Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..
Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu
Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante
Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana
Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo
Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.
Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina
Makonda Mungu atakupa wepesi pia Mama Samia Suluhu Hassan Amlinde Makonda....
Makonda ndio mtekaji mkubwa muulizeni Roma mkatoliki aliyesema atarudi jumatatu!! muulizeni Mo Dewji nani alimteka? na Ben saanane yuko wapi? Makonda anajitafutia umaarufu wa kisiasa hana uwezo wa kuwasaidia..
@@musa-v3f Roma ni muharibifu wa Ukiristo na Mila za TANZANIA ndio Nani Roma
@@AleiHadji-js3edKwa hiyo ni haki yake kutekwa?
Makonda Mungu akulinde Daima ,hapana mtu apotee miaka mitatu hapana wahusika wmuogope MUNGU
Huyu dada yuko smart na ni jasiri,licha ya magumu ila anajenga hoja na inasikika
Mungu akutie nguvu Makonda naamini umewekwa na Mungu kuwasaidia wanyonge. Wapenda haki tumuombee afanye vizuri zaidi
Chadema wamehukumiwa serikali kwakuzuia sukari na mgao
IGP alishampa majibu?
Magufuli alimfundisha mutu na anatekelezwa kama alivyofundishwa na kufanya Kwa usahihi
Makonda ajekuwa hakim . Mahakama zifungwe makonda atosha
kama hukumu ya baraza la aridhi haijatoka huyo anaendelezaje hapo
Magufuli apa daah mwenyezi mungu amlaze mali pema peponi masikin mzee wawatu
Hapo ndipo kunawasiwasi.
Amejuaje kuwa huyo ni marehemu.
Nimeshangaa
Yanii😢😢😢
YESU WANGU😳🙆
Huyo dada ndo anasema marehemu
Nikimsikia mtu anamsema vibaya maonda namdharau sn kwamba nitahira tus
Jamaniii jamaniii Tanzania tunahangaika nyumbani kwetu wenyewe kwa nn utu umepotee ebu viongozi muwe na hofu ya MUNGU
Rais wetu kipenzi naomba kupitia kazi nzuri anayoifanya muenezi wako makonda naomba umsaidie mdogo wetu huyo. Coz umri mdogo kapitia magumu sana...hawa watu wenyepesa wahukumiwe wapo na wanajulikana. Kiwanja kimeende, mume katekwa jaman...haki anayo bado mtu anajenga VIONGOZI wapo. Mama yetu fanya kitu kwa mjukuu wako unapokuja mwanza hao watu walipe hyo ardhi watiwe ndani...mjukuu wako apate haki yake ona kakabidhi chama ndo mzazi wake pekee wa kusimamia suala lake. Vaa viatu huyu ndo binti yenu mngefanya nn. Tunaimani nawe Raisi wetu
Nakupenda Makonda,Samia huyuuu
Makonda hoyer
Mungu amsaidie Makonda kwakweli, una roho wa Mungu ndani yako.
Huyu dada anaakili ana hekima busara na uvumilivu Mungu akulinde na kuubariki🙏
Mungu akubariki Makonda 🙏🙏🤍❤️
Hawa police wa sasa wapenda hela wanajali hela kuliko wananji yaani mtu ametekwa hajapatikana alafu wahusika wameachiwa.
Makonda Mungu unayemuamini akufanikishe sana
Huyu ni mahututi ajae
Nakupenda sanaaaaaaaa makonda wenye roho mbaya wanateseka
Mmh aisee Mungu akutie nguvu..na aliye mshauri mama kukupata Amejua kututafuta wa tz ..tulikuwa hatupo kama hatutaki hata kuwaona uonevu umezidi jmn
Jamani uyu mungu uyu
Pole sna kipenz mung yupo pamoja nawe yote yatapita
Huu ni mwili wa makonda ila roho niya magufuri
Mungu akulinde sana makonda wewe ni mtetezi wawanyonge😭😭😭
Matangazo meng millard ayo
Mheshimiwa Makonda wanyonge wasaidiwe huyu Mama Bwana alichukuliwa na hajui Bwana juu wapi Baba Mzazi haijulikani kama juu hai hii inauma mimi nafikiri ni udanganyifu na Rushwa Serikali iliyoko Madarakani ichukuwe Hatua asante
Hiii kazi anayoifanya makonda na mama afanye ndo anaweza kutoa maamuzi makonda hana maamuzi Kama raisi wetu
Wewe mungu akusimamie nakwelewa
Madudu tupu hii nchi duu mungusaidia
Haya mambo ni mengi hata mimi nimezulumiwa na kutishiwa kuuwawa na police haohoa nimeriport kwao lakini mtuhumiwa alivyo fila police nikaanza kutishiwa na police tena.hujumana dhuluma ni nyingi sana
Haya maisha inabidi watu wawe wanachukua hatua mkononi
Kweli huyu Jamaa mkurya mfyatua na muuza matofali alipotezwa, hajaonekana hadi leo. sisi wakazi wa kahama tunalijua hilo.
