DR.SULLE ACHARUKA NA VIONGOZI BADILISHENI MITAALA MASHULENI TUTAKWISHA/WAZUNGU........

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • #drsulle #islaamic #tanzania #kenya #uganda #burundi

Комментарии • 39

  • @islaahislamictv9085
    @islaahislamictv9085  Месяц назад +1

    KARIBU ISLAAH ISLAMIC DUA CENTER.
    TUPO ILALA BUNGONI ,MTAA WA SHARIFU SHAMBA, NYUMBA NAMBA 3.
    MUDA: SAA 2:00ASBH - 1:00USIKU
    TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO,
    A.)MATIBABU KWA MAGONJWA YOTE YA KIBAIOLOJIA
    B.)CHANGAMOTO ZISIZO ZA KIBAIOLOJIA KAMA;
    1. Kusafisha nyota
    2. Kutoa majini wachafu,Hassad,Mashetani
    3. Kuleta mvuto katika biashara
    4. Kumleta alie mbali kimapenzi
    5. Kuboresha mahusiano katika ndoa
    WASILIANA NASI,
    DR.MSAIDIZI - +255764111616
    +255710400200
    DR.SULLE - +255710800400

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 21 день назад

    Subhana Allah 😭 Al -Malik Quddus YAA Rabb 🤲 tufunguliye yenye kheir na baraka na sisi na vizazi vyety... amiin 🤲

  • @salimumbonyumukiza7032
    @salimumbonyumukiza7032 26 дней назад

    Mashallahu shekhe nakupeda sana takuzuru ivikarimbuni kutoka Kenya Londwar

  • @ToroliLaparfum-tz5wm
    @ToroliLaparfum-tz5wm Месяц назад +4

    Jamaa GENIUS HUYU..apewe ulinzi

  • @abdululiza392
    @abdululiza392 Месяц назад

    Sheikh umezungumza mambo mazito mno Allah atukubali naatufanyie wepesi,kama tumeweza kujenga shule za kiislam basi hata kujenga hospitali za kiislam tunaweza inshaallah.

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 Месяц назад +2

    Sule ukweli ichi kitu unachokisema kinanisumbua sana najiuliza sana ukweli na ualisia wa dunia umefunikwa na uongo mkubwa sana ajabu ya watu ufata uongo na kuona ndiyo uwalisia na kumbe si vile ukitafakar mwisho wake unaona huu ni uongo wa dhairi ina radhim kubadilisha mitaala ya masomo tutafutane my brother in Sha Allah

  • @salimumbonyumukiza7032
    @salimumbonyumukiza7032 26 дней назад

    Kenya

  • @buheroKozi
    @buheroKozi Месяц назад

    Shukran

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me Месяц назад

    masha allah doctor sure allah akupe mwisho mwema na umlimlefu

  • @samxx411
    @samxx411 Месяц назад +1

    Sule ana sauti nzuri ya daawa na ushawishi ni vizuri sauti yake aitumie vizuri kwa ajili ya vitu kama hivi

  • @Shariffshariff-q7j
    @Shariffshariff-q7j Месяц назад

    Cameraman jifunze ku record..sauti inakatika

  • @RajabuMalebo
    @RajabuMalebo Месяц назад +2

    Je tukibadili hili linawezekana najee hao walioo tengeneza hiyo silabac watakubali au mpaka tushike upanga

  • @sarahmana2663
    @sarahmana2663 Месяц назад

    Ukweli sana sheik Sule

  • @ShufaaSimai
    @ShufaaSimai Месяц назад

    Kwan hiyo mitambo vp jmni

  • @sarahmana2663
    @sarahmana2663 Месяц назад

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 26 дней назад

    Wenzio wanafaidika na hiyo mitaala ya kikolon kwa kupokea mikopo na kula bata..wewe unasema wabadilishe mitaala unafikiria watakuelewa..pole sana..🤣🤣🤣

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 Месяц назад

    Dr Sully tafadhali hatuwezi kutooka ukiwa ndani yajahazi la CCM, na tunakuombea uelewe kwanini wapinzani unawaona waoo wanakosea Ila CCM haikosei

