MCHUNGAJI AAPA KUPAMBANA NA GSM KWENYE USAJILI| NITASAJILI WACHEZAJI WAWILI BORA ZAIDI NDANI SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 71

  • @JosephJulius-mf3ov
    @JosephJulius-mf3ov 4 месяца назад +5

    Daah kwel ankol umeongea point sana

  • @Eliacharless-f3z
    @Eliacharless-f3z 4 месяца назад +3

    ❤we mchungaji waumin wamwkukimbia unatafuta wa mitandao

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад +1

    Wewe hujui Simba alikuwa bingwa kwa sababu Yanga alikuwa dhaifu. Sasa Yanga anachukua Simba ikiwa SIO dhaifu.. na ndio utaratibu utakaoendelea 💪🏿

  • @zachariaMakima
    @zachariaMakima 4 месяца назад

    Mtumishi wa Mungu ombi langu , ya Mungu mpe Mungu Naya Dunia yaachie dania

  • @MalifezaMajidi
    @MalifezaMajidi 4 месяца назад +2

    Mchungaji ungetangaza neno labwana2.

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 4 месяца назад +7

    Simba mmekosa watu wa mpira .Huyu kweli mna imani atawaletea matokeo ? Mchezaji mkubwa pesa kubwa kaka 😂😂

    • @DM_15
      @DM_15 4 месяца назад +2

      Alie kwambia simba ina mtambua huyu ni nani huyu sini shabikituu kama wewe wambwinde huko, huyu ana ongeatuu kama wewe unavyo koment hapa

    • @ArafaMkomwele-vi2hp
      @ArafaMkomwele-vi2hp 4 месяца назад

      Unasema huyu ataleta matokeo kwani GSM hajadhamini timu za ligi kuu sita zaidi vipi unasema hivyo TFF wanatunyonya

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 3 месяца назад

    Tengeneza TIMU,JE SIMBA NAYO INADHAMINIWA NA GSM?NDIO MAANA INAFUNGWA NA YANGA@MECHI?

  • @NicodemasHangi
    @NicodemasHangi 4 месяца назад +2

    Hata mm nashangaa viongozi wako kimya gsm anadhamini timu sita viongozi wako kimya wake tuliii sijui ni viongozi wawapi Hawa,

    • @Domy726
      @Domy726 4 месяца назад

      Rejea misimu mi3 nyuma MO alizamin Coastal na Namungo ila Hatujahoji tuliza mshono

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 3 месяца назад

      Lete ushahidi

  • @makejamaduhu7618
    @makejamaduhu7618 4 месяца назад +2

    Mchungaji usijihusishe na hayo Mzee. Chunga kondoo wa Mungu.
    Unataka dudanganya kwamba anaenda kuchukua point kwenye timu anazodhamini.
    Wewe muongo.
    Mwambie mo adhamini ili mchukue ubingwa.
    Mnaenda kufungwa ha hiyo Simba day yako. Mo hawezi kubadilika kutoa Hela yake

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 4 месяца назад

    Simba kutamba mwaka Kesho ngumu.Changamoto IPO kwa viongizi wa Simba,Udhamini mbovu wa ligi ,bench la funding kuyumba na baadhi ya wachezaji wa Simba hawastahili kuchezea Simba.

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 4 месяца назад

    MBONA NYIE MIKIA FC MBONA TUMEBEBA POINTS 6 ZOTE? MIKIA KWELI NI MBUMBUMBU!!! AZAM MBONA ANADHAMINI VILABU VYOTE KWA KUVIPA PESA NA KWANN ACHUKUI UBINGWA???

  • @filibetifilibeti534
    @filibetifilibeti534 4 месяца назад

    Kua mchu ngaji si sababu ya kutokua na umenzi na mpila acheni ushamba

  • @Saidi-x4h
    @Saidi-x4h 4 месяца назад

    Vip kuusu Azam ambae anazamini ligi mzima?

  • @Spotitimes
    @Spotitimes 4 месяца назад

    Bwege kabisa wewe vipi nyie msiye zaminiwa na GSM mbona mmeliwa ndani nje vipi ihefu wanakaza na wengine pia wamezaminiwa na GSM umekosa waumini kanisani unataka Kiki kwenye mpila wewe.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад

    VIONGOZI WA SIMBA TUNATIA AIBU SANA. SIMBA C YAKUGOMBEA NAFASI YA PILI. SIMBA NI YA MATAJI. TATIZO LA SIMBA WANASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 4 месяца назад

    Anachunga mbuzi au ng'ombe?njaa mbaya,hawa wachungaji wa mchongo njaa inawasumbua

  • @mahakamasengerema9254
    @mahakamasengerema9254 4 месяца назад

    Jamani tusikariri kwamba hatuwezi kuwa bora miaka yote,kwani timu kuwa bora maana yake nini ?

