Diddy ashtakiwa rasmi! Makosa yake yanatisha! Mawili adhabu ya juu ni kifungo cha Maisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Комментарии • 198

  • @africamoja2924
    @africamoja2924 10 дней назад +52

    2pac Shakur anaanza kupata haki yake.... Ni juzi Pac amefikisha 28 miaka tangu aende.

    • @8pistons194
      @8pistons194 9 дней назад +1

      Haki gan kwan kuna sehem umeskia katajwa kwenye hii kesi?

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 9 дней назад

      ​@@8pistons194yaani wabongo bana😂
      Bora umeuliza swali

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 9 дней назад

      Uchunguz bado unafanyika na Ile pia inamuhusu wait n see​@@8pistons194

    • @franklinkartel9499
      @franklinkartel9499 9 дней назад +9

      ​@@8pistons194amemaanisha karma ya diddy imefika baada ya kuhusika katika mauaji ya tupac

    • @JULIUSNCHAGWA
      @JULIUSNCHAGWA 9 дней назад +5

      Amemaanisha kwamba malipo anayapata hata kama hajatajwa pac

  • @barakabusima
    @barakabusima 10 дней назад +19

    Oooooh! Dd hapa hatoboi shetani sasa anamuhitaji muhusika mwenyewe

  • @hilarymtepa9811
    @hilarymtepa9811 9 дней назад +7

    Sasa hayo Mambo si ndo yanatakiwa na serikali ya marekani...!!!???

  • @omondiowino7875
    @omondiowino7875 10 дней назад +24

    Black Americans...wakipata pesa wanajisahau...

  • @Nindwa-cn8fq
    @Nindwa-cn8fq 3 дня назад +4

    Hiii nchi watu weus imekuwa nimara kwa mara kutengenezewa kes kama ukijiweka unaakili nyingi mpaka ukawa tishio lazima utengengenezewe kes

    • @kupazahotnews6747
      @kupazahotnews6747 9 часов назад

      Peleka ujinga mbele wewe sawa mjnga fuatilia kitu ndio ulopoke😊

  • @lirastanley390
    @lirastanley390 9 дней назад +17

    Ukiwakimbia kwenye vyama vyao tu umeisha

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 9 дней назад +1

      Umeona iyo miaka yote iyo hajashtakiwa wala hajajulikana ety kisa kaamuwa kuanzisha maisha yake ana kesi R Kelly kashatangulia p didy anaenda na yeye bado nani saivi unahisi anaweza akajitoa kwenye ushetani wao

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 9 дней назад +1

      Hawana shida wape mali zao wakuache huru ila ukijifanya mali ni zako mali utakosa na jela utaenda

    • @rosemarymwanitega7926
      @rosemarymwanitega7926 9 дней назад

      ​@@shaviercharvinho18na hiyo ndo shida wengi wao hawapo tayari kurudi kwenye umasikini na kupoteza umaarufu shetani hawezi kuacha vitu vyake uvitumie bila kumfanyia kazi zake na akirudi kwa Mungu anamtaka awe tayari kuachia vyote aanze upya hapo ndo hawawezi kabisa Mungu awasaidie jamani

    • @agogomgagagigigogo
      @agogomgagagigigogo 7 дней назад

      ​@@shaviercharvinho1850cent walishaanza muda tu kumfilisi kini anajitutumua kupambana nao

  • @bokabecca5473
    @bokabecca5473 9 дней назад +3

    Dhuluma mwisho wake ni hapa hapa duniani kila matokea kwenye maisha mwanzo ni wewe mwenyewe...

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 9 дней назад +11

    😂😂😂😂 kila Jambo linamwanzo na mwisho Sura co roho
    Kma nikweli afungwe Tu R.KELL Aaachiwe tu

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 10 дней назад +8

    Na kuna ndugu zetu walishajipeleka kumtembelea nakupewa misaada kwa huyu mla makalio ya watu. Wakirudi wanakazi ya kuturushia maphoto, Ili tujue kwamba wanajuana na masuper star. Haya sasa tukae mkao wa kula tuangalie hili movie. Na kiumbe huyu hana masihala kawala vijana wenzake mpaka wanasiasa, wachungji haswa. Tobaaa 😭

    • @mamilafx1225
      @mamilafx1225 8 дней назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @piterasifa3757
      @piterasifa3757 8 дней назад +1

