Umeona iyo miaka yote iyo hajashtakiwa wala hajajulikana ety kisa kaamuwa kuanzisha maisha yake ana kesi R Kelly kashatangulia p didy anaenda na yeye bado nani saivi unahisi anaweza akajitoa kwenye ushetani wao
@@shaviercharvinho18na hiyo ndo shida wengi wao hawapo tayari kurudi kwenye umasikini na kupoteza umaarufu shetani hawezi kuacha vitu vyake uvitumie bila kumfanyia kazi zake na akirudi kwa Mungu anamtaka awe tayari kuachia vyote aanze upya hapo ndo hawawezi kabisa Mungu awasaidie jamani
Na kuna ndugu zetu walishajipeleka kumtembelea nakupewa misaada kwa huyu mla makalio ya watu. Wakirudi wanakazi ya kuturushia maphoto, Ili tujue kwamba wanajuana na masuper star. Haya sasa tukae mkao wa kula tuangalie hili movie. Na kiumbe huyu hana masihala kawala vijana wenzake mpaka wanasiasa, wachungji haswa. Tobaaa 😭
Bado utumwa hupo, lakini hunavyoendeshwa ni kisaikolojia sana, sasa hawa wamarekani weusi wanapewa umaarufu na watu ambao wakikuona hunazingua wanakupa kesi ambazo hata hazieleweki, hunajua kwa sisi tunao ishi na hawa watu weupe, kuna mambo tunayaelewa ambayo kuna mtu hukimwambia hawezi kukuelewa kabisa, huku demu hukilala naye kama ajakupenda hanaweza kukushitaki na ukafungwa nyundo za kutosha bila matatizo lakini hukiwa black guy kwa wanzungu wanabaka mbaka ndugu zao wa damu lakini jela hawakai .
Ila wanasemaga malipo ni hapa hapa dunian, ndo hii sasa hata kama ulimfanya/ulimfanyia mtu/watu ubaya zaman au miaka mingi iliyopita ipo siku utalipa tu kabla hata ya kuondoka dunia i feel sorry for him😢😢 lakn anastahili adhabu kwa makosa yake kama ni kweli alitenda uovu huo.
Mahakama zinafanya kazi kwa kufanana licha ya ushahidi wote huo bado kuna uwezekano wa muponyoka kama ilivyo kwa wabakaji wa bongo mpaka sasa watu wameshasahau
Huwezi ridhia utumwa...hivi unajua maana ya mtumwa, watu wanakamatwa bila ridhaa yao kisha wanapakiwa kama mbuzi wanaopelekwa mnadani wala wenyewe hawajui wanapelekwa wapi wanajikuta huko walikopelekwa kufanya kazi bila malipo. Hupewi mshahara utarudije kwenu😓😓
Wewe ni makilio ya nyani wewe unafikiri ngozi ya nguruwe hawafanyi hivyo au waarabu Wala mirungi?! Ni sababu TU hawa ni watu maarufu ndiyo maana ata akiua mende inatangazwa
@@FatmaSeif-c5n Watu weusi wameiga na wanaumizwa na Bado wanashabikia wao wao Wazungu...hii ndio laana ... Walileta Bible wakashangiliwa wanaleta usagaji wanashangiliwa ....
Acha ujinga wewe mbona mnamsakama mondi??!! Alienda kama mtaftaji so si kila alieenda alifanyiwa huo unyama ...mtasema sana lakini ndo alishawaacha mbali Mungu halali alifanya uhalifu wote huo tena kwa kuwatishia pengine hata kwa nguvu za giza miaka mingi lakini Mungu amesema yatosha...
