Nikiwasikiliza kwaya ya makongolosi chunya sio tu kwamba nakumbuka utotoni bali nakumbuka kuwa makongolosi chunya waanzilishi wa hit songs za injili kipindi kile. Hakika mnanirudisha utotoni na nabarikiwa sana. 2023 bado nawatazama
Good memory when songs was all about salvation direct from the Bible Peter and John went to the temple and the lame man at the door asking money Peter said silver and gold i do not have in the name of Jesus Christ of Nazareth rise up and walk Acts 3 pure faith Amen
Ni mda san nilisikia nyimboo ii daa Mungu ananguvu nimeipata leo 2024
Neno la mungu ni jana leo na milele halichoshi..hiz nyimbo hazijawah kunichosha
Nikiwasikiliza kwaya ya makongolosi chunya sio tu kwamba nakumbuka utotoni bali nakumbuka kuwa makongolosi chunya waanzilishi wa hit songs za injili kipindi kile. Hakika mnanirudisha utotoni na nabarikiwa sana. 2023 bado nawatazama
Kam bdo unaangalia huu wimbo 2022 gonga like
Zimetukuza hakika
Haki nimetafuta hii kwaya sana na nimepata tu Leo Asante Mungu
Aisee nimeutafuta sana huu wimbo 🔥🔥🔥
Nasikia Raha ajabu kuupata
Kwakweli mbarikiwe sana watumishi . Hizi nyimbo ni Baraka sana kwakweli. The real gospel
10 years still watching ❤
Oooooooh Lord 🙏😇
Gonga kama na wewe unaiangalia hii 2023
Good memory when songs was all about salvation direct from the Bible Peter and John went to the temple and the lame man at the door asking money Peter said silver and gold i do not have in the name of Jesus Christ of Nazareth rise up and walk Acts 3 pure faith Amen
Umeitafusili karibu nyimbo yote
Ujumbe kutoka Kwa Mungu ladha yake hudumu
Pongezi zangu kwenu,Mungu awe nanyi daima.
znatukumbusha mbal nanzakrohoo ad raha
nkitambo sanaa mungu wabark waimbaj wote, wa zaman
Old is Gold
Indeed
Mimi ni munyarwnda nawapenda sana
Bonge ya nyimbo hzi tunazijua sisi wahenga bwana
Hii 2003 kama sikosei
safi sana napenda sana nyimbo hii
Mungu awabariki sana Watumishi wa Mungu
Nabarikiwa Sana niposikia huu wimbo
Mungu awabaliki nakututakasa amina
Nakumbuka mbali Sana
Mungu ni mwema
The song is old lkn the message is as fresh as the word of God
Mungu wakumbuke kwa yote watumishi wako hawa kwa kazi nzuri😊
Medrik oyee
My favourite song
Hakika mungu yupo
wakati nilikuwa nasikia huu wimbo nilikuwa mdogosana sasa Nina umri salasini na mbili Bado napenda huu wimbo sana alakini waimbaji Bado wako hai?
Wazima waafya
So good and blessing
Hongera kkkt
It was our hillsong !!
God works in ways we don't expect...great miracle it is!!
Exactly good message may God bless you much
Daaah kitambo sana
I loveeee this song sanaaaa samy from Kenyan! ❤️
Amazing 😍🎉
Ujana ni moshi
Good sana
those Guitars give a very excellent texture, much blessing team.
Be Blessing makongolos
Sasa mbona mmeifungia tusidanrowd wapendwa?
Kweli dunia inasonga mbele nani saizi utamvalisha hayo mashati .
hahaaaaaaa but sikiza massage
Yalikuwa bonge la fashion
Zamani raha
Yaan tai zimekubali ile mbaya
Very nice
973
Amen2021
2021
No