Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.
Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.
Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.
Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏
Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏
Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni
Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen
Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima
Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.
Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo
Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni
Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti
Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli
Dr. Gwajima ,hongela kwa mafundisho yako ,Mungu akuongezee hekima
Michoro ime shandararabobosayaa❤❤❤❤
Nafuta ramani ya ubaya dhidi yangu kwa jina la Yesu, imeandikwa mabaya hayatanipata Mimi.......
Naifuta ramani ya ubaya iliyochorwa kwenye maisha yangu na ya familia kwa damu ya Yesu Kristo. Naigeuza michoro hiyo iwapate wao na familia zao. Nitakuwa na afya kuliko wakati wowote kwa jina. Nina afya, nina afya, nina afya, nina afya, nina afya na familia yangu kuliko wakati wowote. Kwa jina Yesu.
Namwombea Sana Rais wetu Mungu ampe macho ya kuona na busara ya kugundua michoro mibaya ya wanafiki wa serikali yake. Watu hawa wana mchoro wa kutaka afute viongozi wazuri aliokuwa nao awamu ya tano wateule WA Magufuri wampe watu wao ili watimize nia yao mbaya ya kupora uchumi WA Nchi yetu.Serikali ikipwaya wapate kumdhihaki.
Amen,Asante kwa neno la Mungu.
Nafuta michoro ya ubaya Kwa maicha yangu na familia yangu Kwa jina la Yesu Kristo. Niko Rwanda ninawapenda sana
Ramana ya ubaya iliochoro juu ya maisha yangu na familia yako niufuta kwa damu ya yesu kristo nimepokea afya kwa damu ya yesu kristo Halellujah Ameeeen asante Baba Barikiwa Sana.
Kwel mtumish ulichoongea ni sahii Mungu atuepushie na wanaotucholea raman za ubaya
Huu ujumbe nimeusikiliza zaidi ya mara tano
Its wow!
Amina nafuta ramani ya ubaya katika maisha yangu kwa jina la Yesu ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu......ila siku hizi umepotaa sana umekuwa wajuma pili tu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nafuta Ramani zooooooooooote juuu ya maisha na Familia yangu kwa jina la yesu mwana wa mungu aliye hai
Hallelluyaaaaaaaaaaaaaa barikiwa sana Bishop gwajima mungu akutunze na akuinue zaidi nimebarikiwa kweli kabisa neno la wakati na majira haya nimeshukuru👏👏👏
Naipigixha kona Raman ya ubaya kwa jina LA yesu
Mijengo yakichawi na milango ya kichawi michoro ya kichawi na ramani walionicholea mm na familia yangu nifuta kwa damu ya Yesu na ninabomoa majengo yote kwjina la Yesu Kristi mwana wa Mungu Alie hai ameni
Ramani zote za ubaya teketea Kwa moto wa Mungu
Kila wachora ramani mbaya kwenye maisha yangu na mchumba wangu wanaotutenezea mafarakano nawafuta kwa jina la YESU pia wachora ramani kwa familii yangu kwa jina la yesu nawatangazia msiba was rohoni na mwilini emeeen
Nafuta ramani za ubaya juu ya familia yangu kwa Jina LA Yesu
Naifuta michoro yote ya ubaya!!! Kwangu na ndugu zangu na taifa langu kwa damu ya YESU
Nabomoa ramani ya ubaya juu yangu na wanangu na familia yangu kwa jina la Yesu Kristo.
Michoro ya ubaya teketea kwa jina la Yesu
Ameeeeen ya saba Mara sabini
👏👏👏👏👏👏👏Nina Afya na Familiya yangu kuliko wakati wowote hapa duniani
Watching this from Mombasa Port Control. Man of God Gwajima you're a blessing to many
Bwana awajuwa waliyo wake
Ninakuelewa saaana Askofu.!!
Natoroka kwenye ubaya wote uliyonenwa juu yangu kwa jina la Yesu
Ninafuta ramani ya ubaya kwenye maisha yangu
Ameeen watu wasiyofanya wote kwenye Maisha yangu nawafutilia mbali kwa jina la Yesu
❤
Yaani wewe ni kuhani mkamilifu mbele za Mungu.
Nitapenda ukija kugombea uraisi wa Saba TZ, na utashinda, ameni.
Bwana apishe mbali akigombea urais watamuua km magufuli bora akaye tu hivo hivo
Amina kubwa.
Ameeeeeeeeeen Yeeeeeeeeesuuuuuu Juuuuuu never down aririririiii this was meant for Me. May the grace of the Lord Jesus and mercy of God our father be upon you and your family and the church at large at ufufuo na uzima
Amen amen
Naikimbia michoro ya ubaya kwa jina la YESU
Nitakuwa na afya mm na family yang kwajiina la yesu
Leo Mwanaume yoyote asiyefaa kwenye Maisha yangu nafutilia mbali kwa jina la Yesu
Nawakusanya wasiyofaa kwenye Maisha yangu wote nawatupa kwenye shimo la moto watengetee kabisa
Uishi milele mtumishi wa Mungu maana wewe ni jasusa la mbinguni 🔥🔥🔥🔥🔥
Mungu ashukuriwe Kwa uwezo mkubwa aliokupatia. Natamani wakati nikiwa Bible School ningekutana na mkufunzi Kama wewe.Wenye vyuo vya Biblia wangekutumia kuandaa Watumishi,tungekuwa na watenda kazi bora kabisa. Pia vyuo vikuu vingekutumia ungesaidia Sana vijana Wetu kuboresha ufahamu wao katika Maisha yao chuoni, na baada yake.
