Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Najivunia Jeshi letu la Tz. Yaana Wana imba nyimbo za hamasa Hadi natamani kuwa stali wa mbeli kwenye uwanja wa medani. Uzalendo kwanza kwa Taifa . Jeshi pekee lenye nidhamu na uadilifu Mkubwa sana . JWTZ🤝🤝🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazi yenu njeema sifa morariii MUNGU atawalinda mtazidi kuwa bora saana.. MUNGU bariki Afrika,bariki Tanzania,bariki jeshi la Tanzania. Mpo vizuri sana saana najivunia kuwa chini yenu
Napongeza jeshi letu lakini vilevile tukumbuke jeshi bila technologia kwa sasa sio jeshi. Vita nyingi kwa sasa zinapiganwa na technologia na sio nguvu au kuwa na misuli... Serekali wa invest ktk technlogy ya kijeshi.
Tanzania 🇹🇿 bana wajanja hivyo vifaa vyote vimenunuliwa na hapo hakuna chamazoez haawa wameleta hizo mashine kwa kuzuga ety ni mazoez ya pamoja 😅😅😅😅😅😅😅hao hawataondoka na kitu hapo
Akuna watu wanapenda kuongea lugha yao kama wachina sisi tunakimbilia kubana pua kwa kizungu tunakimbia kiswahili chetu aisee hawa ni wazalendo nataman ata wageni wakija kuwekeza wawekewe sharti la kujifunza kiswahili kama nchi nyingine zinavofanya ili lugha yetu ya kiswahili ifike mbali Duniani
@@NelsonKayinga Mjinga nani kati ya mimi na wewe? Kuuliza ni njia moja wapo ya kujifunza na kupata mahalifa mengi. Mimi niuliza aina ya makelele na nyimbo wanazoimba ni lazima ziwe hizo? Linafanya Jeshi lionekane unprofessional . Kama hukunielewa nenda kalale
Katika miongon mwa taifa lenye watu warevu sana na lenye utambumbuzi ni Tanzania ingawa limekosa vifaa na mageuzu makubwa ya kimkakati ila naesabia ni Taifa lenye nguvu na lenye mbinu na ushawishi mkubwa ktk medani za kimataifa
Huezi kumuepuka iran ikiwa urusi na china wao ni wababe wa dunia na wanajiweza lakini irani kwao ni lazima wawe nae sisi ni nina na mziki wake marekani anahara hapo ukrein na kamikaze lazima mtu akikuzi kwenye ubora ukasome kwake na ukijifanya mjuaji utabaki kua mjinga na utapigwa kama ngoma
Asante sana jeshi letu kwa kuchagua china awamu nyingine urusi na iran na kiuba na sio magharibi au marekani nimependa sana nawaombea dua askari wetu allaah awalinde na maadui na nmponheza mama samia kwa kuchagua hizi nchi zakijamaa kushirikiana nazo kwenye medali za ulinzi na mambo mengine mingi
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
So proud of my army 🪖💪🏽❤
Naipenda mpka naliaaaaaaaaaaa Tanzaniaaaaa.. 🎉🎉🎉
Mungu awabariki wanajeshi wote wa Tanzania.
Tuna washukuru kwa kulinda mipaka yetu
Najivunia Jeshi letu la Tz. Yaana Wana imba nyimbo za hamasa Hadi natamani kuwa stali wa mbeli kwenye uwanja wa medani. Uzalendo kwanza kwa Taifa . Jeshi pekee lenye nidhamu na uadilifu Mkubwa sana . JWTZ🤝🤝🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wanasiasa sasa!! Matumbo wazi mda wote
Ase jeshi letu ni bora kweli🎉
Kazi yenu njeema sifa morariii MUNGU atawalinda mtazidi kuwa bora saana.. MUNGU bariki Afrika,bariki Tanzania,bariki jeshi la Tanzania. Mpo vizuri sana saana najivunia kuwa chini yenu
Viva our TPDF
Hakuna siku niliyo furahi kuona jeshi letu linapata silaha za kisasa Mashaallah Daah hapo sasa tupate na helmet nzuri na vitaa vengine
Alafu mziki kama huu wakenya wanasema tuwaige kuandamana awewe subutu mimi najipenda roho yangu❤
Wakenya hawana adabu kwa Taifa lao
😂😂😂😂
😂😂kabisa@@tuzonyava8306
Mmmh kamanda ungelitumia kiswahili wa katafsili kichina ingependeza kuliko kingereza,hao jamaa wanaheshimu sana lugha yao.