HIYO NDOOKAZI YA FREEMASON. WANAKUZAMINI KWAKILA KITU WANAKUTOWA KIMAISHA WANAKUPA UMAARUFU. UKIJA UKIWAENDEYA KINYUMETU KWACHOCHOTE BASI WANAKUBAMIZA.HUTOKI WANAKUPANDIKIZA MSWALA.😅
Inategemea akili Yako umeiweka kwenye malengo Gani, kama akili Yako inawaza kuonewa Kila wakati itahisi wanaonewa ila kiukweli hawa watu weusi wa marekani ni wanamambo machafi kupitiliza na ndo wanaoongoza kwa uhalifu
Acha mawazo mgando wewe, Kila kitu freemason😂 huyo uchafu wake mwenyewe anastahili kupata adhabu kama kweli amefanya hivyo Wala haihusiani na mambo ya freemason
@@Oldskulgemini9991 kijana kilicho mkuta r.kelly ndicho kinacho mkuta p_did..na Kanye west kilitaka kumkuta hiki hiki Ila wakaishia ku freez pesa zake akurudi kuwa msanii milionea sio bilionea , wewe hujui lolote kaa kimya
MBONA HATUSKII WAZUNGU WAKIWA NA KESI ZA NAMNA HII ? Waafrika tuwe makini acheni ushabiki wakoshoga. Kunammoja kakiri icc nikwaajili ya waafrika tu yaani mtu mweusi. Awa uwa wakiskia mtu mweusi ana pesa nyingi wanaleta figisu ilu wazipore malizake pia kuwakuwashushia heshima mtu mweusi. White supremacy at its best 😢
Hao watu weusi wengi wanamambo ya Giza wanafanya....wanapozinguana huko ndo makesi yanaanza,hata watu weupe wanakutwa na hayo mambo ni vile hatuwafatilii sana
@@AFRICA_D669shida ukijiunga kwenye iyo chama lazima ufate mambo yao utaambia ukitaka tukupe mali, umaarufu uwe unalawiti au uku bongo watu si wanaambiwa waue sasa evidence wanabaki nazo wao si ndo wamekuagiza kumtumikia shetani means atakutuma ufanye mambo yake makubwa makubwa ya kumkosea mungu na siku zote anaeishikilia dunia ni mungu na sio shetani so siku mungu akisema dhulma ulizofanya zinatosha ndo unadondokea pua
Mimi nadhani kuna nguvu katika msamaha , kinacho watesa Black American nirohozakisasi kwa watu weupe hivyo wakifanikiwa tuu huwaza kulipiza kisasi, tatizo linakuja palewanaposhindwa kulipiza kwa akili hawajui namna bora yskulipa kisasi, hatimae hujikuta matatizoni, ukiwa na hasira usilipekisasi kisasi hulipwa ukiwa mtulivu una amani nahuna hisia kabisa zahasira, nyakati hizi ukiweza kulipa kisasi ukiwa friendly hawata amini nikisasi baliwatajua niupendotuu. Mfano mke alie kudharau ukiwahuna lolote akakukejeli. Wanaume sinajua inavyokuaga mkijipataee una anzaga kumvuta akue karibu anachokitaka unampa lakini wewe unakuanalengo lakulipa kileee alikufanyiaga madharau ukisha mpakua tuu unaendelea kumpa anachotaka mwisho ana anza kukuletea mwenyewe halafuwewe una mwambia sikotayari kwasasa kukuoa bado natafuta zakutosha. Huwa inawakata sana hio trust me
2pac Shakur anaanza kupata haki yake.... Ni juzi Pac amefikisha 28 miaka tangu aende.
Haki gan kwan kuna sehem umeskia katajwa kwenye hii kesi?
@@8pistons194yaani wabongo bana😂
Bora umeuliza swali
Uchunguz bado unafanyika na Ile pia inamuhusu wait n see@@8pistons194
@@8pistons194amemaanisha karma ya diddy imefika baada ya kuhusika katika mauaji ya tupac
Amemaanisha kwamba malipo anayapata hata kama hajatajwa pac
Oooooh! Dd hapa hatoboi shetani sasa anamuhitaji muhusika mwenyewe
Sasa hayo Mambo si ndo yanatakiwa na serikali ya marekani...!!!???
Black Americans...wakipata pesa wanajisahau...
