"HUWA NAENDA NYUMBANI KWA DIAMOND, NAPENDA KUPIKA LAKINI SIISHI NAYE" - ZUCHU
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- "HUWA NAENDA NYUMBANI KWA DIAMOND, NAPENDA KUPIKA LAKINI SIISHI NAYE" - ZUCHU
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Duh mbea wa wcb anaolewa 🤣🤣 ila nasubiri akuna ca harusi wala nini nipeni like 👍
We ni mchawi ,huwazii mema watu
Masha Allah zuchu anaolewa na yule mdogo wa Ricardo momo yule diamond Ali posti I love you my brother
Kama nikweli ikawe kheri insha'Allah 🥰
Qq
Harua harua
Inshaallah ikawe kher zuuh wang💕
Kama kheri iwe kheri mashallah
Zuchu kapendeza nomaaaa
Du mbaka sm za watu mnachungulia hongera kwa umbeya Kila lakher kama kwel Kuna ndoa inakuja
Naona kama Zuchu kanenepa hv kidogo au ni Mimi tu na macho yangu mabovu😂😂
Kanenepa kwel alafu anabashasha usoni mwake
😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁
Ikiwa ni kiki itaniuma saaana
zuchu yuko na macho mazuriiii DAAAA!!!!!!
Juma mbea
Na pengine zuchu anaolewa kweli ila namwanaume mwengine sio dimond
My favorite girl 👧 💓 💗 💕 💛
From Kenya naeza peda kufika kwa hiyo show zuchu can u get me there
Sura yako zuchu inaonyesha kbisa sio kweli unachojibu acha kutudanganya jmn wewe mtoto Mungu anakuona.
Zuchu napenda sana kazi yako Ila endapo ukiolew na diamond basi mtakua mmezngua kwenye upande wa music hasa mkioana halafu badar mje muachane unafikili muzik wako utakua unaskika tena Kama unavyo skika saiv me sikushauli
Ishaallah
Nimekuwa wa kwanza
Waaaaaaaaambiiiiieeeeee zuuuuuuchuuuuuuuuuuu
Wewe umeanza na umechoka tyari wpotezaaaaa 😭😭😭😭😭😭
Wazeeeeeeee wa kiki;Alikiba hatumiiiiii nguvu HVO;ngoma zinaenda zenyewe
Aituhusu
Zinaenda wapi na zinafika wapi wew huwez kwasasa Han lake kwa industry ya music zuchu she’s on top 🔝
🤣🤣🤣 sio kweli mmmh zinaenda wapi
@@hamzacedricole3673 kwenye nani ya mama ako
Zinafika wapi sihapahapa tz
Lokole mbea superstar
Mmmhu kama ni kweli nikutakie kila la kheri kwenye ndoa yenu na Naseeb,na kama kiki ya kutoa Albam siku hiyo Allahu yaalam 🚶🚶🚶
😂🤣
Sasa kutoa Album ndo Kiki
@@karasuyazidi8547 Mmhu 😄
Hovoooo hamna jipyaa mbona hamjiamini nyooo hamtusumbuy
Una nini mpaka wakusumbue?
Majanga
Kama nikweli katulie mama lakini kama mna tafuta Kiki ww na boss wako usije ukapitiwa na upepo Wa kisurisurii kama wifi yako qeendarlin na shemeji yetu😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mmmmh mond haoagi
ety diamond 💍 ni bosi wako na anakutomba
Daaa!! huyu dem anatombwa na mondy heee!! Muone tu uso wake yaani kila kitu kiko wazi😁😁😁
Sio vibaya wanawake wengi wanawaza kutiwa na mondi kwa wanawake bahati yake
Zuchu niko na swali unaendanga kwa daimondi kupika to akuna kitu ingine ju uwezi enda kwa mwana ume kupika to
Kaingia mwenyewe zuchu kwa masuala anopigwa
Kwan mapenz yanakificho jmn
Daah kulala na bosi wacha siku ile ataboeka na wewe ndio siku utabuburushwa na aristote atakuponda na huyo juma 😅😅😅
Nawapenda sana
Nitafurahi ikiwa ni ndoa nasiyo uchezewe kama wenzako
Kwani walilazimishwa
Kiki tu mnadhofishwa bosi wake.nampenda kiba hana kiki
Hawa wasenge wanavumixha ujinga mbona waandixh wa habar ni wanafk
WCB Ndio mabingwa wa attention (KIKI) mjini Hawa watu ni noma🔥
Dida mbea
Mh haitapendez ikiwa ni ndoa na uyo m sikushaur ingawa ndoa huandikwa mbinguni ila kiukwel kuolewa n kuacha na umejitengenez kwenye music na kuacha ajira so utahama kwenye wasafi na uanze kujipanga upya kimaisha so fikiria kabla ya kutenda
😅😅😅😅Mmempata😅😅alisema mama ake ndo kapiga simu, 😅😅😅😅😅
Hhhhhhhh kiki mbaya, lakini kama ni kweli we Zuchu waulize wenzako watakusimulia Diamond ni nani.
