hivi kwanini nyimbo za kizazi leo zikimbwa mwanzo mwisho Hakuna kumtaja YESU kuna Mtu anaweza jiuliza hili 😢😢😢 lakini watu wa hovyo kunielewa ningumu saana 🤔🤔🤔
Barikiwa sana kaka ila naomba uwe unalitaja Jina la BWANA YESU KRISTO katika nyimbo zako ili kuzifanya kuwa nyimbo kamili za injili...neno Mungu halitoshi kuufanya wimbo kuwa wa injili kwani tunayemhubiri ni KRISTO
Leo nimekuwa wa kwanza ohoo! Baraka ni zangu Amen Amen naombeni like zangu
Mungu akubariki Obby alpha nilikua nasubiria hii albamu kwa mda mrefu barikiwa mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Bonge moja la combination wow wow wow Obby na namsikia Godfrey Steven, Yani aaah , wimbo umebamba👌👌👌👌
Obby , Godfrey na Kibonge I've been waiting for this combination for 3 years and finally imefanyika... ...
Anybody from kenya ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Obby , Godfrey na Kibonge I've been waiting for this combination for 3 years and finally imefanyika... ...
Kibo🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉You have done this So well Superstar 🙌🔥
Ooh thank you lord for this singer @alpha. He keeps on blessing us every morning. May you bless him too abundantly ❤❤❤❤❤❤❤❤
Msiri wangu ana msiri wake rafiki yangu ana rafiki yake
hivi kwanini nyimbo za kizazi leo zikimbwa mwanzo mwisho Hakuna kumtaja YESU kuna Mtu anaweza jiuliza hili 😢😢😢 lakini watu wa hovyo kunielewa ningumu saana 🤔🤔🤔
Hii Album is just blessed and more annointed😊😊😊😊😊🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉more love
Ukiachana na niokoee hii combination ndio nilikua naisubiria na mpaka sasa nimerudia mara 3🎉🎉🎉🎉 super #UMEBAKI WEWE
MSIRI WANGU NI WEWE MUNGU PEKEEE,, SIHITAJI RAFIKI YOYOTE
Hi guys
Amen Amen and Amen 🙏 nice song ❤️, from Kenya but currently in gulf ❤️❤️
kma umebalikiwa na hu wimbo kma mmi gonga like
Gospel heat ni nyie barikiwa
Uzidi kubarikiwa,unanibariki kwa tungo zako
The first one to comment from Burundi 🇧🇮
Mnipeni likes zanguu
May God Bless you Man Of God
ONLY YOU #UMEBAKIWEWE🎶🙌🔥🔥🔥
Nimeurudia zaidi ya mara 3
Such a blessing song❤
Nipeni like zangu maana sio mchezo kuwa kutoa coment❤
Ameni kwa kibar kizur
Barikiwa sana Familia
Ihi kubwa sana 🎉🎉❤😂
Nimependa hii
100 to view 🎉🎉🎉🎉🎉
Barikiwa Sana
NICE COLLABORATION
Obby alpha WIMBO nzuri
WOW NOMA SANA FROM KENYA 🔥🔥🔥
Be blessed brother
Mdg wang hongera
Nice song
wow🥰🥰
Amen🎉
Amen ndugu zangu tangulien kaka zangu MUNGU awashikirie daima mdogo wenu nipo nakuja japo miba njian lakin nitafika maana alienituma ni jemedali
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
This gentleman is actually talking about my testimony and my sequence of life...we need to meet up and talk about the Goodness of the Lord😭😭😭😭
Kibo melodiza Godfrey Steven na obby mafundi hatari sanaaa
Godfrey sauti yako ni perfect sn Mungu awabariki
❤❤obby alpha❤❤my brother ❤Always best yes yes yes 🙏✔️ you are blessed Amina Amina yes I love you my mother 💯💯🌹🌹🌹 good job ❤👍👍
Kiboo melodiez❤️✨️✨️✨️❤️❤️❤️❤️
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉❤❤
🔥🔥🔥🔥
❤❤
🙏🙏
❤❤❤
Barikiwa sana kaka ila naomba uwe unalitaja Jina la BWANA YESU KRISTO katika nyimbo zako ili kuzifanya kuwa nyimbo kamili za injili...neno Mungu halitoshi kuufanya wimbo kuwa wa injili kwani tunayemhubiri ni KRISTO
Barikiwaa sanaa 🔥🔥🔥🔥
Wa kwanza mimi