Комментарии •

  • @abdurahmansaidy1235
    @abdurahmansaidy1235 4 года назад +1

    Masha Allah ust nuuu kwa kuufikisha ujumbe kwa jamii

  • @fatmasule1175
    @fatmasule1175 4 года назад +1

    Mashallah mungu awazidieshie madrasa niliosoma mm napata kufatijika nikiona madrasa yangu ikienda mbele from uk

  • @rihanikombo5205
    @rihanikombo5205 5 лет назад +1

    Hongereni sana watoto wa simba au ukipenda wate pemba 1

  • @MAPETEE
    @MAPETEE 4 года назад +1

    Haraam Haifai na uyo mwanaume
    Mzima Akatika mauno Ata haya Hana ujinga huo

  • @nassiryothman4554
    @nassiryothman4554 5 лет назад +1

    NICE 👏👏👏

  • @reynatjuma5313
    @reynatjuma5313 6 лет назад +2

    Mashallah pemba tunaweza

  • @madinasuleiman2008
    @madinasuleiman2008 6 лет назад +1

    Hongereni sana wana wa Anam Mungu azidi kuwaezesha mupte mafanikio zaid ukweli mmenigusa sana sna lakusema ila Mungu azidi kuwasmamia

  • @twilindeissatwilinde3434
    @twilindeissatwilinde3434 6 лет назад +1

    Sina maneno mashaalha mungu akuzidisheyeni kweli muko vizuri siku ya harusi yangu mungu akipenda nitawakodi japo sijaelewa muko Pemba sehemu gani lakini nitauliziya mpaka nitapajuwa