DEBORA FERNANDES NI KIUNGO WA AINA GANI KIUFUNDI/UBORA WAKE NA UDAHAIFU NA JINSI ATAKAVOTUMIKA SIMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024
  • Simba Pro kupitia mchambuzi wetu mahiri Dullah Hassan amemdadavua kiungo mpya wa klabu ya Simba Debora Fernandez Mavambo ubora wake na jinsi ambavyo amekua akitumika katika kikosi cha Mutondo Stars chini ya kocha Zeddy Sailleti,
    Kupitia uchambuzi huo utapata kujua ni upi ubora wa kiungo huyo na ni yapi madhaifu yake kiufundi yanayoweza kuathiri matokeo ya timu
    Kama unahitaji kuungwa kwenye group letu la Simba Pro tuchek kwa namba 0626629644 tukupe utaratibu wa jinsi ya kuungwa

Комментарии • 5

  • @nikky4757
    @nikky4757 2 месяца назад +3

    Huyu no 8 na kiuhalisia no 8 haitaki kuwa specialist in defending japo hatakiwi kuwa mbaya sana kwenye defence huyu jamaa ni mzuri kama atatumika kama link kati ya defence na attack na tutamfaidi zaidi kama tutacheza 4.3.3 ambapo no sita ni okejepja huyu debora na ahua wakae mbele yale ambapo ahua atakua advance zaidi karibu na washambuliaji wakati debora atakuwa link kati ya defence na attack
    Kwa jicho lingine huyu ni kama ngoma sema ni kijana
    Mechi ngumu kama ya yanga bado nitaprefer 4:2:3:1 tukitumia double pivot ya okejepja na mzamiru kuongeza defence stability ila zile mechi za kawaidia hiyu anafaa in 4:3:3 kwaajili ya kupiga boli safi la kutufurahisha mashabiki

    • @SimbaProSupporters
      @SimbaProSupporters  2 месяца назад +1

      @@nikky4757 Kama utakua na kiungo mkabaji asilia mmoja maana yake namba 8 wake anatakiwa awe na work rate kubwa sana ajue muda gani anapaswa kurejea kuungana na no 6 wakati timu haina mpira na pia ajue ni wakati gani anapaswa kua mbele kusapoti shambulizi.
      Work rate hii siioni kwa Debora
      Ndio mana katika michez aliyoperfom vzuri ni ile ambayo kuliko na viungo wakabaji wawli nyuma yake Nickson Musonda & Godfrey.

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 2 месяца назад

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @JacksoniMushi-c2y
    @JacksoniMushi-c2y Месяц назад

    Naomba numba yakujiunga what Asapp

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 месяца назад +1

    Mbona litakufa jitu mwaka huu tusubiri tuone