Umuhimu wa Kumcha Allah SWT - Aman Musa Mauba
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Sheikh Akielezea umuhimu wa kumcha Allah SWT na kwa nini kuna umuhimu wa kuendelezea ibada baada ya Ramadhan. Khutba hii ya ijumaa ilitolewa na Sheikh Aman Musa Mauba katika Masjid Jumaa Mwanza, Tanzania.
Shukran shekh Kwa ukumbusho mzur
Inshallah sheikh ujumbe umefika
Allah akuzidishie umri mrefu
Masha Allah. Mawaidha mazuri
Nakpnd sheikh kwa ajli ya Allah, kwa hakika wew Ni sheikh unaeongelea sana adhar za zinaa.Allah akulipe Ni swala lilosahaulika sana.
Allah akuzidisheye umri shk
Shekh Unatoa mawaidha mazur san yaan ni mada ambayo inalenga maisha yetu halix
Shekh nakupenda kwa ajili ya Allah
subhannallah yarrabi tusamehe madhambi yetu tujaalie mwisho mwema allahumaa ameeni
Allah akupe mwisho mwema
Jazakumu Llaahu khairan
Tunamuomba Allah atusamehe makosa yetu na tuwe wenyekuleta touba ya kweli , Allahuma Amin
masha Allah sheikh aman
MashaAllah sheikh jazaaka Allah kheyr.
You prolly dont care but does someone know of a tool to get back into an Instagram account??
I stupidly lost the account password. I love any help you can offer me
Jazakallah kheir ustadh
maashallah!!
maxhaallah!!!!
tutoka duniani sheikh unasema ukweli kabisa
Unasema ukweli sheikh watu njomatatizo tulio nayo mu jamii yetu
Hakuna cheti cha uzinifu na ulevi