🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 143

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 месяца назад +8

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @grandnilahi_23
    @grandnilahi_23 Месяц назад +4

    So proud of my army 🪖💪🏽❤
    Naipenda mpka naliaaaaaaaaaaa Tanzaniaaaaa.. 🎉🎉🎉

  • @EdsonEdgar-y9d
    @EdsonEdgar-y9d 2 месяца назад +8

    Mungu awabariki wanajeshi wote wa Tanzania.
    Tuna washukuru kwa kulinda mipaka yetu

  • @JohanessMarwa
    @JohanessMarwa 2 месяца назад +12

    Najivunia Jeshi letu la Tz. Yaana Wana imba nyimbo za hamasa Hadi natamani kuwa stali wa mbeli kwenye uwanja wa medani. Uzalendo kwanza kwa Taifa . Jeshi pekee lenye nidhamu na uadilifu Mkubwa sana . JWTZ🤝🤝🤝🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @MUSSALUCASELIAS
    @MUSSALUCASELIAS Месяц назад +1

    Ase jeshi letu ni bora kweli🎉

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 Месяц назад +1

    Kazi yenu njeema sifa morariii MUNGU atawalinda mtazidi kuwa bora saana.. MUNGU bariki Afrika,bariki Tanzania,bariki jeshi la Tanzania. Mpo vizuri sana saana najivunia kuwa chini yenu

  • @furahapasalima9181
    @furahapasalima9181 Месяц назад +1

    Viva our TPDF

  • @traviskong-r7b
    @traviskong-r7b 2 месяца назад +3

    Hakuna siku niliyo furahi kuona jeshi letu linapata silaha za kisasa Mashaallah Daah hapo sasa tupate na helmet nzuri na vitaa vengine

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 2 месяца назад +2

    Alafu mziki kama huu wakenya wanasema tuwaige kuandamana awewe subutu mimi najipenda roho yangu❤

  • @MngwaliAllykizangwa
    @MngwaliAllykizangwa 2 месяца назад +5

    Mmmh kamanda ungelitumia kiswahili wa katafsili kichina ingependeza kuliko kingereza,hao jamaa wanaheshimu sana lugha yao.

  • @WallaceWaweru-ob7jz
    @WallaceWaweru-ob7jz 2 месяца назад +1

    Nafasi za jeshi zinatoka lini jaman 😢

  • @mlumendoigonza6398
    @mlumendoigonza6398 Месяц назад

    Ushindi niheshima

  • @fredrickedwardmollel5319
    @fredrickedwardmollel5319 2 месяца назад +1

    Angalia vijana walivyo wembamba wachina sio wetu kitambi icho utazani anakula ngombe mzima

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 2 месяца назад +1

    Ningekuwa karibu ningecheza lile goma la mondi linaenda kabisaa vibe la maana😂😂😂

  • @KhatibSalehKhatib
    @KhatibSalehKhatib 2 месяца назад

    Safiii molarii

  • @edwinemrod3933
    @edwinemrod3933 2 месяца назад

    Napongeza jeshi letu lakini vilevile tukumbuke jeshi bila technologia kwa sasa sio jeshi. Vita nyingi kwa sasa zinapiganwa na technologia na sio nguvu au kuwa na misuli... Serekali wa invest ktk technlogy ya kijeshi.

  • @TextWizzy
    @TextWizzy 2 месяца назад +2

    Nataka kuwa Commando

  • @juliusdominic-uk4bu
    @juliusdominic-uk4bu 2 месяца назад

    Vita ni elimu ya maarifa hata mtu mmoja unaweza angamiza dunia nzima kama una elimu ya maarifa

  • @jamesfilipo365
    @jamesfilipo365 Месяц назад

    🙏

  • @AOPRODUCTIONSANDEVENTS
    @AOPRODUCTIONSANDEVENTS 2 месяца назад +1

    Let's stay focused sing the songs in your head.just he ready to fight men.leave the songs and dancing behind.

