#Live
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- #arisendshinetanzania #2024mwakawakutembeachiniyambinguzilizofunguka #mwamposalive
#tanzania #daresalam #afrika #afrikamashariki #ariseandshine #AFRICA#tanzania#dar#tanganyika#ubaloziwambinguni#kawe
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
Mungu naomba unitenganishe na Adui watange mbli NAMI Kwa jina la yesu kristo leo
Mungu nifanyie wepesi hili lililo nileta hapa kwa Mama yangu mdogo katika jina la yesu kristo Amen 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪
Mimi sipendwi kazini mabos nawatoto niongezwe mshahara watoto wangu wanaumasikini nora apatekazi
Mungu anifanyie wepesi wakazi kunamwengu tunafanyanae Kazi ananitesa sana hataki nipedwe nawatoto wala mabos aondoke yeye
Naomba mbuana nyumba ya baba yangu imbaki kuwa yangu amen... ámen
Asante mungu kwa kuniaminisha na madhabahu yako❤❤❤ Amen
Mungu nifungulie mambo yangu yote leo kuanzia leo baba nakuomba nisaidie
Namuunganisha mama angu apone kichwa n kizunguzungu Ameeen
Napokea Kwa jina la Yesu
Navunja na kuharibu madhabahu zote za wachawi wote waliomua bint yangu zivunjike Kwa jina la yesu kristo leo
Mungu nisaidie nipate ela kila siku na nipate ela nyingi nifanye biashara kubwa mungu nisaidie
Amina naamini nita funguliwa Kila panapo uma na kiuchmi piaa Amna sana
Amen
Nataka mungu unyinuwe Piá mbuana ameeeee
Famili yangu ika fungliwe ee mungu na mm pia emungu nifunguliwe kiuchmi
Naomba afya njema, na pia naomba kuwa na amani na fulaha moyoni mwangu
Mungu niunganishe katika madhahabu ya leo nione mafanikio katika kazi yangu
Nataka nipate mume sahii nitakaye funga naye ndoa mwaka huu kabla kuisha
Mungu naomba kesho nizidiwe na wateja nizidiwe na mauzo niuze mpk nishangae ameen😊
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu Naomba Nipate Mume sahihi kwenye maisha yangu ameen
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu Naomba unifungue na unibadilishe maisha yangu niwe na maisha mazuri Mungu wangu kila ninalolifanya liwe jepesi kws jina la yesu Mungu ni mwema nimekombolewa ameen
Wachawi wote hawatausahau Kwa kuanguka kwao wote
Najiunganisha na mazabahu yako mtume ili kukomboa maisha yangu kwa jina la yesu ameeen
Najiungamanisha kwenye operetion komboa familiaMungu nataka mwanangu apone macho yake Amina
Naomba anayesababisha john kutonitafta kwenye simu na kutonipigia simu akashindwe kwa jina la yesu
najiunganisha na madhabau hii ya operation limbos familia naomba kesho niuzebiashara YANGU nizidiwe na wateja nipate pesa nying
Najiungamanisha na opeletion komboa familia Mungu kesho nataka keshoniuze duka la vinywaji Kwa bei niliotaja Kwa jina la Yesu Amina
Mungu naomba mume wangu kipenzi apande vyeo mufulizo Kwa jina la yesu kristo leo
Ee mungu naomba kuanzia kesho nipokee pesa kwa ajili ya kutengenza flamu ya biashara
Mungu nisaidie nipate mafanikio watu wananicheka mungu nisaidie banda langu nioate ela nilijenge mungu nisaidie
Keshi ya kurudi Kwa baba WA mtoto wangu kuanzia Leo imeisha nampokea kuanzia leo na awe na mawasiliano mazuri juu yangu
Praise God man of God,,,naomba maombi juu ya watoto wangu ambao wamekaa kwa muda bila kazi,the same case na mume wangu,,roho ya rejection na magojwa,Woii tukomboee .
