Joash Onyango [Harambee Stars] Versus Taifa Stars.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 авг 2019
  • Joash's highlights against Tanzania in a CHAN qualifier.

Комментарии • 27

  • @sbongisenixaba4411
    @sbongisenixaba4411 3 года назад +1

    He good , excellent .He can defend, excellent passes he cover the pockets in a right time, that's give other players confident to play. I think he is man you can trust on your defense

  • @nyingos
    @nyingos 3 года назад

    Safi sana hacheleweshi mipira, na anatoa pasi sahihi, kibongobongo anafaa

  • @haridyhillaryndembo1946
    @haridyhillaryndembo1946 3 года назад +4

    Mie YANGA ila nasema kweli Ni beki mzuri kaka,kwa mtu anaeujua mpira

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 3 года назад +1

    Sioni jipya kwa huyo Mkenya
    Hapo naona hakuna kilichobadilisha mfumo

  • @mussakasimu2811
    @mussakasimu2811 3 года назад +3

    Humu coment nyingi ni za watu wa UTOPILO FC. wenyewe wanamsimbazi hawapo humu. Yaan beki mzuri namna hii unalalamika?

    • @hassanmnyongo3745
      @hassanmnyongo3745 3 года назад

      Tatzo mikia mnachukua babazenu kuwachezesha mipira

  • @ligwashikwenu5071
    @ligwashikwenu5071 3 года назад +1

    Sasa uyo jaman kazeeka

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 года назад +1

    Ugonjwa wa kupenda watu wazima

  • @hasanisaidi8011
    @hasanisaidi8011 3 года назад +1

    Hatufai kwan kiwango chake hakina tofauti na wawa, tunataka mchezaj mwenye kiwango cha kuwazid mabeki waliokuwepo sasa.

    • @allannetia3679
      @allannetia3679  3 года назад

      Kiwango chake kipo vizuri kwa sasa ni mmoja kati ya beki wa kutajika nchini

    • @salumally9414
      @salumally9414 3 года назад

      Lete wako

    • @salumally9414
      @salumally9414 3 года назад

      Anaee faaa

    • @sniperbogo6210
      @sniperbogo6210 3 года назад

      Ila mashabiki bhna mtu hajaanza hata ligi wameshaanza kusema sio mzur inamaana hamuoni kaz ake aliokua akifanya uko

  • @freddypkalinga8399
    @freddypkalinga8399 3 года назад +1

    Defender lazima awe MTU mzima onyango is OK

  • @benizakariah4023
    @benizakariah4023 3 года назад +1

    Hilo ndo bomu la vanga

  • @ufahamuoriginal4092
    @ufahamuoriginal4092 3 года назад +1

    Galasa anatoa mipira nje ovyo alafu anaangukaanguka sana

    • @allannetia3679
      @allannetia3679  3 года назад

      Uwanja ulikua na unyevunyevu kidogo ndio chanzo cha kuteleza kwake

    • @rashidhamis6779
      @rashidhamis6779 3 года назад

      kacheze wewe huanguk

  • @musaking8838
    @musaking8838 3 года назад +1

    Unajua kuna watu wanababaika tu hawajui uchezaji wa mpira. Simba walikuwa wanahitaji bek wa kati mwenye uwezo wa kucheza kushoto kwa sababu wawa anaweza kucheza upande wa kulia tu. Sasa onyango ni chaguo sahihi kwenye timu ya simba kulingana na mahitaji ya uongoz. Lakini mashabik hawalijui hilo kaz ni kuongeat hovyo

  • @zuumohamed2063
    @zuumohamed2063 3 года назад

    Haahaha yikipe

  • @antoninivenommedia4636
    @antoninivenommedia4636 3 года назад +2

    Wajumbe uku hampo

    • @israelisponsor8755
      @israelisponsor8755 3 года назад

      Tumekuja baada ya tetes kuwa Ni mwanasimba huyu

    • @allannetia3679
      @allannetia3679  3 года назад

      Beki kisiki ama mnaonaje wanasimba

    • @ellyskuka7904
      @ellyskuka7904 3 года назад

      Mimi naona wakawaida2 bado anaweza akaxhindwa kumuweka beche nyon

    • @allannetia3679
      @allannetia3679  3 года назад

      Anaweza achezale yeye na Nyoni alafu Wawa awekwe nje