  • @RamadhanHussein-u6n
    @RamadhanHussein-u6n 2 месяца назад

    Jeshi letu linamorali balaa

  • @kamanapomo7029
    @kamanapomo7029 2 месяца назад

    Kwenye lugha ndio mmeniangusha

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 2 месяца назад

    Sasa tutafute vita ya kirafiki 😂😂😂 anyway utani kidogo. Jeshi ndio nchi na wananchi

  • @mussajohn7397
    @mussajohn7397 2 месяца назад +1

    😅😅😅❤

  • @godblesstz0
    @godblesstz0 Месяц назад

    🫡🫡🫡

  • @DuuSaid
    @DuuSaid 2 месяца назад +9

    Vifaa vya kisasa muhim Sana kwa wakati huu kutokana na dunia inavokwenda 🇹🇿😊

  • @Bounddeadlasse
    @Bounddeadlasse Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉 jeshi 🇹🇿 ❤

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 2 месяца назад +2

    Namuona Masanja akiimbisha na ballet ya damu ya mzee(92KJ) big up brother as a real commando.Kitambo sana mwamba, mapambano yaendelee💪💪💪

  • @YohanaMetely
    @YohanaMetely 2 месяца назад +2

    Pongezi nyingi sana ziwafikie JWTZ ama hakika mnatuonyesha kuwa mmejifua vya kutosha sana endeleeni kuwa na moyo wa kizarendo hivyohivyo .

  • @ahamadiyusuphu6011
    @ahamadiyusuphu6011 2 месяца назад +7

    Mikwara mingi watoto wenu wanatekwa....

  • @YusuphuMakange
    @YusuphuMakange 2 месяца назад +4

    Safi sana j w t Mungu awatangulie katika majukumu yenu ya kila siku Mungu awape nguvu na morari katika majukumu yenu ya kila siku

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 2 месяца назад

    Tanzania 🇹🇿 bana wajanja hivyo vifaa vyote vimenunuliwa na hapo hakuna chamazoez haawa wameleta hizo mashine kwa kuzuga ety ni mazoez ya pamoja 😅😅😅😅😅😅😅hao hawataondoka na kitu hapo

  • @SuleIman-o5r
    @SuleIman-o5r Месяц назад +1

    Nakbali mungu walinde wazee was kazi mijitu ya kutisha tisha

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 2 месяца назад +2

    Najivunia jeshi Letu Shupavu, Imara na Lenye Weledi

  • @KaisiJamaly
    @KaisiJamaly Месяц назад

    kwanini msitumie kiswahili chetu sana mbona china wanaongea lugha yao

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 2 месяца назад +1

    Wezako hawawekezi jeshi la ardhini wameendelea katika technology ya kijeshi wapo angani asilimia kubwa

  • @THEQUILLSTORY
    @THEQUILLSTORY 2 месяца назад +2

    Mungu azidi kuwalinda wajeda.Mungu amewapatia mamlaka ya kutulinda na tunashkr kwa kuweka usalam katik mipak yetu na Mungu awabariki

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 2 месяца назад +5

    Jeshi la bongo wanasimba singel china serious 😂😂😂

  • @PrinceKelvin-ht2hm
    @PrinceKelvin-ht2hm Месяц назад +1

    Ongereni sana jwtz

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 2 месяца назад

    Akuna watu wanapenda kuongea lugha yao kama wachina sisi tunakimbilia kubana pua kwa kizungu tunakimbia kiswahili chetu aisee hawa ni wazalendo nataman ata wageni wakija kuwekeza wawekewe sharti la kujifunza kiswahili kama nchi nyingine zinavofanya ili lugha yetu ya kiswahili ifike mbali Duniani

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 2 месяца назад +1

    Havi hizo kelele huwa ni lazima??? Naomba tunakuwa kama unprofessional.

    • @mackenzie8037
      @mackenzie8037 2 месяца назад

      Morali

    • @christophersamwel8236
      @christophersamwel8236 Месяц назад

      Morali ni lazima

    • @NelsonKayinga
      @NelsonKayinga Месяц назад

      Kama hujui kelele jeshin nyamaza usiongee ujinga wako

    • @jonaspatrick2871
      @jonaspatrick2871 Месяц назад

      @@NelsonKayinga Mjinga nani kati ya mimi na wewe? Kuuliza ni njia moja wapo ya kujifunza na kupata mahalifa mengi. Mimi niuliza aina ya makelele na nyimbo wanazoimba ni lazima ziwe hizo? Linafanya Jeshi lionekane unprofessional .
      Kama hukunielewa nenda kalale

