RAMANI YA UBAYA [Bishop Josephat Gwajima] 04.07.2021

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 114

  • @hacimanaclaude5401
    @hacimanaclaude5401 3 года назад

    Dr. Gwajima ,hongela kwa mafundisho yako ,Mungu akuongezee hekima

  • @GraceUlomi-j9x
    @GraceUlomi-j9x Год назад +1

    Michoro ime shandararabobosayaa❤❤❤❤

  • @GloriousRestorationTV
    @GloriousRestorationTV 3 года назад +7

    Nafuta ramani ya ubaya dhidi yangu kwa jina la Yesu, imeandikwa mabaya hayatanipata Mimi.......

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 3 года назад +1

    Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 3 года назад

    Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi 2 года назад

    Amen,Asante kwa neno la Mungu.

  • @theogeneninkabandi1948
    @theogeneninkabandi1948 3 года назад

    Nafuta michoro ya ubaya Kwa maicha yangu na familia yangu Kwa jina la Yesu Kristo. Niko Rwanda ninawapenda sana

  • @jossyngumbi1916
    @jossyngumbi1916 3 года назад

    Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.

  • @binamasamweli9878
    @binamasamweli9878 3 года назад

    Kwel mtumish ulichoongea ni sahii Mungu atuepushie na wanaotucholea raman za ubaya

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 3 года назад

    Huu ujumbe nimeusikiliza zaidi ya mara tano
    Its wow!

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 3 года назад +1

    Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sisterolivia9874
      @sisterolivia9874 2 года назад

      Nafuta Ramani zooooooooooote juuu ya maisha na Familia yangu kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai

  • @lillygeorgezz8310
    @lillygeorgezz8310 3 года назад +2

    Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏

  • @joabyared2436
    @joabyared2436 3 года назад +1

    Naipigixha kona Raman ya ubaya kwa jina LA yesu

  • @rehemamwakinyaka3167
    @rehemamwakinyaka3167 3 года назад +1

    Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni

  • @PendoSamson-rr8uy
    @PendoSamson-rr8uy Год назад

    Ramani zote za ubaya teketea Kwa moto wa Mungu

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 3 года назад

    Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen

  • @pstivolaugustino3701
    @pstivolaugustino3701 3 года назад +1

    Nafuta ramani za ubaya juu ya familia yangu kwa Jina LA Yesu

  • @sarahmsangi7243
    @sarahmsangi7243 3 года назад +13

    Naifuta michoro yote ya ubaya!!! Kwangu na ndugu zangu na taifa langu kwa damu ya YESU

  • @collinsshadrack6011
    @collinsshadrack6011 3 года назад

    Nabomoa ramani ya ubaya juu yangu na wanangu na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo.

  • @mary.matullu8279
    @mary.matullu8279 3 года назад +1

    Michoro ya ubaya teketea kwa jina la Yesu

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 3 года назад

    Ameeeeen ya saba Mara sabini

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    👏👏👏👏👏👏👏Nina Afya na Familiya yangu kuliko wakati wowote hapa duniani

  • @dr.jombajomba3838
    @dr.jombajomba3838 3 года назад +2

    Watching this from Mombasa Port Control. Man of God Gwajima you're a blessing to many

  • @carolinemkuwele7845
    @carolinemkuwele7845 3 года назад +1

    Ninakuelewa saaana Askofu.!!

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Natoroka kwenye ubaya wote uliyonenwa juu yangu kwa jina la Yesu

  • @angelkimaro7562
    @angelkimaro7562 3 года назад

    Ninafuta ramani ya ubaya kwenye maisha yangu

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameeen watu wasiyofanya wote kwenye Maisha yangu nawafutilia mbali kwa jina la Yesu

  • @jackschannel6556
    @jackschannel6556 2 месяца назад +1

  • @margaretelkanah2038
    @margaretelkanah2038 3 года назад +5

    Yaani wewe ni kuhani mkamilifu mbele za Mungu.
    Nitapenda ukija kugombea uraisi wa Saba TZ, na utashinda, ameni.

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 3 года назад +1

      Bwana apishe mbali akigombea urais watamuua km magufuli bora akaye tu hivo hivo

  • @JustinJohn-ss4qe
    @JustinJohn-ss4qe 10 месяцев назад

    Amina kubwa.

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 3 года назад +1

    Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima

  • @pendosamson7202
    @pendosamson7202 3 года назад

    Amen amen

  • @akwilinatopisto7028
    @akwilinatopisto7028 3 года назад

    Naikimbia michoro ya ubaya kwa jina la YESU

  • @pauloteleja7548
    @pauloteleja7548 3 года назад

    Nitakuwa na afya mm na family yang kwajiina la yesu

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Leo Mwanaume yoyote asiyefaa kwenye Maisha yangu nafutilia mbali kwa jina la Yesu

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Nawakusanya wasiyofaa kwenye Maisha yangu wote nawatupa kwenye shimo la moto watengetee kabisa

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 3 года назад

    Uishi milele mtumishi wa Mungu maana wewe ni jasusa la mbinguni 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 года назад

      Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.

