Achari Kavu /Mapishi Rahisi ya Achari Kavu /Dried Mangoes Recipe /Tajiri's Kitchen Achari Recipe
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- FACEBOOK : TAJIRI'S KITCHEN - / tajiris-kitchen-100334...
INSTAGRAM : TAJIRI'S KITCHEN - ...
#acharikavu #mapishiyakiswahili #tajiriskitchen #achari
Waooo
Mashallah. Dada.
Achariiiiiiiii😋😋😍😍😍😍😍
Yes hun 😋🥰
It looks so delicious. Your cooking skills are amazing. Thank you for the good food. 😍💛
Most welcome dear. Thank you for your support too 😘
nashukuru sana kwa mapishi halisi mapishi bora, kweli umebobea katika mapishi mama
Shukran sana dear
Ooo I can't stop eating
For sure 😊
Ajab mashaAllah
Shukran
Mashallah zitakua tamu sana tutajaribu In shaa Allah Shukran
Karibu sana😘
Shukrani, sana.
Hizo achari...marikiti wafunga kazi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🌶️🌶️🌶️🌶️🌶️🌶️🌶️💋💋💋💋💋
🤣🤣🤣🙈
🥰🥰yummy but here in USA we have no sun at this time 😭
I did mine at Summer
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 inshalah i will try at the summer time
👌👌👌
maashaallah
Shukran
Je unaweza kukausha maembe kwenye oven or microven
Ndio, but mm sijajaribu bado
Waw zapendeza kweli na mvutio usiseme
Shukran
Masha Allah tamutamu
Shukran
Asalamu alykum mbona mimi nimejaribu ubuy wa embe mbona unatoka mgumu? Nisaidie vipi utoke lain?
Salàm alekum mashallaah napeñda sàna achari
Waaleikum musalam, shukran mm pia nazipenda tu sana😋
Shukran
Mashaallah Shukran mpenz
Karibu sana
Aunty Tajiri kindly send me the Achari to America will appreciate 🙏....
Amore Mimik. Which States are you?
@@tajiriskitchenswahiliflavo1723 Newyork,Brooklyn Aunty
Wow looks yummy mate yanitoka hapa
Shukran habibity, nakusambazia 😜
Shukran sana auntie 😍
Afwan 🥰
Zinaweza kukaa mda gani bila kuaribika
Wapatikana wpi
Can you use an oven to drt them
Ya u ca but it definitely is better with the sun
Mashaallah
Shukran
Mm nauliza huti tangawizi au lipilipi manga
Hi,nilijaribu hii recipe lakini achari zangu baada ya kupika hazikukauka..shinda yaweza kuwa nini
N kama utaki kupika izo za rangi n masala
Naweza kutumia oven kukausha maembe?
Yes
shukani habbit
Kwa biashara maembe yanatumika mangapi kutoa ubuyu 50?
Sio kwa hapo
hatuweki unga wa ubuyu?
Please write the ingredients and measurements in the description box so we dont have to keep pausing the videos or rewinding. Thank you
Habari za asubuyi dada number hiyo ya groupe WhatsApp tuta ipata je? Sisi bado hatujakua nayo!
Mzuri sana, ila sina group dadangu.
Am looing for a supplier
Baada ya kuweka achari, unapunguza moto?
Hapana
hio ni paprika ama tumeric
Wapika in low heat ama
Medium heat
helo do you supply Achari?
I do in States
Shukran habbty ila niko na swali kam hamna jua unawezatia kwenye oven?
Sidhani haki, sijawai kujaribu hivyo.
Tajiri's Kitchen ok thanks love
Nataka wauza na bei gni
hiyo achari inatumikaje kulia kitu au natak nijue
Zinaliwa tu hivyo