Ni tabu hawa mastaa wa bongo mwingine muigizaji mwingine mwanamuziki hivi hamuwezi kutengeneza kiki za maana mpaka za mahusiano tu jamani mahusiano yenyewe hata hayafiki popote tena huyo kaka ni sharobalo hatari hamna mme hapo😆😄🤭😂
Lingine we mwanamke hueleweki ni dini gani nawe mwanamume hujielewi utaoaje mwanamke ambaye hujui dini yake ama kweli akili zenu zafanana mwazijua wenyewe
@@victoriabayo7704 Ndiyo upo sahihi lakini huyu kaka alipata dada wa kwanza na wakaondoka naye kesho kakaa huko sijui hakuridhika naye akarejea tena mpaka Mr gara B akamuuliza huyo kaka mbona umerudi tena!?yaani mmhu 😄
Tulioona jicho la mume linavyoangalia mke tujuane Najiuliza watoto wa 5 mke yupo wapi na km kweli mcha Mungu mke kafa au kazaa nje ya ndoa nijuzeni kuangalia nimechoka
Mimi naon mapichs pich wala sielew ninaangalia movie na ndio inaisha hv? Kwel jmn pl amemvalish mtu pete tena miss segerea leo ftm tena aibu naona mm🙈🙈
Dada jasiri hongera sana
Hongera mwenyezi mungu awatangurie ktka ndoa yenu
Mmhh.. Wewe c ulivika pete mdada wa kipindi cha Mr right jmn.. Nawewe Amina si uliwashiwa taa show yenu nmeicheck Jana tu tena marudio Swahili channel
Huyu si alichagua mke kwenye kipindi cha mr right cha star tv hadi kamvisha Pete huyo dada mwingine duu
Congratulations
Mtu mwenye hofu ya mungu havai cheni huo urembo ni wa wanawake na shangaa unajivunia eti mwanamume ana hofu na mungu
Amna mume hapo na akuna mke hapo
Ni tabu hawa mastaa wa bongo mwingine muigizaji mwingine mwanamuziki hivi hamuwezi kutengeneza kiki za maana mpaka za mahusiano tu jamani mahusiano yenyewe hata hayafiki popote tena huyo kaka ni sharobalo hatari hamna mme hapo😆😄🤭😂
Hayo mengine yote naona pumba tu cha muhimu huuyu jamaa kafanana na kanumba hatatii
Lingine we mwanamke hueleweki ni dini gani nawe mwanamume hujielewi utaoaje mwanamke ambaye hujui dini yake ama kweli akili zenu zafanana mwazijua wenyewe
😂😂😂
Hao walipatana kwenye show ya Mr Right.
Kwani wee kaka si ulipata mchumba yule wa kwanza kwenye kipindi cha Mr right, kwanini tena ukabadilika au unaoa wote wawili??
Jamani hawa wamekutana kwenye show ya Mr right
@@victoriabayo7704 Ndiyo upo sahihi lakini huyu kaka alipata dada wa kwanza na wakaondoka naye kesho kakaa huko sijui hakuridhika naye akarejea tena mpaka Mr gara B akamuuliza huyo kaka mbona umerudi tena!?yaani mmhu 😄
Ushuz mtupu
Wow
Huyu jaamaa anacheza filamu za kibongo au namfananiza
Hamna kitu hapo ni comedy tu mpaka tuone hiyo ndoa
We hufai kabisa
Kama wewe mwanamke unahofu ya mungu kwanini ulimushauri huyo mwanamume avae cheni
Tulioona jicho la mume linavyoangalia mke tujuane
Najiuliza watoto wa 5 mke yupo wapi na km kweli mcha Mungu mke kafa au kazaa nje ya ndoa nijuzeni kuangalia nimechoka
Kasema Kila mtoto na mama yake inamaana alikuwa anawazalisha tu anaacha
Hahaaaa
Bas haya
Hongera
Mimi naon mapichs pich wala sielew ninaangalia movie na ndio inaisha hv? Kwel jmn pl amemvalish mtu pete tena miss segerea leo ftm tena aibu naona mm🙈🙈
Tumwambie ukweli watu wa kanisani ni malaya sana
Ye mwenyewe unafikiri msafi?
Kuna kitu wanajaribu kutengeneza
Hakuna mke wala mume hapo mnatafuta kufika kwa mungu mmechoka tu bure hebu tupumzisheni
Wewe ndio umeongea dada akili za wabongo ni fupi wanatafuta kiki tu hamna mapenzi hapo kumbe wote wanataka ustaa tu
We
Kama amepata mwanamme atakuwa hana akili timamu.
Hapa mume hakuna anavyojisifia sasa duh
Wameshazoea kucheza na akili zetu kila siku duuuuuuuuuu
Okay 🤣🤣🤣🤣
Binti ni msemaji sana kama kasuku kuishi nae ni kazi sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umehonae mme awe makini
Uongo mtupu kiki za kipumbavu huyu jamaa haonekani kabisa km ni muoaji
Lulu ally hapo wote ni comedy tu wote binti na huyo kijana