Angeongea kiswahili sangeelewa
Nafasi za jeshi zinatoka lini jaman 😢
Ushindi niheshima
Angalia vijana walivyo wembamba wachina sio wetu kitambi icho utazani anakula ngombe mzima
Ningekuwa karibu ningecheza lile goma la mondi linaenda kabisaa vibe la maana😂😂😂
Safiii molarii
Napongeza jeshi letu lakini vilevile tukumbuke jeshi bila technologia kwa sasa sio jeshi. Vita nyingi kwa sasa zinapiganwa na technologia na sio nguvu au kuwa na misuli... Serekali wa invest ktk technlogy ya kijeshi.
Nataka kuwa Commando
I want to be a soldier
Vita ni elimu ya maarifa hata mtu mmoja unaweza angamiza dunia nzima kama una elimu ya maarifa
🙏
Let's stay focused sing the songs in your head.just he ready to fight men.leave the songs and dancing behind.
Jeshi letu linamorali balaa
Kwenye lugha ndio mmeniangusha
Sasa tutafute vita ya kirafiki 😂😂😂 anyway utani kidogo. Jeshi ndio nchi na wananchi
drc na m23
😅😅😅❤
🫡🫡🫡
Vifaa vya kisasa muhim Sana kwa wakati huu kutokana na dunia inavokwenda 🇹🇿😊
Kabisaaa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 jeshi 🇹🇿 ❤
Namuona Masanja akiimbisha na ballet ya damu ya mzee(92KJ) big up brother as a real commando.Kitambo sana mwamba, mapambano yaendelee💪💪💪
Pongezi nyingi sana ziwafikie JWTZ ama hakika mnatuonyesha kuwa mmejifua vya kutosha sana endeleeni kuwa na moyo wa kizarendo hivyohivyo .
Mikwara mingi watoto wenu wanatekwa....
Sanaaaaa!
Acha usenge
Unabidi ufatwe wwe ndo mtekaji
@@nabosedward4836 ...wewe sio mtz. ....achana na sisi.
Wenye kazi ya kuzuia utekaji ni askar police
Safi sana j w t Mungu awatangulie katika majukumu yenu ya kila siku Mungu awape nguvu na morari katika majukumu yenu ya kila siku
Tanzania 🇹🇿 bana wajanja hivyo vifaa vyote vimenunuliwa na hapo hakuna chamazoez haawa wameleta hizo mashine kwa kuzuga ety ni mazoez ya pamoja 😅😅😅😅😅😅😅hao hawataondoka na kitu hapo
Nakbali mungu walinde wazee was kazi mijitu ya kutisha tisha
Najivunia jeshi Letu Shupavu, Imara na Lenye Weledi
kwanini msitumie kiswahili chetu sana mbona china wanaongea lugha yao
Wezako hawawekezi jeshi la ardhini wameendelea katika technology ya kijeshi wapo angani asilimia kubwa
Mungu azidi kuwalinda wajeda.Mungu amewapatia mamlaka ya kutulinda na tunashkr kwa kuweka usalam katik mipak yetu na Mungu awabariki
Jeshi la bongo wanasimba singel china serious 😂😂😂
Na komasava
😂😂😂😂
Ni utamaduni wa Kila taifa kwani haiondoi uimara wa jeshi.
We ni nanga
@@clarasimon7830 umekosea ungesema mzee nanga
Ongereni sana jwtz
Akuna watu wanapenda kuongea lugha yao kama wachina sisi tunakimbilia kubana pua kwa kizungu tunakimbia kiswahili chetu aisee hawa ni wazalendo nataman ata wageni wakija kuwekeza wawekewe sharti la kujifunza kiswahili kama nchi nyingine zinavofanya ili lugha yetu ya kiswahili ifike mbali Duniani
Havi hizo kelele huwa ni lazima??? Naomba tunakuwa kama unprofessional.
Morali
Morali ni lazima
Kama hujui kelele jeshin nyamaza usiongee ujinga wako
@@NelsonKayinga Mjinga nani kati ya mimi na wewe? Kuuliza ni njia moja wapo ya kujifunza na kupata mahalifa mengi. Mimi niuliza aina ya makelele na nyimbo wanazoimba ni lazima ziwe hizo? Linafanya Jeshi lionekane unprofessional .
Kama hukunielewa nenda kalale
@@jonaspatrick2871kuwa professional ni aje? Morali ni muhimu zaidi jeshini
Russia 🇷🇺 and china 🇨🇳 are the best countries ❤❤❤❤ welcome in Africa soldiers
Tanzania ni Kula Kulala, Mazoezi Kidogo, China ni Taifa Kubwa, Pia kuna Ushindani Mkubwa sana, wa Utengenezaji wa Silaha, na ni Super Power.
