Комментарии •

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 26 дней назад +5

    Vipigwe marufuku kuingia nchini maana madhara yake ni makubwa kuliko faida

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 27 дней назад +4

    Subuhanallah. Inalillahi wainailahi rajuun

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 26 дней назад +1

    Itabidi ipigwe marufuku,funga jela

  • @MohamedKaboza
    @MohamedKaboza 26 дней назад +1

    Mh mmmm kuleta usumbufu kwa malubani tena eeeee mungu tusaidie

  • @DeusMadoshi
    @DeusMadoshi 26 дней назад

    Dah wakamatwe kbxaaa

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 26 дней назад

    tunaziomba uku serengeti pointer ya star

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 26 дней назад

    hatua kali zichukuliwe kwao ili iwe fundisho kwa wengine

  • @hijaabdalah9235
    @hijaabdalah9235 26 дней назад

    bei ghali jamani tunaziomba sisi tunajua matumizi yake

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 27 дней назад +1

    Zinauzwa wapi hizotochi mtuambie waowamezipatawapi?

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 26 дней назад

    Zinmeingiaje?