Kama ni kweli basi kavuna alicho panda lakin Kama ni uongo sijui ila nimeogopa sana sitaki tena zinaa kumbe mwisho ni wa aibu sana kwa mungu r.i.p dada
Uyu kaka ana la kujib kwa Mungu. Mume anasema walikuwa wanaishi vizur. Iweje uyu kaka afukunyue mambo ya chumbani? Au alikuwa anapiga chabo kila cku?. Mdomo unaponza lkn.
yaani watu wambea hadi anatoa ushahidi kwa mke wa mtu kuwa alikuwa na mpango wa kando . Sasa huko hospital wangethibisha km alikuwa kwenye kitendo hicho . siku zote kukianza mvua usikae chini ya miti randi inakimbilia sehemu hizo .
Hayo mambo tumuachie mungu muhimu tuwaombee kwa mungu
Mara ooh walikuwa wanazin kwenye pagama jmn hebu waandish warekebishe habar zao za kuzua 😢
Subhana Allah Allah atuepushe na madhambi
Mungu ndiye anaejua jiulize I nyiemlobaki je amzini nanyie msimseme Maiti kwa ubaya
Mnyaturu mwenye kipara ni mnafiki sana.
Inaailah wainaailaih raaajiun allah amsamehe madhambi yake
Hawajazini lkn uongo wawaandishi t
Sasa kweli mzee kama huyo anaoaje msichana wa miaka 32.Mungu atusaidie
Mungu amurehem huko aliko
Bwana mpole Sana 😢😢huruma kwakwel! Kwel malipo duniani
Mzee mwenye kipara nimmbea hatariiiii
Kama ni kweli basi kavuna alicho panda lakin Kama ni uongo sijui ila nimeogopa sana sitaki tena zinaa kumbe mwisho ni wa aibu sana kwa mungu r.i.p dada
Huyu mme wa marehem mmhhh .au ndo kaseti mitambo 🤔🤔wa mama jameni sa umshushe mmeo kisa hawala cheki Sasa mme anatabasamu tu
Daa
Ndio alivyo
Acheni uvumi wa uongo. Kafa yy nanyie TUBUNI dhambi zenu. Maana mna dhambi zenu
Hiyo amri ya sita haiko katika maandiko....hiyo ni ile amri ya shetani aliyowaletea Wakatoriki
Amri halali ya (USIZINI)ni amri ya saba Kutoka 20:3-17
Daa pole,ila umesomeka hy.
Allah atuepushe na mwisho mbaya
Kama kweli alipigwa na ladi ya jadi na mimi naitaka maana kuna mtu kanizurumu pesa zangu
🤣🤣🤣
Waandishi wa Habari wazalilishaji... Hamna Akili..Kama hili linalo tangaza Halina mvuto sauti mbaya linaongea ujinga bila kujali maadili
Huyo dominic ni kama jeluo vile mmbea kama nini
Innalilahiwanlarajinn mtihani huu mungu awasamehe
Inna lilah wainna ilaih rajiuun Allah atupe mwisho mwema Amiin
Poleni sana wafiwa mbele yake nasi tupo nyuma
Umbea tu
@@aishaahmed2582 Nani sasa
Mwanaume kizee mwanamke 32 😭
Innalilah wainailah rajioon
Polen familiya
Nimecheka jamani hayamaelezo tatizo mme nimzee mke bado binti😂😂😂 lakin mzee anajua kilakitu itakua kamfanyizia2
Uongo hzo nidhanna zako t
Moris umenifurahisha kweli mzee wangu. Ngaa yukowapi kwanza?
Kaka usiongee mambo ambayo huna uhakika sana
Au huyu mme pengne alimtegeshea radi
Fahamu Dada hiki nikipindi chamvua kwahiyo kupigwa naradi nisuala lakawida t hawajazini munaambiwa
Ongeeni kilugha bhs namiss tu
Mapenzi chini ya mti wakati mvua inanyesha ni sawa na kuchezea simu chini ya mti wakati mvua inanyesha so kuwa makin na mambo hayo
Uyu kaka ana la kujib kwa Mungu. Mume anasema walikuwa wanaishi vizur. Iweje uyu kaka afukunyue mambo ya chumbani? Au alikuwa anapiga chabo kila cku?. Mdomo unaponza lkn.
Ww mzee tumia hekima na heshima unapoongea. Je ulishuhudia?
Sawa walikua wanapiga stori 😂
😂😂😂😂😂
Majirani wamepata kichwa cha habari ila radi ndo ina majibu wapi ilitokea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣SIJAPENDA...huyu mzee namtetea jaman hafurahii ila ni anakenuaaa tuu
😂😂😂😂 huwa sipendi watu wa sura ya ivo
@@estermathias8354 Kwann lkn baby yaan nimechekaa🤣🤣🤣🤣
Mume amestiri mkewe mwanamume Mzee mzima atoa aibu za watu Tena kwa kujichekesha chekesha sasa umepata Nini zee jinga
Acha kumzulia mtu Alie fariki ww para atakama nikweli usitoe aibu zamaiti
Huyu mume sura yake ni ya tabasamu wala siyo kwamba kafurahia
P0
Mi naamini huyu Dada alienda kuokota kuni
Kweli
Kulikoni tena Singida yetu jamani...
Singida hiyo
Majiran Sasa duu
Mashahidi huwa wanafungwa. Kwa sasabu hujui kama unasema ukweli au uwongo.
Mwezangu
😂😂🤣😂😂🤣
0
.
Si mlisema kwenye nyumba ambayo haijamalizika mbona mna sema Tena habari za kukuokotaa Kuni daa poleni wote pumzika Kwa amani dada
Hehe
Um2 mzm lkn ujitambui mume amekana ww unaongea ujinga
Wapumzike vichakani acha ujinga
Muongo wewe baba muogope mungu
Anaongea kitu ambacho hakijui ange nyamaza libaba zima hovyo
00
😂😂Rayvanny chuii🐯 majibu yake ku husu Paula Wa kajala yana chekesha jionee apaaa utue maoni yako😂👀
👇👇👇👇👇👇👇👇
ruclips.net/video/OHTWe6oh4Qo/видео.html
Mnatafuta views kwendraaa
Mhhhhhhhhhh
Watu jaman
ruclips.net/video/VST3A8uh87k/видео.html
Utam video
Huyu dominiki ni mbwa anamchafua marehem ya nn .ona li mdomo lake kama la punda
😬🤓🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Wamekutwa wanagongana
@@زيتونتنزانيا vichwa
huyu Baba mnafiki kbx anaongea kama kafurahi hilo tukio
Jamani daaaaah mnatumbua sir zawatu ilihali kumewake kaamua kumfichia Madhaif yake mkewe
Labda aliweka mtego
yaani watu wambea hadi anatoa ushahidi kwa mke wa mtu kuwa alikuwa na mpango wa kando . Sasa huko hospital wangethibisha km alikuwa kwenye kitendo hicho .
siku zote kukianza mvua usikae chini ya miti randi inakimbilia sehemu hizo .