Wachina wamekuja kupiga apo
Unazarau ila bila hao jamaaa usinge comenti kwa amani hujui kitu
Katika miongon mwa taifa lenye watu warevu sana na lenye utambumbuzi ni Tanzania ingawa limekosa vifaa na mageuzu makubwa ya kimkakati ila naesabia ni Taifa lenye nguvu na lenye mbinu na ushawishi mkubwa ktk medani za kimataifa
Huezi kumuepuka iran ikiwa urusi na china wao ni wababe wa dunia na wanajiweza lakini irani kwao ni lazima wawe nae sisi ni nina na mziki wake marekani anahara hapo ukrein na kamikaze lazima mtu akikuzi kwenye ubora ukasome kwake na ukijifanya mjuaji utabaki kua mjinga na utapigwa kama ngoma
Haya mkimliza mnatkiwa muende Haiti..sio kila siku congo😂😂😂😂msinisem ni joks tu
Waende Gaza ili tuujue uwezo wao maana Israel na washirika wao Vita imekuwa Ngumu kwao
Lakin wanajeshi wa tz wamenoneana kweli
Asante sana jeshi letu kwa kuchagua china awamu nyingine urusi na iran na kiuba na sio magharibi au marekani nimependa sana nawaombea dua askari wetu allaah awalinde na maadui na nmponheza mama samia kwa kuchagua hizi nchi zakijamaa kushirikiana nazo kwenye medali za ulinzi na mambo mengine mingi
Israel
Jeshi letu linashirikiana na nchi zote, halifungamani na upande mmoja
@@jasonwatz7457kabisa
F..uc.k israel@@AbelsonGidion-vo1uj
❤🎉🇮🇱🇹🇿🇺🇸
Sasa mnatumia kizungu chanini? Apo mngetumia swahili na China basi tanzania mnapenda kuabudu mmalekani😢
xie xie
We tulia hapo hapo umesahau baba wa taifa nyerere alivyosema kuhusu mashoga wa israel
❤ China ❤ Tanzania ❤
Hivyo vifaa wanavyovionyesha hapo wataondoka navyo? Au wataviacha.
Sasa kingereza chanini mkuu 😅
Hkn jesh hp kuna drama ndo mana wktk kwenda kulinda amani wanarud wanakufa
Hivi vifaa wanatuachia au wanaondoka navyo??
Haha ha haha
❤❤❤❤❤😂😂😂
Yaaa wa Tz wanakelele wenzao wachina wametuliyaaaa wanawatazamatu wanavyo wehuka😂😂😂😂
Ktk top 10 afrika halipo tanzania kuna jeshi kikundi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tz nchi yangu naependa sana pamoja na viongonzi wote
Ilo vibe la morali wachina wenyewe wanajifunza😁
Wachina hawana kelele hadi raha bongo kelele nyingi
Tumieni lugha yetu ya Kiswahili tuachane na lugha za kikoloni
Wanaimba singeli😅😅😅
Wachina siyo wajinga wamekuja kuuza silaaha zao
Sasa ulitaka atuuzie nani😮😮😮
Kelele Za Nini Jamani Maadui C Watawajua Mana Mtakua Mmezoa Mazogo
Hizi ni za morali wakati wa mazoez na kabla ya vita, askari haimbi hivi vitani
❤❤❤😂
Kama watoto vile , wa china wanamorali kuzidi wetu
Askari was China wana nidhamu ya hali ya juu sana.
Ok awamu ijayo leteni korea kazikazini waje
Nimegundua jeshi la china linanidhamu sana
Hao ndio marafiki wa kweli na sio America
Huyu mchina na mrusi tusiwaache ni marafiki wa kweli
❤tz
Raising war cries or what is it
🫡🫡🫡🫡🫡 kwenu MAKOMANDO wetu
Waje na URRUSI❤
Nimeimis chai ya omapu
Kumbe kuna wainamziki huku
Huo mziki Sasa mziki wake so pw ndg,hawarekod ni mwendo wa kupga nyimbo na kuchezwa hapo kwa papo✍️💪
Tanzanian acheni kelele.
Jamaa anamzika uyooo😂😂
Safi sana wanajeshi wetu
Tunawapenda sana ❤🎉🇹🇿
Big up JWTZ ❤❤😂
We are Tanzanian ❤ we are TPDF❤
Mnasumbua wachina acheni kelele😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Wa China wembambaa tena wako strong ila ndugu zangu mnanenepa hovyoo😅😂
Acha maneno karibu tulinde taifa
Ni nature ya watu wa mashariki ya mbali kuwa na miili minene na vimo vifupi. kumbuka unene sio uzito/uzembe
Kaka umesema kweli lkn sisi wanajeshi wanabugia mnoo😅😅
China ni Wanajeshi Wenye Ujuzi Kuliko wa Tanzania, China wanatengeneza Vifaa vya Kijeshi, Tanzania Bado sana.
una utani na sisi kijana tunakutafuta