Kweli kabisa
Umenena ndg
Kabisa
Kwa sasa frimason wanamutapikaaa😢😢😢
@@michelinemapendo6652 washamtumia KAZI yake imeisha na asipochunga atauwawa
Hiii nchi watu weus imekuwa nimara kwa mara kutengenezewa kes kama ukijiweka unaakili nyingi mpaka ukawa tishio lazima utengengenezewe kes
Peleka ujinga mbele wewe sawa mjnga fuatilia kitu ndio ulopoke😊
Ukiwakimbia kwenye vyama vyao tu umeisha
Umeona iyo miaka yote iyo hajashtakiwa wala hajajulikana ety kisa kaamuwa kuanzisha maisha yake ana kesi R Kelly kashatangulia p didy anaenda na yeye bado nani saivi unahisi anaweza akajitoa kwenye ushetani wao
Hawana shida wape mali zao wakuache huru ila ukijifanya mali ni zako mali utakosa na jela utaenda
@@shaviercharvinho18na hiyo ndo shida wengi wao hawapo tayari kurudi kwenye umasikini na kupoteza umaarufu shetani hawezi kuacha vitu vyake uvitumie bila kumfanyia kazi zake na akirudi kwa Mungu anamtaka awe tayari kuachia vyote aanze upya hapo ndo hawawezi kabisa Mungu awasaidie jamani
@@shaviercharvinho1850cent walishaanza muda tu kumfilisi kini anajitutumua kupambana nao
Dhuluma mwisho wake ni hapa hapa duniani kila matokea kwenye maisha mwanzo ni wewe mwenyewe...
😂😂😂😂 kila Jambo linamwanzo na mwisho Sura co roho
Kma nikweli afungwe Tu R.KELL Aaachiwe tu
2mekuskia jaji
Na kuna ndugu zetu walishajipeleka kumtembelea nakupewa misaada kwa huyu mla makalio ya watu. Wakirudi wanakazi ya kuturushia maphoto, Ili tujue kwamba wanajuana na masuper star. Haya sasa tukae mkao wa kula tuangalie hili movie. Na kiumbe huyu hana masihala kawala vijana wenzake mpaka wanasiasa, wachungji haswa. Tobaaa 😭
😂😂😂😂😂
Hapa wanafumba macho lkn walienda
@@piterasifa3757 Na mapicha picha tukaonyweshwa. Lo, bora ugali fish na tembele Kama umaarufu ndio huku.
Hakuna aliyejiunga kwenye "CULT" akawa na mwisho mzuri, sahau hilo!
Mmoja baada ya mwingine wataishia vby
Devil is a lair aisee
true story brother
Si wenyewe waasema wakifa ndo lucifer atawapokea acha wapokelewe sasa
Very true 😢@@josephemmanuel388
and a father of lair🪓🪓
FBI NA FRIMASON HAUWEZI
KUWAKWEPAAA😢😢😢
HUWO NDOUKWELI FREMASON WAMEMPA MSWALA
Kakiuka mkataba wao wanampoteza kabisaaaa
pale shetani anapo kuchoka
Yaani Hana huruma
Mamawee 😮
Akuna mwenye uhakika ktk hili hawa wazungu mtu mweusi lzm wamtafutie visa ya kwao kimyaa
Hata mmi Nilikua namin hivi lkn sisi weusi ndo tunashida
Pole sana Dd 😢 mwisho wako mbaya sana
Bado utumwa hupo, lakini hunavyoendeshwa ni kisaikolojia sana, sasa hawa wamarekani weusi wanapewa umaarufu na watu ambao wakikuona hunazingua wanakupa kesi ambazo hata hazieleweki, hunajua kwa sisi tunao ishi na hawa watu weupe, kuna mambo tunayaelewa ambayo kuna mtu hukimwambia hawezi kukuelewa kabisa, huku demu hukilala naye kama ajakupenda hanaweza kukushitaki na ukafungwa nyundo za kutosha bila matatizo lakini hukiwa black guy kwa wanzungu wanabaka mbaka ndugu zao wa damu lakini jela hawakai .
Hivi ni kwanini watu weusi TU ndio wanaoandamwa huko America
Alafunawashangaa sana mnaoshambulia p kama wanauhakika
Wakipata pesa wanajisahau sana,wanapenda waonekane juu kuliko hata wenye nchi yao.
@@georgedaniel4962 kwn mwamba nikweli mchizi alikua anafanya hayamambo
Ni kweli watu weusi ndio wenye shida ila mi naona km mchongo ili kufilisiwa
Marekani awanaga ubaguz,,huyu jamaa ni mtuumiwa usilete mambo ya ubaguz
Diddy anastahili kufungwa kifungo Cha maisha kwa mambo aliyoyafanya.
Dah pole Kaka japo cina hakika na naninalo sikia juu yko dah Noma wakuuu
Kama huyu jamaa alimuua 2pac basi aende tuu ni mdaa wake wakupotea..
Huyo jamaa anapenda kulawiti wanaume
Kwani anawalazimisha?
