wee mama Kelly is birthing fire watch this 🔥😤😤🔥🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Edited by YouCut:app.youcut.net...

Комментарии • 145

  • @Jesuslovesus10670
    @Jesuslovesus10670 3 месяца назад +32

    Mama kaelly stay away from frank and Stephie,,wewe ni mwanamke mjinga..ulimbomoa ndoa ya kijana wako na mikono Yako miwili.

    • @user-vs6jg4ez4q
      @user-vs6jg4ez4q 3 месяца назад +1

      KILIMRAMBA NA BADO KITAMRAMBA ZAIDI

  • @user-gh7hb2fh2g
    @user-gh7hb2fh2g 3 месяца назад +29

    What goes around comes around mama Kelly ,you will someday pay for what you did to stephy

    • @pamelashikhule9443
      @pamelashikhule9443 3 месяца назад +3

      She will pay through her daughter and son, mpaka vile ataona na majo yake

  • @millicientnoreen9601
    @millicientnoreen9601 3 месяца назад +20

    If you believe regrets comes after or late 😂gonga like tukienda

  • @eunicengonyo7301
    @eunicengonyo7301 3 месяца назад +12

    Pride comes after fall ,mama Kelly amechange kabisaa hadi anatembea kwa leso kichwani ,huyu akona a story to tell

  • @afandiemily4021
    @afandiemily4021 3 месяца назад +9

    PASTA SHOW WAS GOING ON WELL BUT CALLING PEOPLE WHO HAVE BEEN THERE AND ASKING THEM LEADING QUESTIONS AND AFTER WORDS YOU USE THE SAME ANSWERS HE/SHE ANSWERED TO TURN THEM AGAINST ONE ANOTHER IS NOT A GOOD IDEA.

    • @lucywachira7709
      @lucywachira7709 3 месяца назад

      Very true..... waendelee na maisha waache kufuata yaliyopita

    • @bakhoya
      @bakhoya 3 месяца назад

      Very true

    • @eunitakesio
      @eunitakesio 3 месяца назад

      True and asking nonsense questions

    • @jacklinekinya9800
      @jacklinekinya9800 3 месяца назад

      Kama kwa Joshua hapo ndio kuboeka kuko😅

    • @judymungai1314
      @judymungai1314 3 месяца назад

      Very true sio poa nikugonganisha watu

  • @ivymugei
    @ivymugei 3 месяца назад +9

    Hey,mutwambie Kwanza kama grace alipatikana,utu tumapepo ya mamake Kelly achaneni kwani

  • @beatrizbibiana130
    @beatrizbibiana130 3 месяца назад +4

    Siku zaenda kwa kac nyakelly amebadilika maisha ya ushago ama

  • @danielmosiria5063
    @danielmosiria5063 3 месяца назад +4

    Mama . Kerry pls, forget about, 💔💔Stephie & Frank . move on with your family, look another, lady for Kerry

  • @sarawacu-gz4ld
    @sarawacu-gz4ld 3 месяца назад +3

    huyu mama amechapa ile mbaya sana aki pride comes before afall

  • @judymungai1314
    @judymungai1314 3 месяца назад +6

    Sasa hizi ni gani simuache watu na maisha yao juu hapa mwatonesha vidonda tena

  • @roseotera4828
    @roseotera4828 3 месяца назад +3

    Hawa nao sasa ni kugonganisha watu sasa so mlikuwa mnahoji mwikali mkarudishie mama Kelly surely

  • @Allygibison
    @Allygibison 3 месяца назад +7

    Director it’s true Stephie alisema she’s never slapped mama Kelly

  • @LucyNdunge-yy4nb
    @LucyNdunge-yy4nb 3 месяца назад +2

    Wewe mama Kelly wewe ni ngombe tu ata unafaa uaze kula nyazi umemboa ,nyumba ya kijana yako nausijaribu kuongea mbaya kwa frank steps wewe mama nakuchukia kabisa

  • @MercywangariGititi
    @MercywangariGititi 3 месяца назад +5

    Kwani mama Kelly wewe sio mama mzuri urihalibia kijana yako mbona sai umekonda pesa ya mtoto wako ulipeleka wapi mama pesa

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 3 месяца назад

      Na alitoka ushango akaje kwa nyumba ya keli😂😂

    • @eunitakesio
      @eunitakesio 3 месяца назад

      Na kush ako wapi asichunge mamake Kwa njia inayofaa alikua anapiga mdomo na pesa ya MCA

