Hesabu Gharama Part One & Two)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • Track: Hesabu Gharama
    Artist: Francis Danger Kavuu
    Group: Kangundo Dangerous Boys
    No video..just audio, still good!

Комментарии • 65

  • @martinokot3132
    @martinokot3132 Год назад

    This is my favorite song since 1980s when I was in Juba, very young, I was listening from Medium wave Kenya broadcasting service

  • @zacharynyamwange2610
    @zacharynyamwange2610 4 года назад +2

    George Ondieki wherever you are remember our days at Sibanga Primary Kitale Trans Nzoia School 85-88! Song reminds me of our days then!

  • @FlorenceKilonzo-yo1ub
    @FlorenceKilonzo-yo1ub 6 месяцев назад +1

    Wueh Iko sawa❤❤❤❤

  • @edwardmayige1061
    @edwardmayige1061 2 года назад

    Naupenda sana huu wimbo miaka ya 1983 nikiwa na miaka 10 tu kuna jamaa anaitwa Emma alikuwa na redio cassette yeye tu kijijini kwetu ya vimulimuli basi tulikuwa tunaenda kwake tunacheza sana mpk usiku mwingi halafu tunarudi nyumbani kulala vumbi bila hata kunawa miguu

  • @justingitano5615
    @justingitano5615 6 лет назад +4

    Enzi zetu miaka 1989

  • @ruthwendork
    @ruthwendork 5 лет назад +3

    When music was sweet ....zilizopendwa

  • @jacksongerald1402
    @jacksongerald1402 Месяц назад

    😂😂gooooood

  • @samwelihhando6599
    @samwelihhando6599 2 года назад +1

    I like this song big up our neighbour Kenya

  • @annakaluo3837
    @annakaluo3837 6 лет назад +6

    Miaka hiyo 1988 tulikuwa wadogo lkn ndo mziki uliokuwa unatikisa wakati huo.

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 4 года назад +3

    Amazing song

  • @amosikazinzi2749
    @amosikazinzi2749 4 года назад +1

    Hizi nyimbo zinnanikumbusha mbali sana enzi hizo nilikuwa machimboni bulyang'hulu mwaka 1984

  • @swalehgithinji5585
    @swalehgithinji5585 6 лет назад +4

    Francis Danger,Original Kilimambogo brothers.

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +4

    Emma mlowe. hesabu gharama inanikumbusha mbali sana

  • @mutulamuinde534
    @mutulamuinde534 6 лет назад +2

    Ni kweli.wanamke mrembo Ni kifo!kwanza ati_riri kote nchini Kenya💀💀💀💀💀💀👽👽👽👽👽👽👽👽👽👽

  • @emmanuelmlowe1311
    @emmanuelmlowe1311 7 лет назад +4

    nipo moshi lakin enzi hizo nilikuwa ludewa tanzania 1982

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 3 года назад

    Huu wimbo mzuri ingawa nilizaliwa nikaukuta naupenda Sana

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 года назад

    Nataman kusikia maana nimepata bahati kusijili nyimbo za zaman

  • @felixkyamata7912
    @felixkyamata7912 5 лет назад +2

    Love this song

  • @mandelalaurent9213
    @mandelalaurent9213 7 лет назад +2

    duu esabu gharam namkumba baba aliipenda sana nyimbo hii

  • @johnmabiti7592
    @johnmabiti7592 4 года назад

    Hata nami ilishanipata

  • @hassanlibingai8811
    @hassanlibingai8811 8 лет назад +2

    Haya ni maneno mazito....respect Mulunda

    • @mlushulm
      @mlushulm  6 лет назад

      Hassan Libingai ahsante... 2 years later, maneno mazito kweli!

  • @petermaloba3129
    @petermaloba3129 4 года назад

    Very good song remainds year 1988

  • @richardkawea1804
    @richardkawea1804 4 года назад

    In 1988 Nikiwa Kijana WA shule ya upili Wacha tu ndio ngoma na ujana

  • @jangayjorojig7580
    @jangayjorojig7580 6 лет назад +1

    huu wimbo umenikumbusha mbali miaka ya 80 ukumbi namwagiliwa maji lakini baada vumbi hutimka kama vile haukumwagiliwa mambo ya vijijni sakafu hakuna kipindi hiko

    • @felixmagulu6142
      @felixmagulu6142 5 лет назад

      Jangay ni kweli kabisa enzi za disco vumbi Player na santuri ndiyo ilikuwa mpango mzima, Santuri inapigwa part One kisha inageuzwa part two kupata chorus.

  • @gepladudiyek4506
    @gepladudiyek4506 7 лет назад +2

    ni miaka ile ya 89 nikiwa kijana mdogo xn.rahaje!

