"RPC MTAFUTE IGP" MAKONDA ACHUKIA UTEKAJI "AU MNAANGAIKA NA WATOTO WA VIGOGO MASIKINI MNAWAACHA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 78

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed 8 месяцев назад +10

    Makonda Mungu atakupa wepesi pia Mama Samia Suluhu Hassan Amlinde Makonda....

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 8 месяцев назад

      Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed 8 месяцев назад

      @@musa-v3f Roma ni muharibifu wa Ukiristo na Mila za TANZANIA ndio Nani Roma

    • @sethmdj
      @sethmdj 4 дня назад

      ​@@AleiHadji-js3edKwa hiyo ni haki yake kutekwa?

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron 7 месяцев назад +2

    Makonda Mungu akulinde Daima ,hapana mtu apotee miaka mitatu hapana wahusika wmuogope MUNGU

  • @hosseasimon3887
    @hosseasimon3887 8 месяцев назад +5

    Huyu dada yuko smart na ni jasiri,licha ya magumu ila anajenga hoja na inasikika

  • @geegalax6479
    @geegalax6479 8 месяцев назад +4

    Mungu akutie nguvu Makonda naamini umewekwa na Mungu kuwasaidia wanyonge. Wapenda haki tumuombee afanye vizuri zaidi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад

      Chadema wamehukumiwa serikali kwakuzuia sukari na mgao

    • @sethmdj
      @sethmdj 4 дня назад

      IGP alishampa majibu?

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 8 месяцев назад +4

    Magufuli alimfundisha mutu na anatekelezwa kama alivyofundishwa na kufanya Kwa usahihi

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад +1

    Makonda ajekuwa hakim . Mahakama zifungwe makonda atosha

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 8 месяцев назад +5

    kama hukumu ya baraza la aridhi haijatoka huyo anaendelezaje hapo

  • @wizzydomtz
    @wizzydomtz 8 месяцев назад +3

    Magufuli apa daah mwenyezi mungu amlaze mali pema peponi masikin mzee wawatu

    • @isaacvtv547
      @isaacvtv547 8 месяцев назад

      Hapo ndipo kunawasiwasi.

  • @josephmwanilonga1492
    @josephmwanilonga1492 8 месяцев назад +7

    Amejuaje kuwa huyo ni marehemu.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад +1

    Nikimsikia mtu anamsema vibaya maonda namdharau sn kwamba nitahira tus

  • @KennedyZabron
    @KennedyZabron 7 месяцев назад +1

    Jamaniii jamaniii Tanzania tunahangaika nyumbani kwetu wenyewe kwa nn utu umepotee ebu viongozi muwe na hofu ya MUNGU

  • @TwikaleDldm
    @TwikaleDldm 8 месяцев назад +7

    Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu

  • @JoyceJames-bp6gq
    @JoyceJames-bp6gq 8 месяцев назад +1

    Nakupenda Makonda,Samia huyuuu

  • @eastherdorinejuma
    @eastherdorinejuma 3 месяца назад +1

    Makonda hoyer

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 8 месяцев назад

    Mungu amsaidie Makonda kwakweli, una roho wa Mungu ndani yako.

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 7 месяцев назад

    Huyu dada anaakili ana hekima busara na uvumilivu Mungu akulinde na kuubariki🙏

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️

  • @LoshilaaMollel-qh5pb
    @LoshilaaMollel-qh5pb 7 месяцев назад +1

    Hawa police wa sasa wapenda hela wanajali hela kuliko wananji yaani mtu ametekwa hajapatikana alafu wahusika wameachiwa.

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially424 7 месяцев назад

    Makonda Mungu unayemuamini akufanikishe sana

  • @MswaJacob
    @MswaJacob 7 месяцев назад +1

    Huyu ni mahututi ajae

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 7 месяцев назад

    Nakupenda sanaaaaaaaa makonda wenye roho mbaya wanateseka

  • @Jeremiatitomawala
    @Jeremiatitomawala 7 месяцев назад

    Mmh aisee Mungu akutie nguvu..na aliye mshauri mama kukupata Amejua kututafuta wa tz ..tulikuwa hatupo kama hatutaki hata kuwaona uonevu umezidi jmn

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 4 месяца назад

    Jamani uyu mungu uyu

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 8 месяцев назад

    Pole sna kipenz mung yupo pamoja nawe yote yatapita

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk 7 месяцев назад

    Huu ni mwili wa makonda ila roho niya magufuri

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 8 месяцев назад

    Mungu akulinde sana makonda wewe ni mtetezi wawanyonge😭😭😭

  • @abuubaya7614
    @abuubaya7614 8 месяцев назад +1

    Matangazo meng millard ayo

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 5 месяцев назад

    Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 7 месяцев назад

    Hiii kazi anayoifanya makonda na mama afanye ndo anaweza kutoa maamuzi makonda hana maamuzi Kama raisi wetu

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py 8 месяцев назад

    Wewe mungu akusimamie nakwelewa

  • @MaikoSinyinza
    @MaikoSinyinza 6 месяцев назад

    Madudu tupu hii nchi duu mungusaidia

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 8 месяцев назад

    Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 7 месяцев назад

    Haya maisha inabidi watu wawe wanachukua hatua mkononi

  • @immanuelcharles2699
    @immanuelcharles2699 8 месяцев назад

    Kweli huyu Jamaa mkurya mfyatua na muuza matofali alipotezwa, hajaonekana hadi leo. sisi wakazi wa kahama tunalijua hilo.