      Hapa wanafumba macho lkn walienda

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 7 дней назад

      @@piterasifa3757 Na mapicha picha tukaonyweshwa. Lo, bora ugali fish na tembele Kama umaarufu ndio huku.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 дней назад +14

    Hakuna aliyejiunga kwenye "CULT" akawa na mwisho mzuri, sahau hilo!
    Mmoja baada ya mwingine wataishia vby
    Devil is a lair aisee

    • @josephemmanuel388
      @josephemmanuel388 8 дней назад

      true story brother

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 7 дней назад

      Si wenyewe waasema wakifa ndo lucifer atawapokea acha wapokelewe sasa

    • @joymkenya2359
      @joymkenya2359 2 дня назад

      Very true 😢​@@josephemmanuel388

    • @Bambagatz
      @Bambagatz 2 дня назад

      and a father of lair🪓🪓

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 10 дней назад +9

    FBI NA FRIMASON HAUWEZI
    KUWAKWEPAAA😢😢😢

    • @khadi-z4o
      @khadi-z4o 10 дней назад +1

      HUWO NDOUKWELI FREMASON WAMEMPA MSWALA

    • @stanleymwaselela1849
      @stanleymwaselela1849 9 дней назад

      Kakiuka mkataba wao wanampoteza kabisaaaa

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 10 дней назад +8

    pale shetani anapo kuchoka

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 9 дней назад +4

    Mamawee 😮

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 4 дня назад +2

    Akuna mwenye uhakika ktk hili hawa wazungu mtu mweusi lzm wamtafutie visa ya kwao kimyaa

    • @RamadhaniMsowelo
      @RamadhaniMsowelo 2 дня назад

      Hata mmi Nilikua namin hivi lkn sisi weusi ndo tunashida

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 9 дней назад +1

    Pole sana Dd 😢 mwisho wako mbaya sana

  • @fredmapunda5786
    @fredmapunda5786 День назад

    Bado utumwa hupo, lakini hunavyoendeshwa ni kisaikolojia sana, sasa hawa wamarekani weusi wanapewa umaarufu na watu ambao wakikuona hunazingua wanakupa kesi ambazo hata hazieleweki, hunajua kwa sisi tunao ishi na hawa watu weupe, kuna mambo tunayaelewa ambayo kuna mtu hukimwambia hawezi kukuelewa kabisa, huku demu hukilala naye kama ajakupenda hanaweza kukushitaki na ukafungwa nyundo za kutosha bila matatizo lakini hukiwa black guy kwa wanzungu wanabaka mbaka ndugu zao wa damu lakini jela hawakai .

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 9 дней назад +3

    Hivi ni kwanini watu weusi TU ndio wanaoandamwa huko America

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 9 дней назад

      Alafunawashangaa sana mnaoshambulia p kama wanauhakika

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 7 дней назад +3

      Wakipata pesa wanajisahau sana,wanapenda waonekane juu kuliko hata wenye nchi yao.

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 7 дней назад

      @@georgedaniel4962 kwn mwamba nikweli mchizi alikua anafanya hayamambo

    • @kanjipaulo1561
      @kanjipaulo1561 4 дня назад

      Ni kweli watu weusi ndio wenye shida ila mi naona km mchongo ili kufilisiwa

    • @hamiszali1434
      @hamiszali1434 3 дня назад +1

      Marekani awanaga ubaguz,,huyu jamaa ni mtuumiwa usilete mambo ya ubaguz

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 9 дней назад +1

    Diddy anastahili kufungwa kifungo Cha maisha kwa mambo aliyoyafanya.

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 9 дней назад

    Dah pole Kaka japo cina hakika na naninalo sikia juu yko dah Noma wakuuu

  • @HamzaMbasha-xs2ky
    @HamzaMbasha-xs2ky 9 дней назад +3

    Kama huyu jamaa alimuua 2pac basi aende tuu ni mdaa wake wakupotea..

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 10 дней назад +4

    Huyo jamaa anapenda kulawiti wanaume

  • @ChingeBoy-n8s
    @ChingeBoy-n8s 2 дня назад

    Mh haya bana mungu yopo nae

  • @ibba8082
    @ibba8082 10 дней назад +4

    USAFIRISHAJI wa NGONO,ni nini?

