(Ngowi TV)" JIFUNZE SIFA CHACHE ANAZOPASWA KUWA NAZO MJASIRIAMALI BORA" Prof. Ngowi
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Jifunze sifa kadhaa ambazo mjasiriamali bora anapaswa kuwa nazo ili hatimaye kufikia kiwango cha mafanikio ambayo wajasiriamali wengine wenye mafanikio Duniani wameyafikia
"Mjasiriamali lazima uwe POSITIVE THINKER". Hii nakubaliana nayo kabisa Prof. Imenisaidia sana katika harakati zangu za ujasiriamali. Hii imekuwa chachu ya mimi kusimama kila mara ninapoanguka kibiashara. Kila mara nimekuwa nikiamini kwamba "Pale milango yote ya mafanikio inapoonekana kufungwa, lipo GETI la mafanikio limeachwa wazi mahala". Naitwa Gerald Magooge wa Nitume Sokoni Company.
Karibu Gerad na hongera kwa kuthubutu na kutambua umuhimu wa kusimama kila unapoanguka, kwani, mjasiriamali mzuri haesabiwi kwa kusimama tu bali kwa kuamka kila anapoanguka
Daahh!! Prof umetuacha 😭😭😭Pumzika kwa amani
Tuelimishe ndug yangu👊👊
.mungu akupumzishe
Haya ni mambo muhimu mno kwa kila mjasiriamali kuyazingatia
Pumzika Kwa Amani Prof
Most definitely Prof Ngowi you will be missed. RIP
Rip Prof
Rest in peace Prof. Honest Ngowi
Rest In Peace Prof, Tumempoteza nguli wa uchumi ,
Wengi wanaogopa Risk, Risk taker
R.I.P prof
Rip professor😭😭
RIP prof Ngowi
Rip