SHABANI |MZEE MWENDA KIMENUKA AMCHANA YEYE NA WENZIE KUHUSU SIMBA SISI TUMETOKA NAYO MBALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 29

  • @HamisiUliza
    @HamisiUliza 3 месяца назад +1

    Ww mshamb tuh k tuh ww mzee akil auna

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 месяца назад +1

    Acha kashifa fala mmeambiwa unwell mnavuruga simba

    • @bone102
      @bone102 3 месяца назад

      Ukweli upi hivi unaijua Friends of Simba au ndo umeanza kushabikia mpira juzi hivi unawajua friends of Simba vizur wewe au na wewe utopolo unaropoka tu

  • @YuscoYusco-i3h
    @YuscoYusco-i3h 3 месяца назад

    Tena we kuma usiongee kabisa kuma weeeeee kaoge

  • @maxmia100
    @maxmia100 3 месяца назад

    Sasa hapo ccm inatoka wapi hapo kibaka wewe huyo mwenzio kaongea ukweli nyie matawi yenu ndio chanzo Cha matatizo

  • @samwelmachaka936
    @samwelmachaka936 3 месяца назад

    Pumbavu wewe ushabiki siyo paka uwe mji siku nyingi fala ushamba unakusumbua

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 3 месяца назад

    ONGEA YOTE LAKINI MZEE MWENDA YUKO FRESH KANYOOKA SIYO CHAWA KAMA NYINYI

  • @HamisRashid-xl4mn
    @HamisRashid-xl4mn 3 месяца назад +1

    Eti nimwanachama au nishabiki wewe jibu hoja kua mwanachama au shabiki ndo nini kinacho angaliwa usimba wake UNAKATAA NINI NYINYI NIMACHAWA KOTOKA KIJIJINI AU KUEPO MJINI NDO NNI

  • @AbdullahKapama
    @AbdullahKapama 3 месяца назад

    Kwani cc maskini hatustahili kuwa mashabiki wa simba acha zarau ww

  • @StanleyMhagama-k4v
    @StanleyMhagama-k4v 3 месяца назад

    Ameongea vizuri ila ameharibu kuitaja ccm

  • @shaabanramadhan
    @shaabanramadhan 3 месяца назад +1

    Hala huyu mwandishi ndo mgombanishi,hakupaswa kuchukuwa maneno ya huku ukayaleta huku.Huo ni uchonganishi.Waandishi hampaswi kuwa sehemu ya migogoro.Mwandishi umefeli Kwa hili.

    • @hassansalum2572
      @hassansalum2572 3 месяца назад

      Ugombanishi ndoo Nini na mtu kahojiwa live kila mtu kamuona

  • @maxmia100
    @maxmia100 3 месяца назад

    Jibu swali kaka acha maneno mengi

  • @saidimnyani3330
    @saidimnyani3330 3 месяца назад

    Huyu jamaa ni Bingwa wa kashfa

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 3 месяца назад

    Mangungu nae yupo tawi gani

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 3 месяца назад

    Kiburi

  • @omarymwazema5332
    @omarymwazema5332 3 месяца назад

    mimi ni simba ila wewe kumbe sometimes unakua na hoja zakipumbavu, usizarau wanasimba wenzio ukiwa mbele ya media unatakiwa uwe na busara ya kuongea, shabiki na mwanachama wote ni sawa wote hao ni simba.

  • @dennisndimbo4600
    @dennisndimbo4600 3 месяца назад

    Mwandishi umefeli sana mzee kuna maneno yanayotakiwa kweli hewani na siyo hayo ya udharirishaji ina maana yeye kisamvu hali au amemuona kama anatembea na miguu tuu acheni hizo bhana

  • @MussaMussaYusuf
    @MussaMussaYusuf 3 месяца назад

    Ndio nyiee munakula ela tuuu muna lolote mimi nipo na uyo mwana Chama

  • @Mteza-oc8zd
    @Mteza-oc8zd 3 месяца назад

    Mm naona kelele tu kwan swali gani umemuliza

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 3 месяца назад

    Huyu bwege kweli kwani ili ushabikie mpira lazima ule wali nyama

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha 3 месяца назад

    We na mangungu niwalewale

  • @JimmySonko-g8k
    @JimmySonko-g8k 3 месяца назад

    Toai hiyo ccm kwenye Mpira

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 3 месяца назад +1

    Kitufe cha Magenerator ya uzezetani kimebonyezwa 😂😂😂😂 ni kelele tuuuuu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 3 месяца назад +1

      HIYO NI DALILI WAZI SIMBA TIMU KUBWA LAZIMA MFUATILIE 😂😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 3 месяца назад +1

      @@salimmalaka256 tusogeza masaa mbele kwa kuchek comedian na mazezeta ya udundukani 🤣🤣🤣 ,au wewe huna bandama ???

    • @DengaAlly-x5b
      @DengaAlly-x5b 3 месяца назад +1

      Tatizo ni umoja tu Kaka upendo unaleta heshima