Ukishajiunga kwenye kile chama Kwa ajili ya mafaniko ujue mwisho ndo km hivi
KBB ke
Mh haya bana mungu yopo nae
USAFIRISHAJI wa NGONO,ni nini?
Jiongeze na ww kakosea tu kidogo kibinadamu
👏👏👏
Ila wanasemaga malipo ni hapa hapa dunian, ndo hii sasa hata kama ulimfanya/ulimfanyia mtu/watu ubaya zaman au miaka mingi iliyopita ipo siku utalipa tu kabla hata ya kuondoka dunia i feel sorry for him😢😢 lakn anastahili adhabu kwa makosa yake kama ni kweli alitenda uovu huo.
Changamoto kubwa ipo, WATU WEUSI TUMEKUWA TUKICHOCHEA SANA KUANGUSHANA... alafu baadae tunalalamika wazungu wanatudharau
Kwani police ilikuwawapi wakati anasafirisha watuhao some time sheria zingine nizaivyokwabisa
Huyu akicheza atafungwa milele
Wazungu safi sanaaaa...wanaenda na sheriaa
Eeh sio dar hapa mtu anawitia mimba wanawake anawacha wanatabika na watt wao
Jamani didy
Msisahau president wa Kenya RUTO ALIHAIBISHWA uko German kwa uwongo wake
😂😂😂😂😂aibu sana
Ilikuwaje tena
Walianza na mfalme R KELLY... wanamaliza na P DIDDY.
Watu weusi wenye ushawishi ambao hawataki kuendeshwa huwa wanapotezwa
Watu weusi wenyewe kwa wenyewe wanaumizana na kuchekana usikii hizi kesi watu weupe
Kaisha huyuu kama rkrlly😊
Chupa za watoto ni za kazi gani?
Baada ya R.kelly duh😓😓
Mm nampenda sana hivo hivo ivo
Inakaa alikosea masharti 😮 sasa imamfaidi nn kuwa maarufu kwa miaka harafu aishie majela😅 tamaa ya mali ya dunia 😅mtakoma,,,
Bora hz habar usome ww,,ila yule jamaa mwenye saut ya kujikaza anazingua
Mm naona kifungo chamaisha hichooo
Anatoka p diddy kessy nyingi nzito ame shida kuliko ataa inayo mkabili sasa
R Kelly ilianza hivi hivi,sasa yupo ndani.
that's life more money more problems remember The name NOTORIOUS B.I.G ## R.I.P
Kilaishi kiheshimiwe pleaase😂😂
Yaani mamlaka za wenzetu nimewaelewaaa, wamekusanya vielelezo wamefanya uchunguzi WA kinaaa alaf kamata mshtakiwa akajibu mashtaka alooooo
Mahakama zinafanya kazi kwa kufanana licha ya ushahidi wote huo bado kuna uwezekano wa muponyoka kama ilivyo kwa wabakaji wa bongo mpaka sasa watu wameshasahau
Uku sasa 😂 unapiga miaka kadha mdogo mdogo upelelezi haujakamilika
🇧🇮❤1🙏
Huruma sana anaenda kuungana na R Kelly gerezan😭😭😭
Walienda utumwani na wakaridhika na utumwa na kudharau ..kusahAu asili Yao...na sasa Mungu anawasalimia wadharau kwao😮
Huwezi ridhia utumwa...hivi unajua maana ya mtumwa, watu wanakamatwa bila ridhaa yao kisha wanapakiwa kama mbuzi wanaopelekwa mnadani wala wenyewe hawajui wanapelekwa wapi wanajikuta huko walikopelekwa kufanya kazi bila malipo. Hupewi mshahara utarudije kwenu😓😓
Yaan mzungu akikuona maarufu lzma akutafutie visa
Ungenisikiliza yasingetokea haya Didy daah!!
Wakili wa Diddy anaitwaje vile!?😅
Kaz ipo
Watu weusi ni ishara ya mikosi chuki na laana!!! Watu wamepata pesa na kufanya kita uovu.
.
Wewe ni makilio ya nyani wewe unafikiri ngozi ya nguruwe hawafanyi hivyo au waarabu Wala mirungi?! Ni sababu TU hawa ni watu maarufu ndiyo maana ata akiua mende inatangazwa
@@edwardtrigga5701 Asante sana...
