Комментарии •

  • @saimondavid3757
    @saimondavid3757 2 года назад +4

    Nafelii kwa mengiii ila kila nikikusikilza napata kit

  • @mychanneltz4466
    @mychanneltz4466 2 года назад +5

    My best motivator speaker am proud of you brother ipo siku matunďa uliyopanda kwangu utayashuhudia japo hatujawahi onana nakuona tuu kwa youtube always your at the top

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 года назад

    Kufeli ni chujio la kujikunguta mavumbi na kusonga mbele.asante Kaka Joel kwa somo lako nimekupata vzr.zidi kubarikiwa

  • @petromaliselina9947
    @petromaliselina9947 2 года назад +3

    God bless you My motivator
    Kila nkiamkaa naangalia SoMo jipya kutoka kwako .
    Najifunzaa mengi kutokaa kwako.

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 2 года назад +2

    Asante sana kwa ujumbe huu hakika nimepta kt

  • @geophreygwarasa6789
    @geophreygwarasa6789 11 месяцев назад

    Aaisee bro wewe ni kichwa nilikuwa najilaumu sana baada ya kuferi kibiashara ila sasa umenipa tiba big up sana kaka

  • @erickleonard8162
    @erickleonard8162 2 года назад +2

    Asante sana kwa hii hekima. Ni mara chache sana unapata taarifa kama hii ya kukutia moyo.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 года назад

    Bomba sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    See you at the top 🔨🌹

  • @sethgoodluck2360
    @sethgoodluck2360 2 года назад +1

    hakika mungu akubariki unatusaidia sana

  • @firdosoman3133
    @firdosoman3133 2 года назад +2

    See you at the top😊

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Год назад

    Brother asante mungu akulinde bhana. Aiseee

  • @ZulfaKhamis-ok8lv
    @ZulfaKhamis-ok8lv 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana bro unatufundisha mambo muhimu sana

  • @deboramenard1855
    @deboramenard1855 2 года назад +1

    Nimejifunza sana brother

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 года назад

    Bomba sanq

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 2 года назад

    Kweli kabisa unavyosema

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    Blessings 🤝🤝🤝

  • @gladnessFirimin
    @gladnessFirimin 2 года назад +1

    Ninaelewa sasa, asante Sana.

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph 2 месяца назад

    Wao asantee na kuombea sanqqq

  • @nicolousmvungi9993
    @nicolousmvungi9993 2 года назад

    Sawaa broo''

  • @felixrobert9734
    @felixrobert9734 2 года назад +1

    Mungu akubarik Kaka Joel

  • @silasdavid5017
    @silasdavid5017 2 года назад +1

    Mungu akupe nguvu siku zote

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Shukuran sana

  • @bestshine6273
    @bestshine6273 2 года назад

    Your Top

  • @tztrucks1790
    @tztrucks1790 2 года назад

    Nimesha poteza kazi Sasa naanza upya bro inabidi niache kujilaumu

  • @luxurlyfxtyle5738
    @luxurlyfxtyle5738 2 года назад

    Excellent😍🤩

  • @jonasebuela8975
    @jonasebuela8975 2 года назад +1

    Amen

  • @sidaryotv8821
    @sidaryotv8821 2 года назад +1

    Asantee sanaa bro your open my eyes

  • @philipomfikwa349
    @philipomfikwa349 2 года назад

    Shukran bro

  • @ellyraphael6067
    @ellyraphael6067 2 года назад +1

    Blessed

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 2 года назад

    Nimekuelewa jembe

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 2 года назад

    nimekupata bro..

  • @joelkwigema9565
    @joelkwigema9565 2 года назад

    Alot of thanks to u for good and impression message more blessing

  • @amanimbaula5956
    @amanimbaula5956 2 года назад

    Big up

  • @jofreymlay7804
    @jofreymlay7804 2 года назад

    Where are you founded bro please

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 2 года назад

    Upande wangu kwenye biashsra nimeshindwa kuweka pesa pembeni ambayo ina,weza kusaidia wakati biashara inapo feli, ile pesa yote nimeuza huwa naiweka yote kwenye kuonga bidhaa sasa Mimi huwa sina pesa na huku naendesha biashara, kaka Joel,naomba unisaidie kwa hilo jambo ,,yani pesa nafanya biashara na sikai na pesa mahali popote , hata kwenye simu , hazikai ,pesa zote narudisha kununua bidhaa hee hivo ndivio biashara huendeshwa kweli,? Kaka Joel ongelelea hilo jambo

    • @dhinatsimbano8854
      @dhinatsimbano8854 2 года назад

      Hata mimi nilipitia wakati kama huo ila mimi nikwavile nilianza na mtaji mdogo ambapo ilibidi pale ninapouza tu niagize mzigo mwingine kupitia ile pesa bila kutoa faida lakini kadri nilivyoendelea niliona naagiza mzigo unaotosha na nabaki na kiakiba kidogo. Mpaka saivi namshukuru mungu naweza kujiwekea akiba japo sio kubwa sana ila namshukuru Mungu.
      Kwa maana nyingine nikwamba nilikuwa nakuza mtaji. Na biashara iliposimama ndipo nikaanza kutenga faida.

    • @loyceakuku6019
      @loyceakuku6019 2 года назад +1

      @@dhinatsimbano8854 ooh! Asante kwa advice yako Kumbe ikiwa naongezea bidhaa kumbe bado sijakosea ndio kulea biashara ikuwe kuwe kwanza ooh, asante , nilikuwa najiuliza maswali hadi nakosa jibu ,je mbona nafanya biashara lala sikia na pesa kwanini ,kusema ukweli nilikuwa nashangaa kweli kweli,,yani nikishauza bidhaa pesa inaniwahasha ukweli sikia na pesa lazima niende nimwage pesa zote kwa bidhaa, waa sasa naanza kupata elimu nzuri hapa kwa kaka Joel nashukuru mungu kwa kukuepo kwake mungu amubariki sana sana aweml mzima

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 года назад

    Safi Sana Mkuuu

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 2 года назад

    Ameen

  • @donjb3178
    @donjb3178 2 года назад +5

    UNAFANYA NINI BAADA YA KUFELI
    1.Kufeli ni darasa la kukuandaa usikosee pakubwa zaidi
    2.Kufeli kunapima shauku uliyonayo ya jambo unalolitafuta
    3.Kufeli hakumaanisha huwezi bali kuna kitu hujui vizuri
    4.Usitumie Muda mwingi kujilaumu.
    Kwa yoyote asomaye Mungu yupo na ww mda wote kuwa na matumaini na unachokifanya ushindi huja kwa wenye uvumilivu have a nice day and see you at the Top.