    • @jassonnelly3445
      @jassonnelly3445 9 дней назад +1

      Jiongeze na ww kakosea tu kidogo kibinadamu

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 10 дней назад +2

    👏👏👏

  • @hawasaid7151
    @hawasaid7151 9 дней назад

    Ila wanasemaga malipo ni hapa hapa dunian, ndo hii sasa hata kama ulimfanya/ulimfanyia mtu/watu ubaya zaman au miaka mingi iliyopita ipo siku utalipa tu kabla hata ya kuondoka dunia i feel sorry for him😢😢 lakn anastahili adhabu kwa makosa yake kama ni kweli alitenda uovu huo.

  • @maikopatson4833
    @maikopatson4833 3 дня назад

    Changamoto kubwa ipo, WATU WEUSI TUMEKUWA TUKICHOCHEA SANA KUANGUSHANA... alafu baadae tunalalamika wazungu wanatudharau

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 8 дней назад

    Kwani police ilikuwawapi wakati anasafirisha watuhao some time sheria zingine nizaivyokwabisa

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 10 дней назад +1

    Huyu akicheza atafungwa milele

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 10 дней назад +5

    Wazungu safi sanaaaa...wanaenda na sheriaa

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 9 дней назад

      Eeh sio dar hapa mtu anawitia mimba wanawake anawacha wanatabika na watt wao

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 9 дней назад

    Jamani didy

  • @JosephAlakonya
    @JosephAlakonya 9 дней назад +4

    Msisahau president wa Kenya RUTO ALIHAIBISHWA uko German kwa uwongo wake

  • @maikopatson4833
    @maikopatson4833 3 дня назад

    Walianza na mfalme R KELLY... wanamaliza na P DIDDY.
    Watu weusi wenye ushawishi ambao hawataki kuendeshwa huwa wanapotezwa

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 9 дней назад

    Watu weusi wenyewe kwa wenyewe wanaumizana na kuchekana usikii hizi kesi watu weupe

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 9 дней назад

    Kaisha huyuu kama rkrlly😊

  • @phelgonaamondi8547
    @phelgonaamondi8547 9 дней назад +2

    Chupa za watoto ni za kazi gani?

  • @petroalex8951
    @petroalex8951 9 дней назад

    Baada ya R.kelly duh😓😓

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 6 дней назад

    Mm nampenda sana hivo hivo ivo

  • @joymkenya2359
    @joymkenya2359 2 дня назад

    Inakaa alikosea masharti 😮 sasa imamfaidi nn kuwa maarufu kwa miaka harafu aishie majela😅 tamaa ya mali ya dunia 😅mtakoma,,,

  • @hamiszali1434
    @hamiszali1434 3 дня назад

    Bora hz habar usome ww,,ila yule jamaa mwenye saut ya kujikaza anazingua

  • @EstarMichael
    @EstarMichael 9 дней назад

    Mm naona kifungo chamaisha hichooo

  • @RaymondyMfaume
    @RaymondyMfaume 4 дня назад

    Anatoka p diddy kessy nyingi nzito ame shida kuliko ataa inayo mkabili sasa

  • @alonerider7164
    @alonerider7164 9 дней назад

    R Kelly ilianza hivi hivi,sasa yupo ndani.

  • @idrssakhajenje6082
    @idrssakhajenje6082 9 дней назад

    that's life more money more problems remember The name NOTORIOUS B.I.G ## R.I.P

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 8 дней назад

    Kilaishi kiheshimiwe pleaase😂😂

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine 9 дней назад +5

    Yaani mamlaka za wenzetu nimewaelewaaa, wamekusanya vielelezo wamefanya uchunguzi WA kinaaa alaf kamata mshtakiwa akajibu mashtaka alooooo

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 9 дней назад

      Mahakama zinafanya kazi kwa kufanana licha ya ushahidi wote huo bado kuna uwezekano wa muponyoka kama ilivyo kwa wabakaji wa bongo mpaka sasa watu wameshasahau

    • @raheemsaleh14
      @raheemsaleh14 9 дней назад

      Uku sasa 😂 unapiga miaka kadha mdogo mdogo upelelezi haujakamilika

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 10 дней назад +1

    🇧🇮❤1🙏

  • @rauhiyanyange-u4n
    @rauhiyanyange-u4n 9 дней назад

    Huruma sana anaenda kuungana na R Kelly gerezan😭😭😭

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 8 дней назад

    Walienda utumwani na wakaridhika na utumwa na kudharau ..kusahAu asili Yao...na sasa Mungu anawasalimia wadharau kwao😮

