Комментарии •

  • @meshackmtewele1942
    @meshackmtewele1942 2 года назад +3

    Amina mtumishi upadre Ni wa Mungu na Padre Ni wa Mungu 🙏🙏 Nami ni wa Mungu na kipaji changu na wito wangu Ni wa Mungu Amina

  • @erickalbert4460
    @erickalbert4460 2 года назад +4

    Nimeshiriki Misa zake nyingi alipokuwa masomoni dsm sana kipindi kile kigango cha bikira Maria Immakulata pande Msakuzi sasa parokia
    Ilihamasisha sana watu kusali
    Mungu azidi kumlinda na kumuongoza na kumbariki
    Pamoja na makleri wote katika wito wao
    Tumsifu yesu kristo

    • @paulinafelix9788
      @paulinafelix9788 2 года назад

      Yes aliwahi fanya ibada pale Bikira Maria consolata makabe kipindi anasoma ,,,mahubiri yake n mazuri na yakujenga sana kiimani

  • @elionorakimath216
    @elionorakimath216 2 года назад +1

    Congratulations Fr Almachius Rwejuna.Keep it up Fr.

  • @upendojuliassanga3663
    @upendojuliassanga3663 2 года назад +1

    Amina kweli Mungu anagawa vipaji

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 2 года назад +1

    Amina

  • @Deonfnyoni
    @Deonfnyoni 2 года назад +1

    Niseme 2 Amina

  • @rwejunastavius259
    @rwejunastavius259 2 года назад

    Ongera sana Fr ,Rwejuna, somo wangu.

  • @bimenyimanaclaude8297
    @bimenyimanaclaude8297 Год назад

    💯💟

  • @fridolinusboniface3574
    @fridolinusboniface3574 2 года назад +1

    Moto wa kuotea mbali mwanamahesabu huyu.

    • @butungo1
      @butungo1 2 года назад

      A good man, a good priest, a friend indeed