Naupenda sana huu wimbo miaka ya 1983 nikiwa na miaka 10 tu kuna jamaa anaitwa Emma alikuwa na redio cassette yeye tu kijijini kwetu ya vimulimuli basi tulikuwa tunaenda kwake tunacheza sana mpk usiku mwingi halafu tunarudi nyumbani kulala vumbi bila hata kunawa miguu
huu wimbo umenikumbusha mbali miaka ya 80 ukumbi namwagiliwa maji lakini baada vumbi hutimka kama vile haukumwagiliwa mambo ya vijijni sakafu hakuna kipindi hiko
Jangay ni kweli kabisa enzi za disco vumbi Player na santuri ndiyo ilikuwa mpango mzima, Santuri inapigwa part One kisha inageuzwa part two kupata chorus.
Wenzangu, natafuta wimbo ulikua unaenda hivi " Hata kama ni mapenzi, wacha ikae. Wataka mapenzi wako wengi Afadhali tutengane kuliko madharau" nani aliimba na yaitwaje?
This is my favorite song since 1980s when I was in Juba, very young, I was listening from Medium wave Kenya broadcasting service
George Ondieki wherever you are remember our days at Sibanga Primary Kitale Trans Nzoia School 85-88! Song reminds me of our days then!
Wueh Iko sawa❤❤❤❤
Naupenda sana huu wimbo miaka ya 1983 nikiwa na miaka 10 tu kuna jamaa anaitwa Emma alikuwa na redio cassette yeye tu kijijini kwetu ya vimulimuli basi tulikuwa tunaenda kwake tunacheza sana mpk usiku mwingi halafu tunarudi nyumbani kulala vumbi bila hata kunawa miguu
Enzi zetu miaka 1989
When music was sweet ....zilizopendwa
😂😂gooooood
I like this song big up our neighbour Kenya
Miaka hiyo 1988 tulikuwa wadogo lkn ndo mziki uliokuwa unatikisa wakati huo.
Hakika hata mie nakumbuka vyema!.
Amazing song
Hizi nyimbo zinnanikumbusha mbali sana enzi hizo nilikuwa machimboni bulyang'hulu mwaka 1984
Francis Danger,Original Kilimambogo brothers.
Emma mlowe. hesabu gharama inanikumbusha mbali sana
Ni kweli.wanamke mrembo Ni kifo!kwanza ati_riri kote nchini Kenya💀💀💀💀💀💀👽👽👽👽👽👽👽👽👽👽
Asi ni kweli
nipo moshi lakin enzi hizo nilikuwa ludewa tanzania 1982
Huu wimbo mzuri ingawa nilizaliwa nikaukuta naupenda Sana
Nataman kusikia maana nimepata bahati kusijili nyimbo za zaman
Love this song
duu esabu gharam namkumba baba aliipenda sana nyimbo hii
Hata nami ilishanipata
Haya ni maneno mazito....respect Mulunda
Hassan Libingai ahsante... 2 years later, maneno mazito kweli!
Very good song remainds year 1988
In 1988 Nikiwa Kijana WA shule ya upili Wacha tu ndio ngoma na ujana
huu wimbo umenikumbusha mbali miaka ya 80 ukumbi namwagiliwa maji lakini baada vumbi hutimka kama vile haukumwagiliwa mambo ya vijijni sakafu hakuna kipindi hiko
Jangay ni kweli kabisa enzi za disco vumbi Player na santuri ndiyo ilikuwa mpango mzima, Santuri inapigwa part One kisha inageuzwa part two kupata chorus.
ni miaka ile ya 89 nikiwa kijana mdogo xn.rahaje!
Wimbo tamu sana
Huyo alikuwa kikuyu
Mkamba
Toka the man na ndio nasikia Leo kwel? Kutokana kupotea kwa player na santuro
Nakumbuka mwaka 1986 niliyokuwa mgodini muziki huu ulikuwa ukipigwa mtu ananunua kreti za bia mpaka zinalingana na urefu wa mtu ndo watu waanze kunywa
Charles Mohabe hahahaha. Ndo nazaliwa miye lakini mziki huu bado linashika
😂 😂 😂
Unakula ugali mkavu ukisikiliza muziki huu unashuka bila mboga
Za kale dhahabu
When music was music!not nowadays just noise, filth, dirt and vulgar language.
mpaka leo ngarama tupu.
When music was a soul's cure!
when music was real
Ni mwanamuziki gani alipiga hii nyimbo?,Imenikumbusha mbali Sana!,Border ya Holili!
Frances "danger "Kavuo
Nainjoi sana hii burudani
HAMIS BANKA Hesabu gharama huwa inanigusa miaka ya 88 nikiwa bado niko singida
kwetu kabisa.kwa mapunda!
kumbe hii garama ilikuwa tangu i thougt ni jubelee gava pekee
john ngetich hehe mtego wa panya hushika waliokuwepo nawasiokuwemo
Hadi raha mziki hauchuji
Tosha Deja
This sounds like kalambya boy's and the voice Mutaiti ......correct me
Ruth Katundu Danger, killimabogo brothers
Music by golden fingers
Wenzangu, natafuta wimbo ulikua unaenda hivi " Hata kama ni mapenzi, wacha ikae.
Wataka mapenzi wako wengi
Afadhali tutengane kuliko madharau" nani aliimba na yaitwaje?
Mulinda wimbo huo unaitwa 'Wanitoa Mapenzi' umepigwa na Orchestra Moja One ya Kenya, mtunzi ni Moreno Batamba
Wiliam Maunda anaimba hiyo wimbo
Wimbo huo ni wa Marijan Rajab, ingawa nimesahau vile unaitwa. Wimbo smart sana.
Nimepata wimbo wenyewe - Charles Ray Kasembe & Orch. Les Volcano - Kata Shauri Mapema ruclips.net/video/nogqjfpEHjg/видео.html
downlod
brututh
😂😂😂
daudi
esabu gharama namkumbuka baba aliipenda sana hii nyimbo
Wimbo wa hesabu gharama ninapousikia huwanapata huzunisana na hadimachozi yanitoka tulikua tunacheza mwaka 1981