hivi kwel hawa watu wanashida isije ikiwa wanapangwa 🤣🤣🤣 maana fisiem wajanja wajanja sana
Mjanja lazima amjue mjanja mwenzie... Na mkweli lazima amjue mkweli ko Kazi kwako
Raisi wetu huyu anakufaaa sanaaa
Kwahiyo viongozi unaonafahari kusimama majukwaani mnapokelewa namabango ya KERO Tena zenye rangi na rushwa harufu yarushwa mnajiona mkosawa wakati hayosiyo yaleo
Huyu ni mahututi ajae 4:42
Huyu anatakiwa mungu achukue chake bas
Huyu askari anajuwa simu ya marehem mume kwani huyu aliyetekwa amekufa? Mheshimiwa makonda hao viongozi yaani askari wanajuwa ukweli wa aliyepoteya😅
Natamani Makonda akabidhiwe Wizara ya Ardhi miezi mitatu tu, Migogoro yote ya ardhi itaisha within, akitoka huko apewe mambo ya ndani awanyooshe watu fulani hivi, baadae amalize na katiba na Sheria. Wallah ndugu zangu kuna wananchi wana matatizo makubwa sana, na watesi wao ni watu waliopo kwenye mamlaka fulani, sasa Rais hawezi kujua Kijiji Flani Kata Fulani kuna mwananchi huyo anahitaji watu kama Makonda kumsaidia.
Ukimaliza kuisaidia hii familia Mheshimiwa uisaidie na familia ya Ben saanane hawajui ndugu yao alipo mpk leo
Mtekaji kapewa kesi ya utekaji kashindwa kutekeleza utekaji
Watupe chombo chakuwafeport hawa police wanaopewa rushwa halafu wanashiriki kuzulumu kuonia watu masikini
Piga kazi mzee
Mbona picha za kihindi😂😮😅😊😢
Kumbe ukweli unaujua kuwa jamaa kashakuwa malehemu sasa shida nn
RPC bwege unawajibikaje kwa Makonda?
Waliotekwa wapo wengi mbon sasa tunaugulia maumivu tu kwakweli
Adumu makonda
Namuona
Kuomba Magufuli Kwa mbali
dada unajichoooo sio poa
Makonda tumufananishe na maguli?
Huyu dada asaidiewe jamn ili jambo ni la muda sana
Makonda kwa sasa apewe ulinzi wa ikulu
December 7 mwezi wa 12😂😂😂
Mama unaona wananchi wako wanavyo nyimwa haki zao,nahao ulio wapa majukumu ili wakusaidie kazi
Bada hamujasem
Naanza kumuelewa Makonda.
Chadema wamehukumiwa sukari na umeme
Wati wasio julikana mmmmmhhhhhh???mie nilijuwa wasio julikana waliisha
Hii kali,yaan mtu amepotea halafu watu wanapatikana na vitu vya marehem wanaachiwa wakati alietekwa hajapatikana.
Lengo nikusaidia wananchi ktk magumu wanayoyapitia hasa wa hali ya chini mfano wa huyu dada!! Mkuu nikushukuru sana Mungu akuzidishie afya njema ya akili na mwili wanyonge wapate HAKI, nimeelewa sana toka kwako japo mwanzoni nilijifanya mgumu kukuelewa matendo yako yanaongea. Amina
Mwenye haki hajawai kuachwa dada utapata haki yako ata ikichelewa
Huyu ni mahututi ajae
Mtekaji anashugulikia utekwaji
Una uwakika Au mdomo mali yako