Nataka nipate watoto nimalize yumba yangu nifanikiwe kiuchumi nipate Ela nifunguwe biasha yangu yesu nataka bc wangu hanipende kz pale
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu naomba unitendee Nyota yangu Ing’ae na Ifunguliwe kwa jina ka yesu ameen
Najiunganisha na Madhabahu hii ya operation komboa familia Mungu wangu naomba Unipe kibali ameen
Najiunganisha na mazabao hii mungu nakuombakwenye biashara yangu leo niendapo nipate wateja na nizidiwe na mauxo wateja waje km mvua mungu nisaidie
Mungu tnaomba utukumbuke kupitia operation komboa familia tufungulie milango ya pesa
Asante Sana Mungu, utukufu ni wako anorexia kwenye maisha ya Ester imeyeyuka
Najiungamanisha na madhabau hii ya operation komboa familia Mungu naomba nifunguliwe niajiliwe kagera Kahawa Saccos pindi watapo ajiri watumishi kwa jina la Yesu
Najiungamanisha na mathabahu hii ya operesheni komboa familia Mungu afungue kazi zangu Kwa jina layesu ameen
Najiungamanisha kwenye mazabao ya operetioni komboa familia Mungu Nataka wanangu wafauru mitihani Yao ya Taifa wapate one ya7 Kwa jina la Yesu Amina
Mungu nisaidie bibi yangu apone agonjwa yake yote kutokwa na damu miguu na presha mungu nisaidie
Asante mungu kwa upako huu nimebarikiwa nimetendww naamini imekuwa imetendeka kwa jina la yesu kristo leo
Mungu naomba kijana wangu aliyeanzisha biashara zake zifanikiwe apate wateja azidiwe na wateja miradi yake ifanikiwe
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu naomba Umfungue mamangu Nyota yake Ing’ae kesho anapoenda shambani apata mazao mengu kwa jina la Yesu ameen
Wachawi wote waliomua bint yangu mkesha wa kesho wanaenda kuanguka na kufa vifo vya uchungu vibaya wateseke wote
Mungu nisaidie nipate ela wiki hii nipate ela nijenge banda langu labiashara mungu nisaidie
Najiungamanisha ndugu zangu wote uzao wetu mungu asaindie tupatame tuache maungovi
Wote waofanya nihuzunike ni teseke
Wakufa wote wafe vifo vya uchungu Leo
Mungu naomba kufuta tatizo la uvimbe wa kizazi changu.naomba kuwa huru tena
Mungu muweza yote nakushukuru kwa kuwa Ester ameanza kupenda kula , umejibu maombi ninakutukuza anorexia haina tena nafasi katika maisha ya Ester
Mungu muweza yote nakushukuru kwa kuwa Ester ameanza kupenda kula , umejibu maombi ninakutukuza anorexia haina tena nafasi katika maisha ya Ester
Mungu naomba nguvu na afya njema Kwa ajili ya mkesha wa kesho na kataa roho ya udhaifu na usingizi Kwa jina la yesu kristo nikeshe mpk asubuhi nipokee muujiza wangu
Mungu wa mwamposa naomba uniponye magonjwa yote Kwa jina la yesu kristo leo
Kupitia madhabau hii ewe mtumishi was mungu ninaomba uniombee Nina matatizo juu ya maisha yangu pia family yangu ninaomba uniombee Asante
Naamini nitendewa nimepokea nimejibiwa Kwa jina la yesu kristo leo
Ee mungu naomba unintendee miujiza ya kujibiwa maombi yangu yote 12
Najiunga na mazabao haya naomba Mungu nifunguwe yota yangu Kzn nifanikiwe kiuchumi nipate pesa kuna mtu Kzn hananironga yesu nifunguwe yeto yangu na nataka huyo mtu hatoke kzn
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu naomba Mm na mamangu tuinuke kiuchumi kwa jina la yesu
Mungu nisaidie niwe na upendo na familia yangu mama yangu arudishe upendo kwangu km mtt wake wa kuzaa na shangazi yangu aipende mungu nisaidie
Mungu nijibu maombi yangu 12 nyote kwa jina la yesu kristo leo
Arise and shine ,Mir baba maombi yangu 1,12 ni mungu akabadirishe maisha ya familia yangu, kuinuka ki uchumi ,na pia roho ya madeni kuondoka kwenye maisha yangu ,nmepirizishwa na madeni baba naomba nkuone ukinibariki na pesa namie siku moja npike tanzania kutoka kenya,nijione kanisani nitashukuru zaindi..
