Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Hongera kwa kazi mzuri mliofanya kwa Kweli hao matapeli wanatusumbua sana nakupengesa sana
Ongera sana mkuu hii ndio watu tunataka miaka30 au maisha wanatuhujumu sana,safii sanaaa
Kazi Nzuri KAMANDA,,
Kuna wengine wanatumia number za kigeni sku hizi ,hongera mkuu kwa kazi nzuri
Ifakara ni wahuni Sana asee
Kesi za Ulawiti zimekuwa nyingi mno , na watuhumiwa wakifika mahakamani tu wengi Huachiwa
Wanakamatwa wengi lakini hatuoni kuwa wamepewa adhabu maana tunaona wanarudi mitaani na kuendelea na business za wiki hizi.Itungwe sheria wakikamatwa washitakiwe kama wahujumu uchumi.
Safi sana kamanda
Sumbawanga ndio kazi yao sina pingamizi
Yes wamepanga nyumba majengo kule na watu wanajua , ni makundi ya vijana Wengi niliona mwaka Jana nilishangaa
@@gilbertkalanda9354 MBEYA wapo sehemu kibao maeneo mengine ni jirani na vituo vya police na hakuna wanacho fanywa
Tunaonyeshwa hapa simu tu wanazotumia kutapelea watapeli hatuonyeshwi wala adhabu wanazopewa hatuzioni
Taarifa ziki tolewa police zina puuziwa sana hasa kwa baadhiyao
Kiukweli sumbawanga inashika namba moja kwa tz
Mnyau nyau😮
kunalink inatembea ya kuombea kazi ya upolisi ifatilieni muone kama ni sawa maana haina sifa zinazohitajika katika maombo haya
ifakara nako kuna wajanja
We sema wanyongwe afu kesho na keshokutwa unakuta mdogo wako nae ni tapeli au ndugu yako utajiisije
NôMaaaa😢😢😢😢
Wahukumiwe kunyongwa
Wafungwr
Hongera kwa kazi mzuri mliofanya kwa Kweli hao matapeli wanatusumbua sana nakupengesa sana
Ongera sana mkuu hii ndio watu tunataka miaka30 au maisha wanatuhujumu sana,safii sanaaa
Kazi Nzuri KAMANDA,,
Kuna wengine wanatumia number za kigeni sku hizi ,hongera mkuu kwa kazi nzuri
Ifakara ni wahuni Sana asee
Kesi za Ulawiti zimekuwa nyingi mno , na watuhumiwa wakifika mahakamani tu wengi Huachiwa
Wanakamatwa wengi lakini hatuoni kuwa wamepewa adhabu maana tunaona wanarudi mitaani na kuendelea na business za wiki hizi.Itungwe sheria wakikamatwa washitakiwe kama wahujumu uchumi.
Safi sana kamanda
Sumbawanga ndio kazi yao sina pingamizi
Yes wamepanga nyumba majengo kule na watu wanajua , ni makundi ya vijana Wengi niliona mwaka Jana nilishangaa
@@gilbertkalanda9354 MBEYA wapo sehemu kibao maeneo mengine ni jirani na vituo vya police na hakuna wanacho fanywa
Tunaonyeshwa hapa simu tu wanazotumia kutapelea watapeli hatuonyeshwi wala adhabu wanazopewa hatuzioni
Taarifa ziki tolewa police zina puuziwa sana hasa kwa baadhiyao
Kiukweli sumbawanga inashika namba moja kwa tz
Mnyau nyau😮
kunalink inatembea ya kuombea kazi ya upolisi ifatilieni muone kama ni sawa maana haina sifa zinazohitajika katika maombo haya
ifakara nako kuna wajanja
We sema wanyongwe afu kesho na keshokutwa unakuta mdogo wako nae ni tapeli au ndugu yako utajiisije
NôMaaaa😢😢😢😢
Wahukumiwe kunyongwa
Wafungwr