FUATANA NA SH SUNGU FROM MASANGE MWENYE KUMILIKI GES YAKE MWENYEWE ZAID YA MIAKA KUMI....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 43

  • @abdulrazackkipingu5437
    @abdulrazackkipingu5437 5 лет назад +2

    Mashaa Allah hao ndio mashekh wa kuigwa mfano wake Allah azidi kumpa umri mrefu.Nafikiria vipi tunawapata wakina Shekh Kishki,Dr.Sule,prph.Mazinge na wengineo wengi katika miaka ijayo je yapo maandalizi ya warithi wao watakao yaendeleza haya wanayo yafanya.

  • @aminasaid7456
    @aminasaid7456 3 года назад +2

    Innalillah wainaillayh rajiun...Sheikh umetutoka leo hii nasi hatuna la kusema zaidi ya Alhamdulillah.Mwenyeez Mungu akuweka mahali pema sheikh wetu..Amiin

  • @dktabbaimran2002
    @dktabbaimran2002 2 года назад +1

    Masha Allah

  • @halimaauthman9324
    @halimaauthman9324 2 года назад

    Ma shaa Allah
    Allah amrehemu kwenye kaburi lake

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 5 лет назад +2

    MashaAllah,mm natokea Mombasa Kenya pia natengeza makaa/mkaa kw kutumia kinyesi cha ng'ombe na kuuza, pia kinyesi cha ng'ombe kutengeza gesi na kuzalisha umeme.

  • @jumabias4917
    @jumabias4917 3 года назад +2

    MashaAllah MashaAllah

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 5 лет назад

    Maa shaa Allah. Sheikh wetu.Allah akuhifadh na Hadi vijuu kuu wafate yalo mema yako bi Idhnillah

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 года назад

    Allah akujaalie kauli thaabiti shekh wetu sungu amin yarabi

  • @ukhtyashurasakinamnyoti1786
    @ukhtyashurasakinamnyoti1786 5 лет назад

    Masange tuko juu Masha Allah

  • @zainabomar5512
    @zainabomar5512 5 лет назад

    Shekh wa kondoa hongera sana

  • @ramadhanikioza9913
    @ramadhanikioza9913 5 лет назад +2

    Huyu ni sheikh wa mfano sio wale masheikh wa kusubiri kuitwa kufanya dua na kugombea misikiti

    • @hassankaita1039
      @hassankaita1039 3 года назад

      Kabisa ndugu yangu hii ndio Jami ya masheikh wanao itajika najivunia kua mjuku wa Sheikh Sungu katika dini kwani naona Misimamo na Misingi kwa Sheikh langu sheikh Omar Said Jour Allah ampe qauli thabit Babu Yetu Amin

  • @zawiajuma715
    @zawiajuma715 3 года назад

    Inalilah wainailahi rajighuna Allah ampe kauli thabiti sote njia

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 3 года назад

    MashaAllah shekh Allah akurehemuu

  • @mariamaabdouchanfi3015
    @mariamaabdouchanfi3015 3 года назад

    De

  • @RekhaRekha-es8br
    @RekhaRekha-es8br 3 года назад

    MashaAllah

  • @salumkatula4824
    @salumkatula4824 5 лет назад

    Mashaallah sheikh

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 года назад

    Mashaa Allah

  • @hadijajuma6658
    @hadijajuma6658 3 года назад +1

    Tutakukumbuka daima urith umetuachia

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Innalilah wainnalilah rajiunni

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 5 лет назад +1

    Swaum gwao punguza hizo mhhhh mhhhh mhhhhhh punguza acha tusikilize maelezo ya ya anayehojiwa

  • @hussainally8874
    @hussainally8874 5 лет назад

    Alhamdulillah

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf7568 3 года назад

    Mashallah

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 5 лет назад

    Barrakallahu fiykum

  • @hussenchuka6943
    @hussenchuka6943 3 года назад

    Shekhewetu

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 3 года назад

    kweli wana wazuoni wanaondoka, molla ampe kheri huko aendako.

  • @user-rq4cj1ds6r
    @user-rq4cj1ds6r 3 года назад

    غفر الله له وأدخله فسيح جناته

  • @sumadashsumadash7342
    @sumadashsumadash7342 3 года назад

    Allah Amjaalie makazi mema ya kabrini Maalim Ramadhani Musa Sungu na Allah Amuandalie pepo ya daraja la juu kabsa. Na huyu ndiye Mwalimu wakwanza wa elimu ya kidini na usomaji wa Qur'an tukufu baba yangu mzazi Sheikh Habibu Rajabu Mpuruti Pomu mpaka sasa babaangu anafundisha waislaam Dini na ni Imaam muanifu. Najivunia pia kabila langu langu la KIRANGI

  • @hussainomar1849
    @hussainomar1849 5 лет назад

    HUKO NDIO KULA KWA CHUMO LA MKONO WAKO MWENYEWE

  • @ukhtysakinaa7664
    @ukhtysakinaa7664 5 лет назад +1

    Masha Allah

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад

      Inna lilahi wa inna ilayhi rajiun Allah akailaze roho yake mahali pema peponi

  • @salumkatula4824
    @salumkatula4824 5 лет назад

    Mashaallah sheikh

  • @abdillahichicha8366
    @abdillahichicha8366 5 лет назад

    MashaAllah

  • @fatumahamisi2860
    @fatumahamisi2860 5 лет назад

    Masha Allah

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 5 лет назад

    Mashaallah