Naomba mtoto atakaezaliwa afanane na baba yake na baada tu ya mtoto kuzaliwa nitangaze ndoa kanisan kirahuc
Naomba mtoto atakaezaliwa afanane na baba yake na baada tu ya mtoto kuzaliwa nitangaze ndoa kanisan kirahuc
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu naomba unifungulie katika Duka langu lijae kila nikileta Mzigo faida niione kwa jina la Yesu ameen
Ameeeeeeen watoto wangu wainuliwe waongezeke wasitawi wafanikiwe kirahisi zaidi katika jina la yesu kristo leo
Mungu naomba wachawi wote waliomua bint yangu wasambalaatikane watafunane wenyewe Kwa wenyewe Kwa jina la yesu kristo leo waangamie waanguke wasiinuke Tena
Namuomba mungu bosi aniani alfu niongezee mshaara niondokane kazi hii
Mungu muweza yote najiungamanisha na ibada za komboa familia kila usiku pia nabibada za jpili jtatu na Jnne kupokea uponyaji na kufunguliwa katika kila eneo la maisha yangu
Namuanganisha kaka yangu naomba apate kibari Cha kwenda Canada kiurahisi
Mtoto wangu anayesoma afaulu mitihani yake yote pamoja mitihani ya necta apate one ya tatu
Mungu naomba nifaulu mtihani wapremock juma tatu
Naomba umulinde mwanangu aliyeko tumboni na awe na afya njema
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu naomba mwaka huu usiishe nipate kiwanja na nijenge kirahisi kwa jina la yesu ameen
Najiunganisha namadhubao hii ili niweze kuwa nabiashara kubwa sana amen
Najiungamanisha na madhabau hii naomba mungu atende kwangu juu ya masomo yangu mungu naomba fungua ufaham wangu nipe kibali nipate ufauru mzuri kwenye masomo yangu amina
Mungu nisaidie mwenzi huu usiishe ninunue kitanda na godoro mungu nisaidie
Najiunganisha kwenye mazabao hii leo nataka niongee na wanao nidai mungu nisaidie wanielewe wasiwe wakalidarazia mama sele mama wamashuka da pendo hadija na watoto wanao kopesha vyombo mungu nisaidie
Najiunganisha Na Madhabahu hii ya operation komboa Familia Mungu Naomba kila ninae mdai anilipe hela yangu kwa jina la yesu ameen
Mungu wangu na baba yangu naomba uniponye afya yangu niwe huru nami nitakushukuru kwa shangwe
Naomba baada ya kufungua ofisi yangu naomba kuzidiwa na wateja
Mungu najiunganamisha na madhabau ya leo none mafanikio katika kazi ya mikono yangu amina
Napokea muujiza wangu Leo kwa jina la yesu kristo
Walaaniwe vibaya wateseke wafilisike wakose hata mia kwa jina la yesu kristo wachawi wote waliomua bint yangu wafeeeeeeee
Naamin kufunguliwa kiuchumi kiafya na mama yangu kupona pulesha
Mungu unaweza kuniponya kikohozi koo na mfumo wangu wa upumuaji pia muonekano wangu, ninakuamini utaniponya leo
Kupitia maombi haya naomba baba wa mtoto wangu ajali hisia zangu na awe anajibu sms zangu kwa wakati na yoyote anazuia hili namsambalatisha mara 7
Mungu nisaidi kwenye madhabao hii leo niendapo kazini niwe na furaha na nikimwaga tu maji ya upako nanikpika tu chapati ziishe mape na pesa niiyone mungu nisaidie
Tutakomborewa huo mkesha tunasubili kwaham
Namuombea mdogo wangu apate maisha yake kiulaisi
Asante mungu kwa mtumishi wako anayetuhudhumia kl sk
Mungu naomba nisaidi huu ugonjwa wangu wa kuibgia period kila wiki naomba kunzia leo damu zone zitoke na zisirudi tena na zikija zije kwa mpangilio mungu nisaidie
Najiungamanisha naibada yausiku huu mungu naomba alinde familia yangu nawatu wangu wakalibu uwalinde nilinde namabaya nakataa kuonewa nawachawi nataka amani ilejee kwenye familia yangu
Naomba mungu nihame kwenye nyumba ya kupaga niamie nyumba nyingine
Mukesha waijumaa usiniache nione mambo makubwa kazini
Mungu naomba watoto wangu wainuliwe waongezeke wasitawi wafanikiwe kirahisi zaidi wakutanishwe na watu sahihi wenye maisha yao wawe taraja la kuwafikisha kwenye mafanikio mengiiii sana
Naomba nipate mtaji kirahisi zaidi katika jina la yesu kristo leo
God of mwamposa connect me today I want to see your hand a hand of breakthrough on my business.nataka Leo no one faida ya biashala
Mungu muweza yote naomba niponye kikohozi
Nataka nipate mume sahii nitakaye funga naye ndoa mwaka huu kabla kuisha
Mungu nisadie kukomboa familia yangu abuu Baker atambue mm ni mama yake mzazi na arudi kwenye moyo wangu km xamani mungu nisaidie
Ameeeeeeen napokea upako double double double double