  • @martinnyingi5027
    @martinnyingi5027 5 лет назад +1

    Wimbo tamu sana

  • @obedndanyi8984
    @obedndanyi8984 Год назад

    Huyo alikuwa kikuyu

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 года назад

    Toka the man na ndio nasikia Leo kwel? Kutokana kupotea kwa player na santuro

  • @charlesmohabe9679
    @charlesmohabe9679 7 лет назад +2

    Nakumbuka mwaka 1986 niliyokuwa mgodini muziki huu ulikuwa ukipigwa mtu ananunua kreti za bia mpaka zinalingana na urefu wa mtu ndo watu waanze kunywa

    • @marcelnyonyi8812
      @marcelnyonyi8812 7 лет назад

      Charles Mohabe hahahaha. Ndo nazaliwa miye lakini mziki huu bado linashika

    • @mlushulm
      @mlushulm  6 лет назад

      😂 😂 😂

    • @elinamikinasha491
      @elinamikinasha491 5 лет назад

      Unakula ugali mkavu ukisikiliza muziki huu unashuka bila mboga

  • @kiparambota8918
    @kiparambota8918 6 лет назад +1

    Za kale dhahabu

  • @lance39478
    @lance39478 3 года назад

    When music was music!not nowadays just noise, filth, dirt and vulgar language.

  • @ephantusmurumia8605
    @ephantusmurumia8605 7 лет назад +4

    mpaka leo ngarama tupu.

  • @tomjohn8141
    @tomjohn8141 4 года назад +1

    When music was a soul's cure!

  • @kimwishjose2614
    @kimwishjose2614 4 года назад +1

    when music was real

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 2 года назад

    Ni mwanamuziki gani alipiga hii nyimbo?,Imenikumbusha mbali Sana!,Border ya Holili!

    • @Kituimoses
      @Kituimoses 10 дней назад

      Frances "danger "Kavuo

  • @hamzaamrani1800
    @hamzaamrani1800 6 лет назад

    Nainjoi sana hii burudani

  • @hamisbanka4763
    @hamisbanka4763 8 лет назад +2

    HAMIS BANKA Hesabu gharama huwa inanigusa miaka ya 88 nikiwa bado niko singida

    • @lance39478
      @lance39478 Год назад

      kwetu kabisa.kwa mapunda!

  • @johnngetich3618
    @johnngetich3618 7 лет назад +2

    kumbe hii garama ilikuwa tangu i thougt ni jubelee gava pekee

    • @mlushulm
      @mlushulm  6 лет назад

      john ngetich hehe mtego wa panya hushika waliokuwepo nawasiokuwemo

  • @daudkaberela7919
    @daudkaberela7919 5 лет назад

    Hadi raha mziki hauchuji

  • @humphreykariukinthianthia8385
    @humphreykariukinthianthia8385 6 лет назад

    Tosha Deja

  • @ruthwendork
    @ruthwendork 5 лет назад

    This sounds like kalambya boy's and the voice Mutaiti ......correct me

    • @HAIL65266
      @HAIL65266 4 года назад +1

      Ruth Katundu Danger, killimabogo brothers

  • @amosmwema7803
    @amosmwema7803 7 лет назад +1

    Music by golden fingers

  • @mlushulm
    @mlushulm  6 лет назад

    Wenzangu, natafuta wimbo ulikua unaenda hivi " Hata kama ni mapenzi, wacha ikae.
    Wataka mapenzi wako wengi
    Afadhali tutengane kuliko madharau" nani aliimba na yaitwaje?

    • @adamfungamwango4640
      @adamfungamwango4640 6 лет назад +1

      Mulinda wimbo huo unaitwa 'Wanitoa Mapenzi' umepigwa na Orchestra Moja One ya Kenya, mtunzi ni Moreno Batamba

    • @jacksonmwalyego4933
      @jacksonmwalyego4933 5 лет назад +1

      Wiliam Maunda anaimba hiyo wimbo

    • @ngairasunday7177
      @ngairasunday7177 4 года назад +2

      Wimbo huo ni wa Marijan Rajab, ingawa nimesahau vile unaitwa. Wimbo smart sana.

    • @mlushulm
      @mlushulm  2 года назад

      Nimepata wimbo wenyewe - Charles Ray Kasembe & Orch. Les Volcano - Kata Shauri Mapema ruclips.net/video/nogqjfpEHjg/видео.html

  • @kornelymsuya2877
    @kornelymsuya2877 8 лет назад +1

    downlod

  • @hamaditwahiru2714
    @hamaditwahiru2714 8 лет назад +1

    brututh

  • @hamaditwahiru2714
    @hamaditwahiru2714 8 лет назад +1

    daudi

    • @mandelalaurent9213
      @mandelalaurent9213 6 лет назад

      esabu gharama namkumbuka baba aliipenda sana hii nyimbo

    • @allyop9333
      @allyop9333 5 лет назад

      Wimbo wa hesabu gharama ninapousikia huwanapata huzunisana na hadimachozi yanitoka tulikua tunacheza mwaka 1981