka ya kuish ktk hi dunia, ili tusishi vile tunavyopenda sis bali tuishi kwa kufata sheria za MUNGU na sivyenginevyo itakuw ni hasara kubwa badae

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 2 года назад

    Waleikum salam warahmathullahi wabarakatuh

  • @lizaaagich9610
    @lizaaagich9610 2 года назад +1

    This lady desave wisdom

  • @ummua5006
    @ummua5006 2 года назад

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 2 года назад

    MashaAllah TabaraqaAllah

  • @casaica2993
    @casaica2993 2 года назад +6

    Unataka kuhonga huyo Msichana lakini amekuonea far

    • @kenyan9739
      @kenyan9739 2 года назад

      😂😂😍😍😍😍true the girl has descernment spirit

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад +1

      Kuhoga aje msidhani wakati hamna ushahidi

  • @jamanoor8707
    @jamanoor8707 2 года назад

    MASHAA ALLAH

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 года назад +6

    Allah amuongoze ndugu yetu katika dini ya haki uisilamu

  • @samxx411
    @samxx411 2 года назад +4

    mie nadhani ungempa hata mfano wa mama mary (mariam) mama yake yesu mbona alijitanda na kuhifadhi mwili wake yeye mavazi hayo amepata wapi

  • @chuumubaby7845
    @chuumubaby7845 2 года назад

    MASHALLAH

  • @hamdishide3137
    @hamdishide3137 2 года назад +2

    M.a

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 года назад +2

    Mnapenda kubadili maneno ya Biblia ili yawe uongo. Neno lipo wazi lakini mnalazimisha kusali kuwe kufunga. Mnachekesha kweli waislamu. Kristo ndiye njia,kweli na uzima. Wewe dada unayesoma Biblia,naomba unitumie namba yako nimefurahishwa na uelewa wako. Nipo Tanzania

    • @mpendakiswahili3053
      @mpendakiswahili3053 2 года назад

      Mr. Joseph itabidi mimi nawe tunganganie huyo mwanadada, manake,,daa, mrembo na haja pungukiwa na maarifa

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Kusali n kufunga Pako pamoja kwani waislam hufunga n kusali n kuomba msamaha n kushukuru Mungu nyie wakirsto someni maandiko muelewe Ibada y saum inashikanishw n swala ndo unaona mama haezi kufunga Wala kusali

    • @Motheking-ps2tl
      @Motheking-ps2tl 3 месяца назад

      Na wewe toa mafundisho

  • @remigimtenga7608
    @remigimtenga7608 2 года назад

    Sheikh Ramadhani Kuria unahekima Sana Sana huna majigambo wala matusi.Umepungukiwa na jambo moja tu na ni kumwamini KRISTO kuwa mwokozi.BWANA akuangazie nuru yake.

    • @saidmzee2554
      @saidmzee2554 2 года назад

      Mhhh ww kufa tu

    • @Motheking-ps2tl
      @Motheking-ps2tl 3 месяца назад

      Muokozi ni mungu sio kristo. Kwaiyo hajapungukiwa na kitu ila wewe ndo umepungukiwa. Badala ya kuamini mungu ndio muokozi wewe unaamini yesu ndo muokozi.

  • @fatumamwalimu5765
    @fatumamwalimu5765 2 года назад +5

    Hawa wanaojiita wakiristo sijui wanakataa nini na wanakubali nini!!kila andiko lazima watie viraka na wanasema wanaamini bibilia zao

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 года назад

      Sasa wewe biblia inakuhusu Nini Kama huamini

    • @kenyan9739
      @kenyan9739 2 года назад

      Yes tunaamini our bible and we use spritual gifts revelation descernment ,ati waislamu hawakulani hadi muone😂😂😂wapi

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 года назад

      @@kenyan9739 ukiacha ujinga utaelewa lakini uwapo umelera ushabiki utajichetua hapo mpaka basi, nimesema hivi,kwenye uislam hata mkiishi miaka 10,000 na mkazaa watoto 300 bila ya ndoa hiyo ni zinaa na kila mnapofanya tendo la ndoa hapo mnaandikiwa dhambi, 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄, umekurupuka bi kizee!!

