These comments man... Leave her alone, you don't know what went down before this video was shot or what is going on in her life. If she didn't smile okay so what? She's the one married rn, her husband will take care of her that's all that matters. Y'all are acting as if she hurt you directly.
Lovie squad hereeee 💃💃💃 Congratulations to the newly Weds...Just that the men were abit rough🤣🤣🤣were they arguing or what.....Then people crowding the bride and groom while dancing even blocking you from capturing them... There was no order there ....my opinion ✌️
Hii translate in English kwani muko London c wajua wakisoma kidogo university ashapata formula ya ♋ bi harusi kanuna mavya KAZI unayo atoka nyali mke,, in Bora ni ati translate kwa ni nyi wazungu mnaka wadigoooo
Ma sha Allah thabarakallah Allah awape maelewano na subra wazeeke pamoja in sha Allah Allah awape vizazi vilivyo vya kheri in sha Allah
AM'EEN
Amiin
Masha Allah ndoa iliyo pangwa imekaa sawa hongeren sana
Asante . ❤️ 😍
Mashallah kwenye ndoa amejaliiwa watu..inaonekana mume n mtu wa watu hongereni sana
Shukran sana .mungu akubariki ZUU
@@swahili2worldtv afwan
Mashallah tabarakaallah mimk nna bibi wawili bro😁😄😄😄😄😄
Aunty wa lovies....wallahi you never disappoint🙌
Haha thank you so much .unamfahamu ?
Mashallah tabaraq Allah very smart
These comments man... Leave her alone, you don't know what went down before this video was shot or what is going on in her life. If she didn't smile okay so what? She's the one married rn, her husband will take care of her that's all that matters. Y'all are acting as if she hurt you directly.
Shukran sana
Shindwa mm na tabia zao
❤ they are so cute
Mume mashaallah.. Hila mke kaboesha sijui niwawapi🙄
Duniani
Kanuna utadhani amelazimishwa hiyo ndoa
Anaroho mbaya yaonekana tayari 😢
Lovie squad hereeee 💃💃💃 Congratulations to the newly Weds...Just that the men were abit rough🤣🤣🤣were they arguing or what.....Then people crowding the bride and groom while dancing even blocking you from capturing them... There was no order there ....my opinion ✌️
Thank you so much my dia .I really appreciate your opinion 👌 .you are right BTW I agree with your point
@@swahili2worldtv welcome...it was just a kind opinion 🤗🤗🤗
First one today😍
Biarusi daah ajainama Allah ipe maisha iindoa
Akaa mjeuri😂😂
Mashallah
Ba'ada ya Harusi haya mambo yakulishana na kupooza chaii" hamna tenaa🤣🤣🤣🤣🤣 waswahili tuna Drama" huwa yaishia hapo tu!
@Barakat Abdul sio waswahili hao ni wadigo ndo walio na mambo hayo.. Na maybe ndo mila zao so let them do
@@abbasathman4721 nankweli mm sijawaii ona kwenye harusi za kama Muarabu, msomali, na etc.. wakifanya hivii wallahii😂😂
MashaAllah as always dd wa lov squad atuangushi keep on shining
❤️
Jamani yule mkaka hataki kutwaliwa vdeo na yuala kombe😁😆😆😆😆😆
Aaah bi harusi kazengua bana mnuno huo kwiooo mie Tisha Tisha.. 🤣🤣🤣🤣😏😏😏😏😏😏😏😏
🤣🤣🤣🤣umeona eeh
Bibiaruc kukasirika uko kwioo🤣🤣🤣
Mashaallah wamependeza
Kombe mbona nla vita?
Mashaallah😘
❤MashaAllah
Thank you so much . 🙌 😇
Mwinyi nmekuona 😅
Mke kaaharibu video yote hata kumtizama mume hajui
Hii translate in English kwani muko London c wajua wakisoma kidogo university ashapata formula ya ♋ bi harusi kanuna mavya KAZI unayo atoka nyali mke,, in Bora ni ati translate kwa ni nyi wazungu mnaka wadigoooo
Masha Allah wamedamshi#
Biharusi amenuna tasema alazimishwa iiiwiiiii
Bibi aruc kiazi Sana umeniudhi natamani uyo mume kanipata mm
😄
MVUMILIZI HUNGOJA LAKE
@@neemamarerewee nema kweli jeuri kununa kwiooo
Biharusi.jamani mbona umenuna mdogo wangu
Hapa kazi ipo mawifi na mavyaa mjiandae Dada mke hawi ivyo
Gorgeous
Aaw thank you so much mejus
😢😢😢❤❤
Ati translate in English kwani waishi bratin we did mdigo????
Innallillahi wainna ilayhi rajiun mume a dance mbele ya wanawake tobaaa
😂😂 she needs to be smile why serious?? It's her day
It's better you saw that😂😅😅😅😂😅😅
🥰❤️❤️❤️🎊🎊🎊
Bi harus kanunua kweli Kalazimshwa kwani au mume n wakutafutiwa
Ungecheka kidogo tu hata umpe bwana harusi hope dada
Ndio mana hakuja bwana Ile video aliovaa nguo ya Pink 😢
Hayaaa harusi nikkah c masjid niwapi huko
Mashallah mabruk
Bibi harusi aonekana jeuri 😂😂 acheki uwapiga watu macho mabaya uwabenuwa mdomo 😂😂achunge cje akasonya watu 😂😂
🤣🤣 kavimba
Anakaa mjuwaji huyu si ndoa ya kwanza
Mabrok mabrok maharusi
Bi harusi kanuna kama kalazimisha
Mbona bibi harusi kanuna jamani
Bi harusi mbna km hakai bi harusi wengne ana wacwac ka anaingia siafu
Bi harusi naye aboesha😂😂😂😂sasa kwani amelazimishwa kuolewa,mbna kucheka hacheki😂😂😂😂😂😂khaaaaaaaa ameboesha shughuliiii
Kambe amekula mabuyu😂😂😂😂😂
@@halimasawa611 jeurizimezidi
Omba Mungu akupe mume kwanza mengine ni majaaliwa
Huyo bibi haruc yuwariaria utadhani yuwasubiri aambiwe kitu
Mbona bi harusi anabehave funny
🥰🥰🥰🥰
Cheka bwana bi harusi kununa huko kwiyo😏
Y bride is serious 😮
Bibi harusi anakuangusha
Jamani mke Kwan umelazimishwa uyo mume smile fake
Bi harusi kanuna matho makavu aisee
Biharusi mkware macho makavu kama sio mwari vile
Wacha matuci dada
Lakn mm nshafika mjengoni cjui wa mwenzangu
Ana mtoto mwari Gani 😂😂
Huuu ni ushamba mume utoke masjid ukajieke katika ya wanawake ama ni wadigoooo OK
Wadigo na Mila zao
Mashallah
Beautiful
🥰🥰🥰🥰