Waarabu kwenye kesi ya p dd imehusikaje hapo?@@edwardtrigga5701
Na hao waliohalalisha ndoa ya jinsia moja Israel ni weusi pia ?
@@FatmaSeif-c5n Watu weusi wameiga na wanaumizwa na Bado wanashabikia wao wao Wazungu...hii ndio laana ... Walileta Bible wakashangiliwa wanaleta usagaji wanashangiliwa ....
Rafik yake Jay-Z jina alikuwa ana open the new restaurant mpya uko mwenzie yuko kwenye kitanzi hawa jamaaa watu habari 2pac mambo imechemka
Sasa mtakua mmepata majibu ya zile tuzo za gram za burna boy😂😂😂😂 yaan chalii wa Nigeria alifirwa laivu😂.....!
Sio Burna tu, hata mwanetu Dai kafirwa na huyu jamaa
Ulikwepo had wewe umefirwa@@OmariChanja
@@OmariChanja ahahhhhahah
KABISA NA TALE
Hawa si watu wa Lucifer kwani wame mkosea bwana wao?
Siku yake na yy imefika
Karma is really
Uyu ndie anatakiwq apotezwe uwezi muua Tupac aende jera ila R.kery atoke
Kwanini iwe black amrica
No Diddy ❌
Agi mfiro, wakili!
Duh!
Kwan watu weupe hawana kes
Bruh! Hii kesi haihusiani na rangi🙄🙄 Asishtakiwe kisa ni mweusi WTF
@@MamodelParkyaan wafrica tunajiweka Kila kitu tunaonewa ni aibu...yaan mtu anamtetea kisa tu ni black,haya ndo madhara ya kutawaliwa😂😂
Uwii kimeumana
Malipo niapa apa tu
Huyo jamaa kafanya paka 2pac kauwawa
Sio wanawake tu alilawiti wanaume pia 😂 kuna video inatembea tik tok Diamond akisema kuna vitu walifanya na Diddy
Acha ujinga wewe mbona mnamsakama mondi??!! Alienda kama mtaftaji so si kila alieenda alifanyiwa huo unyama ...mtasema sana lakini ndo alishawaacha mbali Mungu halali alifanya uhalifu wote huo tena kwa kuwatishia pengine hata kwa nguvu za giza miaka mingi lakini Mungu amesema yatosha...
HIYO NDOOKAZI YA FREEMASON. WANAKUZAMINI KWAKILA KITU WANAKUTOWA KIMAISHA WANAKUPA UMAARUFU.
UKIJA UKIWAENDEYA KINYUMETU KWACHOCHOTE BASI WANAKUBAMIZA.HUTOKI WANAKUPANDIKIZA MSWALA.😅
Wachache sn wanaweza kukuelewa hapa
Wao wanajiunga na Cult
Why always blacks........???
mm cnaga imani na mataifa ya ulaya ju ya kec wanazowapa watu weuc... 📌📌📌
Inategemea akili Yako umeiweka kwenye malengo Gani, kama akili Yako inawaza kuonewa Kila wakati itahisi wanaonewa ila kiukweli hawa watu weusi wa marekani ni wanamambo machafi kupitiliza na ndo wanaoongoza kwa uhalifu
@@Oldskulgemini9991Kweli kabisaa
Huyo Diddy kapita hadi mkubwa wa wasafi 😂😂😂
Wewe huogopii
Kweli kabisa....watu weusi ni very scary in America
Basata basata waingilie kati
Basata basata muingilie kati,jamaa watampoteza
😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kwisha
Hii ndio shida ya kuwa free mason..ukiwazingua wanakupoteza.
Acha mawazo mgando wewe, Kila kitu freemason😂 huyo uchafu wake mwenyewe anastahili kupata adhabu kama kweli amefanya hivyo Wala haihusiani na mambo ya freemason
@@Oldskulgemini9991 kijana kilicho mkuta r.kelly ndicho kinacho mkuta p_did..na Kanye west kilitaka kumkuta hiki hiki Ila wakaishia ku freez pesa zake akurudi kuwa msanii milionea sio bilionea , wewe hujui lolote kaa kimya
Daah ujinga huu sijui mpk lini haya ww tuambie kakiuma masharti gani huko 🤣🤣🤣💩🚮
Hapana chief una uwakika gan na maneno yako. Freemason ni nini! Au nyie ndio wale mnaamini msile panaldo znacheap wazungu wanatak kutuaribu😅😅😅
Akili mbili
Ubaguzi...
