SHEKH JONGO AWALIPUA MASALAFI NA KUWAAMBIA WATAKE MHESHIMIWA RAIS SAMIA ATAOMBEWA WASITAKE ATAOMBEWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 29

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 14 минут назад

    Jongo alimlia kafiri nyerere kawaida tu kwake wamechukua mapesa wameuza waqfu😢

  • @linimaarifa5009
    @linimaarifa5009 3 часа назад

    Subhanalaah mwenyezimungu msamehe huyu hajuwi alifikilialo

  • @MusaLuwaga
    @MusaLuwaga 3 часа назад +1

    Ila shkh jongo akuna aliyekulaumu kwa kumuombea rais ni aina ya Dua ulizo ziomba hivyo ungetutoa tu shaka

  • @ImamAbas-f9b
    @ImamAbas-f9b 2 часа назад

    Shekhe jinga kabisa

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 38 минут назад

    Hamshindwi kuwaroga ,nyie masufi uchawi si nisifayenu?

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 18 минут назад

    Sasa kumuombea samia ndo uongee kau waagiza malaika weenani hadi uagize malaika ,kama sio ujaahil

  • @husseinjengo2350
    @husseinjengo2350 3 часа назад +1

    Upuuzi mtubu yote ayo ni kwasababu ya tumbo ma shekh wa mchongo

  • @hassaniulende-sp6io
    @hassaniulende-sp6io 2 часа назад +1

    KWELI hatuna mashehe tuna mishehe SASA ulichokiongea kitu gani HAPO utumbo mtupu NA NDIO maana mnaitwa wazushi nyie ,

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 часа назад

    Twambieni kwanza ile B.2 iliyoliwa Manyema iko wapi?

    • @BouShakuri
      @BouShakuri 2 часа назад

      Ishafunikwa iyo umeskia ata maboss zake wakitia neno kweli?

  • @husseinjengo2350
    @husseinjengo2350 3 часа назад

    Kwan mpo kwenye siasa apo mbona mnakuwa na mambo ya ajabu

  • @HusseinHassan-p7g
    @HusseinHassan-p7g Час назад +1

    Sio kweli akuna mtu aliepinga kuombewa rais kilichopingwa niww jongo kuwagiza malaika wamuombee rais wakati una mamlaka jibu hoja toa dalili wapi binadam anayo mamlaka yakuwagiza malaika hoja zamsingi unabwabwaja tu

  • @salmaghalib5474
    @salmaghalib5474 2 часа назад

    Mbona unageuza maneno uliyoyasema

  • @abdillahiabdallah438
    @abdillahiabdallah438 2 часа назад

    TUTAZIDI KUMUOMBEA MAMA SAMIYA ALLAH AMLINDE KATIKA KILA JICHO LA HASIDIN IZAA HASADA

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 2 часа назад

    Ukiona mtu anafurahia msiba wa mwenziwe basi jua hajajua daraja aliopewa na Mungu, kumuombea Rais YOYOTE ni vyema awe na moyo wa huruma na mnyenyekevu, yeye kashikilia nchi

    • @HusseinHassan-p7g
      @HusseinHassan-p7g 19 минут назад

      @@ameirzapy1318 hoja sio kumuombea rais hoja namna yaduwa kuwagiza malaika wakati ana mamlaka ayo mwenye mamlaka ni allah wakuwaagiza malaika

  • @Captainome
    @Captainome 2 часа назад

    Wee mziwandaa usijichekee chekeee hapo nashkuru bachu amekutia darasani amekusomesha umetulia kimya.kama utajibu fungua vitabu usije kichwa kichwaa.

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt 2 часа назад

    Pumbavu

  • @Captainome
    @Captainome 2 часа назад

    Wachaa upumzeee jongoo hujakataazwaa kumuombea mama dua wala hakuna naepiga dua.tatizo unekwepa maneno.mbona leo hutumii malaika kuwaamrishaa khurafiiii mkubwaaa.

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 2 часа назад +1

      Wallah huyu mzee ni kadhaabun daaah!!! Nani kamwambia asimuombee dua rais?? Anaongopa waziwazi??

    • @Captainome
      @Captainome Час назад

      @AlmasAbdallah-r3g munafiq huyuu mzee siunaona hakuongelea suala la malaika mbona leo hakutaja ameona amekosea.acha nao makhurafi hawa

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g Час назад

      @Captainome Mtihani sana hawa watu Wallah mpka kichwa cha habar wameandika kinafki kabisaa

    • @Captainome
      @Captainome Час назад

      @AlmasAbdallah-r3g wacha nao hawana jipya

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 2 часа назад

    MASALAFI HUWA WANAJIONA TIYALI WAKO PEPONI...TABIA ZA KUJIONA NI BORA MWENYEZIMUNGU APENDI..

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g Час назад

      Swali nakuuliza ndugu yangu sema ukweli kwa kumuogopa Allah nani kasema rais asiombewe dua?? Mbona leo hajarudia kusema nawaamrisha malaika? Hawa watu ni fitna sana Wallah

    • @MohamedNjechele-j6t
      @MohamedNjechele-j6t Час назад

      Unatakiwa uelewe kwanza kilicho zungumzwa sio unafata mkumbo tu ni hatar ndugu yangu mzee amepindisha mambo hapo kwa maslahi yake hakuna salafi anaekataa au kupinga kumuombea dua rais bali shekhe alisema atawatuma malaika yeye ni nani?

    • @MohamedNjechele-j6t
      @MohamedNjechele-j6t Час назад

      Tumcheni allah jamani ugali una mwisho wake kisha tunaenda kuonana na allah kila mtu akiwa yeye na allah tu hakuna mkalimani utazungumza na allah kwa lugha unayoijua wewe sasa tuyafikirie haya