Комментарии •

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga3006 17 дней назад +17

    Mtumishi wa Mungu Asante sana Kwa mafundisho haya. Mungu wangu nikupe Nini Bwana wangu Kwa chakula hiki kizuri unachotulisha.? Nikupe Nini Mungu wangu. Tusaidie mioyo yetu ijiatamishe kifuani mwako. Mungu tusamehe tunapoanguka.

  • @sarahkaminyoge3197
    @sarahkaminyoge3197 4 дня назад

    Hakika katika utumishi wako, Nimemuona Mungu akinivusha ktk changamoto nyingi, ubarikiwe sana Mwalim Mwakasege $Diana Mwakasege Mungu awe maisha marefu sana

  • @PeterMaboja
    @PeterMaboja 15 дней назад +4

    ninafurahi sana, mwangosi kumwona akihudumu

  • @halimaabdallah2877
    @halimaabdallah2877 14 дней назад +1

    Najiungamanisha mimi na mume wangu katika ibada hii. Tukakue kiuchumi na kustawi kwa jina la yesu 🙏🙏

  • @aloycejaloyce8078
    @aloycejaloyce8078 11 дней назад

    Ubarikiwe sana baba, nabarikiwa sana na mafundisho yako,

  • @juanzizi1245
    @juanzizi1245 10 дней назад

    Nisaidie Mungu Baba, nikumbuke mtumishi wako.

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 10 дней назад

    Najiungamanisha na Madhabahu hii ya Christopher na Diana, Utumishi wenu unanipeleka Utukufu hadi Utukufu.
    MUNGU WA MBINGUNI awalinde na mwovu.
    YEHOVA awatie nguvu na kuwapa maisha marefu

  • @BiothoSolomon
    @BiothoSolomon 17 дней назад +5

    Mungu ume inuliwa juu saaana

  • @rehemajayden
    @rehemajayden 12 дней назад

    Bwana yesu wafunuke mama angu na mwanagu wanapokaribia kusafiri bwana yesu wafikishe salama waepushe roho zote za ajali barabarani waende salama wafike salama kwa damu ya yesu kristo amen

  • @jacklineuiso6225
    @jacklineuiso6225 15 дней назад +1

    NAFURAHI SANA KUKUONA MTUMISHI KAKA MWANGOSI

  • @MercyLaman
    @MercyLaman 17 дней назад +2

    Amen,mungu akubariki mtumishi

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 15 дней назад +1

    Damu ya YESU ITAWALE tanga na Tanzania nzima, BWANA YESU NI MUNGU WA MIUNGU.

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 16 дней назад +1

    Najiunganisha kwa Jina layesu

  • @christinamgalula802
    @christinamgalula802 6 дней назад

    Ameen

  • @jastinnkya
    @jastinnkya 17 дней назад +1

    Amin sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🙏

  • @rosaliarobson3710
    @rosaliarobson3710 15 дней назад +1

    najiunganisha mimi na biashara zangu zikakue na kuongezeka pia nikafungue duka min market yangu

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 10 дней назад

    Nawaungamanisha watoto na wajukuu zangu, na ndugu zangu woote ktk Madhabahu hii

  • @marymfoi9349
    @marymfoi9349 17 дней назад +1

    Amina

  • @stellawilson7453
    @stellawilson7453 13 дней назад

    Amen Mungu awabariki

  • @jaquilinemihambo9602
    @jaquilinemihambo9602 17 дней назад +4

    Shetani alipomvuuruga Adam alienda mojakwamoja Kwwny Fikra,,, shetani anapamana Sana na Fikra za watu
    ❤❤❤❤
    Huwezi kuwa zaidi ya ufikirivyo
    Kuharibu nafsi Ni kuharibu injini ili isipokee kitu kipya
    ✓✓✓✓✓✓
    isaya55:8-11
    Fikra zinapovurugwa zinashindwa kupambanua chema ktk kwa Mungu.