    • @chustekimani
      @chustekimani 3 месяца назад

      ​@@eunitakesiokaliachwa bwanke😂😂😂

  • @SusanKaranja-go7ke
    @SusanKaranja-go7ke 3 месяца назад +7

    Na muite muriithi na mma yake 😂😂😂

    • @denahtingwe5549
      @denahtingwe5549 3 месяца назад

      😂😂😂I was thinking of this story tunataka kujua Celina's whereabouts

  • @zawadig4235
    @zawadig4235 3 месяца назад +4

    Mama dochument amechapa 😂😂😂😂

  • @godwinkingori5871
    @godwinkingori5871 3 месяца назад +5

    Mama maconfidence.
    Karibu wewe ndio dawa ya Vayo maringo.

  • @toplagger
    @toplagger 3 месяца назад +3

    Na amebeat

  • @chustekimani
    @chustekimani 3 месяца назад +1

    Ndochment 😂😂😂amekuja tena amezeeka sana mchawi ...kelly mjinga tuh,, vayo ndiye anam control sasa 😂😂😂😂vayo anandanganya 😂😂😂gaidi kwanza achange nguo na wigs

  • @everlineeverlinewamalwa243
    @everlineeverlinewamalwa243 3 месяца назад +3

    Ahahahahaaaa! Mm ndo kusema! Kitithu iliisha nguvu ama??? Never joke with God, he is always awake 😂😂

    • @soniagrace3296
      @soniagrace3296 3 месяца назад

      Niko na pesaaaaa where did it go😂😂😂😂😂😂😂

    • @everlineeverlinewamalwa243
      @everlineeverlinewamalwa243 3 месяца назад

      @@soniagrace3296 am telling you nn haiishi mama Kelly?🤣🤣🤣

    • @Mercymagie966
      @Mercymagie966 3 месяца назад

      We save a big God ooh

  • @Nyaboke58
    @Nyaboke58 3 месяца назад +2

    Kumbe si mm pekeangu nimeona vile huyu mama amechapa😂

  • @SheilaLovega
    @SheilaLovega 3 месяца назад +1

    Mama kelly kilimuramba woiiiiii

  • @Mercy-x9v
    @Mercy-x9v 3 месяца назад +2

    Kusema ukweli vayo ni mkora sanah vayo jua kufaa kwanza hata mama Kelly anafaa vizuri kukuliko

  • @danielmosiria5063
    @danielmosiria5063 3 месяца назад +1

    Mama Kerry, Kushu Vayo ,alisema ni mifugo alifuga kwake wakati wasiokua na makao,🤣🤣🤣

  • @user-jz9jb8hy6f
    @user-jz9jb8hy6f 3 месяца назад

    Weh msikanyagie ya grace 😮😮😮

  • @julianaonyango1702
    @julianaonyango1702 3 месяца назад +3

    Vayo ni mkoraa sana😂😂😂😂😂

  • @user-wk9uh5mk1h
    @user-wk9uh5mk1h 3 месяца назад +3

    Hii kipindi sasa imeanza kuboo tafuteni content ingine

  • @Marthamary3377-nk3uu
    @Marthamary3377-nk3uu 3 месяца назад +1

    SI mama Kelly amechapa
    Kweli mpanda gazi hushuka

  • @user-gu3er2ym1g
    @user-gu3er2ym1g 3 месяца назад +1

    Ni kweli stephie amessema hadja way kufagna slap kwa mama kely

  • @winfredgithinji9204
    @winfredgithinji9204 3 месяца назад +1

    Waah mama kerry amechapa😂😂 sema kurambwa

  • @user-sw2yv3zz4y
    @user-sw2yv3zz4y 3 месяца назад +3

    Wakati huyu mama alikua anazunguka hii Nairobi kwani huo wakati hakua na ngombe

    • @eunitakesio
      @eunitakesio 3 месяца назад

      Maybe alienda kununua baada ya vayo kuwafukuza

  • @user-qw6th1yn3o
    @user-qw6th1yn3o 3 месяца назад +1

    Haiya huyu nimama kelly,,😂😂 niliacha akiwa tajiri venye alisema kulienda je😂😂😂

  • @user-fj3jg5gm6b
    @user-fj3jg5gm6b 3 месяца назад +1

    Hyu mma amejikaraga namafuta yake kama nguruwe.