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 8 месяцев назад +1

    hivi kwel hawa watu wanashida isije ikiwa wanapangwa 🤣🤣🤣 maana fisiem wajanja wajanja sana

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 7 месяцев назад

      Mjanja lazima amjue mjanja mwenzie... Na mkweli lazima amjue mkweli ko Kazi kwako

  • @JoyceJames-bp6gq
    @JoyceJames-bp6gq 8 месяцев назад

    Raisi wetu huyu anakufaaa sanaaa

  • @abihudikihemba5891
    @abihudikihemba5891 8 месяцев назад

    Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo

  • @MswaJacob
    @MswaJacob 7 месяцев назад

    Huyu ni mahututi ajae 4:42

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 7 месяцев назад

    Huyu anatakiwa mungu achukue chake bas

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 8 месяцев назад

    Huyu askari anajuwa simu ya marehem mume kwani huyu aliyetekwa amekufa? Mheshimiwa makonda hao viongozi yaani askari wanajuwa ukweli wa aliyepoteya😅

  • @rabiamenshoo1988
    @rabiamenshoo1988 8 месяцев назад

    Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 8 месяцев назад

    Ukimaliza kuisaidia hii familia Mheshimiwa uisaidie na familia ya Ben saanane hawajui ndugu yao alipo mpk leo

  • @WitnessZakari
    @WitnessZakari 8 месяцев назад

    Mtekaji kapewa kesi ya utekaji kashindwa kutekeleza utekaji

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 8 месяцев назад

    Watupe chombo chakuwafeport hawa police wanaopewa rushwa halafu wanashiriki kuzulumu kuonia watu masikini

  • @keitatv9219
    @keitatv9219 8 месяцев назад

    Piga kazi mzee

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 8 месяцев назад +2

    Mbona picha za kihindi😂😮😅😊😢

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 8 месяцев назад

    Kumbe ukweli unaujua kuwa jamaa kashakuwa malehemu sasa shida nn

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 8 месяцев назад

    RPC bwege unawajibikaje kwa Makonda?

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 8 месяцев назад

    Waliotekwa wapo wengi mbon sasa tunaugulia maumivu tu kwakweli

  • @monicagodfrey7251
    @monicagodfrey7251 7 месяцев назад

    Adumu makonda

  • @JohnChris-r8j
    @JohnChris-r8j 8 месяцев назад

    Namuona
    Kuomba Magufuli Kwa mbali

  • @jumaramadhani8221
    @jumaramadhani8221 8 месяцев назад

    dada unajichoooo sio poa

  • @alimasha-qh3vn
    @alimasha-qh3vn 7 месяцев назад

    Makonda tumufananishe na maguli?

  • @GraceMhoja-zc7yg
    @GraceMhoja-zc7yg 8 месяцев назад

    Huyu dada asaidiewe jamn ili jambo ni la muda sana

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 8 месяцев назад

    Makonda kwa sasa apewe ulinzi wa ikulu

  • @imanidida6140
    @imanidida6140 7 месяцев назад

    December 7 mwezi wa 12😂😂😂

  • @jumamohamedy731
    @jumamohamedy731 8 месяцев назад +1

    Mama unaona wananchi wako wanavyo nyimwa haki zao,nahao ulio wapa majukumu ili wakusaidie kazi

  • @ImaniSaid-m8u
    @ImaniSaid-m8u 8 месяцев назад

    Bada hamujasem

  • @Emmanuelbuyamba8037
    @Emmanuelbuyamba8037 8 месяцев назад +2

    Naanza kumuelewa Makonda.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад

    Chadema wamehukumiwa sukari na umeme

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 8 месяцев назад +1

    Wati wasio julikana mmmmmhhhhhh???mie nilijuwa wasio julikana waliisha

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 7 месяцев назад

    Hii kali,yaan mtu amepotea halafu watu wanapatikana na vitu vya marehem wanaachiwa wakati alietekwa hajapatikana.

  • @dominicmawala5614
    @dominicmawala5614 8 месяцев назад

    Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 8 месяцев назад

    Mwenye haki hajawai kuachwa dada utapata haki yako ata ikichelewa

  • @MswaJacob
    @MswaJacob 7 месяцев назад

    Huyu ni mahututi ajae

  • @ackshuba8679
    @ackshuba8679 8 месяцев назад

    Mtekaji anashugulikia utekwaji