Sio kweli akuna mtu aliepinga kuombewa rais kilichopingwa niww jongo kuwagiza malaika wamuombee rais wakati una mamlaka jibu hoja toa dalili wapi binadam anayo mamlaka yakuwagiza malaika hoja zamsingi unabwabwaja tu
Ukiona mtu anafurahia msiba wa mwenziwe basi jua hajajua daraja aliopewa na Mungu, kumuombea Rais YOYOTE ni vyema awe na moyo wa huruma na mnyenyekevu, yeye kashikilia nchi
Swali nakuuliza ndugu yangu sema ukweli kwa kumuogopa Allah nani kasema rais asiombewe dua?? Mbona leo hajarudia kusema nawaamrisha malaika? Hawa watu ni fitna sana Wallah
Unatakiwa uelewe kwanza kilicho zungumzwa sio unafata mkumbo tu ni hatar ndugu yangu mzee amepindisha mambo hapo kwa maslahi yake hakuna salafi anaekataa au kupinga kumuombea dua rais bali shekhe alisema atawatuma malaika yeye ni nani?
Tumcheni allah jamani ugali una mwisho wake kisha tunaenda kuonana na allah kila mtu akiwa yeye na allah tu hakuna mkalimani utazungumza na allah kwa lugha unayoijua wewe sasa tuyafikirie haya
Jongo alimlia kafiri nyerere kawaida tu kwake wamechukua mapesa wameuza waqfu😢
Subhanalaah mwenyezimungu msamehe huyu hajuwi alifikilialo
Ila shkh jongo akuna aliyekulaumu kwa kumuombea rais ni aina ya Dua ulizo ziomba hivyo ungetutoa tu shaka
Shekhe jinga kabisa
Hamshindwi kuwaroga ,nyie masufi uchawi si nisifayenu?
Sasa kumuombea samia ndo uongee kau waagiza malaika weenani hadi uagize malaika ,kama sio ujaahil
Upuuzi mtubu yote ayo ni kwasababu ya tumbo ma shekh wa mchongo
KWELI hatuna mashehe tuna mishehe SASA ulichokiongea kitu gani HAPO utumbo mtupu NA NDIO maana mnaitwa wazushi nyie ,
Twambieni kwanza ile B.2 iliyoliwa Manyema iko wapi?
Ishafunikwa iyo umeskia ata maboss zake wakitia neno kweli?
Kwan mpo kwenye siasa apo mbona mnakuwa na mambo ya ajabu
Sio kweli akuna mtu aliepinga kuombewa rais kilichopingwa niww jongo kuwagiza malaika wamuombee rais wakati una mamlaka jibu hoja toa dalili wapi binadam anayo mamlaka yakuwagiza malaika hoja zamsingi unabwabwaja tu
Mbona unageuza maneno uliyoyasema
TUTAZIDI KUMUOMBEA MAMA SAMIYA ALLAH AMLINDE KATIKA KILA JICHO LA HASIDIN IZAA HASADA
Majaahili wakubwa
Ukiona mtu anafurahia msiba wa mwenziwe basi jua hajajua daraja aliopewa na Mungu, kumuombea Rais YOYOTE ni vyema awe na moyo wa huruma na mnyenyekevu, yeye kashikilia nchi
@@ameirzapy1318 hoja sio kumuombea rais hoja namna yaduwa kuwagiza malaika wakati ana mamlaka ayo mwenye mamlaka ni allah wakuwaagiza malaika
Wee mziwandaa usijichekee chekeee hapo nashkuru bachu amekutia darasani amekusomesha umetulia kimya.kama utajibu fungua vitabu usije kichwa kichwaa.
Pumbavu
Wachaa upumzeee jongoo hujakataazwaa kumuombea mama dua wala hakuna naepiga dua.tatizo unekwepa maneno.mbona leo hutumii malaika kuwaamrishaa khurafiiii mkubwaaa.
Wallah huyu mzee ni kadhaabun daaah!!! Nani kamwambia asimuombee dua rais?? Anaongopa waziwazi??
@AlmasAbdallah-r3g munafiq huyuu mzee siunaona hakuongelea suala la malaika mbona leo hakutaja ameona amekosea.acha nao makhurafi hawa
@Captainome Mtihani sana hawa watu Wallah mpka kichwa cha habar wameandika kinafki kabisaa
@AlmasAbdallah-r3g wacha nao hawana jipya
MASALAFI HUWA WANAJIONA TIYALI WAKO PEPONI...TABIA ZA KUJIONA NI BORA MWENYEZIMUNGU APENDI..
Swali nakuuliza ndugu yangu sema ukweli kwa kumuogopa Allah nani kasema rais asiombewe dua?? Mbona leo hajarudia kusema nawaamrisha malaika? Hawa watu ni fitna sana Wallah
Unatakiwa uelewe kwanza kilicho zungumzwa sio unafata mkumbo tu ni hatar ndugu yangu mzee amepindisha mambo hapo kwa maslahi yake hakuna salafi anaekataa au kupinga kumuombea dua rais bali shekhe alisema atawatuma malaika yeye ni nani?
Tumcheni allah jamani ugali una mwisho wake kisha tunaenda kuonana na allah kila mtu akiwa yeye na allah tu hakuna mkalimani utazungumza na allah kwa lugha unayoijua wewe sasa tuyafikirie haya