  • @janeotiso552
    @janeotiso552 3 месяца назад +1

    Mama mchawi, achana na Frank na stephy.
    Nasikia kelly ni MCA masikini.😂😂😂

  • @user-tl7xs3de5x
    @user-tl7xs3de5x 3 месяца назад +1

    Huyu mama na muhurumia sana she had a beautiful family but kuskia mwanawe ana cheat badala ya kuja kujega ama ku suluisha alikuwa kumpiga stepy Sasa mwanae Hana bibi amebaki kuagaika huku na uko kama kuku wa kidimu asiye na kwao

  • @nillap767
    @nillap767 3 месяца назад +2

    "Mimi ndiye kusema" huyu kimemramba😢

  • @JesicahMoraa
    @JesicahMoraa 3 месяца назад +1

    Waah vayo ako na mambo nikama anatanganyea mama kelly maneno ata Joshua mukichungusa vayo ata ayuko na kelly kwa nyumba moja huyu vayo ako na mdomo kubwa tu kualipia watu manyumba yao vayo kama amesidwa kununua ata nguo anasinda na nguo moja kwa mwili atapata pesa wapi ya kununulia mama kelly shopping 😂😂😂

  • @JosephineKageha-qx7ut
    @JosephineKageha-qx7ut 3 месяца назад +1

    Simuache hinzi vipindi ju watu wako wengi wanaitaji usaidizi,,,, tafuteni wengine

  • @LucyNdunge-yy4nb
    @LucyNdunge-yy4nb 3 месяца назад +2

    Mimi ni mukamba sijai ona mukamba mujinga kama wewe ata ningekua mwikali ningekuchapa uone ngiza tulikuambia ukakataa kusikia mwishowe kimekuramba ulikua unasema kithitu mimi ni mukamba kithitu inafuatanga ukweli ata ungepika hio kithitu ingemaliza mboma yako

  • @gladysmueni2534
    @gladysmueni2534 3 месяца назад +1

    Mama yetu,nn uso yake imefanya? Ama ni kuchomeka na jua.pole mama kwa kila Jambo.We had missed you.

  • @user-jz9jb8hy6f
    @user-jz9jb8hy6f 3 месяца назад +1

    Wewe director unachocha huyu mama😅😅😅😅😅 unamenjoy

  • @johnkimani7944
    @johnkimani7944 3 месяца назад +1

    I think Vayo grossly exaggerated. She isn't as rich...if at all...as she acts...

  • @faidanyevu
    @faidanyevu 3 месяца назад +1

    Me ngeomba mtafte content xai mtaanza kugonganisha Stephie na Frank na xai wametulia wanaendla na life yao

  • @miriamwambui8719
    @miriamwambui8719 3 месяца назад +1

    Vayo senye dunia itamgeuka atajua ya Mungu ni mengi akome kuhalibu doa za watu juu c poa hii dunia iko na mwenyewe kanyanga pole pole vayo

  • @Faith-ou1nb
    @Faith-ou1nb 3 месяца назад +1

    Huyu ni mama Kelly najua majabu

  • @lilianadhiambo1003
    @lilianadhiambo1003 3 месяца назад +2

    Ndochmenta

  • @perisjepkorir5275
    @perisjepkorir5275 3 месяца назад

    Huyu ni mama Kelly kweli

  • @user-dj1io8uy5f
    @user-dj1io8uy5f 3 месяца назад +1

    Mama Kelly wachs kujifanya ndio mana umekosa umekua mweusi nywele imenishinda kusonga wacha kujifanya

  • @Ferricks
    @Ferricks 3 месяца назад +2

    We need to know if Grace was found then we could follow this episodes later

  • @ekiruekiru8728
    @ekiruekiru8728 3 месяца назад +1

    Huyu mama akiskia stehpy wazimu inamtoka Mali ilienda yotee😅😅😅😅😅😅 kimekuramba mamaa kaa ushago ukalime

  • @faithimannkings5997
    @faithimannkings5997 3 месяца назад +1

    Show off imeisha sasa, huyu mama kilimramba kitamboo

  • @SusanMaroa-bb6vj
    @SusanMaroa-bb6vj 3 месяца назад +1

    Wewe mama Kelly mjika sana ŵakati ulikuja kufurunga mboma ya Stephen haukua na kazi ya kufanya ukambani heshimu miaka yako mama kusema eti mtosi hehe he wewe ni mtosi wa wapi mama mjika

