Mtumishi wa Mungu Asante sana Kwa mafundisho haya. Mungu wangu nikupe Nini Bwana wangu Kwa chakula hiki kizuri unachotulisha.? Nikupe Nini Mungu wangu. Tusaidie mioyo yetu ijiatamishe kifuani mwako. Mungu tusamehe tunapoanguka.
Hakika katika utumishi wako, Nimemuona Mungu akinivusha ktk changamoto nyingi, ubarikiwe sana Mwalim Mwakasege $Diana Mwakasege Mungu awe maisha marefu sana
Najiungamanisha na Madhabahu hii ya Christopher na Diana, Utumishi wenu unanipeleka Utukufu hadi Utukufu. MUNGU WA MBINGUNI awalinde na mwovu. YEHOVA awatie nguvu na kuwapa maisha marefu
Bwana yesu wafunuke mama angu na mwanagu wanapokaribia kusafiri bwana yesu wafikishe salama waepushe roho zote za ajali barabarani waende salama wafike salama kwa damu ya yesu kristo amen
Shetani alipomvuuruga Adam alienda mojakwamoja Kwwny Fikra,,, shetani anapamana Sana na Fikra za watu ❤❤❤❤ Huwezi kuwa zaidi ya ufikirivyo Kuharibu nafsi Ni kuharibu injini ili isipokee kitu kipya ✓✓✓✓✓✓ isaya55:8-11 Fikra zinapovurugwa zinashindwa kupambanua chema ktk kwa Mungu.
Ubongo ni sawa na Transformer ya Umeme. Kazi ya Transformer ni kubeba, kupitisha Umeme, hatuwezi kuona Umeme kwa macho ila tunaweza kujua upo kwa kutumia vipimo vya Umeme au taa, vifaa vinavyotumia umeme kufanya kazi. Ubongo ni kubebeo cha Akili, mawazo, hatuwezi kuiona Akili kwa macho au mawazo kwa macho. Tunaweza kufahamu Akili, mawazo ya mtu kupitia matendo yake. Aonavyo mtu Nafsini/mawazo mwake ndivyo alivyo au ndivyo anatenda.
Mtumishi wa Mungu Asante sana Kwa mafundisho haya. Mungu wangu nikupe Nini Bwana wangu Kwa chakula hiki kizuri unachotulisha.? Nikupe Nini Mungu wangu. Tusaidie mioyo yetu ijiatamishe kifuani mwako. Mungu tusamehe tunapoanguka.
Hakika katika utumishi wako, Nimemuona Mungu akinivusha ktk changamoto nyingi, ubarikiwe sana Mwalim Mwakasege $Diana Mwakasege Mungu awe maisha marefu sana
ninafurahi sana, mwangosi kumwona akihudumu
Najiungamanisha mimi na mume wangu katika ibada hii. Tukakue kiuchumi na kustawi kwa jina la yesu 🙏🙏
Ubarikiwe sana baba, nabarikiwa sana na mafundisho yako,
Nisaidie Mungu Baba, nikumbuke mtumishi wako.
Najiungamanisha na Madhabahu hii ya Christopher na Diana, Utumishi wenu unanipeleka Utukufu hadi Utukufu.
MUNGU WA MBINGUNI awalinde na mwovu.
YEHOVA awatie nguvu na kuwapa maisha marefu
Mungu ume inuliwa juu saaana
Bwana yesu wafunuke mama angu na mwanagu wanapokaribia kusafiri bwana yesu wafikishe salama waepushe roho zote za ajali barabarani waende salama wafike salama kwa damu ya yesu kristo amen
NAFURAHI SANA KUKUONA MTUMISHI KAKA MWANGOSI
Amen,mungu akubariki mtumishi
Damu ya YESU ITAWALE tanga na Tanzania nzima, BWANA YESU NI MUNGU WA MIUNGU.
Najiunganisha kwa Jina layesu
Ameen
Amin sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🙏
najiunganisha mimi na biashara zangu zikakue na kuongezeka pia nikafungue duka min market yangu
Nawaungamanisha watoto na wajukuu zangu, na ndugu zangu woote ktk Madhabahu hii
Amina
Amen Mungu awabariki
Shetani alipomvuuruga Adam alienda mojakwamoja Kwwny Fikra,,, shetani anapamana Sana na Fikra za watu
❤❤❤❤
Huwezi kuwa zaidi ya ufikirivyo
Kuharibu nafsi Ni kuharibu injini ili isipokee kitu kipya
✓✓✓✓✓✓
isaya55:8-11
Fikra zinapovurugwa zinashindwa kupambanua chema ktk kwa Mungu.
Amina Amina
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Jina lako Mungu liinuliwe
Mungu nisadie
Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii
AMEN
Glory to God
🙏
Amen 🙏
Amen
YESU naiweka migu yangu kwenye iyi mazabahu yako YESU unifunguwe
Amina mtumishi wa mungu bab
MUNGU akubariki mtumishi kwa huduma.
Kumbe huu mstari wakufanywa kichwa siyo mkia una maana tofauti!?
Asante mtumishi leo nimepata kitu kipya🙏
Ameeen
Mungu akubarik
Ameeeen
AMEN.
Amen amen
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
YESU niponye magonjwa yoye😢😢😢
Ameni
YESU niponye miguu😢😢😢
❤
Amina😅😅😅😅 Yesu tu atosha
Nimetuma sdk kwakuchelewa leo ndo nimeona mahubiri naunga manisha na Biashara yangu naninapokea kwa jina la Yesu
Mwangosi amesimama ktk Neema yake ya Kumsifu na Kumwabudu MUNGU WA MBINGUNI, ndio maana vita yake si ndogo
Ubongo ni sawa na Transformer ya Umeme. Kazi ya Transformer ni kubeba, kupitisha Umeme, hatuwezi kuona Umeme kwa macho ila tunaweza kujua upo kwa kutumia vipimo vya Umeme au taa, vifaa vinavyotumia umeme kufanya kazi. Ubongo ni kubebeo cha Akili, mawazo, hatuwezi kuiona Akili kwa macho au mawazo kwa macho. Tunaweza kufahamu Akili, mawazo ya mtu kupitia matendo yake. Aonavyo mtu Nafsini/mawazo mwake ndivyo alivyo au ndivyo anatenda.
Amen
Amina
Mungu akubarik
Ameen
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen🙏
Amen