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 дня назад

      Huwezi ridhia utumwa...hivi unajua maana ya mtumwa, watu wanakamatwa bila ridhaa yao kisha wanapakiwa kama mbuzi wanaopelekwa mnadani wala wenyewe hawajui wanapelekwa wapi wanajikuta huko walikopelekwa kufanya kazi bila malipo. Hupewi mshahara utarudije kwenu😓😓

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 4 дня назад

    Yaan mzungu akikuona maarufu lzma akutafutie visa

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 9 дней назад

    Ungenisikiliza yasingetokea haya Didy daah!!

  • @gregorybakuza5796
    @gregorybakuza5796 9 дней назад

    Wakili wa Diddy anaitwaje vile!?😅

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 9 дней назад

    Kaz ipo

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 9 дней назад +7

    Watu weusi ni ishara ya mikosi chuki na laana!!! Watu wamepata pesa na kufanya kita uovu.
    .

    • @edwardtrigga5701
      @edwardtrigga5701 9 дней назад

      Wewe ni makilio ya nyani wewe unafikiri ngozi ya nguruwe hawafanyi hivyo au waarabu Wala mirungi?! Ni sababu TU hawa ni watu maarufu ndiyo maana ata akiua mende inatangazwa

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 9 дней назад

      @@edwardtrigga5701 Asante sana...

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 9 дней назад

      Waarabu kwenye kesi ya p dd imehusikaje hapo?​@@edwardtrigga5701

    • @FatmaSeif-c5n
      @FatmaSeif-c5n 9 дней назад

      Na hao waliohalalisha ndoa ya jinsia moja Israel ni weusi pia ?

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 9 дней назад

      @@FatmaSeif-c5n Watu weusi wameiga na wanaumizwa na Bado wanashabikia wao wao Wazungu...hii ndio laana ... Walileta Bible wakashangiliwa wanaleta usagaji wanashangiliwa ....

  • @babuwajinaommy725
    @babuwajinaommy725 9 дней назад

    Rafik yake Jay-Z jina alikuwa ana open the new restaurant mpya uko mwenzie yuko kwenye kitanzi hawa jamaaa watu habari 2pac mambo imechemka

  • @Sage-o4q
    @Sage-o4q 9 дней назад +1

    Sasa mtakua mmepata majibu ya zile tuzo za gram za burna boy😂😂😂😂 yaan chalii wa Nigeria alifirwa laivu😂.....!

  • @eplife1689
    @eplife1689 3 дня назад

    Hawa si watu wa Lucifer kwani wame mkosea bwana wao?

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 9 дней назад

    Siku yake na yy imefika

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 9 дней назад

    Karma is really

  • @ColestMakolo
    @ColestMakolo 9 дней назад

    Uyu ndie anatakiwq apotezwe uwezi muua Tupac aende jera ila R.kery atoke

  • @Gorilla43jr
    @Gorilla43jr 6 дней назад

    Kwanini iwe black amrica

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 10 дней назад

    No Diddy ❌

  • @tabomusic3625
    @tabomusic3625 9 дней назад +1

    Agi mfiro, wakili!

  • @ConsciousBNB
    @ConsciousBNB 10 дней назад +1

    Duh!

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 9 дней назад

    Kwan watu weupe hawana kes

    • @MamodelPark
      @MamodelPark 9 дней назад +3

      Bruh! Hii kesi haihusiani na rangi🙄🙄 Asishtakiwe kisa ni mweusi WTF

    • @missp1814
      @missp1814 8 дней назад

      ​@@MamodelParkyaan wafrica tunajiweka Kila kitu tunaonewa ni aibu...yaan mtu anamtetea kisa tu ni black,haya ndo madhara ya kutawaliwa😂😂

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 9 дней назад

    Uwii kimeumana

  • @AGAIN_MEDIA
    @AGAIN_MEDIA 9 дней назад

    Malipo niapa apa tu

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 9 дней назад

    Huyo jamaa kafanya paka 2pac kauwawa

  • @joycegacheri5177
    @joycegacheri5177 5 дней назад

    Sio wanawake tu alilawiti wanaume pia 😂 kuna video inatembea tik tok Diamond akisema kuna vitu walifanya na Diddy

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 дня назад

      Acha ujinga wewe mbona mnamsakama mondi??!! Alienda kama mtaftaji so si kila alieenda alifanyiwa huo unyama ...mtasema sana lakini ndo alishawaacha mbali Mungu halali alifanya uhalifu wote huo tena kwa kuwatishia pengine hata kwa nguvu za giza miaka mingi lakini Mungu amesema yatosha...

