Mchungaji usijihusishe na hayo Mzee. Chunga kondoo wa Mungu. Unataka dudanganya kwamba anaenda kuchukua point kwenye timu anazodhamini. Wewe muongo. Mwambie mo adhamini ili mchukue ubingwa. Mnaenda kufungwa ha hiyo Simba day yako. Mo hawezi kubadilika kutoa Hela yake
Simba kutamba mwaka Kesho ngumu.Changamoto IPO kwa viongizi wa Simba,Udhamini mbovu wa ligi ,bench la funding kuyumba na baadhi ya wachezaji wa Simba hawastahili kuchezea Simba.
MBONA NYIE MIKIA FC MBONA TUMEBEBA POINTS 6 ZOTE? MIKIA KWELI NI MBUMBUMBU!!! AZAM MBONA ANADHAMINI VILABU VYOTE KWA KUVIPA PESA NA KWANN ACHUKUI UBINGWA???
Bwege kabisa wewe vipi nyie msiye zaminiwa na GSM mbona mmeliwa ndani nje vipi ihefu wanakaza na wengine pia wamezaminiwa na GSM umekosa waumini kanisani unataka Kiki kwenye mpila wewe.
Huna akili kabisa,Mbona AZAM anadhamini Klabu zote Tanzania? hilo hulijuwi? kwa nini inakuuma GSM kudhamini hivyo vilabu? au kwa sababu Yanga kakulamba 7-2 ? Kwenda zako na Uchungaji wako
Na wao waliyopigwa 7-2 wamedhaminiwa na nani? Hebu tutajie hizo timu zinazozaminiwa na GSM 1.Simba SC 2.........? 3.........? 4..........? 5..........? 6..........?
GSM SIO MMILIKI WA YANGA LABDA SIMBA MO NDIO MMILIKI WA SIMBA ..HATA SIMBA WALIGOMA KUDHAMINIWA NA GSM ...SASA UFADHILI UNA UBAYA GANI ? SI KUVISAIDIA VILABU ? NYINYI MDHAMINIWE NA NA VILABU VINGINE VISIWE NA MDHAMINI ?
mzee wangu tuseme ukweli sisi wote ni simba tuna kuwaje wazima wakati tume kosa kila kitu ni wa bavu sana kama mtibwa tuna msema m bovu kwa sababu apati vikombe basi na simba ya miyaka mitatu kama mtibwatu wote zilo
Sababu ya kudhamini timu kwA GSM ni kusaidia timu hizo kuwa imara.na ndiyo maana timu hizo kwa sasa ni moto wa kuotea mbali simba ina feli kuzifunga kirahisi KAMA zamani timu zinakosa hela simba inazilipia hosteli mpaka nauli kwa sasa hivi jambo hilo hakuna kitu ndio maana simba sports club kulalamika....😮😮😮😮😮😮
Wewe hutumii akili, huo udhamini unaratibiwa na TFF na ni kukwamua timu zenye chagamoto za kifedha. Hali hii ilitoa nafasi kupewa bahasha, sasa ni ngumu ndio unasikia hizo kelele😂😂
Kuuliza kwa nini gsm amezamin vilabu zaid sita ushafeli umeonesha uwezi kuingoza Simba kwa sababu upeo wako mdogo sana swali Kama acha waulize mashabiki wasiojielewa sio ww unaetaka kuiongoza Simba
Daah kwel ankol umeongea point sana
❤we mchungaji waumin wamwkukimbia unatafuta wa mitandao
Wewe hujui Simba alikuwa bingwa kwa sababu Yanga alikuwa dhaifu. Sasa Yanga anachukua Simba ikiwa SIO dhaifu.. na ndio utaratibu utakaoendelea 💪🏿
Mtumishi wa Mungu ombi langu , ya Mungu mpe Mungu Naya Dunia yaachie dania
Mchungaji ungetangaza neno labwana2.
Simba mmekosa watu wa mpira .Huyu kweli mna imani atawaletea matokeo ? Mchezaji mkubwa pesa kubwa kaka 😂😂
Alie kwambia simba ina mtambua huyu ni nani huyu sini shabikituu kama wewe wambwinde huko, huyu ana ongeatuu kama wewe unavyo koment hapa
Unasema huyu ataleta matokeo kwani GSM hajadhamini timu za ligi kuu sita zaidi vipi unasema hivyo TFF wanatunyonya
Tengeneza TIMU,JE SIMBA NAYO INADHAMINIWA NA GSM?NDIO MAANA INAFUNGWA NA YANGA@MECHI?