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 4 месяца назад

    Kweli kabisa bahasha zinatembeea mno

  • @ALBANLIBABA
    @ALBANLIBABA 4 месяца назад

    Huna akili kabisa,Mbona AZAM anadhamini Klabu zote Tanzania? hilo hulijuwi? kwa nini inakuuma GSM kudhamini hivyo vilabu? au kwa sababu Yanga kakulamba 7-2 ? Kwenda zako na Uchungaji wako

  • @BabaStuwartKatojo
    @BabaStuwartKatojo 4 месяца назад

    Bibilia inasema ya mungu muachiee mungu na yango mwachiee ngoso

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 4 месяца назад

    MCHUNGAJI NIMEKUELEWA SANA

  • @AhmedJeizan
    @AhmedJeizan 4 месяца назад

    Na wao waliyopigwa 7-2 wamedhaminiwa na nani?
    Hebu tutajie hizo timu zinazozaminiwa na GSM
    1.Simba SC
    2.........?
    3.........?
    4..........?
    5..........?
    6..........?

  • @omanbarka1588
    @omanbarka1588 4 месяца назад

    Mchungaji mbona leo umekuwa mpole Sana cripu ya juzi huwataki viongozi Leo imekuwaje

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 4 месяца назад

    Wacha ushoga mchugaji Gani imekosa sadaka nn kwenda wajuapi mpira mpumbavu iombee Simba iwe namba wani mshenzi ww danganya washenzi wezko Simba yatima yasemewa na manabii matpeli

  • @Eliacharless-f3z
    @Eliacharless-f3z 4 месяца назад

    Mbona hata simba tulimfunga nae amedhaminiwa na gsm

  • @raybirry3816
    @raybirry3816 4 месяца назад

    SIMBA INATAKIWA KUWA NA MIPANGO YAKE BILA YA KUANGALIA MTU

  • @Kanyawela
    @Kanyawela 4 месяца назад

    Ivi uchungaji umekuwa mihogo?acha kudhalilisha kazi ya Uchungaji

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 4 месяца назад

    Tff mwenyewe wako kimya,wanaharibu ligi,sn ngoja ligi iishe.babla aliliona hilo kafanyiwa fitina na hao tff mpaka akaondoka

  • @RamadhanKindenge
    @RamadhanKindenge 4 месяца назад

    Manula na robatino walikula rushwa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 4 месяца назад

    GSM SIO MMILIKI WA YANGA LABDA SIMBA MO NDIO MMILIKI WA SIMBA ..HATA SIMBA WALIGOMA KUDHAMINIWA NA GSM ...SASA UFADHILI UNA UBAYA GANI ? SI KUVISAIDIA VILABU ? NYINYI MDHAMINIWE NA NA VILABU VINGINE VISIWE NA MDHAMINI ?

  • @Saidi-x4h
    @Saidi-x4h 4 месяца назад

    Huyu nae anaamu ya kutukanwa na waumini wake, Azam mbona hajadiiliwi au kwasabab haijachukua ubingwa?

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 4 месяца назад

    Mpira ni kama mlima.
    Namaanisha una kupanda na kushuka.
    Kwa maana hiyo,hata hao unaowataja mwisho wa msimu nao unaweza kuwakataa tena

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 4 месяца назад

    Ww viongozi waondoke 1 mangungu pili try

  • @AdamuMwaipula
    @AdamuMwaipula 4 месяца назад

    Mchungaji wa mbuzi sio mpira hauwezi

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад

    NYIE C MLIMKATAA GSM? ANGEWEZA KUWASAIDIA.

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 4 месяца назад

    Mbona fredi wanajitahidi yn washabiki bwana

  • @baruanibakari7410
    @baruanibakari7410 4 месяца назад

    Kwa hiyo mapenzi yake unataka kumkataza

  • @MkuzoSmart-sb9gh
    @MkuzoSmart-sb9gh 4 месяца назад

    Huyu fala sana anaacha kutafuta hela anamjadili gsm kumanina tafuta pesa matako wewe

  • @MerryAntony-qs4ue
    @MerryAntony-qs4ue 4 месяца назад

    Tusitukañ,,wa,,chezaje,sio,,,vizur

  • @majimototv5670
    @majimototv5670 4 месяца назад

    WE MCHUNGAJI WEE WALETE HAO WACHEZAJI

  • @allykarupa1411
    @allykarupa1411 4 месяца назад

    Wewe jiangalie. Unajipya

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 4 месяца назад

    mzee wangu tuseme ukweli sisi wote ni simba tuna kuwaje wazima wakati tume kosa kila kitu ni wa bavu sana kama mtibwa tuna msema m bovu kwa sababu apati vikombe basi na simba ya miyaka mitatu kama mtibwatu wote zilo