  • @khadi-z4o
    @khadi-z4o 10 дней назад +4

    HIYO NDOOKAZI YA FREEMASON. WANAKUZAMINI KWAKILA KITU WANAKUTOWA KIMAISHA WANAKUPA UMAARUFU.
    UKIJA UKIWAENDEYA KINYUMETU KWACHOCHOTE BASI WANAKUBAMIZA.HUTOKI WANAKUPANDIKIZA MSWALA.😅

  • @ismailkushinda8830
    @ismailkushinda8830 3 дня назад

    Why always blacks........???

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 10 дней назад +6

    mm cnaga imani na mataifa ya ulaya ju ya kec wanazowapa watu weuc... 📌📌📌

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 10 дней назад +2

      Inategemea akili Yako umeiweka kwenye malengo Gani, kama akili Yako inawaza kuonewa Kila wakati itahisi wanaonewa ila kiukweli hawa watu weusi wa marekani ni wanamambo machafi kupitiliza na ndo wanaoongoza kwa uhalifu

    • @davidsika5292
      @davidsika5292 10 дней назад

      ​@@Oldskulgemini9991Kweli kabisaa

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 10 дней назад +1

      Huyo Diddy kapita hadi mkubwa wa wasafi 😂😂😂
      Wewe huogopii

    • @BuhetySharia
      @BuhetySharia 10 дней назад

      Kweli kabisa....watu weusi ni very scary in America

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 10 дней назад

      Basata basata waingilie kati

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 10 дней назад +2

    Basata basata muingilie kati,jamaa watampoteza

    • @theblack_6754
      @theblack_6754 9 дней назад +1

      😂😂😂

    • @emaneez
      @emaneez 9 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @Gersah
      @Gersah 9 дней назад

      😂😂😂

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly3445 9 дней назад

    Kwisha

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx 10 дней назад +3

    Hii ndio shida ya kuwa free mason..ukiwazingua wanakupoteza.

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 10 дней назад

      Acha mawazo mgando wewe, Kila kitu freemason😂 huyo uchafu wake mwenyewe anastahili kupata adhabu kama kweli amefanya hivyo Wala haihusiani na mambo ya freemason

    • @StevenTaylorx
      @StevenTaylorx 10 дней назад

      @@Oldskulgemini9991 kijana kilicho mkuta r.kelly ndicho kinacho mkuta p_did..na Kanye west kilitaka kumkuta hiki hiki Ila wakaishia ku freez pesa zake akurudi kuwa msanii milionea sio bilionea , wewe hujui lolote kaa kimya

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 10 дней назад

      Daah ujinga huu sijui mpk lini haya ww tuambie kakiuma masharti gani huko 🤣🤣🤣💩🚮

    • @kabatelletv4157
      @kabatelletv4157 9 дней назад

      Hapana chief una uwakika gan na maneno yako. Freemason ni nini! Au nyie ndio wale mnaamini msile panaldo znacheap wazungu wanatak kutuaribu😅😅😅

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 9 дней назад

      Akili mbili

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 9 дней назад

    Ubaguzi...

  • @MrAslan47
    @MrAslan47 10 дней назад

    why always black 😔

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 10 дней назад

    Didi hawawezi kumfunga,,,

  • @jfabbyhussein6861
    @jfabbyhussein6861 День назад

    Tz diamond wenu,kilimkuta kwa kupenda vyabure😅😅

  • @RichardMbwelwa-xk3tm
    @RichardMbwelwa-xk3tm День назад

    Nilikua naongea na 50cent kasema nimtafutie kiwanja goba aje ajenge akae huku

  • @gihungaselemani8727
    @gihungaselemani8727 11 часов назад

    Hapa amekeuka masharti ya chama ndo maana kimemkuta hiki

  • @GloryTeu
    @GloryTeu 9 дней назад +5

    can't stop ain't stop"

