My best motivator speaker am proud of you brother ipo siku matunďa uliyopanda kwangu utayashuhudia japo hatujawahi onana nakuona tuu kwa youtube always your at the top
Upande wangu kwenye biashsra nimeshindwa kuweka pesa pembeni ambayo ina,weza kusaidia wakati biashara inapo feli, ile pesa yote nimeuza huwa naiweka yote kwenye kuonga bidhaa sasa Mimi huwa sina pesa na huku naendesha biashara, kaka Joel,naomba unisaidie kwa hilo jambo ,,yani pesa nafanya biashara na sikai na pesa mahali popote , hata kwenye simu , hazikai ,pesa zote narudisha kununua bidhaa hee hivo ndivio biashara huendeshwa kweli,? Kaka Joel ongelelea hilo jambo
Hata mimi nilipitia wakati kama huo ila mimi nikwavile nilianza na mtaji mdogo ambapo ilibidi pale ninapouza tu niagize mzigo mwingine kupitia ile pesa bila kutoa faida lakini kadri nilivyoendelea niliona naagiza mzigo unaotosha na nabaki na kiakiba kidogo. Mpaka saivi namshukuru mungu naweza kujiwekea akiba japo sio kubwa sana ila namshukuru Mungu. Kwa maana nyingine nikwamba nilikuwa nakuza mtaji. Na biashara iliposimama ndipo nikaanza kutenga faida.
@@dhinatsimbano8854 ooh! Asante kwa advice yako Kumbe ikiwa naongezea bidhaa kumbe bado sijakosea ndio kulea biashara ikuwe kuwe kwanza ooh, asante , nilikuwa najiuliza maswali hadi nakosa jibu ,je mbona nafanya biashara lala sikia na pesa kwanini ,kusema ukweli nilikuwa nashangaa kweli kweli,,yani nikishauza bidhaa pesa inaniwahasha ukweli sikia na pesa lazima niende nimwage pesa zote kwa bidhaa, waa sasa naanza kupata elimu nzuri hapa kwa kaka Joel nashukuru mungu kwa kukuepo kwake mungu amubariki sana sana aweml mzima
UNAFANYA NINI BAADA YA KUFELI 1.Kufeli ni darasa la kukuandaa usikosee pakubwa zaidi 2.Kufeli kunapima shauku uliyonayo ya jambo unalolitafuta 3.Kufeli hakumaanisha huwezi bali kuna kitu hujui vizuri 4.Usitumie Muda mwingi kujilaumu. Kwa yoyote asomaye Mungu yupo na ww mda wote kuwa na matumaini na unachokifanya ushindi huja kwa wenye uvumilivu have a nice day and see you at the Top.
Nafelii kwa mengiii ila kila nikikusikilza napata kit
My best motivator speaker am proud of you brother ipo siku matunďa uliyopanda kwangu utayashuhudia japo hatujawahi onana nakuona tuu kwa youtube always your at the top
Kufeli ni chujio la kujikunguta mavumbi na kusonga mbele.asante Kaka Joel kwa somo lako nimekupata vzr.zidi kubarikiwa
God bless you My motivator
Kila nkiamkaa naangalia SoMo jipya kutoka kwako .
Najifunzaa mengi kutokaa kwako.
Asante sana kwa ujumbe huu hakika nimepta kt
Aaisee bro wewe ni kichwa nilikuwa najilaumu sana baada ya kuferi kibiashara ila sasa umenipa tiba big up sana kaka
Asante sana kwa hii hekima. Ni mara chache sana unapata taarifa kama hii ya kukutia moyo.
Bomba sana
See you at the top 🔨🌹
hakika mungu akubariki unatusaidia sana
See you at the top😊
Brother asante mungu akulinde bhana. Aiseee
Ubarikiwe sana bro unatufundisha mambo muhimu sana
Nimejifunza sana brother
Bomba sanq
Kweli kabisa unavyosema
Blessings 🤝🤝🤝
Ninaelewa sasa, asante Sana.
Wao asantee na kuombea sanqqq
Sawaa broo''
Mungu akubarik Kaka Joel
Mungu akupe nguvu siku zote
Shukuran sana
Your Top
Nimesha poteza kazi Sasa naanza upya bro inabidi niache kujilaumu
Excellent😍🤩
Amen
Asantee sanaa bro your open my eyes
Shukran bro
Blessed
Nimekuelewa jembe
nimekupata bro..
Alot of thanks to u for good and impression message more blessing
Big up
Where are you founded bro please
Upande wangu kwenye biashsra nimeshindwa kuweka pesa pembeni ambayo ina,weza kusaidia wakati biashara inapo feli, ile pesa yote nimeuza huwa naiweka yote kwenye kuonga bidhaa sasa Mimi huwa sina pesa na huku naendesha biashara, kaka Joel,naomba unisaidie kwa hilo jambo ,,yani pesa nafanya biashara na sikai na pesa mahali popote , hata kwenye simu , hazikai ,pesa zote narudisha kununua bidhaa hee hivo ndivio biashara huendeshwa kweli,? Kaka Joel ongelelea hilo jambo
Hata mimi nilipitia wakati kama huo ila mimi nikwavile nilianza na mtaji mdogo ambapo ilibidi pale ninapouza tu niagize mzigo mwingine kupitia ile pesa bila kutoa faida lakini kadri nilivyoendelea niliona naagiza mzigo unaotosha na nabaki na kiakiba kidogo. Mpaka saivi namshukuru mungu naweza kujiwekea akiba japo sio kubwa sana ila namshukuru Mungu.
Kwa maana nyingine nikwamba nilikuwa nakuza mtaji. Na biashara iliposimama ndipo nikaanza kutenga faida.
@@dhinatsimbano8854 ooh! Asante kwa advice yako Kumbe ikiwa naongezea bidhaa kumbe bado sijakosea ndio kulea biashara ikuwe kuwe kwanza ooh, asante , nilikuwa najiuliza maswali hadi nakosa jibu ,je mbona nafanya biashara lala sikia na pesa kwanini ,kusema ukweli nilikuwa nashangaa kweli kweli,,yani nikishauza bidhaa pesa inaniwahasha ukweli sikia na pesa lazima niende nimwage pesa zote kwa bidhaa, waa sasa naanza kupata elimu nzuri hapa kwa kaka Joel nashukuru mungu kwa kukuepo kwake mungu amubariki sana sana aweml mzima
Safi Sana Mkuuu
Ameen
Ameen
UNAFANYA NINI BAADA YA KUFELI
1.Kufeli ni darasa la kukuandaa usikosee pakubwa zaidi
2.Kufeli kunapima shauku uliyonayo ya jambo unalolitafuta
3.Kufeli hakumaanisha huwezi bali kuna kitu hujui vizuri
4.Usitumie Muda mwingi kujilaumu.
Kwa yoyote asomaye Mungu yupo na ww mda wote kuwa na matumaini na unachokifanya ushindi huja kwa wenye uvumilivu have a nice day and see you at the Top.
Asnte