Комментарии •

  • @Tiwiniankid
    @Tiwiniankid 3 года назад +13

    Huyo kobello katisha kwnye video oriiginal nipen lke za kobello kma umewatch tyar video ya ushamba😂😂

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 3 года назад +17

    Km umemsikia Stan anaulizia CHAKULA,⁵🤣🤣🤣🤣🤣🤣😓🤭 Gonga like tujuane!!!!

  • @aminamnyaruge8574
    @aminamnyaruge8574 3 года назад +19

    Hii million mbili pamoja na kamba yake😂😂😂Jmn chapombe

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 3 года назад +6

    Kobelo::hajielewagi😂😂😂😂

  • @mwanaharussultan886
    @mwanaharussultan886 3 года назад +5

    Daaaaah izi sigara sio bange 🤣🤣🤣🤣

  • @musiccaentertainment100k8
    @musiccaentertainment100k8 Год назад

    Hapa ndio harmonize alianza kuwapoteza wasafi

  • @halimatego67
    @halimatego67 3 года назад +1

    Stani bakora kaongea vizuri kuhusu harmo

  • @montanahtv1222
    @montanahtv1222 3 года назад +2

    Presenter msenge yani swali moja tu

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 3 года назад +3

    Eti killy anaimba km sisi stan unajua

  • @AmCool_
    @AmCool_ 3 года назад +5

    John walker daaaaaaaaaaaaaaaaah RIP

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 3 года назад +12

    Waluguru tupoooo😂😂😂😂

  • @hamzaismail8497
    @hamzaismail8497 2 года назад +1

    kama unamkubali kobelo gonga like

  • @fearja6026
    @fearja6026 3 года назад +1

    Duuuuuuh

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 3 года назад +1

    Hahhaahhha kiukweli Hawa jamaa me nawakubali sn walianza kunimalza kwenye Kali yao MANENO YA KUAMBIWA na sahv wamenfurahsha mpaka nme subscriber hiii channel

  • @aminanuranassor660
    @aminanuranassor660 Год назад

    Mnacekesha nyinyi san😂😂

  • @aloycefrank8697
    @aloycefrank8697 3 года назад +1

    😂🤣😂🤣😂🤣🤗🤗 nawaelewa inaumaga ioooh!

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 3 года назад +3

    Kitambo saana hizo pamba tulikua tunazivaa miaka kuanzia 2000 hadi 2007

  • @saidmo8392
    @saidmo8392 3 года назад

    Kweli pesa ya tanzania haina thamani bilioni 2 unanunua viatu tukae tukijua nyimbo mbaya habembelezewi mtoto viva pesa ya Tanzania 🇹🇿 🇹🇿

    • @mussafadhili1375
      @mussafadhili1375 3 года назад

      Kwaiyo we una amini walichokiongea Hao machiz icho kiatu hapa South Africa kinauzwa dukani R1500 ambayo ni laki mbili ya tanzania na izo nguo dukani full zinauzwa R700 ambayo thaman yake uko ni kama laki moja na kitu uko tanzania iyo bilioni mbili unayoitaja wewe acheni kuongea vitu vya kinafki Hao jamaa comedy wachekeshaji Sasa we utawaamini vip

    • @saidmo8392
      @saidmo8392 3 года назад +2

      @@mussafadhili1375 inshu ni hivi kila msanii hata sio comedy utaskia nguo hii nimenunua milioni tatu kiatu laki 9 hapo ndio utapona hata wasanii wetu wanaishusha thamani pesa yetu kwani hiyo nguo ya ml 3 ukenda kenya inauzwa dolla kumi sasa huoni broo kama tunajidharau tunapofanya sanaa tuthamini na vya kwetu

  • @suleimankatana9442
    @suleimankatana9442 3 года назад +1

    Kobelo hio nguo eti million mbili nukta tatu hahhahaahahhaha

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад +5

    Dah kobelo 🤣🤣🤣🤣stan duh kweli bilion 🤣🤣

  • @hanslikecha4786
    @hanslikecha4786 3 года назад +2

    Wasanii wanapenda kuongea uwongo sana

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 года назад +1

    Hahahahahaha jamani chapombe uko vzuli San

  • @saddamswalehe5137
    @saddamswalehe5137 3 года назад +1

    Haitotokea konde boy kumpta diamond

  • @jacklinemwanga1691
    @jacklinemwanga1691 3 года назад +2

    Jaman kobelo navokupenda we kaka hujui tu

  • @swedisuleimanmusa7511
    @swedisuleimanmusa7511 3 года назад +6

    Stan kubabako kiatu cha elf15 unasema milion2🤣🤣🤣

  • @fabianchitojo7406
    @fabianchitojo7406 3 года назад +1

    Kobelo hujawah kuniacha salama ahahahaaa pamoja na kamba yake

  • @denisdelarue2751
    @denisdelarue2751 3 года назад +1

    but huyu mwanahabari hananga issue illa kutafta kulinganisha konde na wasafi si mtafte maswala muhimu jamani

