KARIBU ISLAAH ISLAMIC DUA CENTER. TUPO ILALA BUNGONI ,MTAA WA SHARIFU SHAMBA, NYUMBA NAMBA 3. MUDA: SAA 2:00ASBH - 1:00USIKU TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO, A.)MATIBABU KWA MAGONJWA YOTE YA KIBAIOLOJIA B.)CHANGAMOTO ZISIZO ZA KIBAIOLOJIA KAMA; 1. Kusafisha nyota 2. Kutoa majini wachafu,Hassad,Mashetani 3. Kuleta mvuto katika biashara 4. Kumleta alie mbali kimapenzi 5. Kuboresha mahusiano katika ndoa WASILIANA NASI, DR.MSAIDIZI - +255764111616 +255710400200 DR.SULLE - +255710800400
Sheikh umezungumza mambo mazito mno Allah atukubali naatufanyie wepesi,kama tumeweza kujenga shule za kiislam basi hata kujenga hospitali za kiislam tunaweza inshaallah.
Sule ukweli ichi kitu unachokisema kinanisumbua sana najiuliza sana ukweli na ualisia wa dunia umefunikwa na uongo mkubwa sana ajabu ya watu ufata uongo na kuona ndiyo uwalisia na kumbe si vile ukitafakar mwisho wake unaona huu ni uongo wa dhairi ina radhim kubadilisha mitaala ya masomo tutafutane my brother in Sha Allah
Haya ndio yale ya Baba magufuli..nikifa mtanikumbuka na ndio yale yale....tunamkumbuka...na Dr sule na wewe watu watakukumbuka kwel...huwez kuona thaman ya mtu au kitu mpk ikutoke .. wallah Yarrab atatufanyia wepes kwa sote
Kuna kiongozi mmoja wa kiisilamu alipokutana na raisi kama sio Hussein mwinyi basi Samia, kiongozi huyo akaonba apewe darubini ya kutizamia mwezi siku ya muandamo wa Ramadhani na punguzo la bei za tende ajabu kweli...Wakati viongozi wa dini nyingine waliomba vitu vya maana, vinja vikubwa ili wajenga shule zao na ma hospital 🏥. Sisi waisilamu tumekazana kulilia na bei za tende tuu..
dr unachkiongea sinaga kipingamizi hata kidogo na ninakuunga mkono 100% ila shida unawatenga sana wakristo toa mawaidha yatufundishe sote na yasimtenge hata mmoja kati ya islamic na christian
KARIBU ISLAAH ISLAMIC DUA CENTER.
TUPO ILALA BUNGONI ,MTAA WA SHARIFU SHAMBA, NYUMBA NAMBA 3.
MUDA: SAA 2:00ASBH - 1:00USIKU
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO,
A.)MATIBABU KWA MAGONJWA YOTE YA KIBAIOLOJIA
B.)CHANGAMOTO ZISIZO ZA KIBAIOLOJIA KAMA;
1. Kusafisha nyota
2. Kutoa majini wachafu,Hassad,Mashetani
3. Kuleta mvuto katika biashara
4. Kumleta alie mbali kimapenzi
5. Kuboresha mahusiano katika ndoa
WASILIANA NASI,
DR.MSAIDIZI - +255764111616
+255710400200
DR.SULLE - +255710800400
Subhana Allah 😭 Al -Malik Quddus YAA Rabb 🤲 tufunguliye yenye kheir na baraka na sisi na vizazi vyety... amiin 🤲
Mashallahu shekhe nakupeda sana takuzuru ivikarimbuni kutoka Kenya Londwar
Jamaa GENIUS HUYU..apewe ulinzi
Jiniaz kwa wapumbavu ama machawa
sasa huyu tena jiniazi
Sheikh umezungumza mambo mazito mno Allah atukubali naatufanyie wepesi,kama tumeweza kujenga shule za kiislam basi hata kujenga hospitali za kiislam tunaweza inshaallah.