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 года назад

      @@kenyan9739 sasa umetokea wapi wewe nawe!!hapo kwa comments zangu umeona kuna huo ushubwada ulioandika? Hau nifedhea zimekushika!!iila nimekujibu japo mada hiyo haipo apo

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 года назад

      @@kenyan9739 alafu umekuja kivyengine unadhani siku fahamu!!! 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣😂, kuna UISLAM, kuna WAISLAM, unatakiwa kujua, lakini kwenu hata came we stay msha jihalalishia, ukiona muislam anafanya tendo la ndoa bila ndoa thambi yake yeye na MUNGU wake, muislam akienda kwa waganga ni yeye na MUNGU wake, akilewa ni yeye na MUNGU wake, akiiba, ni yeye na MUNGU wake, akisengenya, ni yeye na MUNGU wake, akinyanganya, ni yeye na MUNGU, akicheza kamari,ni yeye na MUNGU wake, hayo yapo wazi na hukmu zake ziko wazi, najua umeamia huku lakini chakukusaidia tu, acha kucheza na watoto wa kike iwapo unafanya kwa maksudi alafu ujifaharishe maana wewe ndiwe utakua shetani uliemdanganya na moto unakusubiri, angalia uislam unasema nini usiangalie muislam anafanya nini, tunapngelea uislam hatuongelei waislam, alafu unaona ufahari kuchezea watoto wa kike!!jitu zima hovyooo!! UISLAM UKO PAFECT ,ikiwa unachezea watoto wa kike wakiislam ili utembee ukijigamba basi kati ya wale sheitwani miongoni mwa binadamu wewe umo ndani

  • @jamesoseko6245
    @jamesoseko6245 2 года назад +7

    Mtu anasilimu kabla hata hajaambiwa uislamu ni nini? Hao ni kupotea

    • @maherzain615
      @maherzain615 2 года назад

      Ataujua akiwa muislamu

    • @hudaaalhussein3841
      @hudaaalhussein3841 2 года назад +2

      Alikua atamani kuswali lkn hajui aanzie wapi lkn mngu amemplekea shkh kumsilimisha,huyu alikua ashapata imani

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 2 года назад

      Mungu ndio kamuongoza huyo coz ana muongoza anae mtaka so ni mungu

    • @amaa6353
      @amaa6353 2 года назад

      Kaboom

    • @JesusChristLovesUs4ever
      @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад

      Strange

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 2 года назад

    MashaAllah

  • @aslamchannelonline3541
    @aslamchannelonline3541 2 года назад

    Hawa wasichana, wanalenga waziwazi

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад

    Fungueni akili yesu ni mu islaam

  • @mauahassan8816
    @mauahassan8816 2 года назад +1

    Takbiiirrrrrtr

  • @peterobiri2509
    @peterobiri2509 2 года назад

    Am happy for what hao madada wanasema. Niulizie why I don't join Islam online bro juu najua uliniahidi .

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

    Kijana anatamam kusali wakati hajasilim.Kweli Allah humuogoza amtakae

  • @sheikhamansoor3522
    @sheikhamansoor3522 3 месяца назад

    Wakristo mmejua kuongea maneno mazuri sababu mnajifunza kwenye mitandao ya kiislam zamani hamjui hata ukristo wenu

  • @halimanzara6339
    @halimanzara6339 2 года назад +2

    Aslam alykum warahamatulah wabarakatuh,ustadh unafanya kazi nzuri,naomba msaada wa kuonana na shkh Omar Fatae Niko na tatizo la sukari I need help

  • @Footballer-1992
    @Footballer-1992 2 года назад +1

    Yani wewe, si uite mjadala ? Unaendea watu wenye hawana elimu alafu unatangaza wamesilimu. Tangaza majini walisilimu. Si Yesu muisilamu. Kuna penye Yesu alisilimu??? Tangaza dini kwa haki. Acha kufuata pesa

  • @zamzamsalimu6772
    @zamzamsalimu6772 Год назад

    Sasa na hawa kina ruto na gachagua wakipishwa safu ya mbele ni haki kweli?