  • @evalynenyanjau982
    @evalynenyanjau982 3 месяца назад +3

    I trust mama Kelly. Vayo ni mkora

  • @julianaonyango1702
    @julianaonyango1702 3 месяца назад +1

    Udaku udaku udaku all around tamu sana

  • @salngas902
    @salngas902 3 месяца назад +2

    Mama Kelly changed too much,,ama kirimramba😂😂

    • @eunitakesio
      @eunitakesio 3 месяца назад

      Hadi amezeeka jamani vayo alimfunga bank ya mama Kelly

    • @Mercymagie966
      @Mercymagie966 3 месяца назад

      Githitu kamgeukia jamani

  • @Anviy620
    @Anviy620 3 месяца назад +2

    Mama ya MCA I remember mama kelly akitingiza kichwa

    • @Mercymagie966
      @Mercymagie966 3 месяца назад

      Na alichapaa kwani anaishi street

  • @emilynjue6907
    @emilynjue6907 3 месяца назад +1

    Weeeeee mama Kelly amepalala haki akai kama yeye. Pesa gani ati Ata gari
    😂😂😂😂😂😂😂

  • @vincentayuku2089
    @vincentayuku2089 3 месяца назад +1

    Leta Nyaito na baba cate

  • @user-gg8dc7sv5d
    @user-gg8dc7sv5d 3 месяца назад +1

    Sisi tunataka kuon TU Steph na frank hiyo ndo tunangoja bt story za Hawa wengine wachanga nazo,,mtuletee Steph na frank tuwapigie makofi

  • @gugub9783
    @gugub9783 3 месяца назад +2

    Aki n voice imefanya nkajua n mama Kelly juu weeh

  • @eunitakesio
    @eunitakesio 3 месяца назад +2

    Vayo pesa za MCA ndio anakula Kelly Hana loan mama jenifa bwana wake aliaga na hajawai chukua mume WA watu vayo gaidi mkora jambasi mnyanganyi madharau ni kampuni gani ako nayo na ni conlady

  • @kyusa7002
    @kyusa7002 3 месяца назад +1

    😅😅😅mi ndo kusema

  • @millicientnoreen9601
    @millicientnoreen9601 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂huyu mma hataki aibu anaumia akiulizwa mambo ya stephy ,,what I know if stephy is from my tribe 😢you will never see stephy again back in ur life NEVER coz we dont takeback what once we rejected

  • @damariskissy-pj4qh
    @damariskissy-pj4qh 3 месяца назад +1

    Director please, lete frank Kwa stage frank hataficha chochote

  • @johnkimani7944
    @johnkimani7944 3 месяца назад +1

    Inakaa Stephie alifanya ile kitu...she's so furious on mentioning Stephie...mali yote ni kama ilienda ikiendanga na Stephie

  • @divinahmachuka1859
    @divinahmachuka1859 3 месяца назад +1

    Intro inawenza unaponga poa camera man big up

  • @eddahkithimba9125
    @eddahkithimba9125 3 месяца назад +1

    Is it breathing or birthing jameni,hii kisungu nayo,ilicome na meli

  • @eznahnyaboke7249
    @eznahnyaboke7249 3 месяца назад +1

    Mama Kelly ulialibu ndoa ya kijana yako na mikono miwili

  • @Esendi564
    @Esendi564 3 месяца назад +1

    Siku hizi ni leso na style ziliisha

  • @zawadihudson8351
    @zawadihudson8351 3 месяца назад +2

    Mmmh maisha yana kimbia haraka sana ni nini kimempata huyu mama mbona kachakaaa Sana?

  • @carolynemusavi7829
    @carolynemusavi7829 3 месяца назад +1

    Mama Kelly kilikulamba zamani

  • @JanetMaliatso
    @JanetMaliatso 3 месяца назад

    Ndochuments 😂😂😂

  • @Esendi564
    @Esendi564 3 месяца назад

    Huyu ni mchawi walai na sirii

  • @flurancembone4824
    @flurancembone4824 3 месяца назад +1

    Vayo demon 👿

  • @okko-le8sy
    @okko-le8sy 3 месяца назад +1

    mama Kelly ulifanya poa wakati ilikua na pesa ukanunua tunguo tupoa but umembadilika unafunga reso kwakinkwa🤦Jua ya ukambani imekungoga sawasawa🤓

  • @monicanderitu7378
    @monicanderitu7378 3 месяца назад +1

    Mathee amechapa weeeeuh

  • @maryachuti4997
    @maryachuti4997 3 месяца назад +1

    Mama Kelly ukweli kithitho namimba ya mwikali hakusema. But it doesn't mean I agree with her.