Sule ukweli ichi kitu unachokisema kinanisumbua sana najiuliza sana ukweli na ualisia wa dunia umefunikwa na uongo mkubwa sana ajabu ya watu ufata uongo na kuona ndiyo uwalisia na kumbe si vile ukitafakar mwisho wake unaona huu ni uongo wa dhairi ina radhim kubadilisha mitaala ya masomo tutafutane my brother in Sha Allah
Kenya
Shukran
masha allah doctor sure allah akupe mwisho mwema na umlimlefu
Sule ana sauti nzuri ya daawa na ushawishi ni vizuri sauti yake aitumie vizuri kwa ajili ya vitu kama hivi
Cameraman jifunze ku record..sauti inakatika
Je tukibadili hili linawezekana najee hao walioo tengeneza hiyo silabac watakubali au mpaka tushike upanga
Ukweli sana sheik Sule
Kwan hiyo mitambo vp jmni
❤
Wenzio wanafaidika na hiyo mitaala ya kikolon kwa kupokea mikopo na kula bata..wewe unasema wabadilishe mitaala unafikiria watakuelewa..pole sana..🤣🤣🤣
Dr Sully tafadhali hatuwezi kutooka ukiwa ndani yajahazi la CCM, na tunakuombea uelewe kwanini wapinzani unawaona waoo wanakosea Ila CCM haikosei
maneno mazuur Yana stack nini shida
Kwa kusoma binadqm wa kwanza alikuwa zinjanthropus African huu ni upumbavu mkubwa sana 😢😢😢😢😢 TUBADILIKE
MAULIDI NI BIDAA NI UZUSHI MKUMBWA
wachina wameweza kw nn waafrika sisi tushindwe 😂
Haya ndio yale ya Baba magufuli..nikifa mtanikumbuka na ndio yale yale....tunamkumbuka...na Dr sule na wewe watu watakukumbuka kwel...huwez kuona thaman ya mtu au kitu mpk ikutoke .. wallah Yarrab atatufanyia wepes kwa sote
Kuna kiongozi mmoja wa kiisilamu alipokutana na raisi kama sio Hussein mwinyi basi Samia, kiongozi huyo akaonba apewe darubini ya kutizamia mwezi siku ya muandamo wa Ramadhani na punguzo la bei za tende ajabu kweli...Wakati viongozi wa dini nyingine waliomba vitu vya maana, vinja vikubwa ili wajenga shule zao na ma hospital 🏥. Sisi waisilamu tumekazana kulilia na bei za tende tuu..
Tusipo jifunza kupitia history tutaendelea kuhukumiwa kwa matukio ya kujiludia ludia
Usiseme wazungu au waisilam mzungu anaweza kua muisilam fafanua wazungu wapoje
ANAMANISHA MAYAHUDI NDIYO WAZUNGU, kwa akili yako unadhani kakosea?
Zambia saiv wamebadilisha mitaala shule hazifungui mpaka saiv
Mitaala ya Nyerere ipo mpaka leo
Huyu jamaa muongo aisee
Tatizo ya uyu mzee kuna mda anaongea haki nakunamda anaaribu, skia mtu anasema anapete ya😂bahati yakuleta rizki 😮😮😮emagine. Kunamengine mengi
WAZUNGU NI MBARI FULANI KAMA ILIVYO MBARI YA KIAFRIKA NA ZINGINE.SASA UNAPOSEMA MZUNGU NA UISLAM SIO SAHIHI,MAANA WAZUNGU WAISLAM WAPO PIA.
Wanakuwa waislam baada kuona wanaukataa ukweli hali yakuonaa mwisho wetu siyo mzuri kwa kuukataa haki ya ukweli
sule ukiacha ushabi wa dini wewe ni mtu unachokiongea kuusu ndege imeandikwa tv ipo mpaka nukeliya ipo nenda kitabu cha ufunuwo imeandikwa
dr unachkiongea sinaga kipingamizi hata kidogo na ninakuunga mkono 100% ila shida unawatenga sana wakristo toa mawaidha yatufundishe sote na yasimtenge hata mmoja kati ya islamic na christian
❤