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 2 года назад

    Muslim Wa Kenya wako Sawa Kwa Mungu,,,but Wa Saudi Arabia wanafuck hata Ramadan,,,wakati Wa maombi tuombe tu Kwa Mungu

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 года назад

    Hao wadada hawana elim ya maandko lakn wana iq kubwa sana kwann uwalazimishe watu wa convert washasema mungu ni mmoja?

    • @saidmzee2554
      @saidmzee2554 2 года назад

      Ndo Kuna mungu wangp watatu au

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 года назад +1

    Huyu shehe,ni kama analazimisha watu wawe waislamu. Halafu anajihisi kuwa dini yao ndiyo sahihi,usihukumu. Wewe nawe umeukuta huo uislamu,huujui uislamu shehe,ni jambo ulilolikuta hujui undani wake.

    • @awinojuju8522
      @awinojuju8522 2 года назад

      Truee us wait for God's Judgement 🙏

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Ndio Uislamu ndiyo dini ya haki na kweli. Hakuna nabii hata mmoja aliyeabudu au kufundisha utatu

    • @josephmusagasa5566
      @josephmusagasa5566 2 года назад +1

      @@StraightPathDawah Yesu ndiyo Njia,Kweli na Uzima. Hakuna atakayefika mbinguni isipokuwa kwa kupitia kwake. (Hapo vipi?) Kumbuka Yesu siyo Issa.

    • @JesusChristLovesUs4ever
      @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад

      *True kulazimisha sio kuamini na moyo it has to come from the heart lakini pushing someone and trying to manipulate their understanding*

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Yesu si Mungu. Please musome mandiko y yesu nakinywa chake alisema yeye alitumwa n baba yke nae n baba yenu

  • @lucythotho5475
    @lucythotho5475 2 года назад

    Kwanini Muhammed alitengeneza dini ingine na anaamini bibilia?na kwanini wanasomanga Quran badala ya bibilia?na kwanini hawa waisilamu wana taka watu wawe waisilamu ili hali wanajua vizuri bibilia ni ya ukweli?

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Bibilia nikitabu kilipewa nabii ngani?

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      N yesu kw mdomo wake alisema ni nani?

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      N nyie munamuabudu nani?

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 2 года назад

    Hao madada ni kiboko yako

  • @kariukijohn148
    @kariukijohn148 2 года назад

    Ata muchemshe Koran watu awezi fuata mwarabu

    • @awinojuju8522
      @awinojuju8522 2 года назад

      They worship Meccah😬

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Utablokiwa ukiendelea na matusi. Watu wanaosilimu ulimwemguni ni maelfu wewe wacha ushamba tembea

    • @saidmzee2554
      @saidmzee2554 2 года назад

      @@StraightPathDawah wambie ao waeleweshe makafi walopotea wanoamini mungu watatu

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Maskini wa maandiko someni bibilia yenu muielewe

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 года назад

    Shahada inataka umkubari Muhammad na allah tuu hatar

    • @awinojuju8522
      @awinojuju8522 2 года назад

      Ukristu unatakiwa umkubali Christo na Mwenyezi Mungu.....

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      N bble inasema muamini Mungu mmja tu wa peke n yesu uliyemtuma.

  • @kariukijohn148
    @kariukijohn148 2 года назад

    Ata musilimishe watu iyo nikazi bure

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Kwann nikazi bure. Islam means submission to almighty God

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Yaani Islam n kutii amri za Mungu

  • @JesusChristLovesUs4ever
    @JesusChristLovesUs4ever 2 года назад

    Nina swali kwanini waislam hiuita wakristo makafiri
    Meaning ya hilo." Makafiri" ni ?

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  2 года назад

      Sio sisi ni Mwenyezi Mungu amesema. Wenye kuficha au kukataa haki na hata kumshirikisha ALLAH

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Kafiri ni kutokubali Mungu wa peke yaani only one creater the almighty God

    • @Nora-v1m3p
      @Nora-v1m3p 7 месяцев назад

      Na nyie mnasema Mungu Ako kw utatu Mungu baba mwana n roho mtaktifu.

  • @am_fashabi3888
    @am_fashabi3888 2 года назад +4

    Mashallah