  • @adongotina5289
    @adongotina5289 3 года назад +1

    Amen this is what happened to me in Oman this is way Iam suffering up to today

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Afya yangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali watoto wangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Naigeuza michoro Yao yote wariyochora juu yangu na Familiya yangu kwa jina la Yesu

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Napokea Afya kwa jina la Yesu

  • @annmbatha8021
    @annmbatha8021 3 года назад

    Amen..may the name of lord be praised..I witness this..Anne nrb Kenya

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameen yaliyo tokea kwangu kwa watoto wangu Familiya yangu basi

  • @shirimaoliva7695
    @shirimaoliva7695 3 года назад

    Barikiwaa mtumishii

  • @frolacharles6788
    @frolacharles6788 3 года назад +2

    Amina Mtumishi wa Mungu

  • @pauloteleja7548
    @pauloteleja7548 3 года назад

    Aminaa

  • @sesiliamwakalinga2239
    @sesiliamwakalinga2239 3 года назад +2

    Amen, I receive in Jesus name

  • @tegetatown2805
    @tegetatown2805 3 года назад

    Safiiii Bro.

  • @akwilinatopisto7028
    @akwilinatopisto7028 3 года назад

    Simba wa awalambe wote walichora Raman ya ubaya kwajina la YESU

  • @JustinJohn-ss4qe
    @JustinJohn-ss4qe 10 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @hbdina
    @hbdina 3 года назад +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Asante Sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Watoto wangu wapokee Afya kwa jina la Yesu

  • @sarafinasakinoi4075
    @sarafinasakinoi4075 3 года назад

    natorokaaaaa

  • @danielndalangavye2469
    @danielndalangavye2469 3 года назад

    Amina

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 3 года назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад +1

    Hahaha
    Walijuwa kuna promotion na kuapa 😂😂😂😂😂, kumbe ni kutumbuliwa vibaya. Ubarikiwe Mzee.

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Adui zangu wababwe Live kwa jina la Yesu

  • @hacimanaclaude5401
    @hacimanaclaude5401 3 года назад

    Ukiwa hutojali naomba nambari yako ya mawasiliano, Asante!

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 3 года назад

    Wachora Raman mbaya juu yangu, ubaya huo uwatafune wao wenyewe kama kanwa ka simba,na moto.

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Pomoweni mbaka msingi

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +1

    Ameeen Baba

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 3 года назад

    Nakuelewa sana

  • @itugarehema1986
    @itugarehema1986 3 года назад

    Afyaaaa Afyaaa Afyaaa

  • @edmundmbele4307
    @edmundmbele4307 3 года назад +1

    AMEN AMEN

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Afya kwa Wazazi wangu Afya a kwa wadogo zangu Afya kwa watoto wa wadogo zangu

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад +1

    Sabaya naye amesimamishiwa mashahidi wawili wasiofaa.😭😭😭
    Amecholewa lamani 😏😏

  • @stephenguga1034
    @stephenguga1034 3 года назад

    👑🙏🙌🙌🙌🙌💉🌋

  • @moniquebankibigwira866
    @moniquebankibigwira866 3 года назад

    Some zuri

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Misingi ya ukuu wa ulimwengu umevuliwa nguo

  • @theologyclass9209
    @theologyclass9209 3 года назад +3

    Live long my dady

  • @aloycesimon8351
    @aloycesimon8351 3 года назад

    Amen amen amen.

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +1

    Ramani ya ubaya

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameen

  • @hellenmarandu1787
    @hellenmarandu1787 3 года назад

    Amen

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameen🙌🙌

  • @azizaaziza9113
    @azizaaziza9113 3 года назад

    Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Sehem ileile

  • @akwilinatopisto7028
    @akwilinatopisto7028 3 года назад

    Ameeeeeeeeen

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameeen Haleluyaaaa🙌🙌

  • @judyjidena3768
    @judyjidena3768 3 года назад +2

    Ameeeni🙏🙏

    • @bibishemayonde4406
      @bibishemayonde4406 3 года назад

      Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад +1

    Hata kama huwa sifatilii kwa wakati ila huwa napokea kitu kikubwa Sana

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Ameeen

  • @evagumbo6731
    @evagumbo6731 3 года назад

    Ameen Ameeeeen 👏👏👏👏👏👏👏🙏

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад

    Duh,
    Nafasi zilibaki kibao🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️😂

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Haleluya aaaa

    • @damianchausi4729
      @damianchausi4729 3 года назад

      Ninafuta kila ramani juu ya maixha yangu juu ya familia yangu katika ulimwengu wa roho ninafuta kwa damu ya yesu

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад

    Sasa hivi ni mwendo wa simba, I see how Lion walivyowameza

  • @reliantslusajo7643
    @reliantslusajo7643 3 года назад

    🙏

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    Afyaaaaaaaa

    • @berthaayubu7843
      @berthaayubu7843 3 года назад

      Nafuta ramani ya ubaya juu yangu nawafyekelea mbali kwa jina la Yesu kristu

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 года назад

      Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    usitamani cha watu kina historia

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    pisha mbali

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wanawake tuna Maneno

  • @jackschannel6556
    @jackschannel6556 2 месяца назад

  • @wilsonsimangwa8238
    @wilsonsimangwa8238 3 года назад

    Amina

  • @eliaabethlyd5568
    @eliaabethlyd5568 3 года назад

    Amen

  • @aminalimu5150
    @aminalimu5150 3 года назад

    Amen 🙏

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад

    ameeen

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 3 года назад

    Amen

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад

    Amen 🙏