    • @richardmoses7470
      @richardmoses7470 Месяц назад

      ​@@jonaspatrick2871kuwa professional ni aje? Morali ni muhimu zaidi jeshini

  • @JonasSendwe-rj7nd
    @JonasSendwe-rj7nd Месяц назад

    Russia 🇷🇺 and china 🇨🇳 are the best countries ❤❤❤❤ welcome in Africa soldiers

  • @ChristianKiponda-d7e
    @ChristianKiponda-d7e 2 месяца назад +3

    Tanzania ni Kula Kulala, Mazoezi Kidogo, China ni Taifa Kubwa, Pia kuna Ushindani Mkubwa sana, wa Utengenezaji wa Silaha, na ni Super Power.

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 2 месяца назад

      Wachina wamekuja kupiga apo

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 месяца назад

      Unazarau ila bila hao jamaaa usinge comenti kwa amani hujui kitu

  • @SalumMattar
    @SalumMattar 2 месяца назад

    Katika miongon mwa taifa lenye watu warevu sana na lenye utambumbuzi ni Tanzania ingawa limekosa vifaa na mageuzu makubwa ya kimkakati ila naesabia ni Taifa lenye nguvu na lenye mbinu na ushawishi mkubwa ktk medani za kimataifa

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    Huezi kumuepuka iran ikiwa urusi na china wao ni wababe wa dunia na wanajiweza lakini irani kwao ni lazima wawe nae sisi ni nina na mziki wake marekani anahara hapo ukrein na kamikaze lazima mtu akikuzi kwenye ubora ukasome kwake na ukijifanya mjuaji utabaki kua mjinga na utapigwa kama ngoma

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 2 месяца назад +1

    Haya mkimliza mnatkiwa muende Haiti..sio kila siku congo😂😂😂😂msinisem ni joks tu

    • @NdiyembukeJr
      @NdiyembukeJr 2 месяца назад

      Waende Gaza ili tuujue uwezo wao maana Israel na washirika wao Vita imekuwa Ngumu kwao

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 2 месяца назад +1

    Lakin wanajeshi wa tz wamenoneana kweli

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад +13

    Asante sana jeshi letu kwa kuchagua china awamu nyingine urusi na iran na kiuba na sio magharibi au marekani nimependa sana nawaombea dua askari wetu allaah awalinde na maadui na nmponheza mama samia kwa kuchagua hizi nchi zakijamaa kushirikiana nazo kwenye medali za ulinzi na mambo mengine mingi

  • @daydaypapaa7709
    @daydaypapaa7709 2 месяца назад

    Sasa mnatumia kizungu chanini? Apo mngetumia swahili na China basi tanzania mnapenda kuabudu mmalekani😢

  • @bonifacebaraka3785
    @bonifacebaraka3785 2 месяца назад +1

    xie xie

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 месяца назад

    We tulia hapo hapo umesahau baba wa taifa nyerere alivyosema kuhusu mashoga wa israel

  • @barick
    @barick 2 месяца назад +2

    ❤ China ❤ Tanzania ❤

  • @HuseinShaban
    @HuseinShaban Месяц назад

    Hivyo vifaa wanavyovionyesha hapo wataondoka navyo? Au wataviacha.

  • @titusfaya872
    @titusfaya872 2 месяца назад +1

    Sasa kingereza chanini mkuu 😅

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад

    Hkn jesh hp kuna drama ndo mana wktk kwenda kulinda amani wanarud wanakufa

  • @AmosDimas-nv2hz
    @AmosDimas-nv2hz 2 месяца назад +1

    Hivi vifaa wanatuachia au wanaondoka navyo??