  • @MerryAntony-qs4ue
    @MerryAntony-qs4ue 4 месяца назад

    Halàfu,,mkitukañ,,wàchezà,,

  • @filbertntibasiga8093
    @filbertntibasiga8093 4 месяца назад +1

    Huna Cha kusema mchungaji vp emirate wanadhamini timu ngapi ulaya

  • @dainessmweta3059
    @dainessmweta3059 4 месяца назад

    Huwo niwivu

  • @RashidMohammed-w9h
    @RashidMohammed-w9h 4 месяца назад

    Sasa mchungaji wewe dhamini timu kumi badala ya sita

  • @Spotitimes
    @Spotitimes 4 месяца назад

    Mchungaji wa mchongo wewe.

  • @MkuzoSmart-sb9gh
    @MkuzoSmart-sb9gh 4 месяца назад

    Acha uchawi kenge wewe

  • @AshrafuJuma-l3l
    @AshrafuJuma-l3l 4 месяца назад

    Simba wote machoko

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

    Sababu ya kudhamini timu kwA GSM ni kusaidia timu hizo kuwa imara.na ndiyo maana timu hizo kwa sasa ni moto wa kuotea mbali simba ina feli kuzifunga kirahisi KAMA zamani timu zinakosa hela simba inazilipia hosteli mpaka nauli kwa sasa hivi jambo hilo hakuna kitu ndio maana simba sports club kulalamika....😮😮😮😮😮😮

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 4 месяца назад

    Wewe hutumii akili, huo udhamini unaratibiwa na TFF na ni kukwamua timu zenye chagamoto za kifedha. Hali hii ilitoa nafasi kupewa bahasha, sasa ni ngumu ndio unasikia hizo kelele😂😂

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 4 месяца назад

    Huku ni kutojua mpira,hakuna uhusiano wa kudhamini na ushindi

  • @davisbwatwa115
    @davisbwatwa115 4 месяца назад

    umeona eti pamba anaenda kujifunza huko yanga ndo ujue tsyari point 6 tff wawe makini

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 4 месяца назад

    Kuuliza kwa nini gsm amezamin vilabu zaid sita ushafeli umeonesha uwezi kuingoza Simba kwa sababu upeo wako mdogo sana swali Kama acha waulize mashabiki wasiojielewa sio ww unaetaka kuiongoza Simba

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 4 месяца назад

      Hapana jamaa kauliza vizuri mbona Gsm haendi kudhamini ligi daraja la kwanza? hivyo ni viashiria vya Mchezo mchafu tu ksbisa kabisa

    • @suleimanmwenyemvua995
      @suleimanmwenyemvua995 4 месяца назад

      ​@@kassidpandu866sawa KWANINI ni na. Yeye hataki kuiacha simba¿?

  • @SaluZeco-i6y
    @SaluZeco-i6y 4 месяца назад

    Wasaidie waumini wako kwanza huku utatukanwa bure

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 4 месяца назад

    Mchungaji tusaidie elimu yako kwanza nahisi hauna tofauti na kisugu

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 4 месяца назад

      Kabisa yaani huyu ni ndgu na kisugu

  • @FaridsalehBinsadun
    @FaridsalehBinsadun 4 месяца назад

    acheni usenge nyinyi mgongowazi ubingwa wa mchongo mnawazamini timu sita iliununuwe mechi mashoga nyie

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 4 месяца назад +1

    Mbona Gsm haendi kudhamini ligi daraja la kwanza?

    • @Domy726
      @Domy726 4 месяца назад

      Amemwachia Mo

  • @johnurio9151
    @johnurio9151 4 месяца назад

    Huyu atakuwa mchunga ng'ombe, mchungaji gani anatawanya kondoo? au ndo wale wachungaji wanaoanzishia makanisa majumbani,hata theologia hawana.Mchungaji unaanzaje ushabiki wa mpira?

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 4 месяца назад

    Inabidi hawa wachungaji wawemo kwenye uongozi ili wawewanakemea majini kila mechi

  • @comsmkemwa2671
    @comsmkemwa2671 4 месяца назад

    Unajiita mchungaji akili mbovu kiasi hicho, maana unahoji na kujijibu mwenyewe, kuhusu Gsm kudhamini vilabu zaidi, je simba pia wamedhaminiwa na Gsm?

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 4 месяца назад

    Mtumzima ni mpumbavu. Dhamini nawewe. Azam anadhamini vilabu vjngapi?? Kubwa jinga.