why always black 😔
Uvivu tu do research weupe pia wapo
Didi hawawezi kumfunga,,,
Tz diamond wenu,kilimkuta kwa kupenda vyabure😅😅
Nilikua naongea na 50cent kasema nimtafutie kiwanja goba aje ajenge akae huku
Hapa amekeuka masharti ya chama ndo maana kimemkuta hiki
can't stop ain't stop"
2 pac hit em up ndio inavuma sasa
MBONA HATUSKII WAZUNGU WAKIWA NA KESI ZA NAMNA HII ? Waafrika tuwe makini acheni ushabiki wakoshoga. Kunammoja kakiri icc nikwaajili ya waafrika tu yaani mtu mweusi. Awa uwa wakiskia mtu mweusi ana pesa nyingi wanaleta figisu ilu wazipore malizake pia kuwakuwashushia heshima mtu mweusi. White supremacy at its best 😢
Hao watu weusi wengi wanamambo ya Giza wanafanya....wanapozinguana huko ndo makesi yanaanza,hata watu weupe wanakutwa na hayo mambo ni vile hatuwafatilii sana
Kes ya rick Ross n lin
Anatoka huyu jamaa
Kunabaki 50 Cent snoop dogg
Ukiwa mweusi ukachukiwa na Illuminati kwakweli lazima utaiona dunia ni chungu, pole didy, Pole bussy signal, pole Michael, pole 2pac, pole pop smoke,
Kuongea kwa kutumi 🍑 hiyo ndio shida kwa kudhani hakuna weupe inayowakuta hiyo. Do research 🤡 mufamilifu mhalifu tu sio rangi
@@nickalreadyknows wapo ila ni nadra sana
Kuchukiwa na illuminati kivipi?
Wakati wao wamejiunga kwenye hizo Cult wamezitumikia na zimewapa fedha , umaaarufu na ss ndo mwisho
@@christinewomanoffaith5479 kama ndio mwisho, sio mbya ila mwisho isiwe sababu wao kubambikiziwa kesi mpka dunia nzima ijuwe
@@AFRICA_D669shida ukijiunga kwenye iyo chama lazima ufate mambo yao utaambia ukitaka tukupe mali, umaarufu uwe unalawiti au uku bongo watu si wanaambiwa waue sasa evidence wanabaki nazo wao si ndo wamekuagiza kumtumikia shetani means atakutuma ufanye mambo yake makubwa makubwa ya kumkosea mungu na siku zote anaeishikilia dunia ni mungu na sio shetani so siku mungu akisema dhulma ulizofanya zinatosha ndo unadondokea pua
WANAMUSIC WAKOROFI ULAYA
Wanastahili kuitwa wafuasi wa shetani
Pesa haramu mwisho wake ni hapa unakula uzee wako kwa mates na fedheha kama hizi
So sad
😢😢😢anamfata r kelly saiv 😢
Mimi nadhani kuna nguvu katika msamaha , kinacho watesa Black American nirohozakisasi kwa watu weupe hivyo wakifanikiwa tuu huwaza kulipiza kisasi, tatizo linakuja palewanaposhindwa kulipiza kwa akili hawajui namna bora yskulipa kisasi, hatimae hujikuta matatizoni, ukiwa na hasira usilipekisasi kisasi hulipwa ukiwa mtulivu una amani nahuna hisia kabisa zahasira, nyakati hizi ukiweza kulipa kisasi ukiwa friendly hawata amini nikisasi baliwatajua niupendotuu. Mfano mke alie kudharau ukiwahuna lolote akakukejeli. Wanaume sinajua inavyokuaga mkijipataee una anzaga kumvuta akue karibu anachokitaka unampa lakini wewe unakuanalengo lakulipa kileee alikufanyiaga madharau ukisha mpakua tuu unaendelea kumpa anachotaka mwisho ana anza kukuletea mwenyewe halafuwewe una mwambia sikotayari kwasasa kukuoa bado natafuta zakutosha. Huwa inawakata sana hio trust me
Sahihi Kaka 👊
Mkuu kama nimekuelewa hv .....ila Sasa uandishi wako kidog unakosea.
❤ulocho sema nakifanyia kazi
Dhuu pole bro