Комментарии •

  • @globaltv_online
    @globaltv_online 4 дня назад +2

    💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 дня назад +2

    Aaalllah tujaliye mwisho mwema yarab

  • @aminahussein9155
    @aminahussein9155 4 дня назад +4

    Allah atujaalie mwisho mwema

  • @AminaBakari-gy8wz
    @AminaBakari-gy8wz 20 часов назад

    Yarabii msamehe dida dhambi zake, za makusudii na bahati mbaya.
    INSHALLAH,, nasisi iwe mawaidha kwetu tupate mwisho mwemaaa

  • @ummySheikh72
    @ummySheikh72 4 дня назад +1

    Naa’m swadakta 💯👆 uko vizuri sheikh, wasituletee ukosefu wa dini ktk misiba😢

  • @zuhurajabiri3900
    @zuhurajabiri3900 2 дня назад

    Ustaadhi, darsa Zuri saana. Ila watu wengi hatunaelimu ya dini.hivyo ushauri wangu Mambo kama haya yanoyotokea msichome kukumbusha na kuelimisha umma.
    Muwe na ratiba kabisa.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 дня назад

    Jazakrllah khaillah❤❤❤

  • @Maryamzahor-t5i
    @Maryamzahor-t5i 3 дня назад

    Sahihi ustadhi

  • @Maryamzahor-t5i
    @Maryamzahor-t5i 3 дня назад

    Aslyekum haijuzuu wan awake kusindikiza jeneza

  • @ThabitThamAlharthy
    @ThabitThamAlharthy День назад

    قال رسول الله...كنت نهيتكم عن زيارة القبور ألآ فزورها... tunaomba ufafanuzi wa hadithi hii..

  • @nurdinimzimbiri
    @nurdinimzimbiri 4 дня назад +2

    Waambie hao wasiokua na dini wahamasishanewamswalie kwawingi

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 3 дня назад

    slm
    alkm mimi nilishaishi misri na si mala moja au mbili nimeshuhudia wanawake na wanamume wanakwenda kuzika pamoja na wanatumia radio kaseti enzi hizo ndio inafanya uradi

    • @mauasylla5024
      @mauasylla5024 3 дня назад

      Ni kweli. Nchi za kiarabu ( waislamu) , wanawake wanaenda kuzika ila wao wanakaa pembeni wakiomba dua wakati wanaume wanazika. Kwa sisi tangu enzi, wanawake wa kiislamu walikuwa hawaendi kuzika. Na jeneza likipita watoto hufichwa ndani. Ukichunguza sana, zamani ukiwa mtoto hujui mtu akifa na pia inatowa hofu kwa watoto.

  • @mauasylla5024
    @mauasylla5024 3 дня назад

    Mimi naomba hili suala la Marehemu Dida lisiwe kama ni topic kwenye mitandao. Tuwaache ndugu zake wawe na amani. Ni machungu sana kumtaja kwa kukosoa kwenye media.

    • @zuhurajabiri3900
      @zuhurajabiri3900 2 дня назад

      Tatizo yaliyotokea ni Mambo ya ajabu Sana ktk dini yetu. Watu walikuwa wanalazimisha kuvunja utaratibu wa mazishi katika uislaam.
      Ndiyo maana inafanya kama mada lakini ndo elimu yenyewe inatolewa, Ili hili suala watu walielewe na lisije kutokea tena huko mbele

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 дня назад

    Kweli kiyama

  • @TatoIssa-w3q
    @TatoIssa-w3q 3 дня назад

    Nikweli.kabisa.she.unayosema

  • @JamilaMohammed-n8n
    @JamilaMohammed-n8n 4 дня назад +1

    Assalamu Allaaeykumu

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 4 дня назад

      Watakua makafiri hao walofata jeneza la Hadija. Pengine hatakuswalia jeneza hawajaswalia na hawajui ukokuswalipia ilamakabulini ndiyo wakwanza. Mtihani

  • @alhajjsimba8833
    @alhajjsimba8833 3 дня назад

    Maiti wa kike akiisha oshwa kabla hajasaliwa na wanaume, jee wakina mama wanaweza kumsalia maiti ndani kabla hajatolewa nje na kuswaliwa wa wanaume

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 4 дня назад

    Kweli kipindi hiko mwa 92 nasi tulikua tunaogopa wazazi wanatuwekandani mpaka wanaume wanarudikuzika. Sikuhizi. Mtihani sana. Kweli kiyama kipokalibu saana

  • @omanmct135
    @omanmct135 4 дня назад

    Stafurulllah

  • @NjuuHussein
    @NjuuHussein 3 дня назад

    Jaman wale hawakutaka kwenda kumuzika walivhokuwa wanataka nikuone jeneza likiwa limebeba mwili wake basi na so vinginevyo

    • @NjuuHussein
      @NjuuHussein 3 дня назад

      Mm na kumbukumbu Kuna mjomba wangu alilazwa. Pale temeke akafa walimutoa pale wakamupeleka msikitini walivotoka pale hakuletwa nyumban moja kwa moja wakaampeka kuzika tuliumia Sana Kila kitendo yaan hata hatuna hata jeneza lake Kila mtu alilamika Sana kwa sahabu alikuwa mtu wa watu

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 3 дня назад

    Mngewachapa baroka tu na niliona clip wako makaburin wanazunguka kabur 😢😢inalilah wainailah rajiun 😢

  • @Imrani-g9o
    @Imrani-g9o День назад

    Hao ni Kuni tuu za motoni mana hawakatazimaovu huku Wana yaona

  • @Imrani-g9o
    @Imrani-g9o День назад

    Waliko ongoza ratiba ni MAMBUMBU hawajielewi hata hao mashehe na ma Mufti uchwara ndomana waliongea pumba nyingi

  • @halimaomar2035
    @halimaomar2035 3 дня назад

    Hio ya kuchukuwa maji ya maiti huwa wanatumia kwa uchawi

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 4 дня назад

    Na kwa nini kuliwekwa buku na picha yake na mshumaa, kiislam sio sawa? Dida alikua muislamu sio mkristo

  • @halimaomar2035
    @halimaomar2035 3 дня назад

    Warabu hawaoshi waongopa

    • @mauasylla5024
      @mauasylla5024 3 дня назад

      La, si kweli. Waarabu wanaosha tena uoshaji wao ni balaa.