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤😂😂😂

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 2 месяца назад

    Yaaa wa Tz wanakelele wenzao wachina wametuliyaaaa wanawatazamatu wanavyo wehuka😂😂😂😂

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад

    Ktk top 10 afrika halipo tanzania kuna jeshi kikundi

  • @ZaiMbilo
    @ZaiMbilo Месяц назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tz nchi yangu naependa sana pamoja na viongonzi wote

  • @vayeen
    @vayeen 2 месяца назад

    Ilo vibe la morali wachina wenyewe wanajifunza😁

  • @YusuphiddyMuhiga
    @YusuphiddyMuhiga Месяц назад

    Wachina hawana kelele hadi raha bongo kelele nyingi

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 месяца назад

    Tumieni lugha yetu ya Kiswahili tuachane na lugha za kikoloni

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 2 месяца назад +1

    Wanaimba singeli😅😅😅

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 2 месяца назад +1

    Wachina siyo wajinga wamekuja kuuza silaaha zao

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 2 месяца назад +1

    Kelele Za Nini Jamani Maadui C Watawajua Mana Mtakua Mmezoa Mazogo

    • @JacobMaganga-re9ji
      @JacobMaganga-re9ji 2 месяца назад +1

      Hizi ni za morali wakati wa mazoez na kabla ya vita, askari haimbi hivi vitani

  • @sayeedmsct4255
    @sayeedmsct4255 2 месяца назад +1

    ❤❤❤😂

  • @SMKF4
    @SMKF4 2 месяца назад

    Kama watoto vile , wa china wanamorali kuzidi wetu

  • @mackenzie8037
    @mackenzie8037 2 месяца назад

    Askari was China wana nidhamu ya hali ya juu sana.

  • @JamiliJuma
    @JamiliJuma Месяц назад

    Ok awamu ijayo leteni korea kazikazini waje

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 2 месяца назад

    Nimegundua jeshi la china linanidhamu sana

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 Месяц назад

    Hao ndio marafiki wa kweli na sio America

  • @OttoMsovela-sk7bl
    @OttoMsovela-sk7bl 2 месяца назад

    Huyu mchina na mrusi tusiwaache ni marafiki wa kweli

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 2 месяца назад +1

    ❤tz

  • @johnwanjala4311
    @johnwanjala4311 Месяц назад

    Raising war cries or what is it

  • @ibrahimucharlessatto3449
    @ibrahimucharlessatto3449 Месяц назад

    🫡🫡🫡🫡🫡 kwenu MAKOMANDO wetu

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 2 месяца назад

    Waje na URRUSI❤

  • @LaizerSaitoty
    @LaizerSaitoty 2 месяца назад

    Nimeimis chai ya omapu

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 2 месяца назад +1

    Kumbe kuna wainamziki huku

    • @joshuakitunzi9500
      @joshuakitunzi9500 2 месяца назад

      Huo mziki Sasa mziki wake so pw ndg,hawarekod ni mwendo wa kupga nyimbo na kuchezwa hapo kwa papo✍️💪

  • @binmgeni4664
    @binmgeni4664 2 месяца назад

    Tanzanian acheni kelele.

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 2 месяца назад

    Jamaa anamzika uyooo😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад

    Safi sana wanajeshi wetu
    Tunawapenda sana ❤🎉🇹🇿

  • @salummsusa5007
    @salummsusa5007 Месяц назад

    Big up JWTZ ❤❤😂

  • @ahmadseba9047
    @ahmadseba9047 2 месяца назад

    We are Tanzanian ❤ we are TPDF❤

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere 2 месяца назад +2

    Mnasumbua wachina acheni kelele😂😂😂😂

  • @banajuliana758
    @banajuliana758 2 месяца назад +1

    Wa China wembambaa tena wako strong ila ndugu zangu mnanenepa hovyoo😅😂

    • @LucasBuluba
      @LucasBuluba 2 месяца назад

      Acha maneno karibu tulinde taifa

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee 2 месяца назад

      Ni nature ya watu wa mashariki ya mbali kuwa na miili minene na vimo vifupi. kumbuka unene sio uzito/uzembe

    • @deniccgabriel6153
      @deniccgabriel6153 2 месяца назад

      Kaka umesema kweli lkn sisi wanajeshi wanabugia mnoo😅😅

    • @ChristianKiponda-d7e
      @ChristianKiponda-d7e 2 месяца назад +1

      China ni Wanajeshi Wenye Ujuzi Kuliko wa Tanzania, China wanatengeneza Vifaa vya Kijeshi, Tanzania Bado sana.

    • @tittoskeysproject1967
      @tittoskeysproject1967 2 месяца назад +1

      una utani na sisi kijana tunakutafuta