SIRI MUJARABU YA AYAH HIZI KATIKA KUWAONGOZA NA KUWAFANYA WATOTO WEMA | Mohamed Alidini

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • SIRI MUJARABU YA AYAH HIZI KATIKA KUWAONGOZA NA KUWAFANYA WATOTO WEMA | SIRI ZA QURAN TUKUFU | Mohamed Alidini
    Katika video hii tunaelezea Siri ya Ayah hizi katika kuwaongoza Watoto na kuwafanya kuwa wema katika Maisha yao kwa uwezo wa Allah (SWT). Hii ni Siri kubwa kwa kuwa inafungamana na Quran ambayo ni kitabu cha Allah (SWT) kisichokuwa na shaka yoyote. Ni matumaini yangu kuwa utafuata maelezo yake ili uweze kufikia malengo yako yote.
    Maelezo yake:
    Surah: IBRAHIM, AL-FURQAN NA AHQAF
    Ayah: 40, 74 NA 15
    -----------------------------------------------------------------------------------------
    Utaratibu wake:
     Kuwa na Yaqeen kuhusu siri na faida za Qur’an Tukufu
     Kuwa na Udhu na Twahara kamili
     Tia Nia
     Elekea Qibla
     Kila baada ya Swala ya Faradhi soma Ayah zifuatazo:
    (أعوذ بالله من الشيطان الرجيم، رَبِّ ٱجْعَلْنِى مُقِيمَ ٱلصَّلَوٰةِ وَمِن ذُرِّيَّتِى ۚ رَبَّنَا وَتَقَبَّلْ دُعَآءِ 40.
     أعوذ بالله من الشيطان الرجيم، (رَبَّنَا هَبْ لَنَا مِنْ أَزْوَٰجِنَا وَذُرِّيَّـٰتِنَا قُرَّةَ أَعْيُنٍۢ وَٱجْعَلْنَا لِلْمُتَّقِينَ إِمَامًا ٧٤).
     أعوذ بالله من الشيطان الرجيم، (رَبِّ أَوْزِعْنِىٓ أَنْ أَشْكُرَ نِعْمَتَكَ ٱلَّتِىٓ أَنْعَمْتَ عَلَىَّ وَعَلَىٰ وَٰلِدَىَّ وَأَنْ أَعْمَلَ صَـٰلِحًۭا تَرْضَىٰهُ وَأَصْلِحْ لِى فِى ذُرِّيَّتِىٓ ۖ إِنِّى تُبْتُ إِلَيْكَ وَإِنِّى مِنَ ٱلْمُسْلِمِينَ ١٥).
     Waweza ifanya hii faida mara siku zote. Nafasi na uwezo wako.
    ------------------------------------------------------------------------------------------
    Shukran kwa kujisajili Channel yangu!
    ----------------------------------------------------------------------------------------------
    Copyright Notice:
    ► Every content we made are licensed to our channel.
    ► All audios, videos and images are copyrighted and fully licensed.
    ► Elements used in this video are edited by us are copyrighted and fully licensed.
    ► So, you do not have permission to use or reupload our content without our permission.
    Copyright © 2024 Mohamed Alidini. All rights reserved.
    **********************************************************************

Комментарии • 22

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf 19 дней назад +1

    Alhadulilahi namshukuru Allahu akuzidishie kakangu kutuilimisha na Mwenye Enzi mungu atujaliye tuwe wenye kuyafanyia kazi maneno yake Allahu.NaAllahu atujaliye imani azidanye ziwe thabiti kwa uwezo wake na utukufu Wake Allahu Dunia na kesho Akhera Allahuhuma Amin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  19 дней назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! Sote Insha Allah! Shukran.🤲🤲🤲🤲🤲

  • @hudhayfalupande7543
    @hudhayfalupande7543 28 дней назад +3

    Maashaallah allah akuzidishie umri sheikh kwa elim nzuri unayo itowa

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +2

      Tabarakallah. Sote Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲

    • @hudhayfalupande7543
      @hudhayfalupande7543 28 дней назад +1

      @@mohamedalidini allahumma Ameen ya rabbiiiiii aramiiiin

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +1

      @@hudhayfalupande7543 Ya Rabb! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @SalmaShabani-ou6gk
    @SalmaShabani-ou6gk 18 дней назад +1

    Mashaallah barikiwa sana shekh

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  18 дней назад +1

      Tabarakallah! Ameen! Shukran! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 28 дней назад +1

    Allahumma swali alaa habibi MUHAMMAD SALALLAHU ALAIHI WASALAM ❤️❤️❤️

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +1

      Ameen Ya Rabbal 'Alameen! 🤲🤲🤲🤲🤲

  • @aishasaidmimo5239
    @aishasaidmimo5239 27 дней назад +1

    hyo kengele uloieka ina kera ila shukran sana

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  27 дней назад +1

      Kheiran Insha Allah! Samahani kwa hilo!

  • @wassilaali
    @wassilaali 29 дней назад +2

    Thank you

  • @FatumaAdinani-o1g
    @FatumaAdinani-o1g 27 дней назад +1

    Maashallah

  • @شفيعهالجزار
    @شفيعهالجزار 29 дней назад +2

    I love quran

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +1

      Masha Allah! May Allah (SWT) Accept it.

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 28 дней назад +1

    Jazaka llahul khair ❤️

  • @MkabhalebhiLukeyemba
    @MkabhalebhiLukeyemba 28 дней назад +1

    Asalaam aleykum shekh naomba namba yako Nina shida

    • @mohamedalidini
      @mohamedalidini  28 дней назад +1

      Waalaikumussalam Warahmatullah Wabarakatuh. Namba yangu ni hii: +254 700047708.