He good , excellent .He can defend, excellent passes he cover the pockets in a right time, that's give other players confident to play. I think he is man you can trust on your defense
Unajua kuna watu wanababaika tu hawajui uchezaji wa mpira. Simba walikuwa wanahitaji bek wa kati mwenye uwezo wa kucheza kushoto kwa sababu wawa anaweza kucheza upande wa kulia tu. Sasa onyango ni chaguo sahihi kwenye timu ya simba kulingana na mahitaji ya uongoz. Lakini mashabik hawalijui hilo kaz ni kuongeat hovyo
He good , excellent .He can defend, excellent passes he cover the pockets in a right time, that's give other players confident to play. I think he is man you can trust on your defense
Safi sana hacheleweshi mipira, na anatoa pasi sahihi, kibongobongo anafaa
Mie YANGA ila nasema kweli Ni beki mzuri kaka,kwa mtu anaeujua mpira
Sioni jipya kwa huyo Mkenya
Hapo naona hakuna kilichobadilisha mfumo
Humu coment nyingi ni za watu wa UTOPILO FC. wenyewe wanamsimbazi hawapo humu. Yaan beki mzuri namna hii unalalamika?
Tatzo mikia mnachukua babazenu kuwachezesha mipira
Sasa uyo jaman kazeeka
Ugonjwa wa kupenda watu wazima
Hatufai kwan kiwango chake hakina tofauti na wawa, tunataka mchezaj mwenye kiwango cha kuwazid mabeki waliokuwepo sasa.
Kiwango chake kipo vizuri kwa sasa ni mmoja kati ya beki wa kutajika nchini
Lete wako
Anaee faaa
Ila mashabiki bhna mtu hajaanza hata ligi wameshaanza kusema sio mzur inamaana hamuoni kaz ake aliokua akifanya uko
Defender lazima awe MTU mzima onyango is OK
Hilo ndo bomu la vanga
Galasa anatoa mipira nje ovyo alafu anaangukaanguka sana
Uwanja ulikua na unyevunyevu kidogo ndio chanzo cha kuteleza kwake
kacheze wewe huanguk
Unajua kuna watu wanababaika tu hawajui uchezaji wa mpira. Simba walikuwa wanahitaji bek wa kati mwenye uwezo wa kucheza kushoto kwa sababu wawa anaweza kucheza upande wa kulia tu. Sasa onyango ni chaguo sahihi kwenye timu ya simba kulingana na mahitaji ya uongoz. Lakini mashabik hawalijui hilo kaz ni kuongeat hovyo
Uyo ataweza kuingiliana na Nyoni ama wasema Wawa
Wawa
Haahaha yikipe
Wajumbe uku hampo
Tumekuja baada ya tetes kuwa Ni mwanasimba huyu
Beki kisiki ama mnaonaje wanasimba
Mimi naona wakawaida2 bado anaweza akaxhindwa kumuweka beche nyon
Anaweza achezale yeye na Nyoni alafu Wawa awekwe nje