  • @godwinkingori5871
    @godwinkingori5871 3 месяца назад +1

    Mama Kelly on fire.

  • @flurancembone4824
    @flurancembone4824 3 месяца назад +1

    Mwikali alisema Hana mimba.ma Kelly hausema kizito kwake mbali kwa ndoa ya stepnie

  • @MeryNdegwa
    @MeryNdegwa 3 месяца назад +1

    Mama Kelly mama Kelly. Devil completely. .sema tu kilikuramba. Hujaolewa na Kelly wako. Naumekonda 😂😂😂😂pesa kwisha 🤣🤣. Kwenye ulitokaga watu walipataga amani ngombe. Huna any . Just admit .saitan.

  • @soniagrace3296
    @soniagrace3296 3 месяца назад +1

    Maswali na fare😂😂😂😂😂

  • @nyokskinyah8246
    @nyokskinyah8246 3 месяца назад +1

    Mmeanza kuleta mama mchawi hapa ati ako na boma hakuwa nayo. What goes around comes araud wicked woman

  • @sarahswalez4971
    @sarahswalez4971 3 месяца назад

    Huyu mama Kelly amekonda😂😂😂

  • @Patricianicholaus24
    @Patricianicholaus24 3 месяца назад +1

    Mama Kelly vp mbona mavitambaa kwa kichwa😂😂

  • @fridahfridahsabasi6833
    @fridahfridahsabasi6833 3 месяца назад +1

    Hii story iliisha mbona mnafuatilia life ya huyu mama Kelly mchawi cos Hana good advice to tell us, evil woman

  • @Yuca878
    @Yuca878 3 месяца назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @veronicahnderitu321
    @veronicahnderitu321 3 месяца назад

    Ety mama Kelly ameajiliwa na vayo,,😃😃😃😃

  • @mamaboizpure842
    @mamaboizpure842 3 месяца назад +1

    Mimi nataka chief Bonnie aki

    • @faithmutua2694
      @faithmutua2694 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂 na pia nanny, muriuki

  • @paromaprevious217
    @paromaprevious217 3 месяца назад +1

    Mama Kelly why always bring ur issues in studio,kuwa mku mcha mungu

  • @soniagrace3296
    @soniagrace3296 3 месяца назад +1

    Aki muikari😂😂😂😂😂😂

  • @muthonibeatrice4568
    @muthonibeatrice4568 3 месяца назад

    Kumbuka matendo ulitendea Stephie very wicked woman

  • @maryhebrew9480
    @maryhebrew9480 3 месяца назад +1

    Waa hii story bado 😂😂😂

  • @teresiawilliams3041
    @teresiawilliams3041 3 месяца назад +1

    Hata sauti tuu ndio inafanya mtu anjue ni mama document

  • @Brenda-xl2ow
    @Brenda-xl2ow 3 месяца назад

    Mbona munarudia mambo ya kitambo jamaani

  • @SusanKaranja-go7ke
    @SusanKaranja-go7ke 3 месяца назад +1

    Mwili ilienda wapi 😂

  • @MaryMuthoni-rf2qu
    @MaryMuthoni-rf2qu 3 месяца назад

    Inakaa mama kithito mambo haikumuendea poa siku hizi anakaa kuchapa

  • @aplokimo405
    @aplokimo405 3 месяца назад +1

    Ukweli alikuwa nyumbani

  • @Beatricemidecha
    @Beatricemidecha 3 месяца назад +1

    Mimba ya vayoo ilienda wapi???

  • @berittamutunga2303
    @berittamutunga2303 3 месяца назад +1

    Na kwani pesa ya salon iliisha?

  • @Allygibison
    @Allygibison 3 месяца назад +1

    I don’t support what this woman did , breaking Stephie marriage, she is so bitter knowing and remembering her actions , her family will live in shame