Hahhaahhha kiukweli Hawa jamaa me nawakubali sn walianza kunimalza kwenye Kali yao MANENO YA KUAMBIWA na sahv wamenfurahsha mpaka nme subscriber hiii channel
Kwaiyo we una amini walichokiongea Hao machiz icho kiatu hapa South Africa kinauzwa dukani R1500 ambayo ni laki mbili ya tanzania na izo nguo dukani full zinauzwa R700 ambayo thaman yake uko ni kama laki moja na kitu uko tanzania iyo bilioni mbili unayoitaja wewe acheni kuongea vitu vya kinafki Hao jamaa comedy wachekeshaji Sasa we utawaamini vip
@@mussafadhili1375 inshu ni hivi kila msanii hata sio comedy utaskia nguo hii nimenunua milioni tatu kiatu laki 9 hapo ndio utapona hata wasanii wetu wanaishusha thamani pesa yetu kwani hiyo nguo ya ml 3 ukenda kenya inauzwa dolla kumi sasa huoni broo kama tunajidharau tunapofanya sanaa tuthamini na vya kwetu
Huyo kobello katisha kwnye video oriiginal nipen lke za kobello kma umewatch tyar video ya ushamba😂😂
Km umemsikia Stan anaulizia CHAKULA,⁵🤣🤣🤣🤣🤣🤣😓🤭 Gonga like tujuane!!!!
Hii million mbili pamoja na kamba yake😂😂😂Jmn chapombe
😂😂😂 na kamba yake
Kobelo::hajielewagi😂😂😂😂
Daaaaah izi sigara sio bange 🤣🤣🤣🤣
Hapa ndio harmonize alianza kuwapoteza wasafi
Stani bakora kaongea vizuri kuhusu harmo
Presenter msenge yani swali moja tu
Eti killy anaimba km sisi stan unajua
John walker daaaaaaaaaaaaaaaaah RIP
Waluguru tupoooo😂😂😂😂
Yes
@@celinelawrence2077 aahaha karibu Dada, wewe wa Moro upande upi?
Tupo
kama unamkubali kobelo gonga like
Duuuuuuh
Hahhaahhha kiukweli Hawa jamaa me nawakubali sn walianza kunimalza kwenye Kali yao MANENO YA KUAMBIWA na sahv wamenfurahsha mpaka nme subscriber hiii channel
Mnacekesha nyinyi san😂😂
😂🤣😂🤣😂🤣🤗🤗 nawaelewa inaumaga ioooh!
Kitambo saana hizo pamba tulikua tunazivaa miaka kuanzia 2000 hadi 2007
Kweli pesa ya tanzania haina thamani bilioni 2 unanunua viatu tukae tukijua nyimbo mbaya habembelezewi mtoto viva pesa ya Tanzania 🇹🇿 🇹🇿
Kwaiyo we una amini walichokiongea Hao machiz icho kiatu hapa South Africa kinauzwa dukani R1500 ambayo ni laki mbili ya tanzania na izo nguo dukani full zinauzwa R700 ambayo thaman yake uko ni kama laki moja na kitu uko tanzania iyo bilioni mbili unayoitaja wewe acheni kuongea vitu vya kinafki Hao jamaa comedy wachekeshaji Sasa we utawaamini vip
@@mussafadhili1375 inshu ni hivi kila msanii hata sio comedy utaskia nguo hii nimenunua milioni tatu kiatu laki 9 hapo ndio utapona hata wasanii wetu wanaishusha thamani pesa yetu kwani hiyo nguo ya ml 3 ukenda kenya inauzwa dolla kumi sasa huoni broo kama tunajidharau tunapofanya sanaa tuthamini na vya kwetu
Kobelo hio nguo eti million mbili nukta tatu hahhahaahahhaha
Dah kobelo 🤣🤣🤣🤣stan duh kweli bilion 🤣🤣
Mungu anawaona waongo😅😅
Wasanii wanapenda kuongea uwongo sana
Ndo maisha Yao😜😂
Hahahahahaha jamani chapombe uko vzuli San
Haitotokea konde boy kumpta diamond
Jaman kobelo navokupenda we kaka hujui tu
Nitafute
@@johnsilima1629 👀 mbona sikuon
Stan kubabako kiatu cha elf15 unasema milion2🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃😃😃Umeonaeeh kavaa tilion 3😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣
Wanazingua kudadeki zao😂😂
@@swedisuleimanmusa7511 🤣🤣🤣😂😂😂😂yaan nimecheka jaman
Wamevurugwa hawa😆😆
Kobelo hujawah kuniacha salama ahahahaaa pamoja na kamba yake
but huyu mwanahabari hananga issue illa kutafta kulinganisha konde na wasafi si mtafte maswala muhimu jamani
😂😂😂😂🙆🏾🙆🏾🏃🏃7b 😂😂😂
Mishono
Hapa kwa gharama ya mavazi wanatuzengua hawa
HB
Kiatu milion 7 Stan acha utani
Kama umesikia pamoja kamba yake
Mwandishi badili mfumo wa uulizaji maswali usiwe kama mwandishi wa uchama
Kobelo asante sana
Www vp
Nakubali
😀😀😀😀😀😀😀🙇
Hhhhhhh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti haya ni maisha ya mtu
Ndomaana bangi inazuiliwa
Huy mtangazaji na yy choko lwel
Hahaha huyo kweli chapombe
Stan na kobero noma sn hakka nmependa Ila nko na maongez nanyi wawli call me from 0654121472 By Chuchiline tv
Stani huyoooo 😂😂😂😂
Pumbavu bilioni tatu ukanye
Maneno yakuambiwa ilishia wapi jaman
Duuuu
Stan bhanaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bilioni 3 nyege za chura hizo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahhahahahaha hapan aiseee
M7!!!!!!!?
😂😂😂😂😂😂😂 akunawatu apo
Kobelo na sitani hivi maneno ya kuambiwa hamleti au
Mbona ishamaliza my
Maswali gani hayo
Pamoko wanyamwezi
Chot
Wakwaza yeye et
Stan😀😀😁😀ndio nn kujipaka mate
😂😂
😄😄😄
😀😀😀😀
Msitudanganye,eti kiatu milion 7
Awa macomedian wanaongea tuu.. kuchekesha..
Elewa ushaambiwa ushamba part
Kobelo 😂😂😂😂😂😂
😁😁😁
Ahahaha
ruclips.net/video/YN_8TOJzAUY/видео.html
Tishaaa
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