Umbea tyuuuuuu mnataka kujua ya watu ya kwenu hamuyasemi,ovyooo
Juma lokoleeee🤣🤣
Yetu macho
Hello l'équipe wasafi FM
Vous avez oublié
Zari Hassan tanassa Donna ?????????🤔🤔😍
Ushamba tu
Ndio mana mmekosa Mirabaha kwakupenda kiki.
Anaswali na msaraba shingon nyie wawapi mnaona swala ni mchezo
Zuchu aanza kukaa kimya unajidharilisha
Kiki imebumaaaaaaa....material nguvu mpaka mnaboa...
Mbona Ali kiba hafanyi Kiki na mziki wake unaenda duniani?🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Dunia ipi?
Iyo miguno 🤣🤣
Ama n nyie mmmmmm! Mpo washambeka mmembana muyaoate uzuri 😁
Lkn haya ni kweli, la kustajabu JINA lake n UKOO wake HAYAENDANI na HUO MSALABA hii ni dini ya mchezoo!
Jamn nimejikuta nimechanika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kila lakheri zuchu but lazma uchezewe tuuuh
Wambea kwenye ubora wenu
Plz husikubali mond kawa mchumba wako yaani utajisalilisha
Jina lenyewe ukilisikia macho yalengea kweli..mmmmm zuchuuuuuu
Wambea nyie😂😂😂😂
Alafu hawa wanafanya 😂😂😂😂
Wanavyomkazania
Anamimba
😀😀😀 juma unanikosha unaujua umbea wewe 😄😄😄😄
Kiki hyo kwnz ona nguo zao walizovaa na palivyolembwa studio hapo kuna k2 kinakuja wala c ndoa
Diamond ajui kuchagua maana zuchu siyo kwa kiuno iki maana kimefinywa iko kichwa kanenepa paka mabaka kiki zitawaaua mbwa nyinyi
Matusi ya nn ww dada
Pole sana
Inakuuma nini kuma weye umasikini wako usikusumbue kiuno kina saidia nini
Kama odemba;kiki imebuma!
Ikiwa hili jambo nikiki, sitowafuatilia wasafi tena
Wataka waoane kmaa mm bro
Sisi wakenya tuwambiwe ukweli
Mdada mtangazaji anacheka kama panya
Nyinyi ni watu wa sengerema au ni wawapi Samaan jamen kwani ndoa ndo imeanza leo wameoana mpaka manyan huyo dida mwenyewe ndoa imemshinda
Aawa watu ni wambeeaa jamaan
Hakuna ndoa Wala nn?
Wazanzibar tunajuwa kuwaenzi wanaume hatuchupichupi tu kwa kila mtu tenaaaa wachezea wazanzibary tunamchukuwa diamond zanzibar tenaa wachezea vikuba wewe na asumini wazim mtu.
duuh
Tatizo hapa yupo juma lokole ambae ni bwabwa ndio Maana sikipendi kipendi Hiki
Hujalazimishwa kumfuatilia
Ongera dada utulie ukienda uko
Hahahahahh😍😍
Hhhhh
Dogo kashatafunwa huyu
Yeah...anaweza akawa katafunwa lakini ndoa hamna hapo
Ukubali ukatae yote heri
🤣🤣🤣
Zuchu kapendeza nomaaaa
Acheni kuandika mada za kifala
Uvumi mwingi unakuwaga ukweli
Studio na bodigadi huo ni ukiki utazani studio watamzuri mhh siwaelewi na studio yenyewe ni ya wawanafamily 😂
Pole inauma lkn inabid uzoee
kama kwel diamond kazingua
Hakuna kitu hapo .