  • @masterphotographyps4441
    @masterphotographyps4441 3 года назад +1

    😂😂😂😂🙆🏾🙆🏾🏃🏃7b 😂😂😂

  • @sulaiyajuma9959
    @sulaiyajuma9959 3 года назад +1

    Mishono

  • @jotonyae-04
    @jotonyae-04 Год назад

    Hapa kwa gharama ya mavazi wanatuzengua hawa

  • @tryphonefriday6010
    @tryphonefriday6010 3 года назад +1

    HB

  • @suleimankatana3909
    @suleimankatana3909 2 года назад

    Kiatu milion 7 Stan acha utani

  • @simonmisri6968
    @simonmisri6968 3 года назад +1

    Kama umesikia pamoja kamba yake

  • @paschalkuzenza3902
    @paschalkuzenza3902 3 года назад +1

    Mwandishi badili mfumo wa uulizaji maswali usiwe kama mwandishi wa uchama

  • @omarisaria3168
    @omarisaria3168 3 года назад

    Kobelo asante sana

  • @saddamswalehe5137
    @saddamswalehe5137 3 года назад +1

    Www vp

  • @mwanakherkassim8574
    @mwanakherkassim8574 3 года назад

    Nakubali

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 3 года назад +2

    😀😀😀😀😀😀😀🙇

  • @moussamwarira3849
    @moussamwarira3849 3 года назад +1

    Hhhhhhh

  • @hidayayussufu3474
    @hidayayussufu3474 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti haya ni maisha ya mtu

  • @samwelmasisa4160
    @samwelmasisa4160 3 года назад

    Ndomaana bangi inazuiliwa

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 года назад +1

    Huy mtangazaji na yy choko lwel

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa6809 3 года назад

    Hahaha huyo kweli chapombe

  • @Directorjax55
    @Directorjax55 3 года назад +1

    Stan na kobero noma sn hakka nmependa Ila nko na maongez nanyi wawli call me from 0654121472 By Chuchiline tv

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 3 года назад +1

    Stani huyoooo 😂😂😂😂

  • @jenifamligo5199
    @jenifamligo5199 3 года назад

    Maneno yakuambiwa ilishia wapi jaman

  • @michaeleustach9769
    @michaeleustach9769 3 года назад +1

    Duuuu

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 3 года назад +1

    Stan bhanaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eddykaswa8935
    @eddykaswa8935 3 года назад +1

    Bilioni 3 nyege za chura hizo

  • @Jebbytamu
    @Jebbytamu 3 года назад +1

    Hahahhahahahaha hapan aiseee

  • @bakarikhamisi244
    @bakarikhamisi244 3 года назад +1

    M7!!!!!!!?

  • @sadikiissa6411
    @sadikiissa6411 3 года назад

    😂😂😂😂😂😂😂 akunawatu apo

  • @fatmapanaguiton9783
    @fatmapanaguiton9783 3 года назад

    Kobelo na sitani hivi maneno ya kuambiwa hamleti au

  • @rashidchiberya5914
    @rashidchiberya5914 3 года назад

    Maswali gani hayo

  • @djbensntz7981
    @djbensntz7981 3 года назад +1

    Wakwaza yeye et

  • @ayshajumaa7310
    @ayshajumaa7310 3 года назад

    Stan😀😀😁😀ndio nn kujipaka mate

  • @TECHTZTV
    @TECHTZTV 3 года назад

    😀😀😀😀

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 года назад

    Msitudanganye,eti kiatu milion 7

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 3 года назад +1

    Kobelo 😂😂😂😂😂😂

  • @belkeymmaka7288
    @belkeymmaka7288 3 года назад

    😁😁😁

  • @shomarimiraji6576
    @shomarimiraji6576 3 года назад

    Ahahaha

  • @tggghbhj
    @tggghbhj 3 года назад +1

    ruclips.net/video/YN_8TOJzAUY/видео.html
    Tishaaa

  • @estersanga8086
    @estersanga8086 3 года назад

    😂😂😂😂😂

  • @pasnahgmc6876
    @pasnahgmc6876 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud1068 3 года назад +1

    😂😂😂+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