  • @JoshuaHilgath
    @JoshuaHilgath 17 дней назад +2

    Amina Amina

  • @stellawilson7453
    @stellawilson7453 13 дней назад

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen

  • @magrethkirenga
    @magrethkirenga 17 дней назад +1

    Jina lako Mungu liinuliwe

  • @lydiamakenge5613
    @lydiamakenge5613 16 дней назад

    Mungu nisadie

  • @OnesmoDickison
    @OnesmoDickison 16 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii

  • @FoodsBeverages-z4b
    @FoodsBeverages-z4b 16 дней назад +1

    AMEN

  • @eng.kivuyo12
    @eng.kivuyo12 17 дней назад +1

    Glory to God

  • @user-tf9ws7gd9g
    @user-tf9ws7gd9g 12 дней назад

    🙏

  • @mildrednabwireokumu5492
    @mildrednabwireokumu5492 17 дней назад +1

    Amen 🙏

  • @BarazaDavid-of7rm
    @BarazaDavid-of7rm 17 дней назад +1

    Amen

  • @dddiii2330
    @dddiii2330 17 дней назад

    YESU naiweka migu yangu kwenye iyi mazabahu yako YESU unifunguwe

  • @ernestbutagalala
    @ernestbutagalala 17 дней назад

    Amina mtumishi wa mungu bab

  • @japhetbalilonda797
    @japhetbalilonda797 16 дней назад

    MUNGU akubariki mtumishi kwa huduma.

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 16 дней назад +1

    Kumbe huu mstari wakufanywa kichwa siyo mkia una maana tofauti!?
    Asante mtumishi leo nimepata kitu kipya🙏

  • @teddymhenga3006
    @teddymhenga3006 17 дней назад

    Ameeen

  • @SamwerAsajile
    @SamwerAsajile 17 дней назад

    Mungu akubarik

  • @GraceGracelissu
    @GraceGracelissu 17 дней назад

    Ameeeen

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 17 дней назад

    AMEN.

  • @eliyamakanika7282
    @eliyamakanika7282 17 дней назад

    Amen amen

  • @edamtenga1643
    @edamtenga1643 17 дней назад

    Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @dddiii2330
    @dddiii2330 17 дней назад

    YESU niponye magonjwa yoye😢😢😢

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t 17 дней назад

    Ameni

  • @dddiii2330
    @dddiii2330 17 дней назад

    YESU niponye miguu😢😢😢

  • @ghiansagara6091
    @ghiansagara6091 16 дней назад

  • @user-jd4bh2yr6l
    @user-jd4bh2yr6l 17 дней назад

    Amina😅😅😅😅 Yesu tu atosha

  • @user-ju5yw3kd2b
    @user-ju5yw3kd2b 16 дней назад +1

    Nimetuma sdk kwakuchelewa leo ndo nimeona mahubiri naunga manisha na Biashara yangu naninapokea kwa jina la Yesu

  • @christinangondi4212
    @christinangondi4212 10 дней назад

    Mwangosi amesimama ktk Neema yake ya Kumsifu na Kumwabudu MUNGU WA MBINGUNI, ndio maana vita yake si ndogo

  • @davoo2555
    @davoo2555 13 дней назад +1

    Ubongo ni sawa na Transformer ya Umeme. Kazi ya Transformer ni kubeba, kupitisha Umeme, hatuwezi kuona Umeme kwa macho ila tunaweza kujua upo kwa kutumia vipimo vya Umeme au taa, vifaa vinavyotumia umeme kufanya kazi. Ubongo ni kubebeo cha Akili, mawazo, hatuwezi kuiona Akili kwa macho au mawazo kwa macho. Tunaweza kufahamu Akili, mawazo ya mtu kupitia matendo yake. Aonavyo mtu Nafsini/mawazo mwake ndivyo alivyo au ndivyo anatenda.

  • @beathapantaleo9420
    @beathapantaleo9420 17 дней назад +1

    Amen

  • @saraemmanuel7285
    @saraemmanuel7285 16 дней назад

    Amina

  • @annaangetile4666
    @annaangetile4666 16 дней назад

    Mungu akubarik

  • @JuneJune-xf4pc
    @JuneJune-xf4pc 17 дней назад

    Ameen

  • @NeemaMollel-mw5ei
    @NeemaMollel-mw5ei 17 дней назад

    Amen 🙏

  • @wendyaaron9696
    @wendyaaron9696 14 дней назад

    Amen

  • @JasmineSebe
    @JasmineSebe 17 дней назад

    Amen

  • @mkailivin4050
    @mkailivin4050 17 дней назад

    Amen

  • @MariamSenga-xn2dc
    @MariamSenga-xn2dc 16 дней назад

    Amen🙏

  • @DeborahDaniel-o5w
    @DeborahDaniel-o5w 17 дней назад

    Amen