Amen this is what happened to me in Oman this is way Iam suffering up to today
Afya yangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali watoto wangu ni shamba la Baba Bwana apishe mbali
Naigeuza michoro Yao yote wariyochora juu yangu na Familiya yangu kwa jina la Yesu
Napokea Afya kwa jina la Yesu
Amen..may the name of lord be praised..I witness this..Anne nrb Kenya
Nina Futa michoro yote niliyochorewa Mimi watoto wangu wazazi wangu wadogo zangu na watoto wa wadogo zangu ukoo wa Baba na ukoo wa Mama kwa jina la Yesu Kristo
Ameen yaliyo tokea kwangu kwa watoto wangu Familiya yangu basi
Barikiwaa mtumishii
Amina Mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa MUNGU
Aminaa
Amen, I receive in Jesus name
Safiiii Bro.
Simba wa awalambe wote walichora Raman ya ubaya kwajina la YESU
❤❤❤
🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️Asante Sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen
Watoto wangu wapokee Afya kwa jina la Yesu
natorokaaaaa
Amina
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
Hahaha
Walijuwa kuna promotion na kuapa 😂😂😂😂😂, kumbe ni kutumbuliwa vibaya. Ubarikiwe Mzee.
Adui zangu wababwe Live kwa jina la Yesu
Ukiwa hutojali naomba nambari yako ya mawasiliano, Asante!
Wachora Raman mbaya juu yangu, ubaya huo uwatafune wao wenyewe kama kanwa ka simba,na moto.
Pomoweni mbaka msingi
Ameeen Baba
Nakuelewa sana
Afyaaaa Afyaaa Afyaaa
AMEN AMEN
Afya kwa Wazazi wangu Afya a kwa wadogo zangu Afya kwa watoto wa wadogo zangu
Sabaya naye amesimamishiwa mashahidi wawili wasiofaa.😭😭😭
Amecholewa lamani 😏😏
👑🙏🙌🙌🙌🙌💉🌋
Some zuri
Misingi ya ukuu wa ulimwengu umevuliwa nguo
Live long my dady
Amen amen amen.
Ramani ya ubaya
Ansate ngwajima Wang Hilo kweli
Ameen
Amen
Ameen🙌🙌
Wakristo wa kwagwajima mnabahati sn wenzenu tunataman tuipate hiyo bahati lkn wap mmefurika hekaru linapenza sn lkn cha kushangaza wakat wa mahubiri mnaonekana mnamuelewa sn Askofu na kwa vile anatumia muda mrefu wa mafundisho mnaanza kudhoofu anapowaamsha na wimbo ili mchangamke mrudi kwenye mudi wanaoitikia ama kuimba nisehemu tu kdg ya washiriki bwana ebu badirikeni
Sehem ileile
Ameeeeeeeeen
Ameeen Haleluyaaaa🙌🙌
Ameeeni🙏🙏
Kwa jina la yesu Kriston ramani yote yamabaya namichoro yenye washawi walitiyaka mumausha yangu na Family's yangu na jamaa ya kwabo Mama yangu yote na ivuta kwa damu ya Mwana kondoo wa Mungu yesu Kriston wana zareti
Hata kama huwa sifatilii kwa wakati ila huwa napokea kitu kikubwa Sana
Nikiwa uwarabuni Abu dhabi
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ameeen
Ameen Ameeeeen 👏👏👏👏👏👏👏🙏
Duh,
Nafasi zilibaki kibao🙆♂️🙆♂️🙆♂️😂
Haleluya aaaa
Ninafuta kila ramani juu ya maixha yangu juu ya familia yangu katika ulimwengu wa roho ninafuta kwa damu ya yesu
Sasa hivi ni mwendo wa simba, I see how Lion walivyowameza
🙏
Afyaaaaaaaa
Nafuta ramani ya ubaya juu yangu nawafyekelea mbali kwa jina la Yesu kristu
Mungu akumbuke machozi ya wajane, na mayatima na msikini waliosaidiwa na Magufuri, waliotandika nguo zao na matawi ya Miti, wakizimia kwa huzuni na maombolezo makuu, Machozi yao yasipotee bure Mungu amlipie Magufuri kisasi.iwe Amini na Kweli
usitamani cha watu kina historia
pisha mbali
Jamani t mungu atusaidie t
@@happynesnajiunganishakweny9877 kabisa Mungu atusaidie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaani wanawake tuna Maneno
❤
Amina
Amen
Amen 🙏
ameeen
Amen
Amen 🙏