DULLAMAKABILA ACHORA TATTOO YA MKE WAKE RAHIMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 27

  • @cliffd8732
    @cliffd8732 3 года назад +2

    Wabongo mmenishinda yaan msanii mwenyewe ndo kaipost kama muandshi wa habar😂😂

  • @reginaphilimon782
    @reginaphilimon782 3 года назад +4

    😀😀 ujinga huo sifanyia hata hujamuowa unajikaangaa mwenyew

  • @mickytv1863
    @mickytv1863 3 года назад +3

    Natoa wapi nguvu na ujasiri huo mimi,haha subutu😂😂

  • @luckasalfred2577
    @luckasalfred2577 3 года назад +2

    Usije ukasahau kuja kutuonyesha siku unafuta @king wa singeli

  • @nayllahzaharan7666
    @nayllahzaharan7666 3 года назад +2

    Ajitokeze mtoto wa mama mkweeh anichore namimi jmn 😢😢😢

  • @jiduhtz8374
    @jiduhtz8374 3 года назад +1

    Alfu kesho unamkuta na kijamaaa duuh😳

  • @giftjux1164
    @giftjux1164 3 года назад +1

    Kopa limejaaaaaa💕💕💕💕💕💕👏

  • @khalidtvoloenali1117
    @khalidtvoloenali1117 3 года назад +1

    Dhuuu ama kweli raha jipe mwenyewe shida kujitakia kinacho ingia mjini so haramu ata kama kilingia kikatoka ukoo siko

  • @felixochiengomondi6189
    @felixochiengomondi6189 3 года назад +2

    Upuzi tu. Sasa ukimfumania na mtu mwengine utang'owa shingo ama

  • @diamond_killertz1995
    @diamond_killertz1995 3 года назад +1

    😂😂😂 sasa umetumwa kk uchore

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 3 года назад

    Yan unalia Kwa kumchora zombie wako Dah huu Usenge sanaa, Mchore hata Mama Ako inakuwa saff tu maana uwezi Achana na Mama maisha yako yote

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 3 года назад

    Inasikitisha sana kuona ndugu zetu waislamu kilasiku wanzidi kuharibikiwa

  • @muddyprince_tz4202
    @muddyprince_tz4202 3 года назад

    Inasikitisha Sana eti unakubal ujiumize ili uonekane una mapenzi ya kweli

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 года назад +2

    Usenge tu, Mapenzi Uchwala tu

  • @dynesshirima5611
    @dynesshirima5611 3 года назад

    Mapenzi ya ckuiz ni kama kiti cha basi ukishuka mwenzio anapanda.....mmh unachora tatooo sasa ikitokea hvyo unafanyanye na ushaharibu ngozi kwa penzi la kiti cha basi?!!!!

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 3 года назад +1

    Kumbe inauma duuh 🤣🤣🤣🤣

    • @mallosamweli6508
      @mallosamweli6508 3 года назад

      Macho namawazo yako kama yangu vile 😂😂

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 3 года назад

      Inauma vbaya xan askuambie mtu dadangu nlieka alama moja tu na nliumwa siku nzima 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @alimohamed4712
      @alimohamed4712 3 года назад

      @@saumsalim9966 hahahaha

  • @yusufrajabu8425
    @yusufrajabu8425 3 года назад

    Bado Sana yani tena Sana

  • @calvinmavunde239
    @calvinmavunde239 3 года назад

    Sawa

  • @khamiskamtoi5094
    @khamiskamtoi5094 3 года назад

    😂😂Tulia ivo ivo vinauma kinoma

  • @hassannyangedontz4339
    @hassannyangedontz4339 3 года назад

    We choko shida zote za nn

  • @mu-crzymahez9229
    @mu-crzymahez9229 3 года назад

    mappeenz au cio