Hata mm nashangaa viongozi wako kimya gsm anadhamini timu sita viongozi wako kimya wake tuliii sijui ni viongozi wawapi Hawa,
Rejea misimu mi3 nyuma MO alizamin Coastal na Namungo ila Hatujahoji tuliza mshono
Lete ushahidi
Mchungaji usijihusishe na hayo Mzee. Chunga kondoo wa Mungu.
Unataka dudanganya kwamba anaenda kuchukua point kwenye timu anazodhamini.
Wewe muongo.
Mwambie mo adhamini ili mchukue ubingwa.
Mnaenda kufungwa ha hiyo Simba day yako. Mo hawezi kubadilika kutoa Hela yake
Simba kutamba mwaka Kesho ngumu.Changamoto IPO kwa viongizi wa Simba,Udhamini mbovu wa ligi ,bench la funding kuyumba na baadhi ya wachezaji wa Simba hawastahili kuchezea Simba.
MBONA NYIE MIKIA FC MBONA TUMEBEBA POINTS 6 ZOTE? MIKIA KWELI NI MBUMBUMBU!!! AZAM MBONA ANADHAMINI VILABU VYOTE KWA KUVIPA PESA NA KWANN ACHUKUI UBINGWA???
Kua mchu ngaji si sababu ya kutokua na umenzi na mpila acheni ushamba
Vip kuusu Azam ambae anazamini ligi mzima?
Bwege kabisa wewe vipi nyie msiye zaminiwa na GSM mbona mmeliwa ndani nje vipi ihefu wanakaza na wengine pia wamezaminiwa na GSM umekosa waumini kanisani unataka Kiki kwenye mpila wewe.
VIONGOZI WA SIMBA TUNATIA AIBU SANA. SIMBA C YAKUGOMBEA NAFASI YA PILI. SIMBA NI YA MATAJI. TATIZO LA SIMBA WANASAJILI KWA MAJINA CY VITENDO
Anachunga mbuzi au ng'ombe?njaa mbaya,hawa wachungaji wa mchongo njaa inawasumbua
Jamani tusikariri kwamba hatuwezi kuwa bora miaka yote,kwani timu kuwa bora maana yake nini ?
Kweli kabisa bahasha zinatembeea mno
Huna akili kabisa,Mbona AZAM anadhamini Klabu zote Tanzania? hilo hulijuwi? kwa nini inakuuma GSM kudhamini hivyo vilabu? au kwa sababu Yanga kakulamba 7-2 ? Kwenda zako na Uchungaji wako
Bibilia inasema ya mungu muachiee mungu na yango mwachiee ngoso
MCHUNGAJI NIMEKUELEWA SANA
Na wao waliyopigwa 7-2 wamedhaminiwa na nani?
Hebu tutajie hizo timu zinazozaminiwa na GSM
1.Simba SC
2.........?
3.........?
4..........?
5..........?
6..........?
Mchungaji mbona leo umekuwa mpole Sana cripu ya juzi huwataki viongozi Leo imekuwaje
Wacha ushoga mchugaji Gani imekosa sadaka nn kwenda wajuapi mpira mpumbavu iombee Simba iwe namba wani mshenzi ww danganya washenzi wezko Simba yatima yasemewa na manabii matpeli
Mbona hata simba tulimfunga nae amedhaminiwa na gsm
SIMBA INATAKIWA KUWA NA MIPANGO YAKE BILA YA KUANGALIA MTU
Ivi uchungaji umekuwa mihogo?acha kudhalilisha kazi ya Uchungaji
Tff mwenyewe wako kimya,wanaharibu ligi,sn ngoja ligi iishe.babla aliliona hilo kafanyiwa fitina na hao tff mpaka akaondoka
Manula na robatino walikula rushwa
GSM SIO MMILIKI WA YANGA LABDA SIMBA MO NDIO MMILIKI WA SIMBA ..HATA SIMBA WALIGOMA KUDHAMINIWA NA GSM ...SASA UFADHILI UNA UBAYA GANI ? SI KUVISAIDIA VILABU ? NYINYI MDHAMINIWE NA NA VILABU VINGINE VISIWE NA MDHAMINI ?
