Nimebarikiwa tena mtumishi kwa tunaofuatilia nimetambua somo hili lilirushwa mwezi moja uliopita na sasa limerushwa tena kwa uzito wa somo lenyewe! 🙏🙏🙏🙏 Ubarikiwe mno pastor
You all prolly dont care but does someone know of a tool to log back into an instagram account..? I stupidly forgot my login password. I would appreciate any help you can give me!
Naomba niulize huyu Licovege alieuliwa Kwa risasi tano alikuwa muumini wa kanisa gani? Na huyo askari alieokoka akabatizwa ana akawa mchungaji akafariki akifa mchungaji mufitafu alikuwa kwenye kanisa gani? Naomba nijibiwe Mchungaji.
Thanks for the powerful sermon be blessed
Ninabarukiwa saaanaa na somo hili mlefi be blessed
Asante Mchungaji kwa somo Zuri. Mungu akupe haja ya moyo wako.
Ameen
Amen
Hallelujah! Hallelujah!
🤲🤲🤲
Amen🙏🙏
Nimebarikiwa tena mtumishi kwa tunaofuatilia nimetambua somo hili lilirushwa mwezi moja uliopita na sasa limerushwa tena kwa uzito wa somo lenyewe! 🙏🙏🙏🙏 Ubarikiwe mno pastor
Haki barikiwa sana mtoto wa mungu unanifunza mambo makuu mno
Amina nimeyapenda mafundisho yako mtu wa mungu
Mungu atusaidie kwakweli,somo likirudiwa ujue Kuna ujumbe uliokusudiwa na Bwana!
Amina ubarikiwe sana pastor🙏
Bwana Yesu asifiwe. Tuzidi kuwa na Imani.
Mungu atusaidie tuzidi kuanaimani
Niki soma fungo sielewe lakini ukinisomea ninasikia kwaundani Amina nnabarikiwa sana pastor mungu akulinde siku zote hallelujah
Majani ya papai
Ishara ni dalili ya upungufu wa Imani"2Wakorintho5:7 Maana twaenenda kwa Imani,si kwa kuona".
You all prolly dont care but does someone know of a tool to log back into an instagram account..?
I stupidly forgot my login password. I would appreciate any help you can give me!
Ubarikiwe Mtumishi.
Sexaphon ni nzuri sana, je Daudi alipiga chombo gani kilichomfariji Sauli?
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu
Tunajengeka kiimani kupitia masomo yako mtu wa mungu hivyo tia nanga xaaaaaana amina
Amina.
Amina
Amina kwa ninitia nguvu
Naomba niulize huyu Licovege alieuliwa Kwa risasi tano alikuwa muumini wa kanisa gani? Na huyo askari alieokoka akabatizwa ana akawa mchungaji akafariki akifa mchungaji mufitafu alikuwa kwenye kanisa gani? Naomba nijibiwe Mchungaji.
Uzidi kubarikiwa na bwana na sisi pia tubarikiwe pamoja nawe
Sexaphon ni nzuri sana, je Daudi alipiga chombo gani kilichomfariji Sauli?
Pastor how about Trinity, come up wth ths lesson b'cause it's a challenge to our faith nowadays
Mm
...... Mkk
. Nnmmmoovmokknoll mlo j.
Ubalikiwe🙌🏾 ila izo namba +255 755 932 283 nizanini?? Mbona siko zote tukijalibu kuzipigia hazipatikani????
Fazike Mix Tumia whatspp zaidi,mchungaji anazidiwa na majukumu,kama sasa hivi inapatikana
Imani halisi inamalipo baada ya majaribio Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana🙏
Amen