  • @issataslima9846
    @issataslima9846 Месяц назад

    maneno mazuur Yana stack nini shida

  • @Karimchembela
    @Karimchembela Месяц назад +1

    Kwa kusoma binadqm wa kwanza alikuwa zinjanthropus African huu ni upumbavu mkubwa sana 😢😢😢😢😢 TUBADILIKE

  • @MohammedSalmin-f3l
    @MohammedSalmin-f3l Месяц назад

    MAULIDI NI BIDAA NI UZUSHI MKUMBWA

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 Месяц назад +1

    wachina wameweza kw nn waafrika sisi tushindwe 😂

  • @RahmaIddi-s2s
    @RahmaIddi-s2s 21 день назад

    Haya ndio yale ya Baba magufuli..nikifa mtanikumbuka na ndio yale yale....tunamkumbuka...na Dr sule na wewe watu watakukumbuka kwel...huwez kuona thaman ya mtu au kitu mpk ikutoke .. wallah Yarrab atatufanyia wepes kwa sote

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Месяц назад +2

    Kuna kiongozi mmoja wa kiisilamu alipokutana na raisi kama sio Hussein mwinyi basi Samia, kiongozi huyo akaonba apewe darubini ya kutizamia mwezi siku ya muandamo wa Ramadhani na punguzo la bei za tende ajabu kweli...Wakati viongozi wa dini nyingine waliomba vitu vya maana, vinja vikubwa ili wajenga shule zao na ma hospital 🏥. Sisi waisilamu tumekazana kulilia na bei za tende tuu..

  • @Karimchembela
    @Karimchembela Месяц назад +1

    Tusipo jifunza kupitia history tutaendelea kuhukumiwa kwa matukio ya kujiludia ludia

  • @ZakayoYohana
    @ZakayoYohana Месяц назад +1

    Usiseme wazungu au waisilam mzungu anaweza kua muisilam fafanua wazungu wapoje

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Месяц назад

      ANAMANISHA MAYAHUDI NDIYO WAZUNGU, kwa akili yako unadhani kakosea?

  • @ezekielimbalwa3964
    @ezekielimbalwa3964 Месяц назад

    Zambia saiv wamebadilisha mitaala shule hazifungui mpaka saiv

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 Месяц назад

    Mitaala ya Nyerere ipo mpaka leo

  • @kelvinamedeus1317
    @kelvinamedeus1317 Месяц назад

    Huyu jamaa muongo aisee

  • @KabebeMazambi-w9u
    @KabebeMazambi-w9u Месяц назад

    Tatizo ya uyu mzee kuna mda anaongea haki nakunamda anaaribu, skia mtu anasema anapete ya😂bahati yakuleta rizki 😮😮😮emagine. Kunamengine mengi

  • @josephbonday8510
    @josephbonday8510 Месяц назад

    WAZUNGU NI MBARI FULANI KAMA ILIVYO MBARI YA KIAFRIKA NA ZINGINE.SASA UNAPOSEMA MZUNGU NA UISLAM SIO SAHIHI,MAANA WAZUNGU WAISLAM WAPO PIA.

    • @ibrahimjuma9709
      @ibrahimjuma9709 Месяц назад

      Wanakuwa waislam baada kuona wanaukataa ukweli hali yakuonaa mwisho wetu siyo mzuri kwa kuukataa haki ya ukweli

  • @Nehemiaayo-b8c
    @Nehemiaayo-b8c Месяц назад

    sule ukiacha ushabi wa dini wewe ni mtu unachokiongea kuusu ndege imeandikwa tv ipo mpaka nukeliya ipo nenda kitabu cha ufunuwo imeandikwa

  • @yalipozaliwa1338
    @yalipozaliwa1338 Месяц назад +3

    dr unachkiongea sinaga kipingamizi hata kidogo na ninakuunga mkono 100% ila shida unawatenga sana wakristo toa mawaidha yatufundishe sote na yasimtenge hata mmoja kati ya islamic na christian

  • @OmariNgongo
    @OmariNgongo Месяц назад