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 10 дней назад +3

    2 pac hit em up ndio inavuma sasa

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 10 дней назад +4

    MBONA HATUSKII WAZUNGU WAKIWA NA KESI ZA NAMNA HII ? Waafrika tuwe makini acheni ushabiki wakoshoga. Kunammoja kakiri icc nikwaajili ya waafrika tu yaani mtu mweusi. Awa uwa wakiskia mtu mweusi ana pesa nyingi wanaleta figisu ilu wazipore malizake pia kuwakuwashushia heshima mtu mweusi. White supremacy at its best 😢

    • @missp1814
      @missp1814 8 дней назад

      Hao watu weusi wengi wanamambo ya Giza wanafanya....wanapozinguana huko ndo makesi yanaanza,hata watu weupe wanakutwa na hayo mambo ni vile hatuwafatilii sana

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 9 дней назад +3

    Kes ya rick Ross n lin

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz День назад

    Anatoka huyu jamaa

  • @celifpower4993
    @celifpower4993 9 дней назад +1

    Kunabaki 50 Cent snoop dogg

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 10 дней назад +2

    Ukiwa mweusi ukachukiwa na Illuminati kwakweli lazima utaiona dunia ni chungu, pole didy, Pole bussy signal, pole Michael, pole 2pac, pole pop smoke,

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 10 дней назад +1

      Kuongea kwa kutumi 🍑 hiyo ndio shida kwa kudhani hakuna weupe inayowakuta hiyo. Do research 🤡 mufamilifu mhalifu tu sio rangi

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 9 дней назад

      @@nickalreadyknows wapo ila ni nadra sana

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 9 дней назад

      Kuchukiwa na illuminati kivipi?
      Wakati wao wamejiunga kwenye hizo Cult wamezitumikia na zimewapa fedha , umaaarufu na ss ndo mwisho

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 9 дней назад +1

      @@christinewomanoffaith5479 kama ndio mwisho, sio mbya ila mwisho isiwe sababu wao kubambikiziwa kesi mpka dunia nzima ijuwe

    • @sadahgullam8228
      @sadahgullam8228 7 дней назад

      ​@@AFRICA_D669shida ukijiunga kwenye iyo chama lazima ufate mambo yao utaambia ukitaka tukupe mali, umaarufu uwe unalawiti au uku bongo watu si wanaambiwa waue sasa evidence wanabaki nazo wao si ndo wamekuagiza kumtumikia shetani means atakutuma ufanye mambo yake makubwa makubwa ya kumkosea mungu na siku zote anaeishikilia dunia ni mungu na sio shetani so siku mungu akisema dhulma ulizofanya zinatosha ndo unadondokea pua

  • @zumemooha6504
    @zumemooha6504 9 дней назад +1

    WANAMUSIC WAKOROFI ULAYA

  • @Boskarii
    @Boskarii 6 дней назад

    Wanastahili kuitwa wafuasi wa shetani

  • @Fatema-l9s
    @Fatema-l9s 9 дней назад

    Pesa haramu mwisho wake ni hapa unakula uzee wako kwa mates na fedheha kama hizi

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 10 дней назад +6

    So sad

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 9 дней назад

    😢😢😢anamfata r kelly saiv 😢

  • @DM_15
    @DM_15 9 дней назад +1

    Mimi nadhani kuna nguvu katika msamaha , kinacho watesa Black American nirohozakisasi kwa watu weupe hivyo wakifanikiwa tuu huwaza kulipiza kisasi, tatizo linakuja palewanaposhindwa kulipiza kwa akili hawajui namna bora yskulipa kisasi, hatimae hujikuta matatizoni, ukiwa na hasira usilipekisasi kisasi hulipwa ukiwa mtulivu una amani nahuna hisia kabisa zahasira, nyakati hizi ukiweza kulipa kisasi ukiwa friendly hawata amini nikisasi baliwatajua niupendotuu. Mfano mke alie kudharau ukiwahuna lolote akakukejeli. Wanaume sinajua inavyokuaga mkijipataee una anzaga kumvuta akue karibu anachokitaka unampa lakini wewe unakuanalengo lakulipa kileee alikufanyiaga madharau ukisha mpakua tuu unaendelea kumpa anachotaka mwisho ana anza kukuletea mwenyewe halafuwewe una mwambia sikotayari kwasasa kukuoa bado natafuta zakutosha. Huwa inawakata sana hio trust me

  • @Aishatheboss117
    @Aishatheboss117 10 дней назад

    Dhuu pole bro