(Ngowi TV)" JIFUNZE SIFA CHACHE ANAZOPASWA KUWA NAZO MJASIRIAMALI BORA" Prof. Ngowi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Jifunze sifa kadhaa ambazo mjasiriamali bora anapaswa kuwa nazo ili hatimaye kufikia kiwango cha mafanikio ambayo wajasiriamali wengine wenye mafanikio Duniani wameyafikia

Комментарии • 16

  • @sokonifarmfresh8818
    @sokonifarmfresh8818 4 года назад +7

    "Mjasiriamali lazima uwe POSITIVE THINKER". Hii nakubaliana nayo kabisa Prof. Imenisaidia sana katika harakati zangu za ujasiriamali. Hii imekuwa chachu ya mimi kusimama kila mara ninapoanguka kibiashara. Kila mara nimekuwa nikiamini kwamba "Pale milango yote ya mafanikio inapoonekana kufungwa, lipo GETI la mafanikio limeachwa wazi mahala". Naitwa Gerald Magooge wa Nitume Sokoni Company.

    • @daudiaidani3860
      @daudiaidani3860 4 года назад +1

      Karibu Gerad na hongera kwa kuthubutu na kutambua umuhimu wa kusimama kila unapoanguka, kwani, mjasiriamali mzuri haesabiwi kwa kusimama tu bali kwa kuamka kila anapoanguka

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 2 года назад +2

    Daahh!! Prof umetuacha 😭😭😭Pumzika kwa amani

  • @jacksonmlay3191
    @jacksonmlay3191 2 года назад +1

    Tuelimishe ndug yangu👊👊

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 2 года назад +1

    .mungu akupumzishe

  • @yusuphkashyzubeir507
    @yusuphkashyzubeir507 4 года назад +1

    Haya ni mambo muhimu mno kwa kila mjasiriamali kuyazingatia

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 2 года назад

    Pumzika Kwa Amani Prof

  • @tdlkonyagi5098
    @tdlkonyagi5098 2 года назад

    Most definitely Prof Ngowi you will be missed. RIP

  • @francismiho226
    @francismiho226 2 года назад +1

    Rip Prof

  • @aloycelimu6192
    @aloycelimu6192 2 года назад

    Rest in peace Prof. Honest Ngowi

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 2 года назад

    Rest In Peace Prof, Tumempoteza nguli wa uchumi ,

  • @Voxmediatz
    @Voxmediatz 3 месяца назад

    Wengi wanaogopa Risk, Risk taker

  • @Mbugita
    @Mbugita 2 года назад

    R.I.P prof

  • @saidnomano3667
    @saidnomano3667 2 года назад

    Rip professor😭😭

  • @bonifacemunyi2728
    @bonifacemunyi2728 2 года назад

    RIP prof Ngowi

  • @petersume2780
    @petersume2780 2 года назад

    Rip