DADA ALIYEKUWA ANATAFU MUME NA BANGO AMEPATA MUME/ANAOLEWA/ALIPIWA MAHARI LAKI 6/MASTAA WAMENITAFUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 сен 2024
  • Tumepiga Story na Dada anayetafuta mume

Комментарии • 42

  • @swifatsukimtuliaswifatsuki3730
    @swifatsukimtuliaswifatsuki3730 2 года назад

    Dada jasiri hongera sana

  • @judyjudy3513
    @judyjudy3513 2 года назад +1

    Hongera mwenyezi mungu awatangurie ktka ndoa yenu

  • @claudialupimo7614
    @claudialupimo7614 2 года назад +1

    Mmhh.. Wewe c ulivika pete mdada wa kipindi cha Mr right jmn.. Nawewe Amina si uliwashiwa taa show yenu nmeicheck Jana tu tena marudio Swahili channel

  • @anjelandonde3217
    @anjelandonde3217 2 года назад +1

    Huyu si alichagua mke kwenye kipindi cha mr right cha star tv hadi kamvisha Pete huyo dada mwingine duu

  • @happyinnocent8621
    @happyinnocent8621 2 года назад

    Congratulations

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 года назад

    Mtu mwenye hofu ya mungu havai cheni huo urembo ni wa wanawake na shangaa unajivunia eti mwanamume ana hofu na mungu

  • @noru9028
    @noru9028 2 года назад +2

    Amna mume hapo na akuna mke hapo

  • @marymafuru7130
    @marymafuru7130 2 года назад +1

    Ni tabu hawa mastaa wa bongo mwingine muigizaji mwingine mwanamuziki hivi hamuwezi kutengeneza kiki za maana mpaka za mahusiano tu jamani mahusiano yenyewe hata hayafiki popote tena huyo kaka ni sharobalo hatari hamna mme hapo😆😄🤭😂

  • @halimashaib9102
    @halimashaib9102 2 года назад

    Hayo mengine yote naona pumba tu cha muhimu huuyu jamaa kafanana na kanumba hatatii

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 года назад +1

    Lingine we mwanamke hueleweki ni dini gani nawe mwanamume hujielewi utaoaje mwanamke ambaye hujui dini yake ama kweli akili zenu zafanana mwazijua wenyewe

  • @subirachuta8169
    @subirachuta8169 2 года назад

    Hao walipatana kwenye show ya Mr Right.

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 года назад +2

    Kwani wee kaka si ulipata mchumba yule wa kwanza kwenye kipindi cha Mr right, kwanini tena ukabadilika au unaoa wote wawili??

    • @victoriabayo7704
      @victoriabayo7704 2 года назад

      Jamani hawa wamekutana kwenye show ya Mr right

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 2 года назад

      @@victoriabayo7704 Ndiyo upo sahihi lakini huyu kaka alipata dada wa kwanza na wakaondoka naye kesho kakaa huko sijui hakuridhika naye akarejea tena mpaka Mr gara B akamuuliza huyo kaka mbona umerudi tena!?yaani mmhu 😄

  • @eliafilembasha2512
    @eliafilembasha2512 2 года назад

    Ushuz mtupu

  • @priscajoseph9202
    @priscajoseph9202 2 года назад

    Wow

  • @rayaahamad5502
    @rayaahamad5502 2 года назад

    Huyu jaamaa anacheza filamu za kibongo au namfananiza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Hamna kitu hapo ni comedy tu mpaka tuone hiyo ndoa

  • @swahilimoves3348
    @swahilimoves3348 2 года назад

    We hufai kabisa

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 2 года назад

    Kama wewe mwanamke unahofu ya mungu kwanini ulimushauri huyo mwanamume avae cheni

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 года назад

    Tulioona jicho la mume linavyoangalia mke tujuane
    Najiuliza watoto wa 5 mke yupo wapi na km kweli mcha Mungu mke kafa au kazaa nje ya ndoa nijuzeni kuangalia nimechoka

    • @marymafuru7130
      @marymafuru7130 2 года назад

      Kasema Kila mtoto na mama yake inamaana alikuwa anawazalisha tu anaacha

    • @happymboya8045
      @happymboya8045 2 года назад

      Hahaaaa

  • @rukaiyaahmadsuleiman3951
    @rukaiyaahmadsuleiman3951 2 года назад

    Bas haya

    • @sulaimanafrican8134
      @sulaimanafrican8134 2 года назад

      Hongera

    • @mwaneyseifseif3059
      @mwaneyseifseif3059 2 года назад

      Mimi naon mapichs pich wala sielew ninaangalia movie na ndio inaisha hv? Kwel jmn pl amemvalish mtu pete tena miss segerea leo ftm tena aibu naona mm🙈🙈

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 2 года назад +1

    Tumwambie ukweli watu wa kanisani ni malaya sana

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 2 года назад +1

      Ye mwenyewe unafikiri msafi?

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 2 года назад

      Kuna kitu wanajaribu kutengeneza

  • @hafsaaali6518
    @hafsaaali6518 2 года назад

    Hakuna mke wala mume hapo mnatafuta kufika kwa mungu mmechoka tu bure hebu tupumzisheni

    • @marymafuru7130
      @marymafuru7130 2 года назад

      Wewe ndio umeongea dada akili za wabongo ni fupi wanatafuta kiki tu hamna mapenzi hapo kumbe wote wanataka ustaa tu

  • @tatumussa651
    @tatumussa651 2 года назад

    We

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 2 года назад

    Kama amepata mwanamme atakuwa hana akili timamu.

  • @anetymlingi9530
    @anetymlingi9530 2 года назад

    Hapa mume hakuna anavyojisifia sasa duh

  • @marymafuru7130
    @marymafuru7130 2 года назад

    Wameshazoea kucheza na akili zetu kila siku duuuuuuuuuu

  • @christinemangaza6303
    @christinemangaza6303 2 года назад

    Okay 🤣🤣🤣🤣

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Binti ni msemaji sana kama kasuku kuishi nae ni kazi sana

  • @lulually5209
    @lulually5209 2 года назад

    Uongo mtupu kiki za kipumbavu huyu jamaa haonekani kabisa km ni muoaji