Huyu nae anaamu ya kutukanwa na waumini wake, Azam mbona hajadiiliwi au kwasabab haijachukua ubingwa?
Mpira ni kama mlima.
Namaanisha una kupanda na kushuka.
Kwa maana hiyo,hata hao unaowataja mwisho wa msimu nao unaweza kuwakataa tena
Ww viongozi waondoke 1 mangungu pili try
Mchungaji wa mbuzi sio mpira hauwezi
NYIE C MLIMKATAA GSM? ANGEWEZA KUWASAIDIA.
Mbona fredi wanajitahidi yn washabiki bwana
Kwa hiyo mapenzi yake unataka kumkataza
Huyu fala sana anaacha kutafuta hela anamjadili gsm kumanina tafuta pesa matako wewe
Tusitukañ,,wa,,chezaje,sio,,,vizur
WE MCHUNGAJI WEE WALETE HAO WACHEZAJI
Wewe jiangalie. Unajipya
mzee wangu tuseme ukweli sisi wote ni simba tuna kuwaje wazima wakati tume kosa kila kitu ni wa bavu sana kama mtibwa tuna msema m bovu kwa sababu apati vikombe basi na simba ya miyaka mitatu kama mtibwatu wote zilo
Halàfu,,mkitukañ,,wàchezà,,
Huna Cha kusema mchungaji vp emirate wanadhamini timu ngapi ulaya
hujui mpira na wew
Huwo niwivu
Sasa mchungaji wewe dhamini timu kumi badala ya sita
Mchungaji wa mchongo wewe.
Acha uchawi kenge wewe
Simba wote machoko
Sababu ya kudhamini timu kwA GSM ni kusaidia timu hizo kuwa imara.na ndiyo maana timu hizo kwa sasa ni moto wa kuotea mbali simba ina feli kuzifunga kirahisi KAMA zamani timu zinakosa hela simba inazilipia hosteli mpaka nauli kwa sasa hivi jambo hilo hakuna kitu ndio maana simba sports club kulalamika....😮😮😮😮😮😮
Wewe hutumii akili, huo udhamini unaratibiwa na TFF na ni kukwamua timu zenye chagamoto za kifedha. Hali hii ilitoa nafasi kupewa bahasha, sasa ni ngumu ndio unasikia hizo kelele😂😂
Huku ni kutojua mpira,hakuna uhusiano wa kudhamini na ushindi
umeona eti pamba anaenda kujifunza huko yanga ndo ujue tsyari point 6 tff wawe makini
Kuuliza kwa nini gsm amezamin vilabu zaid sita ushafeli umeonesha uwezi kuingoza Simba kwa sababu upeo wako mdogo sana swali Kama acha waulize mashabiki wasiojielewa sio ww unaetaka kuiongoza Simba
Hapana jamaa kauliza vizuri mbona Gsm haendi kudhamini ligi daraja la kwanza? hivyo ni viashiria vya Mchezo mchafu tu ksbisa kabisa
@@kassidpandu866sawa KWANINI ni na. Yeye hataki kuiacha simba¿?
Wasaidie waumini wako kwanza huku utatukanwa bure
Mchungaji tusaidie elimu yako kwanza nahisi hauna tofauti na kisugu
Kabisa yaani huyu ni ndgu na kisugu
acheni usenge nyinyi mgongowazi ubingwa wa mchongo mnawazamini timu sita iliununuwe mechi mashoga nyie
Mbona Gsm haendi kudhamini ligi daraja la kwanza?
Amemwachia Mo
Huyu atakuwa mchunga ng'ombe, mchungaji gani anatawanya kondoo? au ndo wale wachungaji wanaoanzishia makanisa majumbani,hata theologia hawana.Mchungaji unaanzaje ushabiki wa mpira?
Inabidi hawa wachungaji wawemo kwenye uongozi ili wawewanakemea majini kila mechi
Unajiita mchungaji akili mbovu kiasi hicho, maana unahoji na kujijibu mwenyewe, kuhusu Gsm kudhamini vilabu zaidi, je simba pia wamedhaminiwa na Gsm?
Mtumzima ni mpumbavu. Dhamini nawewe. Azam anadhamini vilabu vjngapi?? Kubwa jinga.